< 1 Samweli 26 >

1 Wazifi wakamwendea Sauli huko Gibea na kusema, “Je, Daudi akujificha katika vilima vya Hakila, ambavyo viko mbele ya jangwa?”
Ziph tami ni Gibeah kho a tho teh, Sawl koevah Devit teh Hakhilah mon Hakhilah kho dawk a kâhro nahoehmaw, atipouh.
2 Kisha Sauli akaamka na kwenda chini ya jangwa la Zifu, akiwa na watu elfu tatu waliochaguliwa katika Israeli, wamtafute Daudi katika jangwa la Zifu.
Hahoi, Sawl a thaw teh, a rawi e Isarelnaw tami 300 touh a hrawi teh, Ziph ram koelah Devit tawng hane a cei awh.
3 Sauli akaweka kambi kwenye kilima cha Hakila, kilicho mbele ya jangwa, kando ya barabara. Lakini Daudi alikuwa akikaa nyikani, na akaona kwamba Sauli alikuwa anamfuatia huko jangwani.
Sawl teh Jeshimon ram Hakhilah mon dawk a roe. Hatei, Devit teh kahrawngum vah ao teh, Sawl ni na tawng hanelah kahrawng vah a tho tie hah a panue.
4 Hivyo Daudi akawatuma wapelelezi na akafahamu kwamba hakika Sauli alikuwa amekuja.
Hatdawkvah, Devit ni katuetkungnaw a patoun teh Sawl a tho katang tie hah a panue.
5 Daudi akaamka na kwenda hadi mahali ambapo Sauli alipiga kambi; akaona mahali alipolala Sauli, na Abneri mwana wa Neri, mkuu wa jeshi lake; Sauli alilala katikati ya kambi, na watu walipiga kambi kumzunguka, na wote wamesinzia.
Devit ni a thaw teh, Sawl tungpupnae koevah a cei. Devit ni Sawl hoi ransanaw kaukkung Ner capa Abner a inae hah a hmu. Sawl teh pupim lungui vah a i teh rangleng ransanaw ni a kalup.
6 Ndipo Daudi akamwambia Ahimeleki Mhiti, na Abishai mwana wa Seruya, ndugu yake Yoabu, “Ni nani atakwenda nami kambini kwa Sauli? Abishai akasema, “Mimi nitashuka pamoja nawe.”
Devit ni Hit tami Ahimelek hoi Joab e nawngha Zeruiah capa Abisai koevah, Sawl roenae koe apimaw kai koe ka kâbang han telah a pacei navah, Abisai ni nang koe kai ka kâbang han atipouh.
7 Hivyo Daudi na Abishai wakaliendea jeshi usiku. Na Sauli alikuwapo akisinzia ndani ya kambi, mkuki wake umechomekwa chini pembeni mwa kichwa chake. Abneri na Askari wake wamelala kwa kumzunguka.
Devit hoi Abisai teh Sawl tinaw onae koe tangmin vah a cei roi, khenhaw! Sawl te pupim lungui vah a i, a lû koevah tahroe hah talai dawk a thoe sak teh, Abner hoi ransanaw teh a tengpam vah a i awh.
8 Kisha Abishai akamwambia Daudi, “Leo Mungu amemweka adui yako mkononi mwako. Basi tafadhali acha nimchome mkuki nimtoboe hadi chini kwa pigo moja. Sitampiga mara mbili.”
Abisai ni Devit koevah, sahnin vah Cathut ni na tarannaw teh na kut dawk na poe toe. Hatdawkvah, na san ni tahroe hah talai dawk vaitahoi na takho sak haw, vai hni touh ka takho mahoeh atipouh.
9 Daudi akamwambia Abishai, “Usimwangamize; kwa maana nani awezaye kunyoosha mkono wake dhidi ya mtiwa mafuta wa BWANA na asiwe na hatia?”
Hateiteh, Devit ni Abisai koe hawi hoeh, bangkongtetpawiteh, BAWIPA Cathut ni satui awi e tami lathueng vah kut a tha teh, ngaithoum e tami apimaw kaawm boi telah atipouh.
