< 1 Samweli 26 >
1 Wazifi wakamwendea Sauli huko Gibea na kusema, “Je, Daudi akujificha katika vilima vya Hakila, ambavyo viko mbele ya jangwa?”
Niheo amy Saole e Gibà mb’eo o nte Zifeo nanao ty hoe: Tsy mietak’ an-kaboa’ i Kakilà aolo’ Iesimone ao hao t’i Davide?
2 Kisha Sauli akaamka na kwenda chini ya jangwa la Zifu, akiwa na watu elfu tatu waliochaguliwa katika Israeli, wamtafute Daudi katika jangwa la Zifu.
Aa le niavotse mb’ am-patrambei’ i Zife mb’eo t’i Saole, reketse ty ana’ Israele telo-arivo jinoboñe, hikodebe i Davide am-patrambei’ i Zife ao.
3 Sauli akaweka kambi kwenye kilima cha Hakila, kilicho mbele ya jangwa, kando ya barabara. Lakini Daudi alikuwa akikaa nyikani, na akaona kwamba Sauli alikuwa anamfuatia huko jangwani.
Nitobe an-kaboa’ i Kakilà aolo’ i fatrambeiy añ’ olon-dalañe eo t’i Saole. Nipalitse am-patrambey ao t’i Davide vaho nirendre’e te nañoridañe aze mb’am-patrambey mb’eo t’i Saole.
4 Hivyo Daudi akawatuma wapelelezi na akafahamu kwamba hakika Sauli alikuwa amekuja.
Aa le nañirake mpitingañe t’i Davide hamente te toe nivotrak’ ao t’i Saole.
5 Daudi akaamka na kwenda hadi mahali ambapo Sauli alipiga kambi; akaona mahali alipolala Sauli, na Abneri mwana wa Neri, mkuu wa jeshi lake; Sauli alilala katikati ya kambi, na watu walipiga kambi kumzunguka, na wote wamesinzia.
Niongake le nimb’ amy toetse nitobea’ i Saole mb’eoy t’i Davide vaho nioni’ i Davide ty nandrea’ i Saole naho i Abnere ana’ i Nere, mpifehe’ i valobohòkey, te nàndre am-piarikatohañe ao t’i Saole ie nitobe añariary aze ondatio.
6 Ndipo Daudi akamwambia Ahimeleki Mhiti, na Abishai mwana wa Seruya, ndugu yake Yoabu, “Ni nani atakwenda nami kambini kwa Sauli? Abishai akasema, “Mimi nitashuka pamoja nawe.”
Le hoe t’i Davide amy Akimeleke, nte-Kete naho amy Abisay, ana’ i Tseroià, rahalahi’ Ioabe, Ia ty hindre amako hizotso mb’ amy Saole an-tobe mb’eo? Le hoe t’i Abisay, Hindrezako.
7 Hivyo Daudi na Abishai wakaliendea jeshi usiku. Na Sauli alikuwapo akisinzia ndani ya kambi, mkuki wake umechomekwa chini pembeni mwa kichwa chake. Abneri na Askari wake wamelala kwa kumzunguka.
Aa le niheo mb’ am’ ondatio mb’eo haleñe t’i Davide naho i Abisay, le ingo t’i Saole mandre, mirotse añivo’ i toetsey eo, i lefo’ey nitsatok’ an-tane marine’ i añambone’ey vaho nandre niarikoboñe aze t’i Abnere naho ondaty iabio.
8 Kisha Abishai akamwambia Daudi, “Leo Mungu amemweka adui yako mkononi mwako. Basi tafadhali acha nimchome mkuki nimtoboe hadi chini kwa pigo moja. Sitampiga mara mbili.”
Le hoe t’i Abisay amy Davide: Toe natolon’ Añahare am-pità’o androany i rafelahi’oy; aa ehe, angao hataoko tombok’ avots’ an-defon-dre an-tane eo, vaho tsy hindroeko.
9 Daudi akamwambia Abishai, “Usimwangamize; kwa maana nani awezaye kunyoosha mkono wake dhidi ya mtiwa mafuta wa BWANA na asiwe na hatia?”
