< 1 Samweli 3 >

1 Yule mtoto Samweli alimtumikia BWANA chini ya uangalizi wa Eli. Neno la BWANA halikupatikana kwa wingi siku hizo; hapakuwa na maono ya mara kwa mara ya kinabii.
Amo eso galu, goihadi Sa: miuele da Ilai hi olelelaleamusu e da Hina Gode Ea hawa: hamosu. Amo esoha, Hina Gode da Ea fi dunuma bagade hame sia: i. Amola esala ba: su bagahamedafa ba: i.
2 Wakati huo, nguvu ya macho ya Eli ilikuwa imefifia kiasi cha kutoweza kuona vizuri, na alikuwa amelala kitandani mwake.
Ilai ea si da gadenenewane dofoi dagoi ba: i. Gasi afaega e da hina: seseiga golai dialu.
3 Ile taa ya BWANA bado ilikuwa bado inawaka, na Samweli alikuwa amelala katika nyumba ya BWANA, palipokuwa na sanduku la Mungu.
Sa: miuele da Gode Ea diasu (amo ganodini da Gode Ea Sema Gousa: su Gagili galu) amo ganodini golai dialu. Hehebolo mabe galu, gamali da nenanobawane,
4 BWANA akamwita Samweli, naye akaitika, “Niko hapa”
Hina Gode da Sa: miuelema wele sia: i. E da bu adole i, “Wae!”
5 Samweli alimwedea Eli na kusema, “Niko hapa, sababu uliniita.” Eli akasema, “Sikukuita; kalale tena.” Hivyo Samweli akarudi na kulala.
Amalu, e da Ilaima hehenaiya asili, ema adole ba: i, “Dia na wele sia: i amo na da wea!” Be Ilai da bu adole i, “Na da di hame wele sia: i. Di bu golala masa.” Amane sia: beba: le, Sa: miuele da bu golala asi.
6 BWANA akamwita tena, “Samweli.” Saamweli aliamka tena na kwenda kwa Eli na kusema, Niko hapa, sababu umeniita.” Eli akajibu, “Sijakuita, mwanangu; kalale tu tena.” 8
7 Basi Samweli bado hakuwa na uzoefu kuhusu Bwana, wala hakuwahi kupata ujumbe wowote kutoka kwa BWANA ukifunuliwa kwake.
Hina Gode da Sa: miuelema bu eno wele sia: i. Be Sa: miuele da amo da Hina Gode Ea wele sia: sayale hame dawa: i. Bai Hina Gode da musa: ema afae hame sia: su. Amaiba: le, e da wa: legadole, Ilaima asili, amane sia: i, “Dia na wele sia: i amo na da wea.” Be Ilai da bu adole i, “Nagofe! Di na hame wele sia: i. Bu golala masa.”
8 BWANA akamwita tena Samweli kwa mara ya tatu. Samweli alinyanyuka tena na kwenda kwa Eli na kusema, “Niko hapa, sababu uliniita,” Ndipo Eli alitambua kwamba BWANA alimwita kijana.
Hina Gode da Sa: miuelema bu osoda wele sia: i. Amaiba: le, e da wa: legadole, Ilaima asili, amane sia: i, “Dia na wele sia: i amo na da wea.” Amalalu, Ilai da Hina Gode da Sa: miuelema wele sia: sa galebeya dawa: digi.
9 Kisha Eli aka, mwambia Samweli, “Nenda ukalale tena; ikiwa atakuita tena, sharti useme, 'Sema, BWANA, maana mtumwa wako anasikiliza.”' Hivyo Samweli akaenda na kulala mahali pake tena.
Amaiba: le, e da Sa: miuelema amane sia: i, “Di bu golala masa. Be Hina Gode da dima bu wele sia: sea, amane sia: ma, “Hina Gode! Dia sia: ma! Dia hawa: hamosu dunu na da Dia sia: lalabolalebe wea.” Amalu Sa: miuele da bu golala asi.
10 BWANA alikuja na kusimama; akaita vilevile kama vile mwanzoni, “Samweli, Samweli.” Ndipo Samweli akasema, “Nena, kwa sababu mtumwa wako anasikiliza.”
Hina Gode da bu misini, lelu. Hi musa: wele sia: i amanewane Sa: miuelema bu wele sia: i. “Sa: miuele! Sa: miuele!” Amalalu Sa: miuele da bu adole i, “Hina Gode! Dia sia: ma! Dia hawa: hamosu dunu da Dia sia: lalabolalebe wea.”
