< 1 Timotheo 3 >
1 Usemi huu ni wakuaminika: Kama mtu anatamani kuwa Msimamizi, anatamani kazi njema.
Muwambilo uwu we niti: Haiva zumwi muntu usaka kuva muruti, ulakaza mutendo mulotu.
2 Kwa hiyo msimamizi ni lazima asiwe na lawama. Ni lazima awe mume wa mke mmoja. Ni lazima awe na kiasi, busara, mwenye utaratibu, mkarimu. Ni lazima awe uwezo wa kufundisha.
Imihe muruti uswanela kuva nikusanyazahala. Uswanela kuva mukwame wamwanakazi umwina. ave niku liwonda, nikuzuwisiza, nikulikuteka, yosaka kutabmula vayene, yowola kuruta.
3 Asiwe anatumia mvinyo, asiwe mgomvi, bali mpole, mwenye amani. Ni lazima asiwe mwenye kupenda fedha.
Kanji avi chindakwa cha vunjwala, insi wekondo, kono yolukite, wina inkozo. Kanjavi muntu yosaka masheleñi.
4 Inampasa kuwasimamia vema watu wa nyumbani mwake mwenyewe, na watoto wake imewapasa kumtii kwa heshima zote.
Yo yendisa vezuvo yakwe nenza. ni vana vakwe vamuzuwe mi vamuhe ikute liyere.
5 Maana ikiwa mtu hajui kuwasimamia watu wa nyumbani mwake mwenyewe, atalileaje kanisa la Mungu?
Mukuti haiva muntu kezi kutomela vezuvo yakwe nenza, mwatokomele vule ikeleke ya Ireeza?
6 Asiwe mwamini mpya, ili kwamba asije akajivuna na kuanguka katika hukumu kama yule mwovu.
Imi nsazi avi muntu yozwa hakuzumima, pona cholikumusa mane akawile mwikatulo ya diavulusi.
7 Lazima pia awe na sifa njema kwa wote walioko nje, ili asije akaanguka kwenye aibu na mtego wa mwovu.
Ave yopakwa nenza nivantu vena hanze, ilikuti kanji awili mumaswavi nikaswa ka diavulusi.
8 Mashemasi, vilevile wanapaswa kuwa wenye kustahili heshima, wasiwe wenye kauli mbili. Wasitumie mvinyo kupita kiasi au kuwa na tamaa.
Vahikana, kakwiziva, vave nivutali, isiñi vendimi zovere. Kanji vavi zinywi zavunjwara ahulu kamba nikulya ahulu.
9 Waweze kuitunza kwa dhamiri safi ile kweli ya imani iliyofunuliwa.
Vavike ininti ive zivahazwa yetumelo ni zwalo linjolola.
10 Wawe pia wamethibitishwa kwanza, halafu waweze kuhudumu kwa sababu hawana lawama.
Vaswanela kutatuvwa lwetazi, linu valukela kuhewa musevezi kakuli vashiyeme.
11 Wanawake vivyo hivyo wawe wenye heshima. Wasiwe wasingiziaji. Wawe na kiasi na waaminifu kwa mambo yote.
Nivanakazi chenzila iswana bave nikuzuwisisa. Kanji bavi vasoha. Bave nikuliwonda, imi bave nikulwonda nikusepahala muzintu zonse.
12 Mashemasi ni lazima wawe waume wa mke mmoja mmoja. Lazima waweze kuwasimamia vema watoto wao na wa nyumbani mwao.
Muhikana wekeleke ave ni mwanakazi yeke. Vayendisa hande bana bavo ni mazuvo avo nenza.
13 Kwa kuwa wale wanaotumika vizuri hupata msimamo mzuri na ujasiri mkubwa katika imani iliyo katika Kristo Yesu.
Mukuti kwavo vavasebezi hande vakwete musevzi mulotu, kavawane mazimo malotu, ninguzu zina mwa Kereste.
14 Ninaandika mambo haya kwako, na ninatumaini kuja kwako hivi karibuni.
Niñolela izi zintu kwako, imi nisepa kwiza kwenu hahanu.
15 Lakini ikiwa nitachelewa, ninaandika ili upate kujua namna ya kuenenda katika nyumba ya Mungu, ambalo ni kanisa la Mungu aliye hai, nguzo na msaada wa kweli.
Linu heva niniyleha, nimiñolera ili kuti mwizive mumuswanela kwi kalila muzubo ya Ireeza, Iliyo Ikeleke ya Ireeza yohala, mutomo ni tuso ihala.
16 Na haipingiki kwamba kweli ya Uungu uliyofunuliwa ni mkuu: “Alionekana katika mwili, akathibitishwa na Roho, akaonekana na malaika, akatangazwa miongoni mwa mataifa, akaaminiwa na ulimwengu, na akachukuliwa juu katika utukufu.”
Mi Indava isakananwa yive zivahazwa ikunutu yakulapela ikando: “Aba vonahazwa munyama, abavikwa yolukite muluhuho, abavonwa ni mañiloyi, abawambwa kumansi, abazuminwa mwikanda, imi avahindilwa mwinkanya.”