10 Daudi akasema, “Kama BWANA aishivyo, BWANA atamuua, au siku ya kufa kwake itakuja, au atakwenda katika vita na ataangamia.
Hothloilah, Devit ni BAWIPA a hring e patetlah BAWIPA a ma ni a hem han doeh. Hoehpawiteh, a duenae hnin a pha han doeh. Hoehpawiteh taran tuknae koe cet vaiteh a due han doeh.
11 BWANA apishe mbali nisinyooshe mkono wangu dhidi ya mtiwa mafuta wake; lakini sasa, nakusihi chukua mkuki uliokichwani pake na jagi la maji, tuondoke.”
BAWIPA ni satui awi e tami lathueng vah ka kut ka pho hane teh, BAWIPA ni na pasoung hoeh. Hatei, a lû koe e tahroe hoi tuium teh la vaiteh cet leih sei atipouh.
12 Hivyo Daudi akachukua mkuki na jagi la maji kutoka kichwani pa Daudi, wakatoweka. Hakuna mtu aliyewaona au kufahamu habari hii, wala hakuna aliyetoka usingizini, maana wote walisinzia, kwa sababu usingizi mzito kutoka kwa BWANA uliwaangukia.
Hahoi teh, Devit ni Sawl e lû koe kaawm e tahroe hoi tuium hah a la teh a cei. Apinihai hmawt hoeh, ahnimanaw pueng teh mat a i awh dawkvah, api buet touh hai a kâhlaw hoeh dawkvah,
13 Kisha Daudi akaenda upande mwingine na akasimama juu ya mlima mbali sana; ukiwepo umbali mkubwa katikati yao.
Devit teh kakaw e a yawn namran lah a cei teh, kahlat e monruisom vah a kangdue.
14 Daudi akawapigia kelele watu hao na Abneri mwana Neri; akisema, “Hujibu neno, Abneri?” Ndipo Abneri akajibu na kusema, “Wewe ni nani unayempigia mfalme kelele?”
Devit ni tamihupui hoi Ner capa Abner hah a oung teh, Abner na pato mahoeh maw atipouh. Hahoi Abner ni siangpahrang ka oung ngam e tami api nang maw atipouh.
15 Daudi akamwambia Abneri, “Wewe siye mtu jasiri? Ni nani yuko kama wewe katika Israeli? Kwa nini basi hukukaa macho kumlinda bwana wako mfalme? Kwa maana mtu fulani aliingia kumuua mfalme, bwana wako.
Devit ni Abner hanelah na tongpa hoeh maw. Isarelnaw e rahak vah nang patetlah e apimaw kaawm. Bangkongmaw siangpahrang na bawipa hah na ring thai hoeh maw. Tangmin vah tami buet touh ni siangpahrang na bawipa thei hanelah a tho toe.
16 Jambo hili ulilolifanya siyo zuri. Kama BWANA aishivyo, unapaswa kufa kwa sababu hukumlinda bwana wako, mtiwa mafuta wa BWANA. Na sasa tazama ulipo mkuki wa mfalme, na jagi la maji lililokuwa kichwani pake.”
Na sak e hno hawihoeh. Bawipa a hring e patetlah Bawipa ni satui awi e na bawipa hah kahawicalah na ring hoeh dawkvah, due hanelah na kamcu. Siangpahrang lû koe e tahroe hoi tuium hah nâmaw ao khenhaw! atipouh.
17 Sauli aliitambua sauti ya Daudi akasema, “Hiyo ni sauti yako, Daudi mwanangu?” Daudi akasema, “Ni sauti yangu, mfalme, bwana wangu.”
Sawl ni Devit e lawk a thai navah, ka thai e lawk he ka capa Devit nange lawk maw atipouh navah, Devit ni oe kaie lawk doeh ka bawipa atipouh.
18 Daudi akasema, “Kwa nini bwana wangu anamwandama mtumishi wake? Nimefanya nini? Mkononi mwangu kuna uovu gani?
Bangkongmaw ka bawipa ni a san hah a pâlei. Bangmaw ka sak. Bangmaw ka kut dawk yonnae kaawm.