Fa hoe t’i Davide amy Abisay: Ko joie’o; ia ty hañonjo haok’ amy noriza’ Iehovày t’ie tsy hanañ’ kakeo?
10 Daudi akasema, “Kama BWANA aishivyo, BWANA atamuua, au siku ya kufa kwake itakuja, au atakwenda katika vita na ataangamia.
Le hoe t’i Davide; Kanao veloñe t’Iehovà, Aiy! ke ho lafa’ Iehovà, he ho avy ty androm-pihomaha’e, he t’ie hizotso an-kotakotake ao hihomake.
11 BWANA apishe mbali nisinyooshe mkono wangu dhidi ya mtiwa mafuta wake; lakini sasa, nakusihi chukua mkuki uliokichwani pake na jagi la maji, tuondoke.”
Sondo’e am’ Iehovà te izaho ro hañiti-tañañe amy noriza’ Iehovày; fe ehe rambeso i lefoñe añ’ambone’ey naho i zonjon-drano’ey le hienga tika.
12 Hivyo Daudi akachukua mkuki na jagi la maji kutoka kichwani pa Daudi, wakatoweka. Hakuna mtu aliyewaona au kufahamu habari hii, wala hakuna aliyetoka usingizini, maana wote walisinzia, kwa sababu usingizi mzito kutoka kwa BWANA uliwaangukia.
Aa le nendese’ i Davide i lefoñe naho zonjoñe añambone’ i Saoley eo le nienga, leo raik’ am’ondatio tsy nahaisake, tsy nahafohiñe vaho tsy nitsekake, songa nirotse amy t’e nampilañahe’ Iehovà.
13 Kisha Daudi akaenda upande mwingine na akasimama juu ya mlima mbali sana; ukiwepo umbali mkubwa katikati yao.
Aa le nitsake mb’añ’ila’e ey hoeke ey t’i Davide, le nijohañe an-kaboañe eñe; heba’e jabajaba ty añivo’ iereo.
14 Daudi akawapigia kelele watu hao na Abneri mwana Neri; akisema, “Hujibu neno, Abneri?” Ndipo Abneri akajibu na kusema, “Wewe ni nani unayempigia mfalme kelele?”
Le nikoik’ am’ondatio naho amy Abnere ana’ i Nere t’i Davide, ami’ty hoe: Tsy manoiñe v‘iheo, Abnere? Le hoe ty natoi’ i Abnere: Ia-mbao o mikoik’ amy mpanjakaio?
15 Daudi akamwambia Abneri, “Wewe siye mtu jasiri? Ni nani yuko kama wewe katika Israeli? Kwa nini basi hukukaa macho kumlinda bwana wako mfalme? Kwa maana mtu fulani aliingia kumuua mfalme, bwana wako.
Le hoe t’i Davide amy Abnere: Tsy lahitsiay v’iheo? ia ty mañirinkiriñe azo e Israele ao? Aa vaho akore t’ie tsy nahafañambeñe i talè’o mpanjakay? Kanao nimb’eo t’indaty hanjevoñe i talè’o mpanjakay.
16 Jambo hili ulilolifanya siyo zuri. Kama BWANA aishivyo, unapaswa kufa kwa sababu hukumlinda bwana wako, mtiwa mafuta wa BWANA. Na sasa tazama ulipo mkuki wa mfalme, na jagi la maji lililokuwa kichwani pake.”
Tsy soa o nanoe’oo. Kanao veloñe t’Iehovà mañeva harotsake irehe, amy te tsy nahafigaritse ty talè’o noriza’ Iehovà. Henteo arè: Aia ty lefo’ i mpanjakay, naho i zonjon-drano tam-pikala’ey?
17 Sauli aliitambua sauti ya Daudi akasema, “Hiyo ni sauti yako, Daudi mwanangu?” Daudi akasema, “Ni sauti yangu, mfalme, bwana wangu.”
Napota’ i Saole ty fiarañanaña’ i Davide, le hoe re: Feo’o hao zao ry anako Davide? Le hoe t’i Davide: Feoko ‘nio, ry talèko mpanjaka.
