< 1 Samweli 3 >
1 Yule mtoto Samweli alimtumikia BWANA chini ya uangalizi wa Eli. Neno la BWANA halikupatikana kwa wingi siku hizo; hapakuwa na maono ya mara kwa mara ya kinabii.
and [the] youth Samuel to minister [obj] LORD to/for face: before Eli and word LORD to be precious in/on/with day [the] they(masc.) nothing vision to break through
2 Wakati huo, nguvu ya macho ya Eli ilikuwa imefifia kiasi cha kutoweza kuona vizuri, na alikuwa amelala kitandani mwake.
and to be in/on/with day [the] he/she/it and Eli to lie down: lay down in/on/with place his (and eye: seeing his *Q(K)*) to profane/begin: begin faint not be able to/for to see: see
3 Ile taa ya BWANA bado ilikuwa bado inawaka, na Samweli alikuwa amelala katika nyumba ya BWANA, palipokuwa na sanduku la Mungu.
and lamp God before to quench and Samuel to lie down: lay down in/on/with temple LORD which there ark God
4 BWANA akamwita Samweli, naye akaitika, “Niko hapa”
and to call: call to LORD to(wards) Samuel and to say look! I
5 Samweli alimwedea Eli na kusema, “Niko hapa, sababu uliniita.” Eli akasema, “Sikukuita; kalale tena.” Hivyo Samweli akarudi na kulala.
and to run: run to(wards) Eli and to say look! I for to call: call to to/for me and to say not to call: call to to return: again to lie down: lay down and to go: went and to lie down: lay down
6 BWANA akamwita tena, “Samweli.” Saamweli aliamka tena na kwenda kwa Eli na kusema, Niko hapa, sababu umeniita.” Eli akajibu, “Sijakuita, mwanangu; kalale tu tena.” 8
and to add: again LORD to call: call to still Samuel and to arise: rise Samuel and to go: went to(wards) Eli and to say look! I for to call: call to to/for me and to say not to call: call to son: child my to return: again to lie down: lay down
7 Basi Samweli bado hakuwa na uzoefu kuhusu Bwana, wala hakuwahi kupata ujumbe wowote kutoka kwa BWANA ukifunuliwa kwake.
and Samuel before to know [obj] LORD and before to reveal: reveal to(wards) him word LORD
8 BWANA akamwita tena Samweli kwa mara ya tatu. Samweli alinyanyuka tena na kwenda kwa Eli na kusema, “Niko hapa, sababu uliniita,” Ndipo Eli alitambua kwamba BWANA alimwita kijana.
and to add: again LORD to call: call to Samuel in/on/with third and to arise: rise and to go: went to(wards) Eli and to say look! I for to call: call to to/for me and to understand Eli for LORD to call: call to to/for youth
9 Kisha Eli aka, mwambia Samweli, “Nenda ukalale tena; ikiwa atakuita tena, sharti useme, 'Sema, BWANA, maana mtumwa wako anasikiliza.”' Hivyo Samweli akaenda na kulala mahali pake tena.
and to say Eli to/for Samuel to go: went to lie down: lay down and to be if to call: call to to(wards) you and to say to speak: speak LORD for to hear: hear servant/slave your and to go: went Samuel and to lie down: lay down in/on/with place his
10 BWANA alikuja na kusimama; akaita vilevile kama vile mwanzoni, “Samweli, Samweli.” Ndipo Samweli akasema, “Nena, kwa sababu mtumwa wako anasikiliza.”
and to come (in): come LORD and to stand and to call: call to like/as beat in/on/with beat Samuel Samuel and to say Samuel to speak: speak for to hear: hear servant/slave your
11 BWANA akasema na Samweli, “Tazama, Niko tayari kufanya jambo katika Israeli ambalo masikio ya kila mmoja akisikia atashtuka. -14
and to say LORD to(wards) Samuel behold I to make: do word: thing in/on/with Israel which all to hear: hear him to tingle two ear his
12 Siku hiyo nitatimiza kila kitu nilichokisema dhidi ya Eli kuhusu nyumba yake, kutoka mwanzo hadi mwisho.
in/on/with day [the] he/she/it to arise: establish to(wards) Eli [obj] all which to speak: speak to(wards) house: household his to profane/begin: begin and to end: finish
13 Nimemwambia kwamba niko tayari kuhukumu nyumba yake mara moja kwa ile dhambi aliyoifahamu, kwa sababu watoto wake walijiletea laana juu yao wenyewe na hakuwazuia.
and to tell to/for him for to judge I [obj] house: household his till forever: enduring in/on/with iniquity: crime which to know for to lighten to/for them son: child his and not to rebuke in/on/with them
14 Hii ndiyo sababu nimeapa kwa nyumba ya Eli, kwamba dhambi za nyumba yake hazitasahehewa kwa dhabihu au kwa sadaka kamwe.” 16
and to/for so to swear to/for house: household Eli if: surely yes to atone iniquity: crime house: household Eli in/on/with sacrifice and in/on/with offering till forever: enduring
15 Samweli akalala hadi asubuhi; baadaye alifungua milango ya nyumba ya BWANA. Lakini Samweli aliogopa kumwambia Eli kuhusu maono hayo.
and to lie down: lay down Samuel till [the] morning and to open [obj] door house: temple LORD and Samuel to fear from to tell [obj] [the] vision to(wards) Eli
16 Kisha Eli akamwita Samweli na kusema, “Samweli, mwanangu.” Samweli akasema, “Niko hapa.” 18
and to call: call to Eli [obj] Samuel and to say Samuel son: child my and to say look! I
17 Akamuuliza, “Ni neno gani alilokusemesha? Tafadhali usinifiche jambo hilo. Mungu akutendee hivyo na kukuzidishia, endapo utanificha kitu chochote kati ya yote ambayo amesema nawe.”
and to say what? [the] word: thing which to speak: speak to(wards) you not please to hide from me thus to make: do to/for you God and thus to add if to hide from me word: thing from all [the] word: thing which to speak: speak to(wards) you
18 Samweli akamweleza kila kitu; hakumficha jambo lolote. Eli akasema, “Ni BWANA. Na afanye linaloonekana jema kwake.”
and to tell to/for him Samuel [obj] all [the] word: thing and not to hide from him and to say LORD he/she/it [the] pleasant (in/on/with eye: appearance his *Q(K)*) to make: do
19 Samweli akakua, na BWANA alikuwa pamoja naye na hakuacha kutimiza maneno yake ya unabii.
and to magnify Samuel and LORD to be with him and not to fall: fall from all word his land: soil [to]
20 Israeli yote tokea Dani hadi Beersheba walijua kwamba Samweli aliteuliwa kuwa nabii wa BWANA.
and to know all Israel from Dan and till Beersheba Beersheba for be faithful Samuel to/for prophet to/for LORD
21 Naye BWANA alionekana tena huko Shilo, maana alijifunua mwenyewe kwa Samweli huko Shilo kwa neno lake.
and to add: again LORD to/for to see: see in/on/with Shiloh for to reveal: reveal LORD to(wards) Samuel in/on/with Shiloh in/on/with word LORD