< 1 Wathesalonike 2 >

1 Kwa kuwa ninyi wenyewe mnajua, ndugu, kuwa ujio wetu kwenu haukuwa wa bure.
Albowiem wy sami wiecie, bracia! że przyjście nasze do was nie było próżne;
2 Mnajua kwamba mwanzoni tuliteseka na walitutenda kwa aibu kule Filipi, kama mujuavyo. Tulikuwa na ujasiri katika Mungu kunena injili ya Mungu hata katika taabu nyingi.
Ale chociażeśmy i przedtem cierpieli, i zelżeni byli (jako wiecie) w mieście Filipach, wszakże bezpiecznieśmy sobie poczęli w Bogu naszym, w opowiadaniu u was Ewangielii Bożej z wielkim bojem,
3 Kwa maana mahusia yetu hayatokani na ubaya, wala katika uchafu, wala katika hila.
Albowiem napominanie nasze nie było z oszukania, ani z nieczystości, ani z zdrady;
4 Badala yake, kama vile tulivyokubalika na Mungu na kuaminiwa injili, ndivyo tunenavyo. Tunanena, si kwa kuwafurahisha watu, lakini kumfurahisha Mungu. Yeye pekee ndiye achunguzaye mioyo yetu.
Ale jako nas Bóg sobie upodobał, żeby nam była zwierzona Ewangielija, tak mówimy, nie jako ludziom się podobając, ale Bogu, który sobie upodobywa serca nasze.
5 Kwa maana hatukutumia maneno ya kujipendekeza wakati wote wote, kama mjuavyo, wala ukutumia maneno kama kisingizio kwa tamaa, Mungu ni shahidi wetu.
Albowiem nigdyśmy nie używali mowy pochlebnej, jako wiecie; aniśmy pod zasłoną czego łakomstwu dogadzali; Bóg jest świadkiem;
6 Wala hatukutafuta utukufu kwa watu, wala kutoka kwenu au kwa wengine. Tungeweza kudai kupendelewa kama mitume wa Kristo.
Aniśmy szukali od ludzi chwały, ani od was, ani od inszych, mogąc wam być ciężkimi, jako Apostołowie Chrystusowi;
7 Badala yake tulikuwa wapole kati yenu kama mama awafarijivyo watoto wake mwenyewe.
Aleśmy byli skromnymi między wami, jako gdy mamka odchowuje dziatki swoje.
8 Kwa njia hii tulikuwa na upendo kwenu. Tulikuwa radhi kuwashirikisha si tu injili ya Mungu bali pia na maisha yetu wenyewe. Kwa kuwa mmekuwa wapendwa wetu.
Tak wam życzliwymi będąc, gotowiśmy byli użyczyć wam nie tylko Ewangielii Bożej, ale też i dusz naszych, dlatego iżeście nam miłymi byli.
9 Kwa kuwa ndugu, mnakumbuka kazi na taabu yetu. Usiku na mchana tulikuwa tukifanya kazi kusudi tusije tukamlemea yeyote. Wakati huo, tuliwahubiria injili ya Mungu.
Albowiem pamiętajcie, bracia! pracę naszę i trudy, gdyż w nocy i we dnie robiąc, abyśmy żadnego z was nie obciążyli, kazaliśmy u was Ewangielię Bożą.
10 Ninyi ni mashahidi, na Mungu pia, ni kwa utakatifu wa namna gani, haki, na bila lawama tulivyoenenda wenyewe mbele yenu mnaoamini.
Wyście świadkami i Bóg, żeśmy świętobliwie i sprawiedliwie, i bez nagany żyli między wami, którzyście uwierzyli.
11 Vivyo hivyo, mnajua ni kwa namna gani kwa kila mmoja wenu, kama baba alivyo kwa wanawe tulivyowahimiza na kuwatia moyo. Tulishuhudia
Jakoż wiecie, żeśmy każdego z was, jako ojciec dziatki swoje, napominali i cieszyli,
12 kwamba mlipaswa kuenenda kama ulivyo mwito wenu kwa Mungu, aliyewaita kwenye ufalme na utukufu wake.
I oświadczali się, abyście chodzili godnie Bogu, który was powołał do swego królestwa i do chwały.
13 Kwa sababu hiyo twamshukuru Mungu pia kila wakati. Kwa kuwa wakati mlipo pokea kutoka kwetu ujumbe wa Mungu mliosikia, mlipokea si kama neno la wanadamu. Badala yake, mlipokea kama kweli ilivyo, neno la Mungu. Ni neno hili ambalo linalofanya kazi kati yenu mnaoamini.
Przetoż i my dziękujemy Bogu bez przestanku, iż przyjąwszy słowo Boże, któreście słyszeli od nas, przyjęliście nie jako słowo ludzkie, ale (jako w prawdzie jest) jako słowo Boże, które też skuteczne jest w was, którzy wierzycie.
14 Kwa hivyo ninyi, ndugu, muwe watu wa kuiga makanisa ya Mungu yaliyoko katika Uyahudi katika Kristo Yesu. Kwa kuwa ninyi pia mliteseka katika mambo yale yale kutoka kwa watu wenu, kama ilivyo kuwa kutoka kwa wayahudi.
Albowiem wy, bracia! staliście się naśladowcami zborów Bożych, które są w żydowskiej ziemi, w Chrystusie Jezusie; boście i wy też cierpieli od ziomków waszych, jako i oni od Żydów.
15 walikuwa ni Wayahudi ndiyo waliomuua Bwana Yesu pamoja na manabii. Ni Wayahudi ambao walitufukuza tutoke nje. Hawampendezi Mungu na ni maadui kwa watu wote.
Którzy i Pana Jezusa zabili, i swoich własnych proroków, i nas wygnali, a Bogu się nie podobają, i wszystkim ludziom są przeciwni,
16 Walituzuia tusiseme na Mataifa ili wapate kuokolewa. Matokeo yake ni kwamba wanaendelea na dhambi zao. Mwisho ghadhabu imekuja juu yao.
Zabraniając nam, żebyśmy nie mówili poganom, żeby byli zbawieni, aby tak zawsze dopełniali grzechów swoich; albowiem przyszedł na nich gniew aż do końca.
17 Sisi, ndugu, tulikuwa tumetengana nanyi kwa muda mfupi, kimwili, si katika roho. Tulifanya kwa uwezo wetu na kwa shauku kuu kuona nyuso zenu.
Lecz my, bracia! będąc pozbawieni was na chwileczkę obliczem, nie sercem, tem pilniejśmy się starali oglądać oblicze wasze z wielką żądnością.
18 Kwa kuwa tulitaka kuja kwenu, mimi Paulo, kwa mara moja na mara nyingine, lakini shetani alituzuia.
Dlategośmy chcieli przyjść do was (zwłaszcza ja Paweł) i raz, i drugi; ale nam przekaził szatan.
19 Kwa kuwa kujiamini kwetu ni nini kwa baadaye, au furaha, au taji ya kujivunia mbele za Bwana wetu Yesu wakati wa kuja kwake? Je si ninyi zaidi kama walivyo wengine?
Albowiem któraż jest nadzieja nasza, albo radość, albo korona chluby? Izali nie wy przed oblicznością Pana naszego, Jezusa Chrystusa w przyjście jego?
20 Kwa kuwa ninyi ni utukufu na furaha yetu.
Wy zaiste jesteście chwałą naszą i radością.

< 1 Wathesalonike 2 >