< 1 Samweli 6 >
1 Basi sanduku la BWANA lilikaa katika nchi ya Wafilisti kwa miezi saba.
Un Tā Kunga šķirsts sabija septiņus mēnešus Fīlistu zemē.
2 Ndipo Wafilisti wakawaita makuhani na waganga; wakawaambia, “Tulifanyie nini sanduku la BWANA? Twambieni jinsi ambavyo tunapaswa kulirudisha sanduku katika nchi yake.”
Un Fīlisti sasauca priesterus un zīlniekus sacīdami: ko lai darām ar Tā Kunga šķirstu? Sakāt mums, kā lai to sūtam atpakaļ savā vietā.
3 Makuhani na waganga wakasema, “Kama mtalirudisha sanduku la Mungu wa Israeli, msilipeleke bila zawadi; kwa namna yoyote ile mpelekeeni sadakaa ya hatia. Hapo ndipo mtapona, na mtajua ni kwanini mkono wake hadi sasa haujaondoka juu yenu.”
Un tie sacīja: ja jūs Israēla Dieva šķirstu gribat sūtīt, tad nesūtat viņu tukšā, bet atmaksājiet Viņam noziegumu upuri; tad jūs tapsiet dziedināti, un jums taps zināms, kādēļ Viņa roka no jums nav atstājusies.
4 Ndipo wakawauliza, “Sadaka ya hatia itakuwa nini kwamba tunampelekea?” Wakawajibu, “Majipu matano ya dhahabu na panya watano wa dhahabu, Idadi hiyo ya watano ni sawa na idadi ya viongozi wa Wafilisti. Kwa sababu tauni ya aina moja iliwashambulia ninyi na viongozi wenu.
Tad tie sacīja: kāds ir tas nozieguma upuris, ko mums Viņam būs maksāt? Un tie sacīja: pieci zelta augoņi un piecas zelta peles pēc piecu Fīlistu lielkungu skaita; jo vienāda mocība ir pār jums visiem un pār jūsu lielkungiem.
5 Kwa hiyo, nilazima mtengeneze mifano ya majipu yenu, na mifano ya panya wenu ambayo huiharibu nchi, na mpeni utukufu Mungu wa Israeli. Labda ataondoa mkono wake kutoka juu yenu, kutoka juu ya miungu yenu, na kutoka juu ya nchi yenu.
Tad taisiet nu tādas zīmes tā kā jūsu augoņi ir, un tādu peļu zīmes, kas jūsu zemi samaitā, un dodiet Israēla Dievam godu, varbūt ka Viņš Savu roku atvieglinās pār jums un pār jūsu dievu un pār jūsu zemi.
6 Kwanini mfanye mioyo yenu kwa migumu, kama vile Wamisri na Farao walifanya mioyo yao kuwa migumu? Hicho ni kipindi ambacho Mungu wa Israeli aliwashughilikia sana; Je, Wamisri hawakuwaachilia watu, na wakaondoka?
Kāpēc tad jūs savu sirdi gribat apcietināt, kā ēģiptieši un Faraons savu sirdi apcietinājuši? Vai tas tā nav, kad Viņš brīnišķi tiem bija parādījies, tad tie atlaiduši (Israēla ļaudis), ka tie aizgāja?
7 Basi sasa, andaeni mkokoteni mpya pamoja na ng'ombe wawili wake wanaonyonyesha, ambao hawajawahi kufungwa nira. Wafungeni ng'ombe hao kwenye mkokoteni, lakini warudisheni wale ndama wao nyumbani.
Nu tad ņemiet un taisiet jaunus ratus un ņemiet divas zīžamas govis, uz kurām vēl nekāds jūgs nav bijis, un iejūdziet tās govis ratos un vediet viņu teļus no tām atpakaļ uz mājām;
8 Kisha lichukueni sanduku la BWANA na kuliweka ndani ya mkokoteni. Wekeni ndani ya kasha yale maumbo ya dhahabu mnayompelekea ambyo ni sadaka ya hatia kando yake. Ndipo mlipeleke lipate kuondoka.
Tad ņemiet Tā Kunga šķirstu un uzlieciet to uz tiem ratiem, un tās zelta lietas, ko jūs Viņam par nozieguma upuri maksāsiet, nolieciet trauciņā viņam blakām un sūtat viņu projām, lai iet.
9 Kisha muwe makini; kama litapanda kwenda kwa njia hadi nchini mwake hadi Beth Shemeshi, basi mjue kuwa BWANA ndiye aliyetenda pigo hili kubwa. Lakini kama halitakwenda, ndipo tutajua kwamba siyo mkono wake uliotupatia mateso; badala yake tutajua kuwa yaliyotupata ilikuwa ni kwa bahati mbaya tu.
Tad lūkojiet, ja tas uz savas robežas ceļu iet, uz Bet-Šemesu, tad Tas mums visu šo lielo ļaunumu darījis, bet ja ne, tad mēs nopratīsim, ka Viņa roka mūs nav aizskārusi, bet tas mums no nejauši noticis.
10 Watu hao wakafanya kama walivyoambiwa, walichukuwa ng'ombe wawili wanaonyonyesha, wakawafunga kwenye mkokoteni, na kuwabakiza ndama wao nyumbani.
Un tie ļaudis tā darīja un ņēma divas zīžamas govis un tās iejūdza ratos, un viņu teļus tie paturēja mājās.
11 Wakaliweka sanduku la BWANA juu ya mkokoteni, pamoja na lile kasha lililobeba panya wa dhahabu na yale maumbo ya majipu yao.
Un tie uzlika Tā Kunga šķirstu uz ratiem līdz ar trauciņu ar tām zelta pelēm un ar tām augoņu zīmēm.
