< 1 Samweli 6 >

1 Basi sanduku la BWANA lilikaa katika nchi ya Wafilisti kwa miezi saba.
Der Herrens Ark havde været i Filisternes Land i syv Maaneder,
2 Ndipo Wafilisti wakawaita makuhani na waganga; wakawaambia, “Tulifanyie nini sanduku la BWANA? Twambieni jinsi ambavyo tunapaswa kulirudisha sanduku katika nchi yake.”
da kaldte Filisterne ad Præsterne og ad Spaamændene og sagde: Hvad skulle vi gøre ved Herrens Ark? lader os vide, hvormed vi skulle sende den til sit Sted.
3 Makuhani na waganga wakasema, “Kama mtalirudisha sanduku la Mungu wa Israeli, msilipeleke bila zawadi; kwa namna yoyote ile mpelekeeni sadakaa ya hatia. Hapo ndipo mtapona, na mtajua ni kwanini mkono wake hadi sasa haujaondoka juu yenu.”
Og de sagde: Dersom I sende Israels Guds Ark bort, da sender den ikke bort uden Gave; men I skulle give den et Skyldoffer med tilbage, da skulle I blive lægte, og det skal blive eder vitterligt, hvorfor hans Haand ikke vilde vige fra eder.
4 Ndipo wakawauliza, “Sadaka ya hatia itakuwa nini kwamba tunampelekea?” Wakawajibu, “Majipu matano ya dhahabu na panya watano wa dhahabu, Idadi hiyo ya watano ni sawa na idadi ya viongozi wa Wafilisti. Kwa sababu tauni ya aina moja iliwashambulia ninyi na viongozi wenu.
Da svarede de: Hvad er det for et Skyldoffer, som vi skulle give den med tilbage? Og de sagde: Efter Filisternes Fyrsters Tal, fem Guldbylder og fem Guldmus; thi der har været een Plage over dem alle og over eders Fyrster.
5 Kwa hiyo, nilazima mtengeneze mifano ya majipu yenu, na mifano ya panya wenu ambayo huiharibu nchi, na mpeni utukufu Mungu wa Israeli. Labda ataondoa mkono wake kutoka juu yenu, kutoka juu ya miungu yenu, na kutoka juu ya nchi yenu.
Og I skulle gøre Billeder af eders Bylder og Billeder af eders Mus, som have ødelagt Landet, og I skulle give Israels Gud Ære; maaske han letter sin Haand fra eder og fra eders Guder og fra eders Land.
6 Kwanini mfanye mioyo yenu kwa migumu, kama vile Wamisri na Farao walifanya mioyo yao kuwa migumu? Hicho ni kipindi ambacho Mungu wa Israeli aliwashughilikia sana; Je, Wamisri hawakuwaachilia watu, na wakaondoka?
Og hvorfor ville I forhærde eders Hjerte, ligesom Ægypterne og Farao forhærdede deres Hjerte? er det ikke saa, at der han havde ladet dem føle sin Magt, da lode de dem fare, og de gik.
7 Basi sasa, andaeni mkokoteni mpya pamoja na ng'ombe wawili wake wanaonyonyesha, ambao hawajawahi kufungwa nira. Wafungeni ng'ombe hao kwenye mkokoteni, lakini warudisheni wale ndama wao nyumbani.
Saa tager nu og gører en ny Vogn og tager to nybære Køer, paa hvilke der ikke er kommen Aag; og I skulle spænde Køerne for Vognen og føre deres Kalve tilbage hjem fra dem.
8 Kisha lichukueni sanduku la BWANA na kuliweka ndani ya mkokoteni. Wekeni ndani ya kasha yale maumbo ya dhahabu mnayompelekea ambyo ni sadaka ya hatia kando yake. Ndipo mlipeleke lipate kuondoka.
Og I skulle tage Herrens Ark og sætte den paa Vognen, og Guldtøjet, som I give den med tilbage til Skyldoffer, skulle I lægge i et Skrin ved dens Side; og I skulle sende den hen og lade den fare.
9 Kisha muwe makini; kama litapanda kwenda kwa njia hadi nchini mwake hadi Beth Shemeshi, basi mjue kuwa BWANA ndiye aliyetenda pigo hili kubwa. Lakini kama halitakwenda, ndipo tutajua kwamba siyo mkono wake uliotupatia mateso; badala yake tutajua kuwa yaliyotupata ilikuwa ni kwa bahati mbaya tu.
Og I skulle se til: Dersom den farer op ad Vejen til Landemærket imod Beth-Semes, da er det ham, som har gjort os dette store onde, og hvis ikke, da vide vi, at hans Haand ikke har rørt os, det har været os en Hændelse.
10 Watu hao wakafanya kama walivyoambiwa, walichukuwa ng'ombe wawili wanaonyonyesha, wakawafunga kwenye mkokoteni, na kuwabakiza ndama wao nyumbani.
Og Mændene gjorde saaledes og toge to nybære Køer og spændte dem for Vognen; og de lukkede deres Kalve inde hjemme.
11 Wakaliweka sanduku la BWANA juu ya mkokoteni, pamoja na lile kasha lililobeba panya wa dhahabu na yale maumbo ya majipu yao.
