< 1 Samweli 8 >

1 Samweli alipozeeka, aliwaweka watoto wake wawe waamuzi juu ya Israeli.
و واقع شد که چون سموئیل پیر شد، پسران خود را بر اسرائیل داوران ساخت.۱
2 Mtoto wake wa kwanza aliitwa Yoeli, na mtoto wake wa pili aliitwa Abiya. Hawa walikuwa waamuzi katika Bersheba.
و نام پسر نخست زاده‌اش یوئیل بود و نام دومینش ابیاه؛ و در بئرشبع داور بودند.۲
3 Watoto wake hawakuenenda katika njia za baba yao, bali walipiga mbio kutafuta mapato ya udhalimu. Walipokea rushwa na na kupotosha hukumu.
اماپسرانش به راه او رفتار نمی نمودند بلکه در‌پی سود رفته، رشوه می‌گرفتند و داوری را منحرف می‌ساختند.۳
4 Ndipo wazee wote wa Israeli walikutana pamoja na kumwendea Samweli huko Rama.
پس جمیع مشایخ اسرائیل جمع شده، نزدسموئیل به رامه آمدند.۴
5 Wakamwambia, “Angalia, wewe umekuwa mzee, na watoto wako hawaenendi katika njia zako. Tuchagulie mfalme wakutuamua kama yalivyo mataifa yote.”
و او را گفتند: «اینک توپیر شده‌ای و پسرانت به راه تو رفتار نمی نمایند، پس الان برای ما پادشاهی نصب نما تا مثل سایرامتها بر ما حکومت نماید.»۵
6 Lakini haikumpendeza Sameli waliposema, “Utupatie mfalme wa kutuamua.” Hivyo akamwomba BWANA.
و این امر در نظرسموئیل ناپسند آمد، چونکه گفتند: «ما راپادشاهی بده تا بر ما حکومت نماید.» و سموئیل نزد خداوند دعا کرد.۶
7 Na BWANA akamwambia Samweli, “Sikiliza sauti ya watu kwa kila jambo wanalokwambia; kwa sababu hwajakukataa wewe, bali wamenikataa mimi nisiwe mfalme wao.
و خداوند به سموئیل گفت: «آواز قوم را در هر‌چه به تو گفتند بشنو، زیرا که تو را ترک نکردند بلکه مرا ترک کردند تا برایشان پادشاهی ننمایم.۷
8 Sasa wanafanya kama vile walivyotenda tangu siku ile nilipowatoa huko Misri, kwa kuniacha, na kuwatumikia miungu mingine, na ndivyo hivyo pia wanakufanyia na wewe.
بر‌حسب همه اعمالی که از روزی که ایشان را از مصر بیرون آوردم، بجا آوردند و مرا ترک نموده، خدایان غیر را عبادت نمودند پس با تو نیز همچنین رفتار می‌نمایند.۸
9 Basi sasa uwasikilize; lakini uwaonye sawasawa na uwafahamishe tabia ya mfalme atakaye waongoza.
پس الان آواز ایشان را بشنو لکن بر ایشان به تاکید شهادت بده، و ایشان را از رسم پادشاهی که بر ایشان حکومت خواهد نمود، مطلع ساز.»۹
10 Kwa hiyo Samweli akawaambia watu waliokuwa wakiomba mfalme maneno yote ya BWANA.
و سموئیل تمامی سخنان خداوند را به قوم که از او پادشاه خواسته بودند، بیان کرد.۱۰
11 Akasema, “Hivi ndivyo jinsi mfalme atakavyowatawala.
وگفت: «رسم پادشاهی که بر شما حکم خواهدنمود این است که پسران شما را گرفته، ایشان را برارابه‌ها و سواران خود خواهد گماشت و پیش ارابه هایش خواهند دوید.۱۱
12 Atawachukua watoto wenu wa kiume na kuwaweka juu ya magari ya vita na kuwa wapanda farasi wake, na kukimbia mbele ya magari yake. Atawaweka ma- kapteni wake juu ya maelfu ya askari, na ma-kapteni juu ya askari hamsini. Wengine atawafanya wakulima wamashamba yake, wengine wavunaji wa mazao yake, wengine watatengeneza silaha zake na zana za magari yake.
و ایشان را سرداران هزاره و سرداران پنجاهه برای خودخواهدساخت، و بعضی را برای شیار کردن زمینش و درویدن محصولش و ساختن آلات جنگش و اسباب ارابه هایش تعیین خواهد نمود.۱۲
13 Naye atawachukua binti zenu kuwa watengeneza manukato, wapishi, na waoka mikate.
و دختران شما را برای عطرکشی و طباخی وخبازی خواهد گرفت.۱۳
14 Atachukua mashamba yenu mazuri, mashamba ya mizabibu, na yale ya mizeituni na kuwapa watumishi wake.
و بهترین مزرعه‌ها وتاکستانها و باغات زیتون شما را گرفته، به خادمان خود خواهد داد.۱۴
15 Atachukua moja ya kumi ya nafaka zenu na mizabibu na na kuwapa maofisa na watumishi wake.
و عشر زراعات وتاکستانهای شما را گرفته، به خواجه‌سرایان وخادمان خود خواهد داد.۱۵
16 Atawachukua watumwa wenu na wajakazi wenu na vijana wenu waliowazuri na punda wenu; atawatumikisha wote kwa ajili yake.
و غلامان و کنیزان ونیکوترین جوانان شما را و الاغهای شما را گرفته، برای کار خود خواهد گماشت.۱۶
17 Atawatoza moja ya kumi ya mifugo yenu, na mtakuwa watumwa wake.
و عشرگله های شما را خواهد گرفت و شما غلام اوخواهید بود.۱۷
18 Ndipo mtalia siku ile kwa sababu ya mfalme wenu mliyemchagua kwa ajili yenu; lakini siku ile BWANA hatawajibu
و در آن روز از دست پادشاه خودکه برای خویشتن برگزیده‌اید فریاد خواهید کرد وخداوند در آن روز شما را اجابت نخواهد نمود.»۱۸
19 Lakini watu walikataa kumsikiliza Samweli; wakasema, “Hapana!” Lazima awepo mfalme juu yetu.
اما قوم از شنیدن قول سموئیل ابا نمودند وگفتند: «نی بلکه می‌باید بر ما پادشاهی باشد.۱۹
20 Ili tuweze kuwa kama mataifa mengine yote, na hivyo mfalme wetu aweze kutuamua na atoke mbele yetu na atupiganie vita yetu.
تاما نیز مثل سایر امتها باشیم و پادشاه ما بر ماداوری کند، و پیش روی ما بیرون رفته، درجنگهای ما برای ما بجنگد.»۲۰
21 Naye Samweli aliposikia maneno yote ya watu, akayarudia katika masiko ya BWANA.
و سموئیل تمامی سخنان قوم را شنیده، آنها را به سمع خداوند رسانید. و خداوند به سموئیل گفت: «آواز ایشان را بشنو و پادشاهی بر ایشان نصب نما.» پس سموئیل به مردمان اسرائیل گفت: «شماهرکس به شهر خود بروید.»۲۱
22 BWANA akamwambia Samweli, “Sikiliza sauti yao na uwafanyie mfalme.” Hivyo Samweli akawaambia watu wa Israeli, “Kila mtu na arudi mjini kwake.”
۲۲

< 1 Samweli 8 >