< 1 Samweli 7 >

1 Watu wa Kiriath Yearimu walikuja, wakalichukua sanduku la BWANA, wakalileta ndani ya nyumba ya Abinadabu mlimani iliyokuwa kilimani. Wakamteua Eleazari, mwanawe, kulitunza sanduku la BWANA.
خداوند را آوردند، و آن را به خانه ابیناداب در جبعه داخل کرده، پسرش العازار راتقدیس نمودند تا تابوت خداوند را نگاهبانی کند.۱
2 Tangu siku ambayo sanduku lilikaa huko Kiiriath Yearimu, ulipita muda mrefu, miaka ishirini. Nyumba yote ya Israeli iliomboleza na ikaazimu kumrudia BWANA.
و از روزی که تابوت در قریه یعاریم ساکن شد، وقت طول کشید تا بیست سال گذشت، و بعداز آن خاندان اسرائیل برای پیروی خداوند جمع شدند.۲
3 Samweli akawaambia watu wote wa Israeli, “Kama mtamrudia BWANA kwa moyo wenu wote, mkaiondoa miungu migeni na Ashtorethi kutoka katikati yenu, igeuzeni mioyo yenu kwa BWANA, na mwabuduni yeye peke yake, ndipo atawaokoa kutoka mkono wa Wafilisti.”
و سموئیل تمامی خاندان اسرائیل را خطاب کرده، گفت: «اگر به تمامی دل به سوی خداوندبازگشت نمایید، و خدایان غیر و عشتاروت را ازمیان خود دور کنید، و دلهای خود را برای خداوند حاضر ساخته، او را تنها عبادت نمایید، پس او، شما را از دست فلسطینیان خواهدرهانید.»۳
4 Ndipo watu wa Israeli wakamuondoa Baali na Ashtorethi, na wakamwabudu BWANA peke yake.
آنگاه بنی‌اسرائیل بعلیم و عشتاروت رادور کرده، خداوند را تنها عبادت نمودند.۴
5 Ndipo Samweli akasema, “Waleteni Israeli wote hadi Mizpa, nami nitamwomba BWANA kwa ajili yenu.”
و سموئیل گفت: «تمامی اسرائیل را درمصفه جمع کنید تا درباره شما نزد خداوند دعانمایم.»۵
6 Wakakusanyika Mispa, wakateka maji na kuyamwaga chini mbele za BWANA. Siku hiyo walifunga na kusema, “Tumemfanyia BWANA dhambi.” Hapo Mispa ndipo Samweli aliwaamu na kuwaongoza watu wa Iraeli. -8
و در مصفه جمع شدند و آب کشیده، آن را به حضور خداوند ریختند، و آن روز راروزه داشته، در آنجا گفتند که بر خداوند گناه کرده‌ایم، و سموئیل بنی‌اسرائیل را در مصفه داوری نمود.۶
7 Basi Wafilisti waliposikiakwamba Waisraeli wamekusanyika hapo Mispa, viongozi wa Wafilisti waliwashambulia Israeli. Waisraeli waliposikia hivyo, waliwaogopa Wafilisti.
و چون فلسطینیان شنیدند که بنی‌اسرائیل درمصفه جمع شده‌اند، سروران فلسطینیان براسرائیل برآمدند، و بنی‌اسرائیل چون این راشنیدند، از فلسطینیان ترسیدند.۷
8 Ndipo Waisraeli wakamwambia Samweli, “Usiache kumwomba BWANA Mungu wetu kwa ajili yetu, ili atuokoe kutoka mkono wa Wafilisti.”
و بنی‌اسرائیل به سموئیل گفتند: «از تضرع نمودن برای ما نزدیهوه خدای ما ساکت مباش تا ما را از دست فلسطینیان برهاند.»۸
9 Samweli alimchukua kondoo mchanga nakumtoa sadaka ya kuteketezwa kikamilifu kwa BWANA. Ndipo Samweli akamlilia BWANA kwa ajili ya Israeli, na BWANA akamjibu.
و سموئیل بره شیرخواره گرفته، آن را به جهت قربانی سوختنی تمام برای خداوند گذرانید، و سموئیل درباره اسرائیل نزدخداوند تضرع نموده، خداوند او را اجابت نمود.۹
10 Hata Samweli alipokuwa akitoa sadaka ya kuteketezwa, Wafilisti wakasogea karibu kuwashambulia Israeli; lakini BWANA alipiga kwa nguromo ya sauti kubwa siku hiyo dhidi ya Wafilisti na kuwatia kiwewe, na wakashindwa mbele ya Israeli.
و چون سموئیل قربانی سوختنی رامی گذرانید، فلسطینیان برای مقاتله اسرائیل نزدیک آمدند، و در آن روز خداوند به صدای عظیم بر فلسطینیان رعد کرده، ایشان را منهزم ساخت، و از حضور اسرائیل شکست یافتند.۱۰
11 Waisraeli wakaondoka Mispa, wakawafuatia Wafilisti na kuwaua hadi kufika chini ya Beth kari.
ومردان اسرائیل از مصفه بیرون آمدند و فلسطینیان را تعاقب نموده، ایشان را تا زیر بیت کار شکست دادند.۱۱
12 KIsha Samweli akachukua jiwe akalisimamisha kati ya Mispa na Sheni. Akaliita hilo jiwe Ebeneza, akisema, “Hata sasa BWANA ametusaidia.”
و سموئیل سنگی گرفته، آن را میان مصفه وسن برپا داشت و آن را ابن عزر نامیده، گفت: «تابحال خداوند ما را اعانت نموده است.»۱۲
13 Kwa hiyo, Wafilisti walishindwa na hawakuingia katika mipaka ya Israeli. Mkono wa BWANA uliwalemea Wafilisti siku zote za Samweli.
پس فلسطینیان مغلوب شدند، و دیگر به حدوداسرائیل داخل نشدند، و دست خداوند در تمامی روزهای سموئیل بر فلسطینیان سخت بود.۱۳
14 Miji ambayo Wafilisti waliitwaa kutoka kwa Israeli ilirudishwa, kutokea Ekroni hadi Gathi; Israeli ikarudisha tena sehemu za nchi zake kutoka kwa Wafilisti. Ndipo ikawa amani kati ya Israeli na Waamori.
وشهرهایی که فلسطینیان از اسرائیل گرفته بودند، از عقرون تا جت، به اسرائیل پس دادند، و اسرائیل حدود آنها را از دست فلسطینیان رهانیدند، و در میان اسرائیل و اموریان صلح شد.۱۴
15 Samweli akawa mwamuzi wa Israeli siku zote za maisha yake.
و سموئیل در تمام روزهای عمر خود براسرائیل داوری می‌نمود.۱۵
16 Kila mwaka alienda Betheli kwa kuzunguka, akienda Gilgali, na huko Mispa.
و هر سال رفته، به بیت ئیل و جلجال و مصفه گردش می‌کردند، و درتمامی این‌جاها بر اسرائیل داوری می‌نمود.۱۶
17 Kisha angerudi Rama, kwa sababu mji wake ulikuwa huko; na huko pia aliwaamua Waisiraeli. Hata huko Rama, pia alimjengea BWANA madhabahu.
وبه رامه بر می‌گشت زیرا خانه‌اش در آنجا بود و درآنجا بر اسرائیل داوری می‌نمود، و مذبحی درآنجا برای خداوند بنا کرد.۱۷

< 1 Samweli 7 >