< 1 Samweli 31 >

1 Basi Wafilisti wakapigana dhidi ya Waisraeli. Waisraeli wakakimbia mbele ya Wafilisti na wakaanguka chini wakafa katika mlima wa Gilboa.
فلسطینی‌ها با اسرائیلی‌ها وارد جنگ شدند و آنها را شکست دادند. اسرائیلی‌ها فرار کردند و در دامنهٔ کوه جلبوع، تلفات زیادی به جای گذاشتند.
2 Wafilisti wakamwandama Sauli na wanawe kwa karibu. Wakawaua wanawe Yonathani, Abinadabu, and Malkishua.
فلسطینی‌ها شائول و پسران او یوناتان، ابیناداب و ملکیشوع را محاصره کردند و پسرانش را کشتند.
3 Vita vikamwelemea Sauli, na wapiga upinde wakampata. Akapata maumivu makali kwa sababu yao.
عرصه بر شائول تنگ شد و تیراندازان فلسطینی دورش را گرفته او را به سختی مجروح کردند.
4 Kisha Sauli akamwambia mbeba silaha wake, “Chomoa upanga wako unichome nao. Vinginevyo, hawa wasiotahiriwa watakuja na kuninyanyasa.” Lakini mbeba silaha wake hakukubali, kwa kuwa aliogopa sana. Hivyo Sauli alichukua upanga wake mwenyewe na kuuangukia.
پس شائول به سلاحدار خود گفت: «پیش از آنکه به دست این کافران بیفتم و با رسوایی کشته شوم، تو با شمشیرت مرا بکش!» ولی آن مرد ترسید این کار را بکند. پس شائول شمشیر خود را گرفت و خود را بر آن انداخت و مرد.
5 Yule mbeba silaha akaona kwamba Sauli amekufa, yeye naye vivyo hivyo akauangukia upanga wake akafa pamoja naye.
محافظ شائول چون او را مرده دید، او نیز خود را روی شمشیرش انداخت و همراه شائول مرد.
6 Kwa hiyo Sauli alikufa, wanawe watatu, na mbeba silaha wake - watu hawa wote walikufa pamoja siku iyo hiyo.
بدین ترتیب، شائول و سه پسرش و سلاحدار وی و همهٔ افرادش در آن روز کشته شدند.
7 Watu wa Israeli waliokuwa upande mwingine wa bonde, na hao waliokuwa ng'ambo ya Yordani, walipoona kwamba Waisraeli wamekimbia, na kwamba Sauli na wanawe wamekufa, waliiacha miji yao na kukimbia, nao Wafilisti wakaja na kukaa humo.
اسرائیلی‌هایی که در آن سوی درۀ یزرعیل و شرق رود اردن بودند، وقتی شنیدند که سربازانشان فرار کرده و شائول و پسرانش کشته شده‌اند، شهرهای خود را ترک نموده گریختند. پس فلسطینی‌ها آمدند و در آن شهرها ساکن شدند.
8 IKawa katika siku iliyofuata, Wafilisti wakafika kuchukua nyara za waliokufa, ndipo wakamuona Sauli na wanawe watatu wameanguka juu ya mlima wa Gilboa.
در فردای آن روز، چون فلسطینی‌ها برای غارت کشته‌شدگان رفتند، جنازهٔ شائول و سه پسرش را که در کوه جلبوع افتاده بود یافتند.
9 Nao wakakata kichwa chake na kuondoa silaha zake, na wakawatuma wajumbe kwenda pande zote katika nchi ya Wafilisti kutangaza habari hizo katika mahekalu yao ya sanamu na kwa watu.
آنها سر شائول را از تنش جدا کرده، اسلحهٔ او را باز کردند، سپس جارچیان به سراسر فلسطین فرستادند تا خبر کشته شدن شائول را به بتخانه‌ها و مردم فلسطین برسانند.
10 Wakaziweka silaha zake katika hekalu la Ashtorethi, nao wakakitundika kiwiliwili chake kwenye ukuta wa mji wa Bethi Shani.
اسلحهٔ شائول را در بتخانهٔ عشتاروت گذاشتند و جسدش را بر دیوار شهر بیتْ‌شان آویختند.
11 Na wenyeji wa Yabeshi Gileadi waliposikia kile Wafilisti walichomfanyia Sauli,
وقتی ساکنان یابیشِ جلعاد، آنچه را که فلسطینی‌ها بر سر شائول آورده بودند شنیدند،
12 wapiganaji wote wakainuka na kwenda usiku wote na wakauondoa mwili wa Sauli na miili ya wanawe kutoka ukuta wa Bethi Shani. Nao wakaenda Yabeshi na wakaichoma moto hiyo miili huko.
مردان دلاور خود را به بیت‌شان فرستادند. آنها تمام شب در راه بودند تا سرانجام به بیتْ‌شان رسیدند و اجساد شائول و پسرانش را از دیوار پایین کشیده، به یابیش آوردند و آنها را در آنجا سوزاندند.
13 Kisha wakachukua mifupa yao na kuizika chini ya mti wa mkwaju huko Yabeshi, na wakafunga siku saba.
سپس استخوانهای ایشان را گرفته، زیر درخت بلوطی که در یابیش است دفن کردند و هفت روز روزه گرفتند.

< 1 Samweli 31 >