< 1 Samweli 27 >
1 Daudi alisema moyoni mwake, “Basi, siku moja nitaangamia kwa mkono wa Sauli; hakuna jambo zuri kwangu kuliko kutoroka hadi nchi ya Wafilisti; Sauli atakata tamaa asinitafute tena ndani ya mipaka yote ya Israeli; kwa njia hii nitaponyoka kutoka mkono wake.”
Niin David ajatteli sydämessänsä: kuitenkin minä yhtenä päivänä joudun Saulin käsiin: ei ole minun parempaa, kuin että minä menen ojetinsa Philistealaisten maalle, että Saul lakkais minua etsimästä kaikissa Israelin rajoissa, ja minä pääsisin hänen käsistänsä.
2 Daudi akaondoka na kuvuka, akiwa pamoja na watu mia sita hadi kwa Akishi mwana wa Maoki, mfalme wa Gathi.
Ja David nousi ja läksi matkaan kuudensadan miehen kanssa, jotka hänen myötänsä olivat, Akiksen Maokin pojan Gatin kuninkaan tykö.
3 Daudi akaishi na Akishi huko Gathi pamoja na watu wake, na kila mtu na familia yake, na Daudi akiwa na wake zake wawili, Ahinoamu Myezreeli, na Abigaili Mkarmeli aliyekuwa mke wa Nabali.
Niin David asui Akiksen tykönä Gatissa, hän ja hänen miehensä itsekukin perheinensä: David ja kaksi hänen emäntäänsä, Ahinoam Jisreelista ja Abigail Nabalin emäntä Karmelista.
4 Sauli akaambiwa kuwa Daudi amekimbilia Gathi, hivyo hakumtafuta tena.
Kuin Saulille sanottiin Davidin paenneen Gatiin, niin ei hän enää häntä etsinyt.
5 Daudi akamwambia Akishi, “Kama nimepata kibali machoni pako, wanipatie mahali katika mojawapo ya miji ya nchi, ili nikae huko: kwa nini mtumishi wako akae pamoja na wewe katika mji wa kifalme?”
Niin David sanoi Akikselle: jos minä olen löytänyt armon sinun edessäs, niin anna minulle yhteen kaupunkiin sia maalle, asuakseni siellä; sillä miksi pitäis sinun palvelias asuman kuninkaallisessa kaupungissa sinun tykönäs?
6 Hivyo siku hiyo Akishi akampa Daudi Ziklagi; ndiyo sababu mji wa Ziklagi ni mali ya wafalme wa Yuda hadi leo.
Sinä päivänä antoi Akis hänelle Ziklagin. Sentähden on Ziklag Juudan kuningasten vielä tänäpänä.
7 Idadi ya siku ambazo Daudi aliishi katika nchi ya Wafilisti ulikuwa mwaka mmoja na miezi minne.
Vaan se aika, minkä David asui Philistealaisten maalla, oli ajastaika ja neljä kuukautta.
8 Daudi na watu wake walizipiga sehemu mbalimbali, wakiteka nyara Wageshuri, Wagirizi, na Waamaleki; kwa maana mataifa hayo ndio walikuwa wakaaji wa nchi, kwa uelekeo wa kwenda Shuri hadi kufika nchi ya Misri. Walikuwa wamekaa katika nchi hiyo toka nyakati za zamani.
Ja David nousi miehinensä ja karkasi Gessurilaisten ja Girsiläisten ja Amalekilaisten maalle; sillä nämät asuivat jo vanhuudesta siinä maassa, kuin Suriin mennään, Egyptin maahan asti.
9 Daudi aliipiga nchi na hakumwacha mwanaume wala mwanamke akiwa hai; akatwaa kondoo, ng'ombe, punda, ngamia, na nguo; kisha alirudi na kufika tena kwa Akishi.
Ja kuin David oli kaiken maan lyönyt, ei hän jättänyt yhtäkään miestä eli vaimoa elämään; ja otti heidän lampaansa, härkänsä, aasinsa, kamelinsa ja vaatteensa, palasi ja tuli Akiksen tykö.
10 Ndipo Akishi humuuliza, “Je, leo umefanya mashambulizi dhidi ya nani?” Daudi humjibu, “Nimefanya dhidi ya kusini mwa Yuda,” au dhidi ya kusini mwa Wayerameeli,” au “dhidi ya kusini mwa Wakeni.”
Ja Akis sanoi: kenenkä päälle te olette karanneet tänäpänä? David vastasi: lounaan päin Juudaa, lounaan päin Jerakmelilaisia ja lounaan päin Keniläisiä.
11 Daudi asingemwacha mwanaume wala mwanamke akiwa hai awalete hadi Gathi, akisema, “ili wasije kututeta, 'Daudi amefanya hivi na vile.”' Hivi ndivyo alivyofanya kwa kipindi chote alichokaa katika nchi ya Wafilisti.
Ja ei David jättänyt eläväksi yhtäkään miestä eli vaimoa viedäksensä Gatiin, ja ajatteli: ettei he puhuisi jotakin meitä vastaan, sanoen: näin teki David, ja tämä oli hänen tapansa niinkauvan kuin hän asui Philistealaisten maalla.
12 Akishi alimwamini Daudi, akisema, “Amesababisha watu wake Israeli wamchukie kabisa; kwa hiyo atakuwa mtumishi wangu milele.”
Niin Akis uskoi Davidin ja ajatteli, hän on tehnyt itsensä kokonansa kauhistuttavaksi kansallensa Israelille, sentähden olkaan hän aina minun palveliani.