< 1 Samweli 29 >

1 Basi Wafilisti walikusanya pamoja majeshi yao yote huko Afeki; Waisraeli wakapiga kambi karibu na chemchemi iliyoko Yezreeli.
И собраша иноплеменницы вся полки своя во Афек, Израилтяне же ополчишася во Аендоре иже во Иезраели.
2 Nao wakuu wa Wafilisti wakapitwa na mamia kwa maelfu; Daudi na watu wake wakapita wakiwa wa mwisho pamoja na Akishi.
И воеводы иноплеменничи предидяху со стами и тысящами, Давид же и мужие его идяху в последних со Агхусом.
3 Kisha wakuu wa Wafilisti wakasema, “Hawa Waebrania wanafanya nini hapa?” Akishi akawaambia wakuu wengine wa Wafilisti, “Huyu si Daudi, mtumishi wa Sauli, mfalme wa Israeli, ambaye amekaa nami kwa siku hizi, au kwa miaka hii, nami nimeona hana kosa tangu aje kwangu hadi leo?”
И реша воеводы иноплеменничи кто суть идущии сии? И рече Агхус к воеводам иноплеменничим: не сей ли Давид раб Саула царя Израилева, иже бысть с нами дний сие второе лето? И не обретох в нем ничтоже, от дне в оньже прииде ко мне даже до сего дне.
4 Lakini wale wakuu wa Wafilisti walimkasirikia Akishi; wakamwabia, Mfukuze mtu huyo, aende kwake kule ulikompatia; usimruhusu aende nasi vitani, ili asiwe adui yetu katika vita. Kwa jinsi gani mtu huyu angeweza kufanya amani na bwana wake? Siyo kwa gharama ya vichwa vya watu wetu?
И прискорбни быша о нем воеводы иноплеменничи и глаголаша ему: возврати мужа, и да возвратится на место свое, идеже поставил еси его тамо, и да не идет с нами на брань, и да не будет наветник в полцех: и чим примирится сей господину своему? Не главами ли мужей сих?
5 Je, huyu siye Daudi ambaye walimuimba kwa kupokezana na kucheza, wakisema: 'Sauli ameua maelfu yake, Na Daudi makumi elfu yake?”'
Не сей ли есть Давид, емуже изыдоша с лики, глаголюще: победи Саул с тысящами своими, и Давид со тмами своими?
6 Ndipo Akishi alimwita Daudi na kumwambia, “Kama BWANA aishivyo, umekuwa mwema, na kutoka kwako na kuingia kwako pamoja nami katika jeshi ni kwema kama nionavyo mimi; maana sijaona kosa kwako tangu siku unakuja kwangu hadi siku hii ya leo. Hata hivyo, wakuu hawakupendi.
И призва Агхус Давида и рече ему: жив Господь, яко прав ты и благ пред очима моима, и вход твой и исход твой со мною в полце, и яко не обретох в тебе злобы, отнележе еси пришел ко мне до днешняго дне, но пред очима воевод не благ еси ты:
7 Basi sasa rudi na uende kwa amani, ili usiwakwaze wakuu wa Wafilisti.”
и ныне возвратися и иди с миром, и да не сотвориши зла пред очима воевод иноплеменничих.
8 Daudi akamwambia Akishi, “Lakini nimefanya nini? Kitu gani umekiona kwa mtumishi wako kwa muda ambao nimekuwa mbele yako hadi leo, kiasi kwamba nisiende kupigana na adui za bwana wangu mfalme?”
И рече Давид ко Агхусу: что сотворих ти? И что обрел еси в рабе твоем, от негоже дне бех пред тобою, и даже до сего дне, да не иду воевати врагов господина моего царя?
9 Akishi akajibu na kumwambia Daudi, “Najua kwamba hauna lawama mbele zangu kama alivyo malaika wa Mungu; hata hivyo, wale wakuu wa Wafilisti wamesema, Kamwe hatapanda pamoja nasi hadi vitani.'
И отвеща Агхус Давиду: вем, яко благ ты пред очима моима яко Ангел Божий, но воеводы иноплеменничи глаголют: да не идет с нами на брань:
10 Basi sasa amka asubuhi na mapema na watumishi wa bwana wako waliokuja pamoja nawe; mara tu muamkapo asubuhi na mapema na kupata mwanga, ondokeni.”
и ныне востани рано ты и отроцы господина твоего ходящии с тобою и идите на место, идеже поставих вас, и словесе пагубна да не положиши на сердцы твоем, яко благ еси ты предо мною: и востаните рано в путь, егда разсветает вам, и идите.
11 Hivyo Daudi aliamka mapema, yeye pamoja na watu wake, waondoke asubuhi, warudi kule katika nchi ya Wafilisti. Lakini Wafilisti walipanda kwenda Yezreeli.
И урани Давид сам и мужие его отити и стрещи земли иноплеменничи, и иноплеменницы взыдоша на брань во Иезраель.

< 1 Samweli 29 >