< 1 Wathesalonike 1 >
1 Paulo, Silwano na Timotheo kwa kanisa la Wathesalonike katika Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo. Neema na amani iwe nanyi.
Paulo, Silwano nu Timotheo wishivanza lya Tethesalonike pipo ungulubhe uDada nu Gosi u Yesu U Kilisti. Wene nu waushe bhumwe.
2 Tunatoa shukrani kwa Mungu kila mara kwa ajili yenu nyote, wakati tunapowataja katika maombi yetu.
Tufumwa ulumbizyo wangulubhe habhili aje yinyu mwinti palatuntabula hunyibutozyituu.
3 Tunaikumbuka bila kukoma mbele ya Mungu na baba yetu kazi yenu ya imani, juhudi ya upendo, na uvumilivu wenye ujasiri kwa ajili ya baadaye katika Bwana Yesu Kristo.
Tubhabuha witagalila lya Ngulubhi nu Dada witagalila lya yinyuuu yitwiha, ubhovi lyi lungano, unkumbelezyo wuli nuda damazu uwami wapamandii uliwadada uYesu Kilisti.
4 Ndugu Mnaopendwa na Mungu, tunajua wito wenu.
Mwamituu mwaganilye nu Ngulubhi, timanyile akugwe winyuu.
5 Na jinsi injili yetu ilivyokuja kwenu si kwa neno tu, bali pia katika nguvu, katika Roho Mtakatifu, na katika uhakika. Kwa namna hiyo, mnajua pia sisi tulikuwa watu wa namna gani miongoni mwenu kwa ajili yenu.
Ni ishi izyo lyituu shalyaheza hulitii sigawino ngwatuu, wikhone nupepo usangalusu. Lelo wiisho ishawahenza mmenye atii twali bholii muhatiye yinyuu lihabha lyalimwi.
6 Mlikuwa watu wa kutuiga sisi na Bwana, kama mlivyopokea neno katika taabu kwa furaha itokayo kwa Roho Mtakatifu.
Mwalibhantu wejeshele atii nungosi, nishi pamwoshile izyo namaimba nubhosu uufuma upepo usangalusu.
7 Na matokeo yake, mkawa mfano kwa wote katika Makedonia na Akaiya ambao wanaamini.
Agabhoneha mwabhashimanyilo wautii Makedonia Akaiya ibhawitishe.
8 Kwa kuwa kutoka kwenu neno la Mungu limeenea kote, na si kwa Mekadonia na Akaiya peke yake. Badala yake, kwa kila mahali imani yenu katika Mungu imeenea kote. Na matokeo yake, hatuhitaji kusema chochote.
Pipo izyo lya Ngulubhi lyenilemwutii sana wa Mekadonia na Akaiya bhene. Nantele yititiolyi nyulwa Ngulubhi humanyishe woti. Efumeiepo hatuwanza Eyanjehahonti.
9 Kwa kuwa wao wenyewe wanaarifu ujio wetu ulikuwa wa namna gani kati yenu. Wanasimulia jinsi mulivyomgeukia Mungu kutoka katika sanamu na kumtumikia Mungu aliye hai na wa kweli.
Phepovhio awene bhatazwa uvhoneshelo witu wali bhulili namwe, bhayangasha mwagalushila Ungulubhi afume humazimu na bhombele Ungulubhi umwumwanalyoli.
10 Walitoa habari kuwa mnamsubiri Mwana wake kutoka mbinguni, aliyefufuliwa kutoka kwa wafu. Na huyu ni Yesu, anayetuweka huru kutoka kwenye ghadhabu ijayo.
Bhafumizye inongwa aje mugula umwana wakwe humanya, yazyuzyusiwe afumehuzimuu. Yunanu yu Yesu yatubhiha bhaushe afumee wilyoyo lyalayinza.