< 1 Samweli 9 >

1 Basi kulikuwa na mtu mmoja kutoka Benyamini, mtu mashuhuri. Jina lake aliitwa Kishi mwana wa Abieli, mwana wa Zerori, mwana wa Bekorathi, mwana wa Afia, mwana wa Mbenyamini.
Имаше човек от Вениамина на име Кис, син на Авиила, Сина на Серора, син на Вехората, син на Афия, човек вениаминец, силен и храбър.
2 Huyu alikuwa na mtoto wa kiume aliyeitwa Sauli, kijana mzuri wa uso. Hapakuwapo mwanaume mzuri wa uso kuliko huyu miongoni mwa watu wote wa Israeli. Kutoka mabegani kwenda juu alikuwa mrefu kuliko watu wengine.
А той имаше син не име Саул, отборен и твърде красив; между израилтяните нямаше човек по-красив от него; от рамената си и нагоре беше по-висок от всичките люде.
3 Na punda wa Kishi, baba yake na Sauli walipotea. hivyo Kishi akamwambia Sauli mwanawe, “Mchukue mmoja wa watumishi; uamke uende kuwatafuta punda,”
И ослиците на Сауловия баща се изгубиха; затова Кис каза на сина си Саула: Вземи сега със себе си един от слугите и стани та иди да търсиш ослиците.
4 Sauli akapita katika nchi ya vilima vilima ya Efraimu na akaenda akapita katika nchi ya Shalisha, lakini hawakuwaona. Kisha walipita katika nchi ya Shaalimu, lakini hawakuwa huko. Baadaye alipita katika nchi ya Wabenyamini, lakini hawakuwaona wale punda.
И тъй, той мина през Ефремовата хълмиста земя, мина и през земята Салиса, но не ги намериха; после мина през земята Саалим, но и там ги нямаше; и заминаха през Вениаминовата земя, но не ги намериха.
5 Na walipofika nchi ya Sufu, Sauli alimwambia mtumishi wake aliyekuwa naye, “Njoo na turudi, pengine baba aweza kuacha kuchunga punda na kuanza kutuhofia sisi.”
А когато дойдоха в земята Суф, Саул каза на слугата, който беше с него: Ила да се върнем; да не би баща ми да престане да се грижи за ослиците, и да започне да мисли за нас.
6 Lakini mtumishi akamwmbia, “Sikiliza, Yupo mtu wa Mungu katika mji huu. Naye ni mtu wa kuheshimiwa sana; kila asemalo huwa kweli. Hebu twende huko; labda anaweza kutuambia tupitie wapi katika safari yetu.”
А той му рече: Ето в тоя град има Божий човек, човек, който е на почит; всичко що казва непременно се сбъдва; да идем, прочее, там, негли би могъл да ни каже нещо за това, поради което пътуваме.
7 Ndipo Sauli akamwambia mtumish iwake, “Lakini kama tukienda kwake, twaweza kumpelekea nini? Maana hata mkate katika mfuko wetu umekwisha, na hakuna zawadi ya kumpelekea mtumishi wa Mungu. Tuna kitu gani?
И Саул каза на слугата си: Но ако отидем, какво да занесем на човека? защото хлябът в съдовете ни се свърши, и няма подарък да занесем на Божия човек. Що имаме?
8 Huyo mtumishi akamjibu Sauli na kusema, “Hapa, ninayo robo ya shekeli ya fedha ambayo nitampa mtumishi wa Mungu, atuambie ni njia ipi yatupasa tuiendee.”
И слугата пак отговори на Саула, казвайки: Ето в ръката ми се намира четвърт сребърен сикъл, който ще дам на Божия човек, за да ни каже пътя.
9 (Zamani katika Israeli, mtu alipotaka kujua neno kuhusu mapenzi ya Mungu, alisema, “Njoo, haya twende kwa mwonaji.” Kwa maana nabii wa leo, zamani aliitwa Mwonaji).
(В старо време в Израиля, когато някой отиваше да се допита до Бога, думаше така: Елате, да идем при гледача; защото оня, който се нарича пророк, се наричаше по-напред гледач).
10 Ndipo Sauli akamwambia mtumishi wake, “Umesema vyema. Haya, njoo twende.” Basi wakaenda katika mji ambao mtu wa Mungu alikuwamo.
Тогава Саул каза на слугата си: Добре казваш; ела да идем. И тъй отидоха в града, гдето беше Божият човек.
11 Walipopanda mlima kuelekea mjini, walikutana na wasichana wakienda kuteka maji; Sauli na mtumishi wake wakawauliza, “Mwonaji hupo hapa?”
И като се изкачваха по нагорнището към града, намериха моми излезли да налеят вода и казаха им: Тук ли е гледачът?
12 Nao wakawajibu, na kusema, “Yupo; tazameni, yuko mbele yenu. Harakisheni, kwa maana anakuja mjini leo, sababu leo watu wanatoa dhabihu zao mahali pa juu.
А те в отговор казаха им: Тук е; ето го пред тебе; побързай сега, защото днес дойде в града, понеже людете имат днес жертва на високото място.
13 Mara tu mtakapoingia mjini mtamuona, kabla hajapanda mahali pa juu kla chakula. Watu hawatakula hata atakapokuja, kwa sababu ndiye ataibariki dhabihu; na baadaye wale ambao wamealikwa hula. Basi pandeni, mtamuona sasa hivi.”
Щом възлезете в града, ще го намерите преди да се изкачи на високото място да яде; защото людете не ядат до като не дойде той, понеже той благославя жертвата; след това поканените ядат. И тъй, качете се сега, защото около тоя час ще го намерите.
