< 1 Timotheo 2 >

1 Kwa hiyo awali ya yote, nahitaji maombi, na dua, na maombezi, na shukrani vifanyike kwa ajili ya watu wote,
Je demande donc instamment avant tout, qu’on fasse des supplications, des prières, des demandes, des actions de grâces pour tous les hommes,
2 kwa ajili ya wafalme na wote ambao wako kwenye mamlaka, ili kwamba tuweze kuishi maisha ya amani na utulivu katika utauwa wote na heshima.
Pour les rois et tous ceux qui sont en dignité, afin que nous menions une vie paisible et tranquille, en toute piété et chasteté.
3 Hili ni jema na lenye kukubalika mbele za Mungu Mwokozi wetu.
Car cela est bon et agréable à notre Sauveur Dieu,
4 Yeye hutamani kuwa watu wote waokolewe na wapate kuijua kweli.
Qui veut que tous les hommes soient sauvés, et viennent à la connaissance de la vérité,
5 Kwa kuwa kuna Mungu mmoja, na kuna mpatanishi mmoja kati ya Mungu na mwanadamu ambaye ni Kristo Yesu.
Car il n’y a qu’un Dieu et qu’un médiateur entre Dieu et les hommes, le Christ Jésus homme,
6 Alijitoa mwenyewe kama fidia kwa wote, kama ushuhuda kwa wakati muafaka.
Qui s’est livré lui-même, pour la rédemption de tous, comme un témoignage temps.
7 Kwa sababu hii, mimi mwenyewe nilifanywa kuwa mjumbe wa injili na mtume. Nasema kweli. Sisemi uongo. Mimi ni mwalimu watu Mataifa katika imani na kweli.
C’est pourquoi j’ai été établi moi-même prédicateur et apôtre (je dis la vérité, je ne mens point), docteur des nations dans la foi et la vérité.
8 Kwa hiyo, nataka wanaume kila mahali waombe na kuinua mikono mitakatifu bila ghadhabu na mashaka.
Je veux donc que les hommes prient en tout lieu, élevant des mains pures, sans colère et sans contention.
9 Vivyo hivyo, nataka wanawake wajivike mavazi yanayokubalika, kwa heshima na kujizuia. Wasiwe na nywele zilizosukwa, au dhahabu, au Lulu, au mavazi ya gharama kubwa.
Pareillement, que les femmes, en vêtements décents, se parent avec pudeur et modestie, et non avec des cheveux frisés, ou de l’or, ou des habits somptueux;
10 Pia nataka wavae mavazi yanayowastahili wanawake wanaokiri uchaji kwa kupitia matendo mema.
Mais comme il convient à des femmes qui font profession de piété par de bonnes œuvres.
11 Mwanamke na ajifunze katika hali ya utulivu na kwa utii wote.
Que la femme écoute en silence et dans une entière soumission.
12 Simruhusu mwanamke kufundisha, au kuwa na mamlaka juu ya mwanaume bali aishi katika hali ya ukimya.
Je ne permets point à la femme d’enseigner ni de dominer sur l’homme; mais qu’elle garde le silence.
13 Kwa kuwa Adamu aliumbwa kwanza, kisha Eva.
Car Adam fut formé le premier, ensuite Eve,
14 Adamu hakudanganywa, lakini mwanamke alidanganywa kabisa katika uasi.
Et Adam ne fut point séduit, mais la femme séduite tomba dans la prévarication.
15 Hata hivyo, ataokolewa kwa kupitia kuzaa watoto, kama wataendelea katika imani na upendo na katika utakaso na akili njema.
Toutefois elle sera sauvée par la génération des enfants, si elle demeure dans la foi, la charité et la sainteté jointe à la tempérance.

< 1 Timotheo 2 >