< 1 Samweli 4 >

1 Neno la Samweli likawafikia Israeli wote. Basi Israeli wakatoka kupigana dhidi ya Wafilisti. Nao wakaweka kambi hapo Ebenezeri, na Wafilisti waliweka kambi yao huko Afeki.
and to be word Samuel to/for all Israel and to come out: come Israel to/for to encounter: toward Philistine to/for battle and to camp upon [the] Ebenezer Ebenezer and Philistine to camp in/on/with Aphek
2 Nao Wafilisti walijipanga kwa ajili ya vita dhidi ya Waisraeli. Vita ilipopamba moto, Israeli ilishindwa na Wafilisti, wakauawa watu wapatao elfu nne kwenye uwanja wa vita.
and to arrange Philistine to/for to encounter: toward Israel and to leave [the] battle and to strike Israel to/for face: before Philistine and to smite in/on/with rank in/on/with land: country like/as four thousand man
3 Watu walipokuja kambini, wazee wa Israeli walisema, “Kwa nini BWANA ametushinda leo mbele ya Wafilisti? Hebu tulilete hapa sanduku la ushuhuda wa BWANA kutoka Shilo, ili kwamba liwe hapa pamoja nasi, ili litufanye tuwe salama kutokana na nguvu za maadui zetu.”
and to come (in): come [the] people to(wards) [the] camp and to say old: elder Israel to/for what? to strike us LORD [the] day to/for face: before Philistine to take: bring to(wards) us from Shiloh [obj] ark covenant LORD and to come (in): come in/on/with entrails: among our and to save us from palm enemy our
4 Hivyo waliwatuma watu huko Shilo; kutokea huko walilibeba sanduku la ushuhuda wa BWANA wa majeshi, akaaye juu ya makerubi. Hofni na Finehasi, watoto wawili wa Eli, walikuwapo pamoja na lile sanduku la ushuhuda wa Mungu.
and to send: depart [the] people Shiloh and to lift: bear from there [obj] ark covenant LORD Hosts to dwell [the] cherub and there two son: child Eli with ark covenant [the] God Hophni and Phinehas
5 Sanduku la ushuhuda wa BWANA lilipofika kambini, watu wote wa Israeli walipiga yowe, na nchi ikavuma.
and to be like/as to come (in): come ark covenant LORD to(wards) [the] camp and to shout all Israel shout great: large and to make noise [the] land: country/planet
6 Wafilisti waliposikia kelele za mayowe, wakasema, “sauti hii ya mayowe katika kambi ya Waebrania inamaanisha nini?” Baadaye walitambua kwamba sanduku la BWANA limefika kambini.
and to hear: hear Philistine [obj] voice: sound [the] shout and to say what? voice: sound [the] shout [the] great: large [the] this in/on/with camp [the] Hebrew and to know for ark LORD to come (in): come to(wards) [the] camp
7 Wafilisti waliogopa sana, “Mungu ameingia kambini.” Wakasema, “Ole wetu! Jambo kama hili halijawahi kutokea huko nyuma!
and to fear [the] Philistine for to say to come (in): come God to(wards) [the] camp and to say woe! to/for us for not to be like/as this previously three days ago
8 Ole wetu! Ni nani atatulinda dhidi ya nguvu za Mungu mwenye uwezo? Huyu ndiye Mungu aliyewashambulia Wamisri kwa aina tofauti za mapigo mengi jangwani.
woe! to/for us who? to rescue us from hand: power [the] God [the] great [the] these these they(masc.) [the] God [the] to smite [obj] Egypt in/on/with all wound in/on/with wilderness
9 Enyi Wafilisti, iweni hodari, na fanyeni kiume, vinginevyo mtakuwa watumwa wa Waebrabia, kama walivyokuwa watumwa wenu. Fanyeni kiume, na piganeni nao.”
to strengthen: strengthen and to be to/for human Philistine lest to serve to/for Hebrew like/as as which to serve to/for you and to be to/for human and to fight
10 Wafilisti walipigana, na Waisraeli wakashindwa. Kila mtu alikimbilia nyumbani kwake, na mauaji yalikuwa makubwa sana; maana askari wa Israeli elfu thelathini waendao kwa miguu vitani, walianguka.