14 Kwa hiyo walikwea kwenda mjini. Walipokuwa wakiingia mjini, walimuona Samweli akija mbele yao, akipanda kwenda mahali pa juu.
Прочее, те се изкачиха към града; и като влизаха в града, ето Самуил излизаше насреща им, за да се изкачи на високото място.
15 Siku moja kabla Sauli hajafika, BWANA alikuwa amemfunulia Samweli:
А Господ беше открил на Самуила, един ден преди да дойде Саул, като беше казал:
16 “Kesho wakati kama huu nitakutumia mtu kutoka nchi ya Benyamini, nawe utamtia mafuta awe mfalme juu ya watu wangu Israeli. Atawaokoa watu wangu kutoka mkono wa Wafilisti. Kwa kuwa nimewaonea huruma watu wangu na kilio cha kutaka msaada kimenifikia.”
Утре около тоя час ще изпратя до тебе човек от Вениаминовата земя; него да помажеш княз над людете Ми Израиля, и той ще избави людете Ми Израиля, и той ще избави людете Ми от ръката на филистимците; защото Аз погледнах благосклонно към людете Си, понеже викът им стигна до Мене.
17 Samweli alipomuona Sauli, BWANA akamwambia, “Huyu ndiye mtu niliyekwambia habari zake! Yeye ndiye atakayewatawala watu wangu.”
И когато Самуил видя Саула, Господ му рече: Ето човекът, за когото ти говорих! Той ще началствува над людете Ми.
18 Ndipo Sauli akaja karibu na Samweli katika lango na kusema, “Niambie nyumba ya Mwonaji iko wapi?
В същото време Саул се приближи до Самуила в портата и каза: Покажи ми, моля, где е къщата на гледача.
19 Samweli akamjibu Sauli akisema, “Mimi ndiye mwonaji. Tangulia mbele hadi mahali pa juu, nami nitakueleza kila kitu kilichomoyoni mwako.
И Самуил в отговор рече на Саула: Аз съм гледачът; изкачвай се пред мене на високото място, за да ядете днес с мене; а утре ще те изпратя, и ще ти явя всичко, що имаш на сърцето си.
20 Kama punda wenu waliopotea siku tatu zilizopita, msihofu kuhusu hao punda, kwa kuwa wamekwishapatikana. Na yote yaliyotamanika kwa ajili ya Israeli yanamwangukia nani? Siyo kwako na nyumba ya baba yako yote?”
А колкото за ослиците ти, които се изгубиха преди три дена, нямай грижа за тях, защото се намериха. И към кого е всичкото желание на Израиля? не е ли към тебе и към целия дом на баща ти?
21 Sauli akamjibu na kusema, Siyo mimi Mbenyamini, kutoka kabila lililo dogo sana kwa makabila ya Israeli? Siyo ukoo wangu ulio mdogo sana kwa kabila la Benyamini? Kwa nini basi unaniambia kwa namna hii?”
А Саул в отговор рече: Не съм ли аз Вениаминец, от най-малкото от Израилевите племена? и не е ли семейството ми най-малко от всичките семейства на Вениаминовото племе? Защо, прочее, ми говориш по тоя начин?
22 Hivyo Samweli akamchukua Sauli na mtumishi wake, akawaingiza ukumbini, akawakalisha mahali pa heshima pa wale walioalikwa, idadi yao takribani watu thelathini.
А Самуил взе Саула и слугата му та ги въведе в гостната стая, и даде им първото място между поканените, които бяха около тридесет души.
23 Samweli akamwambia mpishi, “Lete sehemu niliyokupatia, sehemu ambayo nilikwambia hivi, “Itenge.”'
Тогава Самуил каза на готвача: Донеси дела, който ти дадох, за който ти рекох: Пази това при себе си.
24 Basi mpishi alichukua paja lililokuwa limeinuliwa katika dhabihu na kile kilichokuwa pamoja nalo, akaitenga mbele ya Sauli. Kisha Samweli akasema, “Angalia kile kilichokuwa kimetunzwa kwa ajili yako! Kula, kwa sababu kilitunzwa hadi wakati maalum ufike kwa ajili yako. Na kwa sasa waweza kusema, 'Nimewaalika watu.”' Kwa hiyo Sauli alikula pamoja na Samweli siku hiyo.
И така, готвачът дигна бедрото и онова, що беше върху него та го сложи пред Саула. И Самуил рече: Ето запазеното; тури го пред себе си та яж, защото за тоя час то е било запазено за тебе след като рекох, че ще поканя людете. И тъй Саул яде със Самуила в оня ден.
25 Walipokuwa wamekwisha shuka chini kutoka sehemu ya juu na kuingia mjini, Samweli akazungumza na Sauli darini.
И като слязоха от високото място в града, Самуил се разговори със Саула на къщния покрив.
26 Na kulipopambazuka, Samweli alimwita Sauli darini na kusema, “Amka, kusudi nikusindikize uende zako,” Hivyo Sauli aliamka, na wote wawili, yeye na Samweli walitoka kwenda mtaani.
И станаха рано; и около зазоряване Самуил повика Саула на къщния покрив, казвайки: Стани да те изпратя. И Саул стана, та излязоха вън двамата, той и Самуил.
27 Walipokuwa wakienda nje ya viunga vya mji, Samweli akamwambia Sauli, “Mwambie mtumishi wako atanguliye mbele yetu(na alitangulia mbele), Lakini wewe sharti usubiri kidogo, nipate kukuambia ujumbe wa Mungu.”
А като слизаха към градския край, Самуил каза на Саула: Заповядай на слугата да замине пред нас, (и той замина); а ти постой малко, за да ти известя Божието слово.

< 1 Samweli 9 >