< 1 Samweli 5 >

1 Basi Wafilisti wakawa wamelitwaa sanduku la Mungu, wakalileta kutoka Ebenezeri hadi Ashdodi.
Et les Philistins prirent l'arche de Dieu, et ils la portèrent d'Abenézer à Azot.
2 Wafilisti walilichukua sanduku la Mungu, wakalileta ndani ya nyumba ya Dagoni, na wakalikalisha pembeni mwa Dagoni.
Et les Philistins prirent l'arche du Seigneur, et ils la portèrent dans le temple de Dagon, et ils la posèrent auprès de Dagon.
3 Watu wa Ashdodi walipoamka mapema siku ya pili, tazama, Dagoni ilianguka chini kifudifudi mbele ya sanduku la BWANA. Hivyo waliichukua Dagoni na kuisimamisha tena katika sehemu yake.
Et les hommes d'Azot s'étant levés de grand matin, entrèrent dans le temple de Dagon, et ils virent Dagon renversé, la face contre terre, devant l'arche de Dieu; ils relevèrent Dagon et le remirent à sa place; puis, la main du Seigneur s'appesantit sur les hommes d'Azot; elle les tourmenta, elle les frappa à l'anus, tant ceux de la ville que ceux de son territoire.
4 Lakini walipoamka mapema kesho yake, tazama, Dagoni alikuwa ameanguka chini kifudifudi mbele ya sanduku la BWANA. Kichwa cha Dagoni na vitanga vyake miwili vilikatika na kulala mlangoni. Kiwiliwili cha Dagoni ndicho kilibaki tu.
Lorsqu'ils se levèrent de bonne heure, le jour suivant, ils virent Dagon renversé, la face contre terre, devant l'arche de l'alliance du Seigneur; la tête de Dagon et ses mains avaient été enlevées jusqu'à la façade d'Amapheth, et ses deux poignets gisaient sur le portique. Le torse seul de Dagon était resté.
5 Na hii ndiyo sababu, makuhani wa Dagoni na yeyote aingiae ndani ya nyumba ya Dagoni, hata leo, hawezi kukanyaga mlango wa Dagoni katika Ashdodi.
A cause de cela, encore de nos jours, ni les prêtres de Dagon, ni ceux qui entrent dans le temple, ne marchent sur le seuil du temple d'Azot; ils le franchissent d'un saut.
6 Mkono wa BWANA ulikuwa mzito juu ya watu wa Ashdodi. Aliwaangamiza akawatesa kwa majipu, Ashdodi na wilaya zake kwa pamoja.
La main du Seigneur s'appesantit donc sur les hommes d'Azot; le Seigneur fit fourmiller, tant dans leurs maisons qu'au milieu de leurs champs, une multitude de rats; en même temps, la mort répandit un grand trouble dans toute la ville.
7 Watu wa Ashdodi walipotambua kilichokuwa kinatokea, walisema, “Sanduku la Mungu wa Israeli lisikae kwetu, kwa sababu mkono wake ni mzito juu yetu na juu ya mungu wetu Dagoni.”
Les hommes d'Azot, voyant ce qui se passait, dirent: C'est parce que l'arche du Dieu d'Israël réside parmi nous, que sa main est si dure pour nous- mêmes et pour Dagon, notre dieu.
8 Basi wakawatuma watu wawakusanye pamoja viongozi wote wa Wafilisti; wakawambia, “Tufanye nini na sanduku la Mungu wa Israeli?” Wakawajibu, “Sanduku la Mungu wa Israeli lihamishwe na kupelekwa Gathi.” Basi wakalihamisha hilo sanduku la Mungu wa Israeli hadi huko Gathi.
Alors, ils firent partir des messagers pour convoquer chez eux les chefs des Philistins; ceux-ci venus, ils dirent: Que ferons-nous de l'arche du Dieu d'Israël? Les Géthéens dirent: Que l'on envoie chez nous l'arche du Dieu. En conséquence, on envoya à Geth l'arche du Dieu d'Israël.
9 Lakini baada ya kulipeleka huko, mkono wa BWANA ulikuwa juu ya mji huo, ukasababisha machafuko makubwa. Akawatesa watu wa mji huo, wakubwa kwa wadogo; na majipu yakaota juu ya miili yao.
Dès qu'elle y fut arrivée, la main du Seigneur répandit dans cette ville un très grand trouble; elle frappa les hommes depuis le plus grand jusqu'au plus petit, elle les frappa à l'anus, et les Géthéens firent des sièges pour eux.
10 Basi, wakalipeleka sanduku la Mungu hadi Ekroni. Lakini mara tu sanduku la Mungu lilipoingia Ekroni, watu wa Ekroni walipiga kelele wakisema, “Wametuletea sanduku la Mungu wa Israeli kutuua sisi na watu wetu.”
Puis, ils envoyèrent l'arche de Dieu à Ascalon; lorsqu'elle y entra, les habitants crièrent et dirent: Pourquoi nous amenez-vous l'arche du Dieu d'Israël? est-ce pour faire périr notre peuple?
11 Basi wakawatuma watu wawakusanye pamoja viongozi wote wa Wafilisti; wakawambia, “Lipelekeni mbali sanduku la Mungu wa Israeli, na lirudishwe katika makao yake, ili lisije kutuua sisi na watu wetu.” Kwa maana kulikuwa na hofu ya kutisha mjini mwote; Mkono wa Mungu ulikuwa mzito mno huko.
Et ils firent partir des messagers pour convoquer les chefs des Philistins; ceux-ci venus, ils dirent: Renvoyez l'arche du Dieu d'Israël; qu'elle réside en son lieu; qu'elle ne nous fasse point périr, nous et notre peuple.
12 Watu ambao hawakufa waliteswa na majipu, na kilio cha mji kilipanda hadi mbinguni.
Car, dans toute ville où elle entre, elle apporte un grand trouble. Et ceux qui ne meurent pas sont frappés à l'anus. Or, le cri de toute la ville s'éleva jusqu'au ciel.

< 1 Samweli 5 >