< 1 Samweli 24 >

1 Sauli aliporudi kuwafukuza Wafilisti, akaambiwa kwamba, “Daudi yuko katika jangwa la Engedi.”
وقتی شائول از جنگ با فلسطینی‌ها مراجعت نمود، به او خبر دادند که داوود به صحرای عین جدی رفته است.
2 Ndipo Sauli akachukua watu elfu tatu waliochaguliwa kutoka Iraeli yote, wakaenda kumtafuta Daudi na watu wake katika miamba ya Mbuzi Mwitu.
پس او با سه هزار نفر از بهترین سربازان خود به صحرای عین جدی رفت و در میان «صخره‌های بز کوهی» به جستجوی داوود و افرادش پرداخت.
3 Akafika penye mazizi ya kondoo kando ya njia, mahali palipokuwa na pango. Sauli akaingia ndani yake kujisaidia. Wakati huo Daudi na watu wake walikuwa wamekaa mbali zaidi ndani ya pango lilelile.
بر سر راه به آغل گوسفندان رسید. در آنجا غاری بود. شائول وارد غار شد تا رفع حاجت نماید. اتفاقاً داوود و مردانش در انتهای غار مخفی شده بودند!
4 Watu wake Daudi wakamwambia, “Hii ndiyo siku ambayo BWANA aliisema akikuambia, 'Nitamweka adui wako mkononi mwako, ili umtendee kama unavyotaka.”' Kisha Daudi akainuka na kumnyemelea kwa mbele kimya kimya na kulikata pindo la kanzu ya Sauli.
افراد داوود آهسته در گوش او گفتند: «امروز همان روزی است که خداوند وعده داده دشمنت را به دست تو تسلیم نماید تا هر چه می‌خواهی با او بکنی!» پس داوود آهسته جلو رفت و گوشهٔ ردای شائول را برید.
5 Baadaye moyo wa Daudi ukamchoma kwa sababu alilikata pindo la kanzu ya Sauli.
ولی بعد وجدانش ناراحت شد که این کار را کرده است
6 Akawaambia watu wake, “BWANA anisamehe, sikupaswa kumtendea jambo hili bwana wangu, Mtiwa mafuta wa BWANA, kwa kunyoosha mkono wangu juu yake, maana yeye ni masihi wa BWANA.”
و به افراد خود گفت: «کار بدی کردم. وای بر من اگر کوچکترین آسیبی از طرف من به پادشاهم برسد، زیرا او برگزیدهٔ خداوند است.»
7 Hivyo Daudi akawakemea watu wake kwa maneno haya, na kuwazuia wasimpige Sauli. Sauli akasimama, akatoka pangoni, na kwenda zake.
داوود با این سخنان افرادش را سرزنش کرد و نگذاشت به شائول آسیبی برسانند. پس از اینکه شائول از غار خارج شد، داوود بیرون آمد و فریاد زد: «ای پادشاه من!» وقتی شائول برگشت، داوود او را تعظیم کرد
8 Baadaye tena, Daudi akasimama juu, akatoka pangoni, na kumwita Sauli: “Bwana wangu mfalme.” Sauli alipotazama nyuma, Daudi akasujudu hadi chini na kuonyesha heshima.
9 Daudi akamwambia Sauli, “Kwa nini unawasikiliza watu ambao wanasema, “Angalia, Daudi anatafuta kukudhuru?'
و گفت: «چرا به حرف مردم گوش می‌دهی که می‌گویند من قصد جان توا را دارم؟ امروز به تو ثابت شد که این سخن حقیقت ندارد. خداوند تو را در این غار به دست من تسلیم نمود و بعضی از افرادم گفتند که تو را بکشم، اما من این کار را نکردم. به آنها گفتم که او پادشاه برگزیدهٔ خداوند است و من هرگز به او آسیبی نخواهم رساند.
10 Leo macho yako yameona jinsi BWANA alivyokuweka mkononi mwangu tulipokuwa ndani ya pango. Wengine waliniambia nikuuwe, lakini nilikuacha hai. Nikasema, 'Sitanyoosha mkono wangu juu ya bwana wangu; kwa kuwa ni masihi wa BWANA.'