11 BWANA akasema na Samweli, “Tazama, Niko tayari kufanya jambo katika Israeli ambalo masikio ya kila mmoja akisikia atashtuka. -14
Hina Gode da ema amane sia: i, “Eso afaega, Na da Isala: ili dunu fi ilima se dabe baligili imunu. Dunu huluane da amo hou nababeba: le, dogo giolasimu.
12 Siku hiyo nitatimiza kila kitu nilichokisema dhidi ya Eli kuhusu nyumba yake, kutoka mwanzo hadi mwisho.
Amo esohaga, Na da Ilai ea sosogo fi ilima gagabusu aligima: ne sia: i, amo huluanedafa hamomu.
13 Nimemwambia kwamba niko tayari kuhukumu nyumba yake mara moja kwa ile dhambi aliyoifahamu, kwa sababu watoto wake walijiletea laana juu yao wenyewe na hakuwazuia.
Na da Ilaima adoi dagoi, Na da ea sosogo fi ilima mae yolele se dabe dafawane gebe ianumu. Bai ea mano da Nama lasogole sia: i. Ilai da amo wadela: i hou hamobe dawa: i galu, be logo hame hedofasu.
14 Hii ndiyo sababu nimeapa kwa nyumba ya Eli, kwamba dhambi za nyumba yake hazitasahehewa kwa dhabihu au kwa sadaka kamwe.” 16
Amaiba: le Na da Ilai ea sosogo fi ilima dafawanedafa amane sia: sa. Gobele salasu huluane amola udigili iasu huluane da amo wadela: idafa hou gogolema: ne olofomusa: defele hame ba: mu. Ilia da Na se dabe iasu fawane ba: mu.”
15 Samweli akalala hadi asubuhi; baadaye alifungua milango ya nyumba ya BWANA. Lakini Samweli aliogopa kumwambia Eli kuhusu maono hayo.
Sa: miuele da golai dialobawane soge hadigi ba: i. Amalalu, e da wa: legadole, Hina Gode Ea diasu logo dui. E da ea ba: i liligi Ilaima adomu beda: i galu.
16 Kisha Eli akamwita Samweli na kusema, “Samweli, mwanangu.” Samweli akasema, “Niko hapa.” 18
Ilai da Sa: miuelema wele sia: i, “Sa: miuele! Nagofe!” Sa: miuele da bu adole i, “Wae!”
17 Akamuuliza, “Ni neno gani alilokusemesha? Tafadhali usinifiche jambo hilo. Mungu akutendee hivyo na kukuzidishia, endapo utanificha kitu chochote kati ya yote ambayo amesema nawe.”
Ilai da ema amane adole ba: i, “Hina Gode da dima adi sia: bela: ? Liligi afae nama mae wamolegema. Dia sia: afae Gode Ea dima adoi amo afae hame adosea, E da dima gasa bagade se dabe imunu.”
18 Samweli akamweleza kila kitu; hakumficha jambo lolote. Eli akasema, “Ni BWANA. Na afanye linaloonekana jema kwake.”
Amaiba: le, Sa: miuele da Gode Ea sia: i afae mae wamolegele, e da Gode Ea sia: i liligi huluanedafa Ilaima adodole i. Amalalu, Ilai da amane sia: i, “E da Hina Gode. E da Ea adi hamomusa: dawa: sea, E da hamomu.”
19 Samweli akakua, na BWANA alikuwa pamoja naye na hakuacha kutimiza maneno yake ya unabii.
Sa: miuele da asigilaloba, Hina Gode da e amola gilisili lalusu. Hina Gode da hamobeba: le, Sa: miuele ea sia: be huluane da defele doaga: su.
20 Israeli yote tokea Dani hadi Beersheba walijua kwamba Samweli aliteuliwa kuwa nabii wa BWANA.
Amaiba: le Isala: ili fi la: idi bega: amola la: idi bega: fifilai, ilia da Sa: miuele da dafawane Hina Gode Ea balofede dunu galebeya dawa: digisu.
21 Naye BWANA alionekana tena huko Shilo, maana alijifunua mwenyewe kwa Samweli huko Shilo kwa neno lake.
Hina Gode da musa: Siailou moilaiga Sa: miuelema misini, ema sia: dasu. Amola E da amogai eso bagohame gebewane doaga: ga: su amola sia: olelelalusu. Amalalu, Sa: miuele da sia: beba: le, Isala: ili dunu huluane da ea sia: nabalusu.

< 1 Samweli 3 >