< 1 Samweli 31 >

1 Basi Wafilisti wakapigana dhidi ya Waisraeli. Waisraeli wakakimbia mbele ya Wafilisti na wakaanguka chini wakafa katika mlima wa Gilboa.
А филистимците воюваха против Израиля; и Израилевите мъже побягнаха от филистимците и паднаха убити в хълма Гелвуе.
2 Wafilisti wakamwandama Sauli na wanawe kwa karibu. Wakawaua wanawe Yonathani, Abinadabu, and Malkishua.
И филистимците настигнаха Саула и синовете му; и филистимците убиха Сауловите синове Ионатана, Авинадава и Мелхусия.
3 Vita vikamwelemea Sauli, na wapiga upinde wakampata. Akapata maumivu makali kwa sababu yao.
И битката се засилваше против Саула, и стрелците го улучиха; и той бе тежко ранен от стрелците.
4 Kisha Sauli akamwambia mbeba silaha wake, “Chomoa upanga wako unichome nao. Vinginevyo, hawa wasiotahiriwa watakuja na kuninyanyasa.” Lakini mbeba silaha wake hakukubali, kwa kuwa aliogopa sana. Hivyo Sauli alichukua upanga wake mwenyewe na kuuangukia.
Тогава Саул каза на оръженосеца си: Изтегли меча си, та ме прободи с него, за да не дойдат тия необрязани та ме прободат и се поругаят с мене. Но оръженосецът му не прие, защото много се боеше. Затова Саул взе меча си та падна върху него.
5 Yule mbeba silaha akaona kwamba Sauli amekufa, yeye naye vivyo hivyo akauangukia upanga wake akafa pamoja naye.
И като видя оръженосецът му, че Саул умря, падна и той на меча си и умря с него.
6 Kwa hiyo Sauli alikufa, wanawe watatu, na mbeba silaha wake - watu hawa wote walikufa pamoja siku iyo hiyo.
Така умря Саул, тримата му сина, оръженосецът му, и всичките му мъже заедно в същия онзи ден.
7 Watu wa Israeli waliokuwa upande mwingine wa bonde, na hao waliokuwa ng'ambo ya Yordani, walipoona kwamba Waisraeli wamekimbia, na kwamba Sauli na wanawe wamekufa, waliiacha miji yao na kukimbia, nao Wafilisti wakaja na kukaa humo.
Тогава Израилевите мъже, които бяха оттатък долината и отвъд Иордан, като видяха, че Израилевите мъже бягаха, и че Саул и синовете му измряха, напуснаха градовете, та побягнаха; а филистимците дойдоха и се заселиха в тях.
8 IKawa katika siku iliyofuata, Wafilisti wakafika kuchukua nyara za waliokufa, ndipo wakamuona Sauli na wanawe watatu wameanguka juu ya mlima wa Gilboa.
А на следния ден, когато филистимците дойдоха да съблекат убитите, намериха Саула и тримата му сина паднали на хълма Гелвуе.
9 Nao wakakata kichwa chake na kuondoa silaha zake, na wakawatuma wajumbe kwenda pande zote katika nchi ya Wafilisti kutangaza habari hizo katika mahekalu yao ya sanamu na kwa watu.
И отсякоха главата му и снеха оръжията му, и изпратиха човеци навред из филистимската земя, за да разнесат известие в капищата на идолите си и между людете.
10 Wakaziweka silaha zake katika hekalu la Ashtorethi, nao wakakitundika kiwiliwili chake kwenye ukuta wa mji wa Bethi Shani.
И оръжията му положиха в капището на астартите, а тялото му обесиха на стената на Ветсан.
11 Na wenyeji wa Yabeshi Gileadi waliposikia kile Wafilisti walichomfanyia Sauli,
А като чуха жителите на Явис-галаад това, което филистимците направиха на Саула,
12 wapiganaji wote wakainuka na kwenda usiku wote na wakauondoa mwili wa Sauli na miili ya wanawe kutoka ukuta wa Bethi Shani. Nao wakaenda Yabeshi na wakaichoma moto hiyo miili huko.
всичките храбри мъже станаха и, като ходиха цялата нощ, снеха тялото на Саула и телата на синовете му от стената на Ветсан, и като дойдоха в Явис, там ги изгориха.
13 Kisha wakachukua mifupa yao na kuizika chini ya mti wa mkwaju huko Yabeshi, na wakafunga siku saba.
И взеха костите им та ги закопаха под дървото в Явис, и постиха седем дена.

< 1 Samweli 31 >