11 Tazama, baba yangu, angalia pindo la kanzu yako mkononi mwangu. Kwa maana kama nilikata pindo la kanzu yako na sikukuua, basi ujuwe na uone kwamba sina uovu au kosa katika mkono wangu, na sijafanya dhambi juu yako, ingawa unawinda kuutoa uhai wangu.
ببین ای پدر من، قسمتی از ردایت در دست من است. من آن را بریدم، ولی تو را نکشتم! آیا همین به تو ثابت نمی‌کند که من قصد آزار تو را ندارم و نسبت به تو گناه نکرده‌ام، هر چند تو در تعقیب من هستی تا مرا نابود کنی؟
12 BWANA aamue kati yangu na wewe, na BWANA anilipizie kisasi juu yako, lakini mkono wangu kamwe hautakuwa juu yako.
خداوند در میان من و تو حکم کند و انتقام مرا خودش از تو بگیرد. ولی از طرف من هیچ بدی به تو نخواهد رسید. چنانکه مَثَلی قدیمی می‌گوید:”بدی از آدم بد صادر می‌شود.“پس مطمئن باش من به تو آسیبی نمی‌رسانم.
13 Kama mithali ya wazee isemavyo, 'Katika waovu hutoka uovu.' Lakini mkono wangu hautakuwa juu yako.
14 Mfalme wa Israeli ametoka kumuandama nani? Unamsaka nani? Unasaka mzoga wa mbwa! Unasaka kiroboto!
پادشاه اسرائیل در تعقیب چه کسی است؟ آیا حیف نیست که پادشاه وقتش را برای من که به اندازهٔ یک سگ مرده یا یک کک ارزش ندارم تلف نماید؟
15 BWANA na awe mwamuzi na atoe hukumu kati yangu na wewe, na akaione, na akatetee sababu yangu na aniruhusu kuepuka mkono wako.”
خداوند خودش بین ما داوری کند تا معلوم شود مقصر کیست. خداوند خودش از حق من دفاع کند و مرا از چنگ تو برهاند!»
16 Daudi alipomaliza kuongea maneno haya kwa Sauli, Sauli akasema, “Hii ni sauti yako, mwanangu Daudi?” Sauli alinyanyua sauti yake akalia.
وقتی داوود صحبت خود را تمام کرد، شائول گفت: «پسرم داوود، آیا این صدای توست؟» و گریه امانش نداد. او به داوود گفت: «تو از من بهتر هستی. چون تو در حق من خوبی کرده‌ای، ولی من نسبت به تو بدی کرده‌ام.
17 Akamwambia Daudi, “Wewe ni mwenye haki kuliko mimi. Kwa sababu umenilipa mazuri, wakati mimi nimekulipa maovu.
18 Leo umetangaza jinsi ulivyonitendea mazuri, kwa sababu hukuniua wakati BWANA aliponiweka katika rehema yako.
آری، تو امروز نشان دادی که نسبت به من مهربان هستی، زیرا خداوند مرا به تو تسلیم نمود، اما تو مرا نکشتی.
19 Kwa kuwa mtu akimpata adui yake, atamwacha aende zake salama? Na BWANA akuzawadie mema kwa kile ulichonifanyia leo.
کیست که دشمن خود را در چنگ خویش بیابد، ولی او را نکشد؟ به خاطر این لطفی که تو امروز به من کردی، خداوند به تو پاداش خوبی بدهد.
20 Basi, najua kwa hakika kwamba utakuwa mfalme na kwamba ufalme wa Israeli utaimarika katika mkono wako.
حال مطمئنم که تو پادشاه اسرائیل خواهی شد و حکومت خود را تثبیت خواهی کرد.
21 Niapie kwa BWANA kwamba baada yangu hautawakatilia mbali uzao wangu, na kwamba hautaliharibu jina langu katika nyumba ya baba yangu.”
به خداوند قسم بخور که وقتی به پادشاهی رسیدی، خاندان مرا از بین نبری و بگذاری اسم من باقی بماند.»
22 Hivyo Daudi akamwapia Sauli kiapo. Kisha Sauli akaenda nyumbani, lakini Daudi na watu wake wakapanda kwenda ngomeni.
پس داوود برای او قسم خورد و شائول به خانهٔ خود رفت، ولی داوود و همراهانش به مخفیگاه خود برگشتند.

< 1 Samweli 24 >