< 1 Wathesalonike 2 >

1 Kwa kuwa ninyi wenyewe mnajua, ndugu, kuwa ujio wetu kwenu haukuwa wa bure.
Kwa mana mwenga mwabene mutangite, alongo, kuwa ujio witu kwinu ubile kwaa wa bure.
2 Mnajua kwamba mwanzoni tuliteseka na walitutenda kwa aibu kule Filipi, kama mujuavyo. Tulikuwa na ujasiri katika Mungu kunena injili ya Mungu hata katika taabu nyingi.
Mutangite panga mwanzoni twatiteseka na batutenda kwa oni kolyo Filipi, kati mutangite. Tubile na ujasiri katika Nnongo longela injili ya Nnongo longela injili ya Nnongo hata katika taabu zanyansima.
3 Kwa maana mahusia yetu hayatokani na ubaya, wala katika uchafu, wala katika hila.
Kwa mana mahusia yitu yatokana kwaa na ubaya. wala katika uchafu, wala katika hila.
4 Badala yake, kama vile tulivyokubalika na Mungu na kuaminiwa injili, ndivyo tunenavyo. Tunanena, si kwa kuwafurahisha watu, lakini kumfurahisha Mungu. Yeye pekee ndiye achunguzaye mioyo yetu.
Badala yake, kati twatiyeketilwa na Nnongo na aminiya injili, nga nyoo tulongela. Twabaya, kwa kubapuraisha kwaa bandu, lakini kumpuraisha Nnongo. Ywembe kichake nga achunguzaye mioyo yitu.
5 Kwa maana hatukutumia maneno ya kujipendekeza wakati wote wote, kama mjuavyo, wala ukutumia maneno kama kisingizio kwa tamaa, Mungu ni shahidi wetu.
Kwa mana twatumiya kwaa maneno ga kujipendekeza muda wote, kati ya mutangite, wala watimiya maneno kati kisingizio kwa tamaa, Nnongo ni shahidi witu.
6 Wala hatukutafuta utukufu kwa watu, wala kutoka kwenu au kwa wengine. Tungeweza kudai kupendelewa kama mitume wa Kristo.
Wala tuupalike kwaa utukufu kwa bandu, wala boka kwinu au kwa benge. Twaweza kudai pandelelwa kati mitume ba Kristo.
7 Badala yake tulikuwa wapole kati yenu kama mama awafarijivyo watoto wake mwenyewe.
Badala yake twabile apole kati yinu kati mao ywaabafairijia bana bake bene.
8 Kwa njia hii tulikuwa na upendo kwenu. Tulikuwa radhi kuwashirikisha si tu injili ya Mungu bali pia na maisha yetu wenyewe. Kwa kuwa mmekuwa wapendwa wetu.
Kwa ndela yee tubile ni upendo kwinu. Tubile radhi kubashirikisha na injili kwaa kae ya Nnongo ila na maisha yitu mwabene. Kwa kuwa mubile apendwa witu.
9 Kwa kuwa ndugu, mnakumbuka kazi na taabu yetu. Usiku na mchana tulikuwa tukifanya kazi kusudi tusije tukamlemea yeyote. Wakati huo, tuliwahubiria injili ya Mungu.
Kwa kuwa alongo, mwendakombokya kazi na taabu yitu. Kilo ni mutwekati tubile twapanga kazi kusudi tuise kwaa kunlemeya yeyote. Wakati woo, twabahubiria injili ya Nnongo.
10 Ninyi ni mashahidi, na Mungu pia, ni kwa utakatifu wa namna gani, haki, na bila lawama tulivyoenenda wenyewe mbele yenu mnaoamini.
Menga mwa mashahidi, na Nnongo kae, ni kwa utakatifu wa namna gani, haki, na lawama ntopo yatuenenda bene nnongi yinu ywa mumwaminiya.
11 Vivyo hivyo, mnajua ni kwa namna gani kwa kila mmoja wenu, kama baba alivyo kwa wanawe tulivyowahimiza na kuwatia moyo. Tulishuhudia
Nyo nyo nyo mutangite ni kwa namna gani kwa kila yumo winu, kati tate yaabile kwa bana bake yatubahimiza na kubatia mwoyo. Twashuhudia.
