< 1 Samweli 20 >

1 Kisha Daudi akakimbia kutoka Nayothi huko Rama akaenda na kumwambia Yonathani, “Nimefanya nini? Uovu wangu ni upi? Dhambi yangu ni ipi kwa baba yako, inayofanya atafute kuutoa uhai wangu.”
Davud Ramayeene Nayoteençe hixu, Yonatanne k'anyaqa qarı eyhen: – Nya'a, zı hucoona hı'ı? Yizın taxsir hucoona? Zı yiğne dekkıs nəxbına pisvallane hav'u, mang'us zı gik'as ıkkan?
2 Yonathani akamwambia Daudi, “La hasha; hautakufa. Baba yangu hafanyi jambo kubwa wala dogo bila kunijulisha. Kwa nini inamlazimu baba yangu anifiche jambo hili? La, siyo hivyo?”
Yonatanee mang'us alidghıniy qele: – Məxdın kar mısacad ixhes deş! Ğu qik'as deş. Yizde dekkee nenacab iş, xəbna vuxheeyib k'ınna vuxheyib zak'le ittevhu haa'as deş. Nya'asdiyxan dekkee, mana iş zale dyugul hav'u? Məxdın kar ixhes deş!
3 Bado Daudi aliapa tena na akasema, “Baba yako anajua wazi kwamba nimepata kibali machoni pako. Pengine anasema, 'Asije Yonathani akajua jambo hili, labda atahuzunika.' Lakini kweli kama BWANA aishivyo, kama wewe uishivyo, kuna hatua moja tu kati yangu na mauti.”
Davudee mang'us k'ın g'assır, eyhen: – Zı vasqa yugra qarıynçina, yiğne dekkık'le ats'a vod. Mançil-allad dişe mang'us vak'le dyats'axhxha ıkkan. Ğu aq'va qa'asınçina mang'uk'le ats'an. Vorne Rəbbilqaniy yiğne canılqan k'ın ixhen, yizde qik'uys sa g'el qittasın ciga axu.
4 Kisha Yonathani akamwambia Daudi, “Lolote utakalosema, nitakufanyia.”
Yonatanee Davuduk'le eyhen: – Yiğne yik'es hucooyiy ıkkan, zı vas ha'asın.
5 Daudi akamwambia Yonathani, “Kesho ni siku ya mwezi mpya, na inanibidi kukaa na kula pamoja na mfalme. Lakini acha niende, ili niweze kujificha katika shamba hadi siku ya tatu jioni.
Davudee Yonatanık'le eyhen: – G'iyqa ts'ebna vaz giviyğalan bayram vod, zı paççahıka sa sufranıl gyu'ur kar oxhanas ıkkan. Həşde ğu zı hasre, qıtsıq exhalilqamee, hark'ın çolee dyugulyxhes.
6 Baba yako akinikosa kabisa, ndipo utasema, 'Daudi aliniomba kwa msisitizo ruhusa aondoke kwenda mjini kwake Bethlehemu; kwa sababu huko ni kipindi cha utoaji wa dhabihu ya mwaka kwa familia yao yote.'
Yiğne dekke zı qirghın he'ee, mang'uk'le eyhe: «Davudee cune şahareeqa Bet-Lexemqa alycaxxvas ı'qqəseeva zake geed qiyghın». Maa'ab, həşde cone xizanın seniysda q'urban gyook'a.
7 Kama atasema kuwa ni vyema, 'basi mtumishi wako atakuwa na amani. Lakini kama atakasirika sana, ndipo utajua kwamba ameamua kunitendea uovu.
Mang'vee uvheene: «Yugdavud», manke zı, yiğna nukar, yugra ixhes. De'eş, mang'us mançike qəl vuxheene, vak'le ats'axhxhe, mang'uqa kara'əən fıkırbı deşud.
8 Kwa hiyo, umtendee wema mtumishi wako. Kwa maana umemweka mtumishi katika agano la BWANA pamoja na wewe. Lakini kama kuna dhambi ndani yangu, wewe mwenyewe uniuwe; maana kwa nini basi unipeleke kwa baba yako?”
Zas yugvalla hee'e, ğu Rəbbine ögil zaka cuvab g'ats'atk'un. Zal bınah vobxhee, ğucar zı gik'e. Nişil-allane vas zı yiğne dekkısqa ıkkees ıkkan?
9 Yonathani akasema, “La hasha! Ikiwa ninajua kwamba baba ameamua baya likupate, siwezi kukuambia?”
Yonatanee eyhen: – Man yiğne vuk'lelqa qales deş! Yizde dekkıqa karaı'dəən fıkırbı ıxhay, zak'le g'acuynxhiy, nya'a vak'le ittevhu g'alyadaççeyiy?
