< 1 Wathesalonike 2 >

1 Kwa kuwa ninyi wenyewe mnajua, ndugu, kuwa ujio wetu kwenu haukuwa wa bure.
Ninia fi dunu! Dilia dawa: ! Ninia dilima misini, udigili hame hawa: hamosu.
2 Mnajua kwamba mwanzoni tuliteseka na walitutenda kwa aibu kule Filipi, kama mujuavyo. Tulikuwa na ujasiri katika Mungu kunena injili ya Mungu hata katika taabu nyingi.
Ninia da Desalounaiga moilai bai bagadega hame doaga: le, Filibai moilai bai bagade amo ganodini dunu eno da ninima se bagade iasu amola ninima lasogole sia: su, amo dilia dawa: Amola Desalounaiga moilai bai bagade ganodini, dunu eno da ninima bagadewane gegesu. Be Gode da nini fidibiba: le, ninia da mae beda: iwane Gode Sia: Ida: iwane Gala, Gode olelesu liligi, amo dilima olelei.
3 Kwa maana mahusia yetu hayatokani na ubaya, wala katika uchafu, wala katika hila.
Ninia da moloi hame sia: o dilia hou wadela: ma: ne sia: o ogogosu sia: , amo dilima olelemusa: hame dawa: i.
4 Badala yake, kama vile tulivyokubalika na Mungu na kuaminiwa injili, ndivyo tunenavyo. Tunanena, si kwa kuwafurahisha watu, lakini kumfurahisha Mungu. Yeye pekee ndiye achunguzaye mioyo yetu.
Ninia da osobo bagade dunu ilia ge noga: ma: ne hame olelesa. Be Gode da ninia hou abodesa. Amaiba: le, ninia da Gode Ea hanai liligi fawane eso huluane olelesa. Bai Gode da ninia Ea Sia: Ida: iwane olelema: ne, ninia hou defele dawa: beba: le, ninima ilegei.
5 Kwa maana hatukutumia maneno ya kujipendekeza wakati wote wote, kama mjuavyo, wala ukutumia maneno kama kisingizio kwa tamaa, Mungu ni shahidi wetu.
Gode da ninima ba: su Dunu esala. Dilia dawa: loba, nini da dabua hahayafuli hame sia: na misi. Amola ninia uasu hou dedeboma: ne sia: ga fawane hame olelei.
6 Wala hatukutafuta utukufu kwa watu, wala kutoka kwenu au kwa wengine. Tungeweza kudai kupendelewa kama mitume wa Kristo.
Ninia da dili amola eno dunu, ninima nodoma: ne sia: musa: hame olelei.
7 Badala yake tulikuwa wapole kati yenu kama mama awafarijivyo watoto wake mwenyewe.
Be ninia da Gelesu Ea asunasi dunu hamoiba: le, dilima bidi lamu da defea galu. Be ame da ea manoma asigi gebewane hou hamosa, amo defele ninia da dilima gilisisia, dilima asigi gebewane hou hamosu.
8 Kwa njia hii tulikuwa na upendo kwenu. Tulikuwa radhi kuwashirikisha si tu injili ya Mungu bali pia na maisha yetu wenyewe. Kwa kuwa mmekuwa wapendwa wetu.
Ninia da dilima bagadewane asigiba: le, ninia da Gode Ea Sia: Ida: iwane gala dilima olelei. Be amo baligili, ninia da ninia esalusu amola dili gilisili lama: ne, dilima imunusa: dawa: i galu. Dafawane, ninia da dilima bagadewane asigi galu.
9 Kwa kuwa ndugu, mnakumbuka kazi na taabu yetu. Usiku na mchana tulikuwa tukifanya kazi kusudi tusije tukamlemea yeyote. Wakati huo, tuliwahubiria injili ya Mungu.
Ninia mae helefili bagadewane hawa: hamonanu, amo dilia dawa: be na da dawa: lala. Ninia da eso amola gasi ganodini mae yolesili, dilima wali esaloma: ne liligi mae lale hamosu. Ninia da Gode Ea Sia: Ida: iwane dilima olelesu.
10 Ninyi ni mashahidi, na Mungu pia, ni kwa utakatifu wa namna gani, haki, na bila lawama tulivyoenenda wenyewe mbele yenu mnaoamini.
Dilia amola Gode, da ninia ba: su dunu agoane. Ninia dilima hou hamoi da ledo hamedei, ida: iwane amola wadela: i hame ba: su.
11 Vivyo hivyo, mnajua ni kwa namna gani kwa kila mmoja wenu, kama baba alivyo kwa wanawe tulivyowahimiza na kuwatia moyo. Tulishuhudia
Ninia da ada da ea mano amoma hou hamosa, amo defele dili afae afae amoma hamoi dagoi.
