< 1 Samweli 8 >

1 Samweli alipozeeka, aliwaweka watoto wake wawe waamuzi juu ya Israeli.
وقتی سموئیل پیر شد، پسران خود را به عنوان داور بر اسرائیل گماشت.
2 Mtoto wake wa kwanza aliitwa Yoeli, na mtoto wake wa pili aliitwa Abiya. Hawa walikuwa waamuzi katika Bersheba.
نام پسر اول، یوئیل و پسر دوم اَبیّا بود. ایشان در بئرشبع بر مسند داوری نشستند.
3 Watoto wake hawakuenenda katika njia za baba yao, bali walipiga mbio kutafuta mapato ya udhalimu. Walipokea rushwa na na kupotosha hukumu.
اما آنها مثل پدر خود رفتار نمی‌کردند بلکه طمعکار بودند و از مردم رشوه می‌گرفتند و در قضاوت، عدالت را رعایت نمی‌کردند.
4 Ndipo wazee wote wa Israeli walikutana pamoja na kumwendea Samweli huko Rama.
بالاخره، رهبران اسرائیل در رامه جمع شدند تا موضوع را با سموئیل در میان بگذارند.
5 Wakamwambia, “Angalia, wewe umekuwa mzee, na watoto wako hawaenendi katika njia zako. Tuchagulie mfalme wakutuamua kama yalivyo mataifa yote.”
آنها به او گفتند: «تو پیر شده‌ای و پسرانت نیز مانند تو رفتار نمی‌کنند. پس برای ما پادشاهی تعیین کن تا بر ما حکومت کند و ما هم مانند سایر قومها پادشاهی داشته باشیم.»
6 Lakini haikumpendeza Sameli waliposema, “Utupatie mfalme wa kutuamua.” Hivyo akamwomba BWANA.
سموئیل از درخواست آنها بسیار ناراحت شد و برای کسب تکلیف به حضور خداوند رفت.
7 Na BWANA akamwambia Samweli, “Sikiliza sauti ya watu kwa kila jambo wanalokwambia; kwa sababu hwajakukataa wewe, bali wamenikataa mimi nisiwe mfalme wao.
خداوند در پاسخ سموئیل فرمود: «طبق درخواست آنها عمل کن، زیرا آنها مرا رد کرده‌اند نه تو را. آنها دیگر نمی‌خواهند من پادشاه ایشان باشم.
8 Sasa wanafanya kama vile walivyotenda tangu siku ile nilipowatoa huko Misri, kwa kuniacha, na kuwatumikia miungu mingine, na ndivyo hivyo pia wanakufanyia na wewe.
از موقعی که ایشان را از مصر بیرون آوردم، پیوسته مرا ترک نموده، به دنبال خدایان دیگر رفته‌اند. الان با تو نیز همان رفتار را پیش گرفته‌اند.
9 Basi sasa uwasikilize; lakini uwaonye sawasawa na uwafahamishe tabia ya mfalme atakaye waongoza.
هر چه می‌گویند بکن، اما به ایشان هشدار بده که داشتن پادشاه چه عواقبی دارد.»
10 Kwa hiyo Samweli akawaambia watu waliokuwa wakiomba mfalme maneno yote ya BWANA.
سموئیل از جانب خداوند به ایشان که از او پادشاه می‌خواستند، چنین گفت:
11 Akasema, “Hivi ndivyo jinsi mfalme atakavyowatawala.
«اگر می‌خواهید پادشاهی داشته باشید، بدانید که او پسران شما را به خدمت خواهد گرفت تا بعضی بر ارابه‌ها و بعضی بر اسبها او را خدمت کنند و بعضی در جلوی ارابه‌هایش بدوند.
12 Atawachukua watoto wenu wa kiume na kuwaweka juu ya magari ya vita na kuwa wapanda farasi wake, na kukimbia mbele ya magari yake. Atawaweka ma- kapteni wake juu ya maelfu ya askari, na ma-kapteni juu ya askari hamsini. Wengine atawafanya wakulima wamashamba yake, wengine wavunaji wa mazao yake, wengine watatengeneza silaha zake na zana za magari yake.
او بعضی را به فرماندهی سپاه خود خواهد گماشت و بعضی دیگر را به مزارع خود خواهد فرستاد تا زمین را شیار کنند و محصولات او را جمع‌آوری نمایند، و از عده‌ای نیز برای ساختن اسلحه و وسایل ارابه استفاده خواهد کرد.
13 Naye atawachukua binti zenu kuwa watengeneza manukato, wapishi, na waoka mikate.
پادشاه، دختران شما را هم به کار می‌گیرد تا نان بپزند و خوراک تهیه کنند و برایش عطر بسازند.
14 Atachukua mashamba yenu mazuri, mashamba ya mizabibu, na yale ya mizeituni na kuwapa watumishi wake.
او بهترین مزارع و تاکستانها و باغهای زیتون را از شما خواهد گرفت و به افراد خود خواهد داد.
15 Atachukua moja ya kumi ya nafaka zenu na mizabibu na na kuwapa maofisa na watumishi wake.
از شما ده‌یک محصولاتتان را مطالبه خواهد نمود و آن را در میان افراد دربار، تقسیم خواهد کرد.
16 Atawachukua watumwa wenu na wajakazi wenu na vijana wenu waliowazuri na punda wenu; atawatumikisha wote kwa ajili yake.
غلامان، کنیزان، رمه‌ها و الاغهای شما را گرفته، برای استفادهٔ شخصی خود به کار خواهد برد.
17 Atawatoza moja ya kumi ya mifugo yenu, na mtakuwa watumwa wake.
او ده‌یک گله‌های شما را خواهد گرفت و شما بردهٔ وی خواهید شد.
18 Ndipo mtalia siku ile kwa sababu ya mfalme wenu mliyemchagua kwa ajili yenu; lakini siku ile BWANA hatawajibu
وقتی آن روز برسد، شما از دست پادشاهی که انتخاب کرده‌اید فریاد برخواهید آورد، ولی خداوند به داد شما نخواهد رسید.»
19 Lakini watu walikataa kumsikiliza Samweli; wakasema, “Hapana!” Lazima awepo mfalme juu yetu.
اما مردم به نصیحت سموئیل گوش ندادند و به اصرار گفتند: «ما پادشاه می‌خواهیم
20 Ili tuweze kuwa kama mataifa mengine yote, na hivyo mfalme wetu aweze kutuamua na atoke mbele yetu na atupiganie vita yetu.
تا مانند سایر قومها باشیم. می‌خواهیم او بر ما سلطنت کند و در جنگ ما را رهبری نماید.»
21 Naye Samweli aliposikia maneno yote ya watu, akayarudia katika masiko ya BWANA.
سموئیل آنچه را که مردم گفتند با خداوند در میان گذاشت،
22 BWANA akamwambia Samweli, “Sikiliza sauti yao na uwafanyie mfalme.” Hivyo Samweli akawaambia watu wa Israeli, “Kila mtu na arudi mjini kwake.”
و خداوند بار دیگر پاسخ داد: «هر چه می‌گویند بکن و پادشاهی برای ایشان تعیین نما.» سموئیل موافقت نمود و مردم را به خانه‌هایشان فرستاد.

< 1 Samweli 8 >