< 1 Samweli 3 >

1 Yule mtoto Samweli alimtumikia BWANA chini ya uangalizi wa Eli. Neno la BWANA halikupatikana kwa wingi siku hizo; hapakuwa na maono ya mara kwa mara ya kinabii.
Mek'vne Şamuelee, Eliyne k'ane Rəbbis k'ılyvalla ha'a vuxha. Mane gahbışil Rəbbin cuvabıy gyaguybı zarada-zarada eyxhenbı deşdiy.
2 Wakati huo, nguvu ya macho ya Eli ilikuwa imefifia kiasi cha kutoweza kuona vizuri, na alikuwa amelala kitandani mwake.
Sa xəmde Eliy cune tyulee g'alirxhu ıxha. Mang'une uleppışik'le yugda g'ece ıxha deş.
3 Ile taa ya BWANA bado ilikuwa bado inawaka, na Samweli alikuwa amelala katika nyumba ya BWANA, palipokuwa na sanduku la Mungu.
Şamuelymee Rəbbine xaa g'alirxhu eyxhe. Allahna q'utyeb mane xaa vuxha. Maana Allahna bazirıb k'əpq'ı' vuxha deş.
4 BWANA akamwita Samweli, naye akaitika, “Niko hapa”
Rəbbee Şamuelilqa ona'a, mang'veeyir «İnyaa vorva» alidghıniy qele.
5 Samweli alimwedea Eli na kusema, “Niko hapa, sababu uliniita.” Eli akasema, “Sikukuita; kalale tena.” Hivyo Samweli akarudi na kulala.
Qiyğar Eliyne k'anyaqa g'adarxhun «Zalqa onu'iynne, zı inyaa vorva» uvhu. Eliyeemee «Zı onu'u deş, hoora g'alixheva» eyhe. Şamuelir ark'ın g'ılexhana.
6 BWANA akamwita tena, “Samweli.” Saamweli aliamka tena na kwenda kwa Eli na kusema, Niko hapa, sababu umeniita.” Eli akajibu, “Sijakuita, mwanangu; kalale tu tena.” 8
Rəbbee «Şamuelyva» meed ona'an. Şamuel meer oza qıxha Eliyne k'anyaqa ark'ın «Zalqa onu'iynne? Zı inyaa vorva!» eyhe. Eliyee «Zı onu'u deş. Dix, hoora g'alixheva» alidghıniy qele.
7 Basi Samweli bado hakuwa na uzoefu kuhusu Bwana, wala hakuwahi kupata ujumbe wowote kutoka kwa BWANA ukifunuliwa kwake.
Şamuelik'le manke Rəbb ats'a deşdiy, Rəbbee mang'us cuvabıd aaqı deşdiy.
8 BWANA akamwita tena Samweli kwa mara ya tatu. Samweli alinyanyuka tena na kwenda kwa Eli na kusema, “Niko hapa, sababu uliniita,” Ndipo Eli alitambua kwamba BWANA alimwita kijana.
Rəbbee xhebe'es Şamuelilqa onu'umee, mana tyuleençe suğotsu Eliyne k'anyaqa ark'ın, eyhen: – Ğu zalqa onu'uva, zı inyaa vor. Manke Eliylqa hiyxharan, mek'vne Şamuelilqa onu'una Rəbb ıxhava.
9 Kisha Eli aka, mwambia Samweli, “Nenda ukalale tena; ikiwa atakuita tena, sharti useme, 'Sema, BWANA, maana mtumwa wako anasikiliza.”' Hivyo Samweli akaenda na kulala mahali pake tena.
Mançil-allad Şamuelik'le eyhen: – Hoora g'alixhe, meed valqa one'ee, inəxüd eyhe: «Yuşan he'e, ya Rəbb, Yiğne g'ulee k'ırı iliyxhe vod.» Şamuelir ark'ın cune tyuleqa k'eç'ena.
10 BWANA alikuja na kusimama; akaita vilevile kama vile mwanzoni, “Samweli, Samweli.” Ndipo Samweli akasema, “Nena, kwa sababu mtumwa wako anasikiliza.”
Rəbb arı maa'ar ulyorzul şene ögiylin xhinne «Şamuel! Şamuelyva!» ona'anan. Şamuelee eyhen: – Yuşan he'e, ya Rəbb, Yiğne g'ulee k'ırı iliyxhe vod.