12 Hao ng'ombe waliondoka moja kwa moja kuelekea Beth Shemeshi. Walikwenda kwa kuifuata nija moja kuu, wakiteremka walipokuwa wakienda, na hwakugeuka upande wa kushoto au kulia. Viongozi wa Wafilisti walifuata kwa nyuma hadi mpaka wa Beth Shemeshi.
Tad tās govis gāja taisni pa ceļu uz Bet-Šemesu, vienu pašu ceļu tās gāja tikuši(nepārtraukti) bļaudamas, un neatkāpās ne pa labo, ne pa kreiso roku, un Fīlistu lielkungi tām gāja pakaļ līdz Bet-Šemesas robežai.
13 Nao watu wa Beth Shemeshi walikuwa wakivuna ngano yao katika bonde. Waliponyanyua macho yao juu na kuliona sanduku, wakafurahi.
Un Bet-Šemesas ļaudis pļāva kviešus ielejā, un kad tie savas acis pacēla un to šķirstu redzēja, tad tie priecājās, to redzēdami.
14 Huo mkokoteni ulifikia ndani ya shamba la Yoshua wa Beth Shemeshi na ukasimama hapo. Kulikuapo jiwe kubwa mahali hapo, wakatayarisha kuni kutokana na mkokoteni huo, na wakawatoa ng'ombe hao kama sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya BWANA.
Un tie rati nāca uz Jozuas, tā Bet-Šemieša, tīrumu un tur apstājās. Un tur bija liels akmens, un tie skaldīja to ratu malku un upurēja tās govis Tam Kungam par dedzināmo upuri.
15 Walawi walilitelemsha sanduku la BWANA chini pamoja na kasha lake lililoyatunza yale maumbo ya dhahabu, wakaweka vitu hivyo juu ya hilo jiwe kubwa. Watu wa Beth Shemeshi walitoa sadaka za kuteketezwa na kutoa dhabihu kwa BWANA siku iyo hiyo.
Un tie Leviti nocēla Tā Kunga šķirstu līdz ar to trauciņu, kas bija klāt, kur tās zelta lietas bija iekšā, un to uzlika uz to lielo akmeni, un Bet-Šemesas ļaudis upurēja tai dienā dedzināmos upurus un kāva Tam Kungam kaujamus upurus.
16 Hao viongozi watano wa Wafilisti walipoona hayo, walirejea Ekroni siku iyo hiyo.
Un kad tie pieci Fīlistu lielkungi to bija redzējuši, tad tie tai pašā dienā griezās atpakaļ uz Ekronu.
17 Haya ndiyo majipu ya dhahabu ambayo Wafilisti walirudisha kama sadaka ya hatia kwa BWANA: moja kwa ajili ya Ashdodi, moja kwa Gaza, moja kwa Ashkeloni, moja kwa Gathi, na moja kwa Ekroni.
Šie nu ir tie zelta augoņi, ko Fīlisti Tam Kungam deva par nozieguma upuri, vienu priekš Ašdodas, vienu priekš Gazas, vienu priekš Asklonas, vienu priekš Gatas, vienu priekš Ekronas.
18 Idadi ya wale panya wa dhahabu ilikuwa sawa na ile ya idadi ya miji yote ya Wafilisti inayomilikiwa na viongozi watano, kwa miji iliyojengewa maboma na vijiji vya mashambani. Lile jiwe kubwa, ambalo kando yake waliweka sanduku la BWANA, lipo kama ushuhuda hadi leo katika shamba la Yoshua Mbeth- Shemeshi.
Un tās zelta peles bija pēc visu Fīlistu pilsētu skaita, kas apakš tiem pieciem lielkungiem, gan no stiprajām pilsētām, gan no laucinieku ciemiem. Un par liecinieku ir tas lielais akmens, kur tie Tā Kunga šķirstu bija nocēluši, kas līdz šai dienai ir uz Jozuas, tā Bet-Šemieša, tīruma.
19 BWANA akawashambulia baadhi ya watu wa Bethi Shemeshi kwa sababu walichungulia ndani ya sanduku lake. Aliwaua watu sabini. Watu wakaomboleza, kwa sababu BWANA aliwapa watu pigo kubwa mno.
Un Tas Kungs sita Bet-Šemesas ļaudis, tāpēc ka tie Tā Kunga šķirstu bija aplūkojuši, un Viņš sita no tiem ļaudīm septiņdesmit vīrus (piecdesmit no tūkstoša). Tad tie ļaudis bēdājās, ka Tas Kungs ar tādu lielu sišanu tos ļaudis bija sitis.
20 Watu wa Bethi Shemeshi wakasema, “Ni nani mwenye uwezo wa kushindana na BWANA, huyu Mungu mtakatifu? Na atampandia nani akitoka kwetu.”” Je, ni nani awezaye kusimama mbele ya BWANA, huyu Mungu mtakatifu? Na ni kwa nani ambako sanduku litaenda likitoka hapa.”
Un tie ļaudis no Bet-Šemesas sacīja: kas var pastāvēt priekš Tā Kunga, šī svēta Dieva, vaiga? Un pie kā lai Viņš no mums aiziet.
21 Wakawatuma wajumbe kwenda kwa wenyeji wa Kiriath Yearimu, wakisema, “Wafilisti wamelirudisha sanduku la BWANA; teremkeni na mkalipeleke kwenu.”
Tad tie sūtīja vēstnešus pie Kiriat-Jearimas iedzīvotājiem sacīdami: Fīlisti Tā Kunga šķirstu atkal ir atveduši; nāciet un novediet to pie sevis.