< 1 Samweli 2 >
1 Hana aliomba akasema, “moyo wangu wamtukuza BWANA. Pembe yangu imejulikana katika BWANA. Kinywa changu kinatamba dhidi ya maadui zangu, kwa kuwa naufurahia wokovu wako.
Xannee inəxüb düə haa'a: – Rəbbee yizın yik' şad hı'ı, Rəbbee zas xəbna guc huvu. Zı şad yeexhe, Ğu zı g'attiyxhaney'il-alla. Zı həşde yizde duşmanaaşile əqəna ha'a.
2 Hakuna aliye mtakatifu kama BWANA, kwa kuwa hakuna mwingine zaidi yako; hakuna mwamba kama Mungu wetu.
Rəbbik akarna q'ör'esda məxrına muq'addasna deşda, Ya Rəbb, Ğu sa vorna! Yişda Allah xhinnena şi havaacena merna deşda!
3 Msijivune sana hivyo kwa kiburi; vinywa vyenu visitoke majivuno. Kwa kuwa BWANA ni Mungu wa maarifa; yeye huyapima matendo kwa mizani.
Şucab şu ç'ak'ıba vukkiy ç'əv he'e! Hexxan cuvabbı ghaleençe g'ımekka! Saccu Rəbb gırgın ats'ana Allah vor, Mang'vee gyoodakke insanaaşin işbı.
4 Pinde za mashujaa zimevunjika, bali wale wanaojikwaa hujivika nguvu kama mshipi.
İgidyaaşin vukbı hayq'var, Guc deşinbışismee guc qavayle.
5 Wale walio na shibe ya kutosha wamejikodisha ili wapate chakula; wale waliokuwa na njaa hawana njaa tena. Hata yule aliye kuwa tasa amezaa watoto saba, bali mwanamke mwenye watoto wengi amenyong'onyea.
Şenke avts'u iviykaranbışe Həşde gıneynemee iş t'abal haa'a, Mıssınbıb həşde avts'u iviykar. Uşax dexheng'ee yighıyre uxu, Geed uşaxaarnanar yiccar ayxu.
6 BWANA huua na huuisha. Hushusha kuzimu na huleta tena juu. (Sheol )
Rəbbee insanıs ı'mı'rıb hoolena, Vuceeyib alyabat'ana, Mang'veecarır nyuq'vneeqa k'yaraççena, Vucecarır alqayhena. (Sheol )
7 BWANA humfanya maskini, na yeye ndiye humtajirisha mtu. Yeye hudhili, lakini pia hukweza
Rəbbee insanıs kar helenıd, g'eşşenıd. Mang'vee insan axtır qa'ana, uleker gyayhena.
8 Yeye humwinua juu maskini toka mavumbini: Huwainua wahitaji toka jalalani na kuwaketisha pamoja na wakuu na kuwarithisha kiti cha enzi cha utukufu. Kwa kuwa nguzo za dunia ni za BWANA na ameukalisha ulimwengu juu yake.
Rəbbee mı'q'eena kar deşda g'elil qa'ana, Qıvaats'ıynbışika sacigeeyir gya'ana. Mang'vee dyunyecad aqqı.
9 Yeye atazilinda nyayo za watu wake waaminifu, bali waovu watanyamazishwa gizani, kwa maana hakuna atayeshinda kwa nguvu zake.
Cuna yəq' avquynbı Mang'vee havaacenbı, Pisınbıb miç'axiyvalee avgales, Manbışde guçun manbışis kumag ha'as deş.
10 Wale wampingao BWANA watavunjwa vipande vipande; atawapiga radi kutokea mbinguni. BWANA atahukumu miisho ya dunia; atampa nguvu mfalme wake na kuinua pembe ya mtiwa mafuta wake.”
Culqa g'elil qeepxhaynbı Rəbbee oot'al-ooxal haa'asınbı, Manbışilqa xəybı g'əhətqə'əs. Rəbbee dyunyeyscad məhkama alğahas! Mang'vee Vucee g'əyxı'yne paççahıs guc hoole, Mana axtı qa'a.
11 Nndipo Elikana akenda Rama, nyumbani kwake. Na yule mtoto akamtumikia BWANA machoni pa Eli, kuhani.
Qiyğa Elkana cune Ramayeene xaaqa siyk'al. K'ınna Şamuelymee kaahin Eliyne k'ane Rəbbis k'ılyvalla haa'a axva.