10 Ndipo Daudi akamwambia Yonathani, “Ni nani ataniambia ikiwa imetokea, baba yako akakujibu kwa ukali?”
Davudee Yonatanık'le eyhen: – Dek vaqa qəlaka yuşan he'eene, man zalqa şavaane hixhar ha'as?
11 Yonathani akamwambia Daudi, “Njoo, hebu twende huko shambani.” Ndipo wote wakaondoka kwenda shambani.
Yonatanee Davuduk'le eyhen: – Qora çoleeqa qığeepç'es. Manbışda q'öyursana g'aqa qığeepç'ı, çoleeqa avayk'an.
12 Yonathani akamwambia Daudi, “Na BWANA, Mungu wa Israeli, awe shahidi. Kesho muda kama huu, nitakuwa nimemuuliza baba yangu, au siku ya tatu, tazama, ikiwa kutakuwa na jambo zuri upande wa Daudi; je, nisikutumie taarifa na kulidhihirisha kwako?
Qiyğa Yonatanee Davuduk'le eyhen: – İzrailyne Allahılqan, Rəbbilqan, k'ın ixhen, g'iyqayee, qıtsıqee ine gahılqasse, zak'le dekkına fıkır vaats'a vuxhesda. Mang'uqa yiğne hək'ee yugun fıkırbı ixheene, zı manbı valqa hixhar ha'asınbı.
13 Na kama ikimpendeza baba yangu akufanyie madhara, Basi BWANA ayafanye hayo kwa Yonathani na kuzidi ikiwa sitakujulisha jambo na kukupeleka mbali, ili kwamba uende kwa amani. Na BWANA awe pamoja nawe, kama alivyokuwa na baba yangu.
De'eş, yizde dekkıne fıkreençe karaı'dəən karbı ılğəə ixheene, zınad man valqa hixhar hide'eene, ğunar yəqqı'l iderçveene, hasre Rəbbee yizde vuk'lelqa mançiled pisın yiğbı alle'ecen. Hasre Rəbb yizde dekkıka nəxüriy eyxhe, vakar həməxür ixhecen.
14 Kama bado nikiwa hai, hautanionesha uaminifu wa agano la BWANA, kwamba siwezi kufa?
Zı nimeeletteyiy vor, ğunab zak'le Rəbbina g'idyabat'ana yugvalla haagve. Zı qik'uyng'ar,
15 Na usivunje kabisa uaminifu wako wa agano kati yako na nyumba yangu, hata wakati BWANA atakapowaodoa kila mmoja wa adui za Daudi kutoka uso wa dunia.”
Rəbbee Davudun gırgın duşmanar ç'iyene aq'vayle havaakal hav'uyleb qiyğa, mana yugvalla yizde xizanıle g'ıts'maak'vance.
16 Basi Yonathani akafanya agano na nyumba ya Daudi na kusema, “Naye BWANA atawaondoa maadui wa Daudi.”
Yonatanee Davudne nasılıka cuvab g'ats'atk'un, eyhen: – Hasre Rəbbee vucee, Davudne duşmanaaşikın he'ecen!
17 Yonathani akamtaka Daudi aape tena kwa sababu ya upendo aliokuwa nao juu yake, kwa sababu alimpenda kama alivyopenda roho yake mwenyewe.
Yonatanee Davuduk'le eyhen: – Vas zı ıkkanxhee, sayid k'ın g'aysre. Davudus Yonatan cus vuc ıkkanan xhinne ıkkan ıxha.
18 Kisha Yonathani akamwambia Daudi, “Kesho ni siku ya mwezi mpya. Hautakuwapo, kwa sababu kiti chako kitakuwa wazi.
Qiyğa Yonatanee Davuduk'le eyhen: – G'iyqa ts'ebne vuzan bayram alğahas. Yiğna ciga q'ərab g'avcumee, ğu t'abal ha'asda.
19 Utakapokuwa umekaa huko siku tatu, uende upesi hadi mahala ulipojificha mara ya kwanza, wakati shughuli ikifanyika, na ukaye karibu jiwe Ezeli.
Qıtsıq ğu şenke dyugul ıxhayne cigaysqana qarı, Ezel eyhene g'ayeysne gyu're.
20 Nitatupa mishale mitatu pembeni mwa jiwe, kama vile ninalenga kitu fulani.
Zı karalqa ayhen xhinne, mane suralqa vukeençe xhebılle ox ahas.
21 Kisha nitamtuma kijana wangu na kumwambia, 'Nenda utafute hiyo mishale.' Kama nitamwambia kijana hivi, 'Tazama, mishale iko upande huu wa kwako; kaichukue,” ndipo uje; maana hapo kutakuwa na usalama kwako na siyo madhara, kama BWANA aishivyo.