Og de satte Herrens Ark paa Vognen og Skrinet og Guldmusene og deres Bylders Billeder.
12 Hao ng'ombe waliondoka moja kwa moja kuelekea Beth Shemeshi. Walikwenda kwa kuifuata nija moja kuu, wakiteremka walipokuwa wakienda, na hwakugeuka upande wa kushoto au kulia. Viongozi wa Wafilisti walifuata kwa nyuma hadi mpaka wa Beth Shemeshi.
Og Køerne gik ret frem paa Vejen, ad Vejen til Beth-Semes, paa den ene alfare Vej gik de stedse og bøgede og vege ikke til højre eller venstre Side; og Filisternes Fyrster gik efter dem indtil Beth-Semes' Landemærke.
13 Nao watu wa Beth Shemeshi walikuwa wakivuna ngano yao katika bonde. Waliponyanyua macho yao juu na kuliona sanduku, wakafurahi.
Og Bethsemiterne høstede Hvede i Dalen; og de løftede deres Øjne op og saa Arken, og de bleve glade, da de saa den.
14 Huo mkokoteni ulifikia ndani ya shamba la Yoshua wa Beth Shemeshi na ukasimama hapo. Kulikuapo jiwe kubwa mahali hapo, wakatayarisha kuni kutokana na mkokoteni huo, na wakawatoa ng'ombe hao kama sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya BWANA.
Og Vognen kom paa Bethsemiteren Josvas Ager og blev staaende der, og der var en stor Sten; og de flakte Træet af Vognen og ofrede Køerne til Brændoffer for Herren.
15 Walawi walilitelemsha sanduku la BWANA chini pamoja na kasha lake lililoyatunza yale maumbo ya dhahabu, wakaweka vitu hivyo juu ya hilo jiwe kubwa. Watu wa Beth Shemeshi walitoa sadaka za kuteketezwa na kutoa dhabihu kwa BWANA siku iyo hiyo.
Og Leviterne løftede Herrens Ark ned tillige med Skrinet, som stod ved den, og i hvilket Guldtøjet var, og satte det alt paa den store Sten; og Mændene af Beth-Semes ofrede Brændofre og slagtede Slagtofre paa samme Dag for Herren.
16 Hao viongozi watano wa Wafilisti walipoona hayo, walirejea Ekroni siku iyo hiyo.
Og der de fem Filisters Fyrster havde set, det, da vendte de tilbage til Ekron paa samme Dag.
17 Haya ndiyo majipu ya dhahabu ambayo Wafilisti walirudisha kama sadaka ya hatia kwa BWANA: moja kwa ajili ya Ashdodi, moja kwa Gaza, moja kwa Ashkeloni, moja kwa Gathi, na moja kwa Ekroni.
Disse ere de Guldbylder, som Filisterne gave med til Skyldoffer: For Asdod een, for Gaza een, for Askion een, for Gath een, for Ekron een;
18 Idadi ya wale panya wa dhahabu ilikuwa sawa na ile ya idadi ya miji yote ya Wafilisti inayomilikiwa na viongozi watano, kwa miji iliyojengewa maboma na vijiji vya mashambani. Lile jiwe kubwa, ambalo kando yake waliweka sanduku la BWANA, lipo kama ushuhuda hadi leo katika shamba la Yoshua Mbeth- Shemeshi.
og de Guldmus efter Tallet paa alle Filisternes Stæder, som tilhørte de fem Fyrster, saavel de befæstede Stæder, som de ubefæstede Landsbyer, indtil den store Sten Abel, som de satte Herrens Ark paa, og som er indtil denne Dag paa Bethsemiteren Josvas Ager.
19 BWANA akawashambulia baadhi ya watu wa Bethi Shemeshi kwa sababu walichungulia ndani ya sanduku lake. Aliwaua watu sabini. Watu wakaomboleza, kwa sababu BWANA aliwapa watu pigo kubwa mno.
Og han slog blandt Mændene i Beth-Semes, fordi de saa i Herrens Ark, og han slog af Folket halvfjerdsindstyve Mænd, halvtredsindstyve Tusinde Mænd; da sørgede Folket, fordi Herren havde slaget blandt Folket med et stort Slag.
20 Watu wa Bethi Shemeshi wakasema, “Ni nani mwenye uwezo wa kushindana na BWANA, huyu Mungu mtakatifu? Na atampandia nani akitoka kwetu.”” Je, ni nani awezaye kusimama mbele ya BWANA, huyu Mungu mtakatifu? Na ni kwa nani ambako sanduku litaenda likitoka hapa.”
Og Mændene af Beth-Semes sagde: Hvo kan bestaa for Herrens, denne hellige Guds, Ansigt? og til hvem skal han drage op fra os?
21 Wakawatuma wajumbe kwenda kwa wenyeji wa Kiriath Yearimu, wakisema, “Wafilisti wamelirudisha sanduku la BWANA; teremkeni na mkalipeleke kwenu.”
Og de sendte Bud til Indbyggerne i Kirjath-Jearim og lode sige: Filisterne have ført Herrens Ark tilbage, kommer ned og henter den op til eder!

< 1 Samweli 6 >