18 Daudi akasema, “Kwa nini bwana wangu anamwandama mtumishi wake? Nimefanya nini? Mkononi mwangu kuna uovu gani?
Le hoe re: Ino ty hañoridaña’ i talèkoy i mpitoro’ey? Ino o nanoekoo? Ino ty hakeo an-tañako ao?
19 Kwa hiyo sasa, nakusihi, bwana wangu mfalme asikilize maneno ya mtumishi wake. Kama ni BWANA ndiye amekuchochea dhidi yangu, na aikubali sadaka; lakini kama ni wanadamu, na walaaniwe mbele za BWANA, maana leo wamenifukuza, nisishikamane na urithi wa BWANA; wameniambia, 'Nenda ukaabudu miungu mingine.'
Aa le miambane ama’o iraho, ehe te hijanjiñe o vola’ i mpitoro’eio ty talè mpanjakako. Naho Iehovà ty nitrobo azo amako le ehe te ho no’e t’ie hisoroñañe; fe naho o ana’ ondatio le fàtse añatrefa’ Iehovà iereo; ie nanao soik’ ahy henaneo tsy hifaharako amy lova’ Iehovày ami’ty hoe: Akia, mitoroña ‘ndrahare ila’e.
20 Kwa hiyo, sasa, usiiachilie damu yangu ianguke ardhini mbali na uwepo wa BWANA; kwa kuwa mfalme wa Israeli ametoka nje kutafuta kiroboto, kama vile mtu awindavyo kware milimani.”
Aa le ko ampiorihe’o an-tane añatrefa’ Iehovà ty lioko; fa toe nimb’ etoa ty mpanjaka’ Israele hikodebe ty pia, manahake ty fikeheañe kibo am-bohitse ey.
21 Kisha Sauli akasema, “Nimefanya dhambi. Rudi, Mwanangu, Daudi; maana sitakudhuru tena, kwa sababu leo maisha yangu yalikuwa yenye thamani machoni pako. Tazama, nimetenda upumbavu na nimekosa sana.”
Aa le hoe t’i Saole: Toe nandilatse iraho; mimpolia irehe Davide, anako, fa tsy ho robaheko ka; amy te nisarotse am-pahaoniña’o ty fiaiko anindroany; ingo t’ie nanao sare-gege, le loho nandilatse.
22 Daudi akajibu na akasema, “Tazama, mkuki wako uko hapa, mfalme! Mruhusu kijana mmojawapo aje auchukue na aulete kwako.
Aa hoe ty natoi’ i Davide: Ingo ty lefo’ i mpanjakay! ampañitrifo aze atoy ty ajalahy.
23 Na BWANA amlipe kila mtu kwa ajili ya uadilifu wake na kwa uaminifu wake; kwa sababu leo BWANA alikuweka mkononi mwangu, lakini nisinge mpiga mtiwa mafuta wake.
Toe songa ho valea’ Iehovà ondatio ami’ty havañona’e, naho ami’ty figahiña’e; fa natolo’ Iehovà an-tañako irehe anindroany, le nifoneñako tsy hañity tañañe hijoy ty noriza’ Iehovà.
24 Na tazama, kama maisha yako leo yalivyokuwa ya thamani machoni pangu, vivyo hivyo maisha yangu yathaminiwe sana machoni pa BWANA, na aweze kuniokoa katika shida zote.”
Aa kanao nonjoneñe ami’ty masoko ty fiai’o anindroany le ehe te honjoneñe am-pihaino’ Iehovà ka ty aiko hamotsora’e ahy amy ze fangovitañe iaby.
25 Ndipo Sauli akamwambia Daudi, “Na ubarikiwe, mwanangu Daudi, ili uweze kutenda mambo makuu, na hakika uweze kufanikiwa.” Ndipo Daudi akaenda zake, na Sauli akarudi kwake.
Le hoe t’i Saole amy Davide: Ho tahie’e irehe Davide anako; toe hitoloñe an-kaozaran-drehe vaho handreketse. Aa le nienga t’i Davide naho nimpoly añ’akiba’e añe t’i Saole.