< 1 Samweli 30 >
1 Ikawa, Daudi na watu wake walipokuwa wamefika Ziklagi siku ya tatu, Waamaleki walifanya mashambulizi katika Negevu na Ziklagi. Waliupiga Ziklagi, wakauchoma moto mji,
A gdy trzeciego dnia Dawid i jego ludzie przybyli do Siklag, Amalekici najechali już na południe i na Siklag, zburzyli Siklag i spalili go ogniem;
2 na kuwachukua mateka wanawake na kila mmoja aliyekuwa ndani yake, mkubwa kwa mdogo. Wao hawakuua hata mmoja, lakini waliwachukua watu na kuondoka nao.
I zabrali do niewoli kobiety, które w nim były. Nikogo nie zabili, od najmniejszego aż do wielkiego, ale uprowadzili [ich] i odeszli swoją drogą.
3 Daudi na watu wake walipofika kwenye mji, ulikuwa umechomwa moto - na wake zao, watoto wao wakiume na wakike walichukuliwa mateka.
A gdy Dawid i jego ludzie przyszli do miasta, było ono spalone ogniem, a ich żony, synów i córki zabrano do niewoli.
4 Ndipo Daudi na watu aliokuwa nao wakapaza sauti zao na kulia hadi walipokuwa hawana nguvu zaidi za kulia.
Wtedy Dawid i lud, który z nim był, podnieśli swój głos i płakali, aż im zabrakło sił do płaczu.
5 Wake wawili wa Daudi walichukuliwa mateka, yaani Ahinoamu Myezreeli, na Abigaili aliyekuwa mke wa Nabali Mkarmeli.
Zabrano do niewoli także obie żony Dawida: Achinoam Jizreelitkę i Abigail, [dawną] żonę Nabala z Karmelu.
6 Daudi aliguswa sana, maana watu walikuwa wanaongea kuhusu kumpiga mawe, kwa sababu roho za watu wote walihuzunika, kila mtu kwa ajili ya mtoto wake wakiume na wakike, lakini Daudi alijiimarisha katika BWANA, Mungu wake.
I Dawid znalazł się w wielkim utrapieniu, bo lud chciał go ukamienować. Dusza całego ludu bowiem była rozgoryczona z powodu swoich synów i córek. Dawid zaś wzmocnił się w PANU, swym Bogu.
7 Daudi akamwambia Abiathari, kuhani, mwana wa Ahimeleki, “Tafadhali, niletee hapa ile naivera.”Abiathari akaileta hiyo naivera kwa Daudi.
Wtedy Dawid powiedział do kapłana Abiatara, syna Achimeleka: Przynieś mi, proszę, efod. I Abiatar przyniósł efod Dawidowi.
8 Daudi akamwomba BWANA kwa ajili ya mwongozo, akisema, “Je, kama nikiliandama jeshi hili, nitalipata?” BWANA akamjibu, “Wafuate, maana kweli utawapata, na kwa hakika utarudisha kila kitu.”
I Dawid radził się PANA, pytając: Czy mam ścigać to wojsko? Czy je dogonię? PAN odpowiedział mu: Ścigaj, bo na pewno dogonisz i na pewno odbierzesz [łup].
9 Kwa hiyo Daudi akaenda, yeye na wale watu mia sita waliokuwa pamoja naye; nao wakafika katika kijito cha Bethori, mahali walipokaa wale walioachwa nyuma.
Dawid wyruszył więc, on i sześciuset ludzi, których miał ze sobą, i dotarli do potoku Besor. Tam niektórzy pozostali.
10 Lakini Daudi aliendelea kuwafuata, yeye na watu mia nne; maana wale mia mbili walibaki nyuma, wakiwa wamechoka kiasi cha kutoweza kuvuka kijito cha Besori.
Dawid zaś ścigał ich wraz z czterystu ludźmi. Dwustu ludzi bowiem pozostało, gdyż byli zbyt zmęczeni, żeby przejść przez potok Besor.