Qiyğa «Hoora, oxbı t'abal he'eva» zı maqa sa gade g'axıles. Zı gadeyk'le uvheene: «Oxbı yiğne k'ane vod, hoora manbı zasqa qaleva», manke ğunar qora. Vorne Rəbbilqan k'ın ixhen, manke ğu g'attirxhın ixhes, vak vuççud ixhes deş.
22 “Lakini kama nikimwambia kijana hivi, 'Tazama, mishale iko mbele yako,' ndipo utakapokwenda zako, maana BWANA ametaka uende zako.
De'eş, zı gadeyk'le «Oxbı vake əq'əna'ad vodva» uvhee, ğu qığeç'u, yiğne yəqqı'n hoora. Man Rəbbee ğu əq'ənaqa g'ıxeleva eyhen vodun.
23 Kulingana na makubaliano ambayo mimi na wewe tumeongea, angalia, BWANA yupo kati yangu na wewe milele.'”
Zınay ğu, həşde yuşan hı'iynçilqamee qabımeeme, yik'el aqqe, Rəbb yizdayiy yiğna gırgıne gahbışiscar Şahad vorna.
24 Kwa hiyo Daudi akajificha mle shambani. Pindi mwezi ulipoandama, mfalme aliketi chini ale chakula.
Davud çolee dyugul eyxhe. Ts'ebne vuzan bayram giyğalang'a paççah otxhuniy oxhanasva sufranılqa giy'ar.
25 Mfalme alikaa juu ya kiti chake, kama kawaida kwenye kiti karibu na ukuta. Yonathani alisimama wima, na Abneri alikaa ubavuni mwa Sauli. Lakini nafasi ya Daudi ilikuwa wazi.
Mana ögiylin xhinne cune cigee barugusnee Yonatanne ögee giy'ar. Şaulne k'anyaqa Avner giy'ar. Davudna cigamee q'ərab aaxva.
26 Hata hivyo Sauli hakusema kitu siku hiyo, kwa sababu alifikiri, “Kuna jambo limempata Daudi. Hayuko safi; hakika hayuko safi.”
Mane yiğıl Şaulee vuççud eyhe deş. Mang'usqa həməxüd qayle «Davudne vuk'lelqa hucoomecad qadı ixhes. Mançil-allad mang'un gicərxiy atk'ın ixhes».
27 Lakini siku ya pili, siku moja baada ya mwandamo wa mwezi, bado nafasi ya Daudi ilikuwa tupu. Ndipo Sauli akamuuliza Yonathani mwanaye, “Kwa nini mwana wa Yese hakuja kwenye chakula, jana na hata leo?”
Qinne, vuzane q'öd'esde yiğılib Davudna ciga meeb q'ərab aaxva. Şaulee Yonatanıke qiyghanan: – Nya'asdiyxan Yesseyna dix Davud sanıxhar, g'iynar kar oxhanas sufranılqa qidyarı?
28 Yonathani akamjibu Sauli, “Daudi aliomba kwangu ruhusa kwa dhati ili aende Bethlehemu.
Yonatanee alidghıniy qele: – Davudee Bet-Lexemqa ı'qqəsva, zake geed qiyghın.
29 Alisema, 'Tafadhali niruhusu niende. Maana familia yetu wanayo dhabihu huko mjini, na kaka yangu ameniagiza niwe huko. Basi kama nimepata kibali machoni pako, tafadhali niruhusu niende nikawaone kaka zangu.' Hakuja kwenye meza ya mfalme kwa sababu hii.”
Mang'vee uvhuyn: «Hucoona ixhes, hasre zı ı'qqəs. Yişde xizanın şaharee q'urban ablyaa'a, yizde çocee zak'le maa'ar ixheva uvhu. Hucoona ixhes, zı yiğne ulen aqqıxheene, g'aykke hark'ın çocar g'avces». Mançil-alla mang'usse paççahne sufranıl arı, gyu'aras dəxı'.
30 Ndipo hasira ya Sauli iliwaka juu ya Yonathani, na akamwambia, “Wee mwana wa mwanamke mkaidi na muasi! Wadhani kwamba sijui kuwa umemchagua Mwana wa Yese kwa ajili ya aibu yako, na kwa aibu ya uchi wa mama yako?
Şaulee Yonatanılqa qəl hav'u eyhen: – İykarne zəiyfayna dix, ğu eyhenniyxan, zak'le ğu Yesseyne duxayka hambaziyvalla haa'ava ats'a dişdiyxhan. Yiğne yedisıd, vasıd naş qixhecen.
31 Kwa kuwa mwana wa Yese anaishi duniani, siyo wewe wala ufalme wako utakaoimarika. Sasa basi, tuma watu wamlete kwangu, kwa sababu inampasa kufa.”