12 kwamba mlipaswa kuenenda kama ulivyo mwito wenu kwa Mungu, aliyewaita kwenye ufalme na utukufu wake.
Ninia dili dogo denesima: ne fidisu. Gode da dilima Ea Hinadafa Hou amola Hadigidafa Hou gilisili lama: ne, Ema misa: ne sia: i dagoi. Amaiba: le, ninia da Gode dili hahawane dogolegele ba: ma: ne, dili noga: le esaloma: ne dilima ha: giwane sia: nanu.
13 Kwa sababu hiyo twamshukuru Mungu pia kila wakati. Kwa kuwa wakati mlipo pokea kutoka kwetu ujumbe wa Mungu mliosikia, mlipokea si kama neno la wanadamu. Badala yake, mlipokea kama kweli ilivyo, neno la Mungu. Ni neno hili ambalo linalofanya kazi kati yenu mnaoamini.
Be ninia Godema nodosu da bai eno gala. Ninia da Gode Sia: dilima olelebeba: le, dilia da amo sia: da osobo bagade dunu ilia sia: mae dawa: le, amo da Gode Ea Sia: dafa (dafawane amo da Gode Ea Sia: ) dilia dafawaneyale dawa: beba: le, lalegagui dagoi. Gode da dilia dogo ganodini hawa: hamonanebeba: le, dilia da lalegagui.
14 Kwa hivyo ninyi, ndugu, muwe watu wa kuiga makanisa ya Mungu yaliyoko katika Uyahudi katika Kristo Yesu. Kwa kuwa ninyi pia mliteseka katika mambo yale yale kutoka kwa watu wenu, kama ilivyo kuwa kutoka kwa wayahudi.
Ninia fi dunu! Musa: , Yu fi dunu Yudia soge ganodini esalu mogili da Yesu Gelesu Ea hou lalegaguli, Yesu Ea fa: no bobogesu fi hamoi. Yu dunu da Yudia soge Gode fi dunuma se bagade iasu. Amo hou ilima doaga: i defele, dilima doaga: i. Dilia fi dunu amolawane da Yu dunu defele, dilima se bagade iasu.
15 walikuwa ni Wayahudi ndiyo waliomuua Bwana Yesu pamoja na manabii. Ni Wayahudi ambao walitufukuza tutoke nje. Hawampendezi Mungu na ni maadui kwa watu wote.
Yu dunu da Hina Gode Yesu amola musa: balofede dunu medole legei dagoi. Amola ilia ninima se bagade iasu. Gode da amo dunu hahawane hame ba: sa. Ilia da dunu huluanema ha laiwane esala.
16 Walituzuia tusiseme na Mataifa ili wapate kuokolewa. Matokeo yake ni kwamba wanaendelea na dhambi zao. Mwisho ghadhabu imekuja juu yao.
Gode Ea Sia: da Dienadaile dunu ilima gaga: su gaguli maha. Be Yu dunu da ha labeba: le, ninia da amo sia: Dienadaile dunuma olelemusa: dawa: loba, ilia ninia logo hedofamusa: dawa: i galu. Amo hamobeba: le, ilia da eso huluane wadela: le hamonanu amola waha ilia wadela: i hou da nabaidafa ba: sa. Amola Gode Ea ougi fofada: su hou da musa: hedolo hame, be waha ilima doaga: i dagoi.
17 Sisi, ndugu, tulikuwa tumetengana nanyi kwa muda mfupi, kimwili, si katika roho. Tulifanya kwa uwezo wetu na kwa shauku kuu kuona nyuso zenu.
Ninia fi dunu! Ninia da dilima fonobahadi afafaiba: le (ania da: i da afafai be ania asigi dawa: su da gilisi ba: i.) ninia da dilima bagadewane fofagiba: le, dilia odagi bu ba: musa: logo hogoi helei.
18 Kwa kuwa tulitaka kuja kwenu, mimi Paulo, kwa mara moja na mara nyingine, lakini shetani alituzuia.
Ninia dilima bu masusa: dawa: i galu. Na nisu eso bagohame dilima bu masusa: logo hogoi helei, be Sa: ida: ne da na logo damui.
19 Kwa kuwa kujiamini kwetu ni nini kwa baadaye, au furaha, au taji ya kujivunia mbele za Bwana wetu Yesu wakati wa kuja kwake? Je si ninyi zaidi kama walivyo wengine?
Dilia da noga: le hamoiba: le, ninia da dilima hahawane bagade gala. Yesu Gelesu da bu masea, ninia da dilia hou hidale agoane amola hahawane Ema adole imunusa: dawa: lala. Eno dunu ilia hou da dili hou hame baligisa.
20 Kwa kuwa ninyi ni utukufu na furaha yetu.
Dafawane! Ninia da dilia hou dawa: sea, hidale amola nodone dawa: lala.

< 1 Wathesalonike 2 >