12 kwamba mlipaswa kuenenda kama ulivyo mwito wenu kwa Mungu, aliyewaita kwenye ufalme na utukufu wake.
Panga mupalikwe yenda kati yaubile mwito winu kwa Nnongo, ywaabakemile mu'ufalme na utukufu bake.
13 Kwa sababu hiyo twamshukuru Mungu pia kila wakati. Kwa kuwa wakati mlipo pokea kutoka kwetu ujumbe wa Mungu mliosikia, mlipokea si kama neno la wanadamu. Badala yake, mlipokea kama kweli ilivyo, neno la Mungu. Ni neno hili ambalo linalofanya kazi kati yenu mnaoamini.
Kwa sababu yoo twamshukuru Nnongo kila wakati. Kwa mana muda mupkii boka kwitu ujumbe ba Nnongo yamuyowine, muipokii kati kwaa neno lya bandu. Badala yake, muipokii kati kweli yaibile, neno lya Nnongo. Ni neno lee lya lipanga kazi kati yinu mwamuaminiya.
14 Kwa hivyo ninyi, ndugu, muwe watu wa kuiga makanisa ya Mungu yaliyoko katika Uyahudi katika Kristo Yesu. Kwa kuwa ninyi pia mliteseka katika mambo yale yale kutoka kwa watu wenu, kama ilivyo kuwa kutoka kwa wayahudi.
Kwa nyoo mwenga, alongo, mube bandu ba kuiga makanisa ga Nnongo yabile katika Uyahudi katika Kristo Yesu. Kwa mana mwenga mutesilwe kae katika makowe yale yale kwa bandu winu, mana ibile kuwa boka kwa ayahudi.
15 walikuwa ni Wayahudi ndiyo waliomuua Bwana Yesu pamoja na manabii. Ni Wayahudi ambao walitufukuza tutoke nje. Hawampendezi Mungu na ni maadui kwa watu wote.
Babile na Ayahudi nga batiamua Ngwana Yesu pamope na manabii. Ni Ayahudi ambao batitufukuza tuboke panja. Pambendeza kwaa Nnongo na ni maadui kwa bandu boti.
16 Walituzuia tusiseme na Mataifa ili wapate kuokolewa. Matokeo yake ni kwamba wanaendelea na dhambi zao. Mwisho ghadhabu imekuja juu yao.
Batitukenga tubaye kwaa na maarifa ili bapate kulopolwa. Matokeo gake ni panga batiyendelya na sambi zabembe. Mwisho ghadhabu yatiisa nnani yabe.
17 Sisi, ndugu, tulikuwa tumetengana nanyi kwa muda mfupi, kimwili, si katika roho. Tulifanya kwa uwezo wetu na kwa shauku kuu kuona nyuso zenu.
Twenga, alongo, tubile twatitengana ni mwenga kwa muda mwipi, kwa yega, katika roho kwaa. Tupanga kwa uwezo witu na kwa shauku ngolo kubona minyo yinu.
18 Kwa kuwa tulitaka kuja kwenu, mimi Paulo, kwa mara moja na mara nyingine, lakini shetani alituzuia.
Kwa mana tupala kuisa, nenga Paulo, kwa mara jimo na mara yenge, lakini nchela alituzuia.
19 Kwa kuwa kujiamini kwetu ni nini kwa baadaye, au furaha, au taji ya kujivunia mbele za Bwana wetu Yesu wakati wa kuja kwake? Je si ninyi zaidi kama walivyo wengine?
Kwa mana kujiamini kwitu ni namani kwa baadaye, au puraha, au taji ya kuipunia nnongi ya Ngwana witu Yesu wakati wa kuisa kwake? Je mwenga kwaa zaidi kati babile benge?
20 Kwa kuwa ninyi ni utukufu na furaha yetu.
Kwa mana mwenga ni utukufu na puraha yitu.

< 1 Wathesalonike 2 >