and to fight Philistine and to strike Israel and to flee man: anyone to/for tent: home his and to be [the] wound great: large much and to fall: kill from Israel thirty thousand on foot
11 Lile sanduku la Mungu lilichukuliwa, na watoto wa Eli, Hofni na Finehasi waliuawa.
and ark God to take: take and two son: child Eli to die Hophni and Phinehas
12 Mtu mmoja wa Benjamini alikimbia kutoka uwanja wa vita akaja Shilo siku iyo hiyo, aliwasili na mavazi yake yamechanika na matope kichwani pake.
and to run: run man Benjamin from [the] rank and to come (in): come Shiloh in/on/with day [the] he/she/it and garment his to tear and land: soil upon head his
13 Alipofika, Eli alikuwa amekaa kitini pake karibu na barabara akitazama kwa sababu moyo wake ulitetemeka kwa ajili ya sanduku la Mungu. Mtu yule alipoingia mjini na kutoa taarifa, mji wote ulilia.
and to come (in): come and behold Eli to dwell upon [the] throne: seat (hand: by *Q(K)*) way: road to watch for to be heart his trembling upon ark [the] God and [the] man to come (in): come to/for to tell in/on/with city and to cry out all [the] city
14 Eli aliposikia kelele ya kilio kile, alisema, “Kilio hicho kina maana gani?” Kwa haraka mtu yule alikuja na kumweleza Eli.
and to hear: hear Eli [obj] voice: sound [the] cry and to say what? voice: sound [the] crowd [the] this and [the] man to hasten and to come (in): come and to tell to/for Eli
15 Basi Eli alikuwa na umri wa miaka tisini na nane; macho yake yamepofuka, na hakuweza kuona.
and Eli son: aged ninety and eight year and eye his to arise: establish and not be able to/for to see: see
16 Yule mtu akamwambia Eli, “Mimi ndiye nimechomoka kutoka vitani. Nimetoroka kutoka kwenye mapigano leo.” Eli akasema, “Mambo yalienda namna gani, mwanangu?”
and to say [the] man to(wards) Eli I [the] to come (in): come from [the] rank and I from [the] rank to flee [the] day and to say what? to be [the] word: thing son: child my
17 Yule mtu aliyeleta hizo habari alijibu na kusema, “Israeli wamewakimbia Wafilisti. Pia watu wengi wameuwawa. Watoto wako, Hofni na Finehasi, wamekufa, na sanduku la Mungu limechukuliwa.”.
and to answer [the] to bear tidings and to say to flee Israel to/for face: before Philistine and also plague great: large to be in/on/with people and also two son: child your to die Hophni and Phinehas and ark [the] God to take: take
18 Alipotamka sanduku la Mungu, Eli alianguka chali kutoka kwenye kiti chake karibu na mlango. akavunjika shingo lake, na kufariki, kwa sababu alikuwa mzee tena mzito. Naye alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka arobaini.
and to be like/as to remember he [obj] ark [the] God and to fall: fall from upon [the] throne: seat backwards about/through/for hand: to [the] gate and to break neck his and to die for be old [the] man and heavy and he/she/it to judge [obj] Israel forty year
19 Basi mkwewe, mke wa Finihasi, alikuwa mjamzito akikaribia kujifungua. aliposikia habari kwamba sanduku la Mungu limetekwa nyara na kwamba baba mkwe na mme wake wamefariki, alichuchumaa chini akajifungua, lakini utungu wake ulimzidi na ulimtaabisha sana.
and daughter-in-law his woman: wife Phinehas pregnant to/for to beget and to hear: hear [obj] [the] tidings to(wards) to take: take ark [the] God and to die father-in-law her and man: husband her and to bow and to beget for to overturn upon her pang her
20 Alipokaribia kufariki, wanawake waliokuwa wakimhudumia walisema, “Usiogope, maana umejifungua mtoto wa kiume.” Lakini hakuwajibu lolote au kuzingatia alichoambiwa.
and like/as time to die she and to speak: speak [the] to stand upon her not to fear for son: child to beget and not to answer and not to set: consider heart her
21 Akamwita mtoto Ikabodi, akisema, “Utukufu umetoweka Israeli!” Kwa sababu sanduku la Mungu limetekwa nyara, na kwa sababu ya kifo cha baba mkwe na mme wake.
and to call: call by to/for youth Ichabod Ichabod to/for to say to reveal: remove glory from Israel to(wards) to take: take ark [the] God and to(wards) father-in-law her and man: husband her
22 Na alisema, “Utukufu umetoweka kutoka Israeli, kwa sababu sanduku la Mungu limetekwa nyala.”
and to say to reveal: remove glory from Israel for to take: take ark [the] God

< 1 Samweli 4 >