< 1 Samweli 26 >

1 Wazifi wakamwendea Sauli huko Gibea na kusema, “Je, Daudi akujificha katika vilima vya Hakila, ambavyo viko mbele ya jangwa?”
and to come (in): come [the] Ziphite to(wards) Saul [the] Gibeah [to] to/for to say not David to hide in/on/with hill [the] Hachilah upon face: east [the] Jeshimon
2 Kisha Sauli akaamka na kwenda chini ya jangwa la Zifu, akiwa na watu elfu tatu waliochaguliwa katika Israeli, wamtafute Daudi katika jangwa la Zifu.
and to arise: rise Saul and to go down to(wards) wilderness Ziph and with him three thousand man to choose Israel to/for to seek [obj] David in/on/with wilderness Ziph
3 Sauli akaweka kambi kwenye kilima cha Hakila, kilicho mbele ya jangwa, kando ya barabara. Lakini Daudi alikuwa akikaa nyikani, na akaona kwamba Sauli alikuwa anamfuatia huko jangwani.
and to camp Saul in/on/with hill [the] Hachilah which upon face: east [the] Jeshimon upon [the] way: road and David to dwell in/on/with wilderness and to see: see for to come (in): come Saul after him [the] wilderness [to]
4 Hivyo Daudi akawatuma wapelelezi na akafahamu kwamba hakika Sauli alikuwa amekuja.
and to send: depart David to spy and to know for to come (in): come Saul to(wards) to establish: right
5 Daudi akaamka na kwenda hadi mahali ambapo Sauli alipiga kambi; akaona mahali alipolala Sauli, na Abneri mwana wa Neri, mkuu wa jeshi lake; Sauli alilala katikati ya kambi, na watu walipiga kambi kumzunguka, na wote wamesinzia.
and to arise: rise David and to come (in): come to(wards) [the] place which to camp there Saul and to see: see David [obj] [the] place which to lie down: lay down there Saul and Abner son: child Ner ruler army his and Saul to lie down: lay down in/on/with track and [the] people: soldiers to camp (around him *Q(K)*)
6 Ndipo Daudi akamwambia Ahimeleki Mhiti, na Abishai mwana wa Seruya, ndugu yake Yoabu, “Ni nani atakwenda nami kambini kwa Sauli? Abishai akasema, “Mimi nitashuka pamoja nawe.”
and to answer David and to say to(wards) Ahimelech [the] Hittite and to(wards) Abishai son: child Zeruiah brother: male-sibling Joab to/for to say who? to go down with me to(wards) Saul to(wards) [the] camp and to say Abishai I to go down with you
7 Hivyo Daudi na Abishai wakaliendea jeshi usiku. Na Sauli alikuwapo akisinzia ndani ya kambi, mkuki wake umechomekwa chini pembeni mwa kichwa chake. Abneri na Askari wake wamelala kwa kumzunguka.
and to come (in): come David and Abishai to(wards) [the] people: soldiers night and behold Saul to lie down: lay down sleeping in/on/with track and spear his to bruise in/on/with land: soil (head his *Q(K)*) and Abner and [the] people: soldiers to lie down: lay down (around him *Q(K)*)
8 Kisha Abishai akamwambia Daudi, “Leo Mungu amemweka adui yako mkononi mwako. Basi tafadhali acha nimchome mkuki nimtoboe hadi chini kwa pigo moja. Sitampiga mara mbili.”
and to say Abishai to(wards) David to shut God [the] day: today [obj] enemy your in/on/with hand: power your and now to smite him please in/on/with spear and in/on/with land: soil beat one and not to repeat to/for him
9 Daudi akamwambia Abishai, “Usimwangamize; kwa maana nani awezaye kunyoosha mkono wake dhidi ya mtiwa mafuta wa BWANA na asiwe na hatia?”
and to say David to(wards) Abishai not to ruin him for who? to send: reach hand his in/on/with anointed LORD and to clear
10 Daudi akasema, “Kama BWANA aishivyo, BWANA atamuua, au siku ya kufa kwake itakuja, au atakwenda katika vita na ataangamia.
and to say David alive LORD that if: except if: except LORD to strike him or day his to come (in): come and to die or in/on/with battle to go down and to snatch
11 BWANA apishe mbali nisinyooshe mkono wangu dhidi ya mtiwa mafuta wake; lakini sasa, nakusihi chukua mkuki uliokichwani pake na jagi la maji, tuondoke.”
forbid to/for me from LORD from to send: reach hand my in/on/with anointed LORD and now to take: take please [obj] [the] spear which (head his *Q(K)*) and [obj] jar [the] water and to go: went to/for us
12 Hivyo Daudi akachukua mkuki na jagi la maji kutoka kichwani pa Daudi, wakatoweka. Hakuna mtu aliyewaona au kufahamu habari hii, wala hakuna aliyetoka usingizini, maana wote walisinzia, kwa sababu usingizi mzito kutoka kwa BWANA uliwaangukia.
and to take: take David [obj] [the] spear and [obj] jar [the] water head-place Saul and to go: went to/for them and nothing to see: see and nothing to know and nothing to awake for all their sleeping for deep sleep LORD to fall: fall upon them
13 Kisha Daudi akaenda upande mwingine na akasimama juu ya mlima mbali sana; ukiwepo umbali mkubwa katikati yao.
and to pass David [the] side: beside and to stand: stand upon head: top [the] mountain: mount from distant many [the] place between them
14 Daudi akawapigia kelele watu hao na Abneri mwana Neri; akisema, “Hujibu neno, Abneri?” Ndipo Abneri akajibu na kusema, “Wewe ni nani unayempigia mfalme kelele?”
