< 1 Samweli 5 >

1 Basi Wafilisti wakawa wamelitwaa sanduku la Mungu, wakalileta kutoka Ebenezeri hadi Ashdodi.
Och de Philisteer togo Guds ark, och förde honom ifrå Hjelpostenen intill Asdod,
2 Wafilisti walilichukua sanduku la Mungu, wakalileta ndani ya nyumba ya Dagoni, na wakalikalisha pembeni mwa Dagoni.
Uti Dagons hus, och satte honom bredovid Dagon.
3 Watu wa Ashdodi walipoamka mapema siku ya pili, tazama, Dagoni ilianguka chini kifudifudi mbele ya sanduku la BWANA. Hivyo waliichukua Dagoni na kuisimamisha tena katika sehemu yake.
Och som de af Asdod den andra morgonen bittida uppstodo, funno de Dagon liggandes framstupa, på jordene inför Herrans ark; men de togo Dagon, och satte honom upp igen i sitt rum.
4 Lakini walipoamka mapema kesho yake, tazama, Dagoni alikuwa ameanguka chini kifudifudi mbele ya sanduku la BWANA. Kichwa cha Dagoni na vitanga vyake miwili vilikatika na kulala mlangoni. Kiwiliwili cha Dagoni ndicho kilibaki tu.
Då de den andra morgonen igen uppstodo, funno de Dagon åter liggandes framstupa på jordene inför Herrans ark, och hans hufvud och båda hans händer afhuggna vid tröskelen, så att stumpen låg allena för sig.
5 Na hii ndiyo sababu, makuhani wa Dagoni na yeyote aingiae ndani ya nyumba ya Dagoni, hata leo, hawezi kukanyaga mlango wa Dagoni katika Ashdodi.
Derföre träda icke Dagons Prester, och alle de som i Dagons hus gå, på Dagons tröskel i Asdod, allt intill denna dag.
6 Mkono wa BWANA ulikuwa mzito juu ya watu wa Ashdodi. Aliwaangamiza akawatesa kwa majipu, Ashdodi na wilaya zake kwa pamoja.
Men Herrans hand vardt svår öfver dem i Asdod, och förderfvade dem; och slog Asdod och alla dess gränsor, i deras hemlig rum baktill.
7 Watu wa Ashdodi walipotambua kilichokuwa kinatokea, walisema, “Sanduku la Mungu wa Israeli lisikae kwetu, kwa sababu mkono wake ni mzito juu yetu na juu ya mungu wetu Dagoni.”
Då nu det folk i Asdod sågo, att så tillgick, sade de: Låt icke Israels Guds ark blifva när oss, förty hans hand är för svår öfver oss, och öfver vår gud Dagon.
8 Basi wakawatuma watu wawakusanye pamoja viongozi wote wa Wafilisti; wakawambia, “Tufanye nini na sanduku la Mungu wa Israeli?” Wakawajibu, “Sanduku la Mungu wa Israeli lihamishwe na kupelekwa Gathi.” Basi wakalihamisha hilo sanduku la Mungu wa Israeli hadi huko Gathi.
Och de sände bort, och församlade alla de Philisteers Förstar till sig, och sade: Hvad skole vi göra af Israels Guds ark? Då svarade de: Låter bära Israels Guds ark omkring till Gath. Och de båro Israels Guds ark omkring.
9 Lakini baada ya kulipeleka huko, mkono wa BWANA ulikuwa juu ya mji huo, ukasababisha machafuko makubwa. Akawatesa watu wa mji huo, wakubwa kwa wadogo; na majipu yakaota juu ya miili yao.
Då de nu båro honom omkring, vardt ett stort buller i stadenom genom Herrans hand; och han slog folket i stadenom, både små och stora, och förderfvade dem i deras hemlig rum.
10 Basi, wakalipeleka sanduku la Mungu hadi Ekroni. Lakini mara tu sanduku la Mungu lilipoingia Ekroni, watu wa Ekroni walipiga kelele wakisema, “Wametuletea sanduku la Mungu wa Israeli kutuua sisi na watu wetu.”
Så sände de Guds ark till Ekron. Då nu Guds ark kom till Ekron, ropade de af Ekron, och sade: De hafva omkringdragit Guds ark till mig, på det de skola dräpa mig och mitt folk.
11 Basi wakawatuma watu wawakusanye pamoja viongozi wote wa Wafilisti; wakawambia, “Lipelekeni mbali sanduku la Mungu wa Israeli, na lirudishwe katika makao yake, ili lisije kutuua sisi na watu wetu.” Kwa maana kulikuwa na hofu ya kutisha mjini mwote; Mkono wa Mungu ulikuwa mzito mno huko.
Då sände de bort, och församlade alla de Philisteers Förstar, och sade: Sänder Israels Guds ark åter till sitt rum igen, att han icke dräper mig och mitt folk; förty Guds hand gjorde ett ganska stort rumor med dräpande i hela stadenom.
12 Watu ambao hawakufa waliteswa na majipu, na kilio cha mji kilipanda hadi mbinguni.
Och det folk, som icke blefvo döde, de vordo slagne i deras hemlig rum, så att skriet af stadenom gick upp i himmelen.

< 1 Samweli 5 >