< 1 Wathesalonike 1 >

1 Paulo, Silwano na Timotheo kwa kanisa la Wathesalonike katika Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo. Neema na amani iwe nanyi.
Paulusi, Silvanus, ni Timotea ku nkereke i vena Matesolonika mwe Ireza Ishetu ni Simwine Jesu Keresite. Chishemo ni nkozo zive nenwe.
2 Tunatoa shukrani kwa Mungu kila mara kwa ajili yenu nyote, wakati tunapowataja katika maombi yetu.
Inako yonse tuha vu itumero kwa Ireza chenu mwense, chi tu mi sumpa mu ntapero.
3 Tunaikumbuka bila kukoma mbele ya Mungu na baba yetu kazi yenu ya imani, juhudi ya upendo, na uvumilivu wenye ujasiri kwa ajili ya baadaye katika Bwana Yesu Kristo.
Tu zeza cha ku sa siya havusu vwa Ireza wetu ni Isi mitendo yenu ye ntumero, mutendo ye rato, ni kuliverera kwe nsepo kwa ku vusu mwa Simwine wetu Jesu Keresite.
4 Ndugu Mnaopendwa na Mungu, tunajua wito wenu.
Mizwale va sakiiwa kwa Ireza, twizi ku sumpwa kwenu,
5 Na jinsi injili yetu ilivyokuja kwenu si kwa neno tu, bali pia katika nguvu, katika Roho Mtakatifu, na katika uhakika. Kwa namna hiyo, mnajua pia sisi tulikuwa watu wa namna gani miongoni mwenu kwa ajili yenu.
mu iveziri ivangeli yetu kwenu isiñi mu liinzwi feela, kono hape ni mu maata, mu Luhoho lu Jolola, ni mu initifazo tota. Mu nzila iswana, nemwe hape mufuta nzi wa vantu mutu ve kalile mu kati kenu ke vaka lyenu.
6 Mlikuwa watu wa kutuiga sisi na Bwana, kama mlivyopokea neno katika taabu kwa furaha itokayo kwa Roho Mtakatifu.
Mu va sanduki valikanyisi vetu ni vwa Simwine, sina ha muva tambuli liinzwi cha vukukutu ni nyakalalo izwa ku Luhuho lu Jolola.
7 Na matokeo yake, mkawa mfano kwa wote katika Makedonia na Akaiya ambao wanaamini.
Ku mamani mani mu va sanduki mutala ku vonse mwa Sedoniya ni Achiya va zumina.
8 Kwa kuwa kutoka kwenu neno la Mungu limeenea kote, na si kwa Mekadonia na Akaiya peke yake. Badala yake, kwa kila mahali imani yenu katika Mungu imeenea kote. Na matokeo yake, hatuhitaji kusema chochote.
Mukuti kuzwa kwenu liinzwi lya Ireza li va lili hanze, mi insiñi feela mwa Masedoniya ni Achiya. Konohe, ni ku chimwi ni chimwi civaka i ntumero yenu mwa Ireza mu iva hiti. Ma mani mani, katu suni ku wamba cimwi.
9 Kwa kuwa wao wenyewe wanaarifu ujio wetu ulikuwa wa namna gani kati yenu. Wanasimulia jinsi mulivyomgeukia Mungu kutoka katika sanamu na kumtumikia Mungu aliye hai na wa kweli.
Kakuli avo vene va viha mwiziro u tu vena mukati kenu. Va mu rwilwa mu mu veziri kwa Ireza kuzwa ku siswaniso ku tendera yo hala ni we niti Ireza.
10 Walitoa habari kuwa mnamsubiri Mwana wake kutoka mbinguni, aliyefufuliwa kutoka kwa wafu. Na huyu ni Yesu, anayetuweka huru kutoka kwenye ghadhabu ijayo.
Va viha kuti mu lindire Mwanakwe kuzwa kwi wulu, yava vuusi ku va fwire. Uzu nji Jesu, u lukulula iswe ku vukali vu kezite.

< 1 Wathesalonike 1 >