11 BWANA akasema na Samweli, “Tazama, Niko tayari kufanya jambo katika Israeli ambalo masikio ya kila mmoja akisikia atashtuka. -14
Rəbbee Şamuelik'le inəxüd eyhe: – Zı İzrailil məxbına iş g'avces, g'ayxhiyng'un k'ırı g'avayghas.
12 Siku hiyo nitatimiza kila kitu nilichokisema dhidi ya Eli kuhusu nyumba yake, kutoka mwanzo hadi mwisho.
Mane yiğıl, Eliyne xizanne hək'ee uvhuyn gırgın, Zı qomançe k'anyaqqamee ha'asın.
13 Nimemwambia kwamba niko tayari kuhukumu nyumba yake mara moja kwa ile dhambi aliyoifahamu, kwa sababu watoto wake walijiletea laana juu yao wenyewe na hakuwazuia.
Zı cuk'le uvhunniy, cuk'le ats'ane bınahbışil-alla Zı cune xizanıs gırgıne gahbışisda cazaa hevles. Mang'une dixbışe Zı g'eliqqa huvu. Eliyeemee manbışin ögü ı'xı' deş.
14 Hii ndiyo sababu nimeapa kwa nyumba ya Eli, kwamba dhambi za nyumba yake hazitasahehewa kwa dhabihu au kwa sadaka kamwe.” 16
Zı mançil-allad Eliyne xizanıs k'ınniy g'assır: Eliyne xizanne bınahıle q'urbanıkayiy menne-menne ıkekkane karbışika ılyheç'es deş.
15 Samweli akalala hadi asubuhi; baadaye alifungua milango ya nyumba ya BWANA. Lakini Samweli aliogopa kumwambia Eli kuhusu maono hayo.
Şamuel miç'eerilqamee g'ılexhana, qiyğar oza qıxha Rəbbine xaan akkabı aaqa. Mana cus Allahee gyagu'iyn kar Eliys yuşan ha'as qəyq'ənna.
16 Kisha Eli akamwita Samweli na kusema, “Samweli, mwanangu.” Samweli akasema, “Niko hapa.” 18
Eliyeemee mang'ulqa onu'u eyhen: – Şamuel, yizda dix. Şamueleeyid «Zı inyaa vorva» mang'us alidghıniy qele.
17 Akamuuliza, “Ni neno gani alilokusemesha? Tafadhali usinifiche jambo hilo. Mungu akutendee hivyo na kukuzidishia, endapo utanificha kitu chochote kati ya yote ambayo amesema nawe.”
Eliyee mang'uke qiyghanan: – Rəbbee vak'le hucoovana uvhu? Hucoona ixhes, man zale dyugul hıma'a. Allahee vak'le uvhuynçin, ğu zale saxheeyid dyugul he'ee, hasre Mang'vee vak divan qaqqecen.
18 Samweli akamweleza kila kitu; hakumficha jambo lolote. Eli akasema, “Ni BWANA. Na afanye linaloonekana jema kwake.”
Şamuelee mang'us gırgın yuşan ha'an, vuççud dyugul ha'a deş. Eliyeeme eyhen: – Mana Rəbb vorna, hasre Cus nəxüdiy ıkkan həməxüdud he'ecen.
19 Samweli akakua, na BWANA alikuwa pamoja naye na hakuacha kutimiza maneno yake ya unabii.
Şamuel xər qexhe. Rəbb mang'uka ıxha, Rəbbee Şamuelik'le uvhuyn gırgın kar eyxhen.
20 Israeli yote tokea Dani hadi Beersheba walijua kwamba Samweli aliteuliwa kuwa nabii wa BWANA.
Rəbbee Şamuelike hək'erar peyğambar hı'iy, gırgıne İzrailik'lecad Danile Beer-Şevalqamee ats'axhxhen.
21 Naye BWANA alionekana tena huko Shilo, maana alijifunua mwenyewe kwa Samweli huko Shilo kwa neno lake.
Rəbb meer Şiloyee gyagva giyğal. Mang'vee Cune cuvabıka Vucecar Vuc Şamuelik'le hagva.

< 1 Samweli 3 >