< 1 Timotheo 2 >
1 Kwa hiyo awali ya yote, nahitaji maombi, na dua, na maombezi, na shukrani vifanyike kwa ajili ya watu wote,
Hakwina bulyo cha matangilo, Ni mi susuweza kuti inkupo, intapelo, kulapelela, ni bwitumelo zi pangwegirwe vantu vonse,
2 kwa ajili ya wafalme na wote ambao wako kwenye mamlaka, ili kwamba tuweze kuishi maisha ya amani na utulivu katika utauwa wote na heshima.
ku malena ni vonse vena mwi nkamayiso, njokuti twikale mwi nkozo ni vuhalo vu ntontwele mwi nzila ya chilumeli ni butokwa bwako.
3 Hili ni jema na lenye kukubalika mbele za Mungu Mwokozi wetu.
Ichi chi lotu mi chitamwirwe ha vusu bwa Ireeza muhazi wetu.
4 Yeye hutamani kuwa watu wote waokolewe na wapate kuijua kweli.
Usaka kuti vantu vonse va hazwe mi veze kukwi ziva vuniti.
5 Kwa kuwa kuna Mungu mmoja, na kuna mpatanishi mmoja kati ya Mungu na mwanadamu ambaye ni Kristo Yesu.
Kakuti kwina Ireeza yenke, ni muzimanini yenke fela wa Ireza ni wa vantu, mukwame Kreste Jesu.
6 Alijitoa mwenyewe kama fidia kwa wote, kama ushuhuda kwa wakati muafaka.
Ava litambiki iye mwine kuva ntifo ku vantu vonse, sina kuva vupaki he nako iswanera.
7 Kwa sababu hii, mimi mwenyewe nilifanywa kuwa mjumbe wa injili na mtume. Nasema kweli. Sisemi uongo. Mimi ni mwalimu watu Mataifa katika imani na kweli.
Chowu mulero, Ime, ni mwine, niva pangiwa muwambi ni muapositola. Nimi wambila initi. kani chengi. ni muluti we chisi mwi ntumelo ni mwiniti.
8 Kwa hiyo, nataka wanaume kila mahali waombe na kuinua mikono mitakatifu bila ghadhabu na mashaka.
Chobulyo, ni saka vakwame vonse muzivaka zonse va lapele cho kunyemuna mayanza a jolola ni kusena vu vengi kapa kukanana.
9 Vivyo hivyo, nataka wanawake wajivike mavazi yanayokubalika, kwa heshima na kujizuia. Wasiwe na nywele zilizosukwa, au dhahabu, au Lulu, au mavazi ya gharama kubwa.
sina vulyo, Nisaka vakulwakazi vakuzwata zi zavalo zina hande, va liwonde ni kuli vakanya. kanji va hosi i sunki zo kuwula kapa igauda ni zizwato zi dula.
10 Pia nataka wavae mavazi yanayowastahili wanawake wanaokiri uchaji kwa kupitia matendo mema.
Nisaka kuti va zwate zi voneka hande za vakulwakazi va tondeza zintu za Ireza kuya che misevezi milotu.
11 Mwanamke na ajifunze katika hali ya utulivu na kwa utii wote.
Mukulwakazi uswanela kuli tuta na tontwere ni mukukwi chilira.
12 Simruhusu mwanamke kufundisha, au kuwa na mamlaka juu ya mwanaume bali aishi katika hali ya ukimya.
Kani zuminini mukwalwakazi ku ruta kapa kuha mulawo hewulu lyo mukwame, kono kuhala mu ntotwele.
13 Kwa kuwa Adamu aliumbwa kwanza, kisha Eva.
Njaho Adama ava tangwa ku vumbwa, njikwiza eva.
14 Adamu hakudanganywa, lakini mwanamke alidanganywa kabisa katika uasi.
Mi Adama kena va chengwa, kono mukulwakazi ava chengwa kuhitilira ni ku panga chivi.
15 Hata hivyo, ataokolewa kwa kupitia kuzaa watoto, kama wataendelea katika imani na upendo na katika utakaso na akili njema.
niha kuva vulyo, kahazwe cho kupuluha vana, haiva ni va zwila havusu mwi ntumelo ni mwi rato niku jolozwa ni muhupulo u hupula hande.