11 Nao walimkuta Mmisri shambani na wakamleta kwa Daudi; wakampatia mkate, na akala; wakampa maji ya kunywa;
A w polu natknęli się na Egipcjanina i przyprowadzili go do Dawida. Dali mu chleba i jadł, dali mu też wody i pił;
12 kisha walimpa kipande cha keki ya tini na vishada viwili vya zabibu. Alipomaliza kula, akapata nguvu tena, kwa kuwa alikuwa hajala mkate wala kunywa maji, siku tatu mchana na usiku.
Dali mu także kawałek placka figowego i dwa pęczki rodzynków. Kiedy to zjadł, ożył w nim jego duch, gdyż przez trzy dni i trzy noce nie jadł chleba ani nie pił wody.
13 Ndipo Daudi akamuuliza, “Wewe ni mtu wa nani? Je, unatoka wapi?” Naye akajibu, “Mimi ni kijana wa Misri, mtumishi wa Mwamaleki mmoja; bwana wangu aliniacha, kwa sababu siku tatu zilizopita nilikuwa mgonjwa.
Wtedy Dawid zapytał go: Do kogo należysz? Skąd jesteś? Odpowiedział: Jestem młodym Egipcjaninem, sługą Amalekity. Mój pan porzucił mnie, bo zachorowałem trzy dni temu.
14 Tulifanya mashambulizi dhidi ya Negevu ya Wakerethi, na iliyochini ya Yuda, na ile Negevu ya Kalebu, na kuichoma moto Ziklagi.”
Najechaliśmy na południe od Keretytów, obszar Judy i na południe od Kaleba i podpaliliśmy Siklag ogniem.
15 Daudi akamwambia, “Je, utanipeleka hadi kwa jeshi lililofanya mashabulizi?” Huyo Mmisri akasema, “Uniapie kwa Mungu kwamba hautaniua au kunisaliti na kuniweka katika mikono ya bwana wangu, nami nitakupeleka liliko hilo jeshi.”
Dawid zapytał go: Czy mógłbyś mnie zaprowadzić do tej zgrai? Odpowiedział: Przysięgnij mi na Boga, że mnie nie zabijesz ani mnie nie wydasz w ręce mego pana, a zaprowadzę cię do tej zgrai.
16 Yule Mmisri alipompeleka huko Daudi, hao wateka nyara walikuwa wametawanyika kila sehemu, wakila na kunywa, na wakicheza, kwa sababu ya nyara zote walizokuwa wamezitwaa kutoka nchi ya Wafilisti na kutoka nchi ya Yuda.
I zaprowadził go, a oto byli rozproszeni po całej ziemi, jedli, pili i świętowali z powodu całego tego wielkiego łupu, który zabrali z ziemi Filistynów i z ziemi Judy.
17 Daudi akawashambulia tangu jua lilipozama hadi jioni ya siku ya pili. Hakuna mtu aliyeponyoka isipokuwa vijana mia nne, waliopanda ngamia na kukimbia.
I Dawid bił ich od zmierzchu aż do wieczora dnia następnego. Żaden z nich nie ocalał oprócz czterystu młodzieńców, którzy wsiedli na wielbłądy i uciekli.
18 Daudi akarudisha vyote ambavyo Waamaleki walikuwa wamevichukua; na Daudi akawaokoa wake zake wawili.
Tak Dawid odzyskał wszystko, co zabrali Amalekici. Dawid uratował także swoje dwie żony.
19 Hakuna kilichopotea, si kidogo wala kikubwa, si watoto wa kiume wala wa kike, si mali iliyotekwa, wala chochote ambacho wavamizi alikichukuwa kwa ajili yao. Daudi akawa amerejesha kila kitu.
Nie zabrakło im nikogo, od najmniejszego do największego, ani synów, ani córek, ani łupu, ani niczego, co im zabrali. Dawid odzyskał wszystko.
20 Akachukua makundi yote ya kondoo na ng'ombe, ambayo watu waliyatanguliza mbele ya ng'ombe wengine. Wakisema, “Hizi ni nyara za Daudi.”
Potem Dawid zabrał wszystkie trzody i stada, które pędzono przed jego dobytkiem, i mówiono: To jest łup Dawida.
