< 1 Wathesalonike 1 >
1 Paulo, Silwano na Timotheo kwa kanisa la Wathesalonike katika Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo. Neema na amani iwe nanyi.
Paul, Silvanus et Timothée à l'église des Thessaloniciens en Dieu le Père et en Jésus-Christ le Seigneur. Grâce et paix vous soient accordées.
2 Tunatoa shukrani kwa Mungu kila mara kwa ajili yenu nyote, wakati tunapowataja katika maombi yetu.
Nous rendons constamment grâces à Dieu pour vous tous; nous vous nommons dans nos prières;
3 Tunaikumbuka bila kukoma mbele ya Mungu na baba yetu kazi yenu ya imani, juhudi ya upendo, na uvumilivu wenye ujasiri kwa ajili ya baadaye katika Bwana Yesu Kristo.
et nous rappelons sans cesse, en présence de Dieu notre Père, les oeuvres de votre foi, les travaux de votre charité et la persévérance de votre espoir en notre Seigneur Jésus-Christ.
4 Ndugu Mnaopendwa na Mungu, tunajua wito wenu.
Nous savons, frères bien-aimés de Dieu, que vous avez été élus;
5 Na jinsi injili yetu ilivyokuja kwenu si kwa neno tu, bali pia katika nguvu, katika Roho Mtakatifu, na katika uhakika. Kwa namna hiyo, mnajua pia sisi tulikuwa watu wa namna gani miongoni mwenu kwa ajili yenu.
car nous ne vous avons pas évangélisés seulement avec des paroles, mais avec une vraie puissance, avec l'Esprit saint, avec une forte conviction. Vous savez bien ce que nous avons été au milieu de vous et pour votre bien,
6 Mlikuwa watu wa kutuiga sisi na Bwana, kama mlivyopokea neno katika taabu kwa furaha itokayo kwa Roho Mtakatifu.
et vous êtes devenus nos imitateurs et ceux du Seigneur, en accueillant sa parole dans un moment de grande affliction avec la joie que donne l'Esprit saint.
7 Na matokeo yake, mkawa mfano kwa wote katika Makedonia na Akaiya ambao wanaamini.
Aussi êtes-vous devenus un modèle pour tous les croyants de la Macédoine et de l'Achaïe.
8 Kwa kuwa kutoka kwenu neno la Mungu limeenea kote, na si kwa Mekadonia na Akaiya peke yake. Badala yake, kwa kila mahali imani yenu katika Mungu imeenea kote. Na matokeo yake, hatuhitaji kusema chochote.
Car c'est de chez vous que la parole du Seigneur s'est fait entendre; et ce n'est pas seulement en Macédoine et en Achaïe, c'est partout que votre foi en Dieu a été connue; aussi n'avons-nous pas besoin d'en parler.
9 Kwa kuwa wao wenyewe wanaarifu ujio wetu ulikuwa wa namna gani kati yenu. Wanasimulia jinsi mulivyomgeukia Mungu kutoka katika sanamu na kumtumikia Mungu aliye hai na wa kweli.
Chacun raconte en parlant de nous comment vous nous avez reçus à notre arrivée, comment vous vous êtes convertis à Dieu, abandonnant les idoles pour le servir, lui, le Dieu vivant et vrai,
10 Walitoa habari kuwa mnamsubiri Mwana wake kutoka mbinguni, aliyefufuliwa kutoka kwa wafu. Na huyu ni Yesu, anayetuweka huru kutoka kwenye ghadhabu ijayo.
et pour attendre du haut des cieux son Fils qu'il a ressuscité des morts, Jésus, celui qui nous délivre de la colère à venir.