< 1 Samweli 8 >
1 Samweli alipozeeka, aliwaweka watoto wake wawe waamuzi juu ya Israeli.
И бысть егда состареся Самуил, и постави сыны своя судити Израилеви.
2 Mtoto wake wa kwanza aliitwa Yoeli, na mtoto wake wa pili aliitwa Abiya. Hawa walikuwa waamuzi katika Bersheba.
И сия имена сыном его: первенец Иоиль, и имя второму Авиа, судии в Вирсавеи.
3 Watoto wake hawakuenenda katika njia za baba yao, bali walipiga mbio kutafuta mapato ya udhalimu. Walipokea rushwa na na kupotosha hukumu.
И не поидоша сынове его путем его: и уклонишася вслед лихоимания, и приимаху дары, и развращаху суды.
4 Ndipo wazee wote wa Israeli walikutana pamoja na kumwendea Samweli huko Rama.
И собрашася мужие Израилевы, и приидоша к Самуилу во Армафем
5 Wakamwambia, “Angalia, wewe umekuwa mzee, na watoto wako hawaenendi katika njia zako. Tuchagulie mfalme wakutuamua kama yalivyo mataifa yote.”
и реша ему: се, ты состарелся еси, сынове же твои не ходят по пути твоему: и ныне постави над нами царя, да судит ны, якоже и прочии языки.
6 Lakini haikumpendeza Sameli waliposema, “Utupatie mfalme wa kutuamua.” Hivyo akamwomba BWANA.
И бысть лукав глагол пред очима Самуиловыма, яко реша: даждь нам царя, да судит ны. И помолися Самуил ко Господу.
7 Na BWANA akamwambia Samweli, “Sikiliza sauti ya watu kwa kila jambo wanalokwambia; kwa sababu hwajakukataa wewe, bali wamenikataa mimi nisiwe mfalme wao.
И рече Господь Самуилу: послушай гласа людий, якоже глаголют к тебе, яко не тебе уничижиша, но Мене уничижиша, еже не царствовати Ми над ними:
8 Sasa wanafanya kama vile walivyotenda tangu siku ile nilipowatoa huko Misri, kwa kuniacha, na kuwatumikia miungu mingine, na ndivyo hivyo pia wanakufanyia na wewe.
по всем делом, яже сотвориша Ми, от негоже дне изведох их из земли Египетски до днешняго дне, и оставиша Мя, и послужиша богом иным, тако тии творят и тебе:
9 Basi sasa uwasikilize; lakini uwaonye sawasawa na uwafahamishe tabia ya mfalme atakaye waongoza.
и ныне послушай гласа их: обаче засвидетелствуя засвидетелствуеши им и возвестиши им правду цареву, иже царствовати будет над ними.
10 Kwa hiyo Samweli akawaambia watu waliokuwa wakiomba mfalme maneno yote ya BWANA.
И рече Самуил вся словеса Господня к людем просящым от него царя,
11 Akasema, “Hivi ndivyo jinsi mfalme atakavyowatawala.
и глагола (им): сие будет оправдание царево, иже царствовати имать над вами: сыны вашя возмет и поставит я колесничники своя, и на кони всадит их, и предтекущих пред колесницами его:
12 Atawachukua watoto wenu wa kiume na kuwaweka juu ya magari ya vita na kuwa wapanda farasi wake, na kukimbia mbele ya magari yake. Atawaweka ma- kapteni wake juu ya maelfu ya askari, na ma-kapteni juu ya askari hamsini. Wengine atawafanya wakulima wamashamba yake, wengine wavunaji wa mazao yake, wengine watatengeneza silaha zake na zana za magari yake.
и поставит я себе сотники и тысящники и жателми жатвы своея, и оымут оыманием гроздия его, и творити орудия воинская его и орудия колесниц его:
13 Naye atawachukua binti zenu kuwa watengeneza manukato, wapishi, na waoka mikate.
и дщери вашя возмет в мироварницы и в поварницы и в хлебницы:
14 Atachukua mashamba yenu mazuri, mashamba ya mizabibu, na yale ya mizeituni na kuwapa watumishi wake.
и села ваша и винограды вашя и масличины вашя благия возмет и даст рабом своим:
15 Atachukua moja ya kumi ya nafaka zenu na mizabibu na na kuwapa maofisa na watumishi wake.
и семена ваша и винограды вашя одесятствует и даст скопцем своим и рабом своим:
16 Atawachukua watumwa wenu na wajakazi wenu na vijana wenu waliowazuri na punda wenu; atawatumikisha wote kwa ajili yake.
и рабы вашя и рабыни вашя и стада ваша благая и ослы вашя отимет и одесятствует на дела своя:
17 Atawatoza moja ya kumi ya mifugo yenu, na mtakuwa watumwa wake.
и пажити вашя одесятствует, и вы будете ему раби:
18 Ndipo mtalia siku ile kwa sababu ya mfalme wenu mliyemchagua kwa ajili yenu; lakini siku ile BWANA hatawajibu
и возопиете в день он от лица царя вашего, егоже избрасте себе, и не услышит вас Господь в день он, яко вы сами избрасте себе царя.
19 Lakini watu walikataa kumsikiliza Samweli; wakasema, “Hapana!” Lazima awepo mfalme juu yetu.
И не восхотеша людие послушати Самуила и реша ему: ни, но царь да будет над нами,
20 Ili tuweze kuwa kama mataifa mengine yote, na hivyo mfalme wetu aweze kutuamua na atoke mbele yetu na atupiganie vita yetu.
и будем и мы якоже вси языцы: и судити имать нас царь наш, и изыдет пред нами, и поборет поборением о нас.
21 Naye Samweli aliposikia maneno yote ya watu, akayarudia katika masiko ya BWANA.
И слыша Самуил вся глаголы людий и глагола я во ушы Господеви.
22 BWANA akamwambia Samweli, “Sikiliza sauti yao na uwafanyie mfalme.” Hivyo Samweli akawaambia watu wa Israeli, “Kila mtu na arudi mjini kwake.”
И рече Господь к Самуилу: послушай гласа их, и постави им царя. И рече Самуил к мужем Израилевым: да идет кийждо вас во свой град.