21 Daudi akafika kwa wale watu mia mbili waliokuwa wamechoka kufuatana naye, wale walioachwa wakae katika kijito cha Besori. Watu hawa wakajitokeza kumlaki na watu waliokuwa naye.
I Dawid przybył do tych dwustu ludzi, którzy byli tak zmęczeni, że nie mogli iść za Dawidem, i którym kazał zostać przy potoku Besor. Wyszli oni naprzeciw Dawida i naprzeciw ludzi, którzy z nim byli. A gdy Dawid zbliżył się do tych ludzi, pozdrowił ich.
22 Ndipo watu wote waovu na wasiofaa miongoni mwa waliokwenda na Daudi wakasema, “Kwa sababu watu hawa hawakwenda nasi, hatutawapa chochote kutoka katika nyara tulizorudisha. Isipokuwa kila mtu aweza kuchukuwa mke na watoto wake, wawatoe na kwenda zao.”
Lecz wszyscy źli ludzie i synowie Beliala, którzy poszli z Dawidem, powiedzieli: Ponieważ ci nie poszli z nami, nie damy im nic z łupu, który odzyskaliśmy, oddamy tylko każdemu jego żonę i dzieci. Niech ich wezmą i odejdą.
23 Ndipo Daudi akasema, “Ndugu zangu, msifanye hivyo, kwa vitu ambavyo BWANA ametupatia. Ametuhifadhi na kuwaweka mkononi mwetu wavamizi waliotuinukia.
Wtedy Dawid powiedział: Moi bracia, nie uczynicie tak z tym, co PAN nam dał. On nas strzegł i wydał w nasze ręce zgraję, która na nas napadła.
24 Ni nani atawasikiliza kuhusu jambo hili? Kwa maana mgawo ni kwa yeyote aendae vitani, basi pia mgawo ni kwa yeyote aliyelinda mizigo; Nao watapata tena kilicho sawa.”
I któż was posłucha w tej sprawie? Bo jaki jest udział tego, który wyruszył na bitwę, taki też będzie udział tego, który został przy taborze; jednakowo się podzielą.
25 Ilikuwa hivyo tangu siku hiyo hadi leo, maana Daudi aliamua iwe sheria na amri kwa Israeli.
I tak zostało od tego dnia na przyszłość: ustalono to jako prawo i zwyczaj w Izraelu aż do dziś.
26 Daudi alipofika Ziklagi, alituma sehemu ya nyara kwa wazee wa Yuda, kwa rafiki zake, akisema, “Tazama, hii ni zawadi yenu kutokana na nyara za adui wa BWANA.”
A gdy Dawid przybył do Siklag, posłał część łupu starszym Judy, swym przyjaciołom, ze słowami: Oto błogosławieństwo dla was z łupu wrogów PANA;
27 Zawadi zilienda kwa wazee waliokuwa Bethueli, na kwa hao waliokuwa Ramothi iliyoko kusini, na kwa hao waliokuwa Yatiri,
Tym, którzy byli w Betel, i tym w Ramat na południu, i tym w Jattir;
28 na kwa hao waliokuwa Aroeri, na kwa hao waliokuwa Sifmothi, na kwa hao waliokuwa Eshtemoa
I tym w Aroerze, i tym w Sifmot, i tym w Esztemoa;
29 Pia kwa wazee waliokuwa Rakali, na kwa hao waliokuwa katika miji ya Wayerameeli, na kwa hao waliokuwa katika miji ya Wakeni,
I tym w Rachal, i tym w miastach Jerachmeelitów, i tym w miastach Kenitów;
30 na kwa hao waliokuwa Horma, na kwa hao waliokuwa Borashani, na kwa hao waliokuwa Athaki,
I tym w Chorma, i tym w Choraszan, i tym w Atach;
31 na kwa hao waliokuwa Hebroni, na kwa sehemu zote ambazo Daudi mwenyewe na watu wake walizoea kwenda.
I tym w Hebronie, i tym we wszystkich miejscach, gdzie pomieszkiwał Dawid wraz ze swymi ludźmi.