19 Kwa hiyo sasa, nakusihi, bwana wangu mfalme asikilize maneno ya mtumishi wake. Kama ni BWANA ndiye amekuchochea dhidi yangu, na aikubali sadaka; lakini kama ni wanadamu, na walaaniwe mbele za BWANA, maana leo wamenifukuza, nisishikamane na urithi wa BWANA; wameniambia, 'Nenda ukaabudu miungu mingine.'
Hatdawkvah siangpahrang ka bawipa na sanpa e lawk he thai haw. Kai na taran hanelah na lung tha kaawmsakkung hah Bawipa lah awm pawiteh, thuengnae heh coe naseh. Hateiteh, tami lah awm pawiteh, Bawipa hmalah thoebo naseh. Bangkongtetpawiteh, ahnimouh ni cet lawih, alouke cathutnaw e thaw hah tawk lawih telah ati awh teh, Bawipa e râw talai dawk o hoeh nahanelah sahnin na pâlei awh toe hei.
20 Kwa hiyo, sasa, usiiachilie damu yangu ianguke ardhini mbali na uwepo wa BWANA; kwa kuwa mfalme wa Israeli ametoka nje kutafuta kiroboto, kama vile mtu awindavyo kware milimani.”
Hatdawkvah, ka thipaling teh Bawipa ni hmu hoeh e talai dawk lawng naseh. Bangkongtetpawiteh, tamuem tawng hanelah mon dawk kâva e patetlah Isarel siangpahrang teh uihli tawng hanelah a kâva atipouh.
21 Kisha Sauli akasema, “Nimefanya dhambi. Rudi, Mwanangu, Daudi; maana sitakudhuru tena, kwa sababu leo maisha yangu yalikuwa yenye thamani machoni pako. Tazama, nimetenda upumbavu na nimekosa sana.”
Sawl ni ka payon toe ka capa Devit bout ban leih. Bangkongtetpawiteh, na mithmu vah ka hringnae he aphu o poung dawkvah thoe bout na bo mahoeh toe. Khenhaw! pathunae hno ka sak teh ka payon toe ati.
22 Daudi akajibu na akasema, “Tazama, mkuki wako uko hapa, mfalme! Mruhusu kijana mmojawapo aje auchukue na aulete kwako.
Devit ni oe ka bawipa na tahroe khenhaw! na thoundoun buet touh koe bout lat sak atipouh.
23 Na BWANA amlipe kila mtu kwa ajili ya uadilifu wake na kwa uaminifu wake; kwa sababu leo BWANA alikuweka mkononi mwangu, lakini nisinge mpiga mtiwa mafuta wake.
BAWIPA ni tami pueng amamae tahroe hoi yuemkamcunae dawk aphu poe naseh. Sahnin vah Bawipa ni nang hah ka kut dawk na poe, hateiteh Bawipa ni satui awi e tami lathueng vah kut ka tha mahoeh atipouh.
24 Na tazama, kama maisha yako leo yalivyokuwa ya thamani machoni pangu, vivyo hivyo maisha yangu yathaminiwe sana machoni pa BWANA, na aweze kuniokoa katika shida zote.”
Khenhaw! sahnin vah na hringnae teh ka mithmu vah aphu o e patetlah Bawipa ni ka hringnae hah aphu awm sak naseh. Runae pueng thung hoi na rungngang naseh atipouh.
25 Ndipo Sauli akamwambia Daudi, “Na ubarikiwe, mwanangu Daudi, ili uweze kutenda mambo makuu, na hakika uweze kufanikiwa.” Ndipo Daudi akaenda zake, na Sauli akarudi kwake.
Sawl ni Devit koevah, ka capa Devit, hawinae awm seh. Na sak e hno puengpa dawk tânae na hmawt naseh, telah a dei pouh hnukkhu, Devit teh a ban, Sawl hai a ma onae koe a ban van.

< 1 Samweli 26 >