Nimeeletteyiy Yesseyna mana dix ine ç'iyene aq'val vor, ğunar yiğna paççahiyvallab aaxvas deş. Mang'uqa qihna insan g'axıle, hasre mana yizde k'anyaqa ayrecen. Mana qidek'u ixhes deş.
32 Yonathani akamjibu Sauli baba yake, “Kwa sababu gani inampasa kuuwawa? Amefanya nini?”
Yonatanee dekkıs Şaulus alidghıniy qele: – Mana nişil allane qik'as ıkkan? Mang'vee hucoona hı'ı?
33 Ndipo Sauli akamtupia mkuki apate kumuua. Kwa hiyo Yonatani akatambua kwamba baba yake alinuia kumuua Daudi.
Şaulee Yonatan gik'asva nize ayhe. Manke Yonatanılqa hiyxharan, dekkıs Davud gik'asır ıkkan.
34 Yonathani alitoka mezani akiwa na hasira kali bila kula chakula siku ya pili ya mwezi, kwa sababu alimhuzunikia Daudi, na kwa sababu baba yake amemwaibisha.
Yonatan qəlın qoxa, sufranıle oza qexhena. Ts'enne vuzane q'öd'esde yiğıl Yonatanee vuççud oyxhan deş. Dekkee Davud k'ap'ik'ıle avuqa qı'ı g'acu, mang'vee aq'va givaxana'a.
35 Ikawa asubuhi, Yonathani akaenda huko shambani kama walivyoahidiana na Daudi, akiwa pamoja na kijana wake.
Yonatan qinne yiğıl miç'eer Davud g'acesva çoleeqa arayle. Mang'une k'aner sa k'ınna gade eyxhe.
36 Akamwambia yule kijana wake, “Kimbia utafute ile mishale niliyoitupa.” Na kijana alikimbia, akatupa mshale mwingine mbele yake.
Mang'vee gadeyk'le eyhen: – G'adaxhvne, hark'ın zı ayhen oxbı t'abal he'e. Gade g'adayxhvanmee, Yonatanee mang'une vuk'lel ooğançe ox ayhe.
37 Kijana alipofika katika eneo ambapo mshale ulitua, ule alioutuma Yonathani, akamwita tena kijana, na kusema, “Huo mshale hauko mbele yako?”
Gade Yonatanee avhune oxasqa hiyxharmee, Yonatanee yı'q'əle onu'u eyhen: – Haaşe, ox vake şaqana vod, yiğne ögee vod!
38 Kisha Yonathani akamwita yule kijana, “Upesi, harakisha, usikawie!” Hivyo kijana wa Yonathani akaikusanya mishale na kurudi kwa bwana wake.
Yonatanee meer gade qort'ul, eyhen: – Zaara ixhe, ulymoyzar, g'adaxhvne! Gadee ox alyaat'u, cune xərıng'usqa Yonatanne k'anyaqa siyk'al.
39 Lakini huyo kijana hakujua lolote. Ni Yonathani na Daudi tu ndio walijua habari yenyewe.
Gadeys nişikecab xabar vuxha deş. Man saccu Yonatanık'leyiy Davuduk'le ats'a ıxha.
40 Yonathani akampa kijana wake silaha na kumwambia, “Nenda, uzipeleke mjini.”
Yonatanee cun silahbı gadeysqa quvu, eyhen: – Hoora, inbı şahareeqa qıkkee.
41 Punde tu kijana alipoondoka, Daudi akasimama kutokea upande wa kusini, akiwa amelala kifudifudi, akainama mara tatu. Walibusiana wao kwa wao na wote wakalia kwa pamoja, Daudi akilia zaidi.
Gade ark'ıniyle qiyğa, Davud g'ayeyne canubne suralqa qarı, q'aratsabışil gyu'ur xhebne yəqqees Yonatanne ögee ç'iyelqamee k'yoyzarna. Manbışe sana-sang'us ubbabı hı'ı, gyaaşenbı. Davud Yonatanıle geer geşşe.
42 Yonathani akamwambia Daudi, “Nenda kwa amani, kwa sababu wote tumeapa kwa jina la BWANA na tulisema, 'BWANA awe kati yangu na wewe, na awe kati ya uzao wangu na uzao wako, milele.'” Kisha Daudi alisimama na akaondoka, na Yonathani akarudi mjini.
Yonatanee Davuduk'le eyhen: – Vas yugna yəq vuxhena. Zınay ğu Rəbbine doyule sana-sang'us k'ın g'assır, uvhunniy: Rəbb yizdeyiy yiğne, yişde uşaxaaşine yı'q'neenar gırgıne gahbışisda Şahad vorna. Mançile qiyğa Davud oza qıxha, cune yəqqı'n ayk'an, Yonatanır şahareeqa siyk'al.

< 1 Samweli 20 >