and to call: call to David to(wards) [the] people: soldiers and to(wards) Abner son: child Ner to/for to say not to answer Abner and to answer Abner and to say who? you(m. s.) to call: call to to(wards) [the] king
15 Daudi akamwambia Abneri, “Wewe siye mtu jasiri? Ni nani yuko kama wewe katika Israeli? Kwa nini basi hukukaa macho kumlinda bwana wako mfalme? Kwa maana mtu fulani aliingia kumuua mfalme, bwana wako.
and to say David to(wards) Abner not man you(m. s.) and who? like you in/on/with Israel and to/for what? not to keep: guard to(wards) lord your [the] king for to come (in): come one [the] people to/for to ruin [obj] [the] king lord your
16 Jambo hili ulilolifanya siyo zuri. Kama BWANA aishivyo, unapaswa kufa kwa sababu hukumlinda bwana wako, mtiwa mafuta wa BWANA. Na sasa tazama ulipo mkuki wa mfalme, na jagi la maji lililokuwa kichwani pake.”
not pleasant [the] word: thing [the] this which to make: do alive LORD for son: descendant/people death you(m. p.) which not to keep: guard upon lord your upon anointed LORD and now to see: see where? spear [the] king and [obj] jar [the] water which (head his *Q(K)*)
17 Sauli aliitambua sauti ya Daudi akasema, “Hiyo ni sauti yako, Daudi mwanangu?” Daudi akasema, “Ni sauti yangu, mfalme, bwana wangu.”
and to recognize Saul [obj] voice David and to say voice your this son: child my David and to say David voice my lord my [the] king
18 Daudi akasema, “Kwa nini bwana wangu anamwandama mtumishi wake? Nimefanya nini? Mkononi mwangu kuna uovu gani?
and to say to/for what? this lord my to pursue after servant/slave his for what? to make: do and what? in/on/with hand my distress: evil
19 Kwa hiyo sasa, nakusihi, bwana wangu mfalme asikilize maneno ya mtumishi wake. Kama ni BWANA ndiye amekuchochea dhidi yangu, na aikubali sadaka; lakini kama ni wanadamu, na walaaniwe mbele za BWANA, maana leo wamenifukuza, nisishikamane na urithi wa BWANA; wameniambia, 'Nenda ukaabudu miungu mingine.'
and now to hear: hear please lord my [the] king [obj] word servant/slave his if LORD to incite you in/on/with me to smell offering and if son: descendant/people [the] man to curse they(masc.) to/for face: before LORD for to drive out: drive out me [the] day: today from to attach in/on/with inheritance LORD to/for to say to go: went to serve God another
20 Kwa hiyo, sasa, usiiachilie damu yangu ianguke ardhini mbali na uwepo wa BWANA; kwa kuwa mfalme wa Israeli ametoka nje kutafuta kiroboto, kama vile mtu awindavyo kware milimani.”
and now not to fall: fall blood my land: soil [to] from before face: before LORD for to come out: come king Israel to/for to seek [obj] flea one like/as as which to pursue [the] partridge in/on/with mountain: mount
21 Kisha Sauli akasema, “Nimefanya dhambi. Rudi, Mwanangu, Daudi; maana sitakudhuru tena, kwa sababu leo maisha yangu yalikuwa yenye thamani machoni pako. Tazama, nimetenda upumbavu na nimekosa sana.”
and to say Saul to sin to return: return son: child my David for not be evil to/for you still underneath: because of which be precious soul: life my in/on/with eye: appearance your [the] day: today [the] this behold be foolish and to wander to multiply much
22 Daudi akajibu na akasema, “Tazama, mkuki wako uko hapa, mfalme! Mruhusu kijana mmojawapo aje auchukue na aulete kwako.
and to answer David and to say behold (spear *Q(K)*) [the] king and to pass one from [the] youth and to take: take her
23 Na BWANA amlipe kila mtu kwa ajili ya uadilifu wake na kwa uaminifu wake; kwa sababu leo BWANA alikuweka mkononi mwangu, lakini nisinge mpiga mtiwa mafuta wake.
and LORD to return: pay to/for man: anyone [obj] righteousness his and [obj] faithfulness his which to give: give you LORD [the] day in/on/with hand: power and not be willing to/for to send: reach hand my in/on/with anointed LORD
24 Na tazama, kama maisha yako leo yalivyokuwa ya thamani machoni pangu, vivyo hivyo maisha yangu yathaminiwe sana machoni pa BWANA, na aweze kuniokoa katika shida zote.”
and behold like/as as which to magnify soul: life your [the] day: today [the] this in/on/with eye: seeing my so to magnify soul: life my in/on/with eye: seeing LORD and to rescue me from all distress
25 Ndipo Sauli akamwambia Daudi, “Na ubarikiwe, mwanangu Daudi, ili uweze kutenda mambo makuu, na hakika uweze kufanikiwa.” Ndipo Daudi akaenda zake, na Sauli akarudi kwake.
and to say Saul to(wards) David to bless you(m. s.) son: child my David also to make: do to make: do and also be able be able and to go: went David to/for way: journey his and Saul to return: return to/for place his

< 1 Samweli 26 >