12 Basi, watoto wa Eli walikuwa wakorofi. Wao hawakumheshimu BWANA.
Eliyn dixbı geeb karaı'dəən insanar vuxha. Manbışe Rəbbir qizara'a ıxha deş,
13 Desturi ya makuhani na watu ilikuwa kwamba endapo mtu yeyote ametoa dhabihu, mtumishi wa kuhani angekuja akiwa na uma wa meno matatu mkononi mwake, nyama ilipokuwa inatokoswa.
kaahiniyvallab karaəəba haa'a vuxha deş. Şavaamecab q'urban ablyav'u, çuru qoyxharang'a, kaahinna nukar xıle xhebne silinane yabayka hiyxhar ıxha.
14 Naye angeutia uma huo sufuriani, au birikani au chomboni au chunguni; nyama yote ambayo ingeinuliwa na uma huo ingetwaliwa na kuhani mwenyewe. Ndivyo walivyofanya huko Shilo kwa Waisraeli wote waliokwenda huko.
Mang'vee man yaba çurunane k'umk'umeeqa, lyagameeqa, tavasareeqa, g'abeeqa, nyaqa ıxhay hiyxə ıxha. Yabalqa qadıyn gırgın mang'vee kaahinıs alyaat'a ıxha. Məxüd manbışe, Şilo eyhene cigeeqa İzrailybışe adıyne gırgıne q'urbanne çurunukcad ha'a ıxha.
15 Tena, kabla ya kuteketeza mafuta, mtumishi wa kuhani alikuja, na kumwambia aliyekuwa akitoa dhabihu, “Tenga nyama ya kuchoma kwa ajili ya kuhani; kwa sababu hataikubali ile ya kutokosa kutoka kwako, bali tu ile mbichi.”
Man k'ıldanan xhinne, q'urbanın adın ma' gyoxhxhan ha'asse, kaahinna nukar arı, q'urban ablyaa'ane insanık'le eyhe ıxha: – Kaahinıs ç'əra qa'asın çuru hele. Mang'vee vake qotxhuruyn çuru alyaat'as deş, mang'us çigın çuru hele.
16 Ikiwa mtu atamwambia, “Wachome mafuta kwanza, na kisha uchukue kiasi utakacho.” Ndipo angesema, “Hapana, utanipatia sasa hivi; la sivyo; Nitaichukua kwa lazima.”
Q'urban ablyaa'ang'vee: «Hasre ts'etta ma' gyoxhxhan ha'as, qiyğa vas nenayiy pay vukkan manab alept'eva» – uvhumee, nukaree: «De'eş, həşde qavaleva, qudyoolexheeyib gucuka alyapt'asvaniyxheva» – cuvab qelen.
17 Dhambi ya vijana hawa ilikuwa mbaya sana mbele za BWANA, kwa sababu waliidharau dhabihu ya BWANA.
Rəbbine ögiyl mane mek'vunbışda, Eliyne dixbışda, bınah geeb xəbnaniy vob. Manbışe Rəbbis adıynçis hı'rmat haa'a vuxha deş.
18 Lakini Samweli alimtumikia BWANA akiwa mdogo akivaa nguo ya naivera ya kitani.
K'ınne Şamueleemee katanıke hı'iyn ileylığ givatxın, Rəbbine ögil k'ılyvalla haa'a vuxha.
19 Kila mwaka mama yake alimtengenezea kanzu dogo na kumletea, wakati wakija na mmewe kutoa dhabihu ya kila mwaka.
Yedee seniysın Şamuelisın k'ınin p'laş iyxhva ıxha. Dek seniysda q'urbanana Şilo eyhene cigeeqa ı'qqəmee, yicir man p'laş alyaat'u ayreele yixha.
20 Eli aliwabariki Elikana na mke wake na kusema, “BWANA akupatie watoto zaidi kwa mwanamke huyu kwa sababu ya ahadi yake aliyoitoa kwa BWANA.” Baadaye walirudi nyumbani kwao.
Kaahin Eliyeeme, Elkanaysiy mang'une xhunaşşeys xayir-düə huvu, eyhe ıxha: – Hasre Rəbbee vas ine yiğne xhunaşşeyke, yicee heqqı Rəbbis huvuyne uşaxıl-alla, mebın uşaxar hevlecen. Mançile qiyğa manbı cone xaaqa siviyk'al vuxha.
21 BWANA alimsaidia tena Hana, akawa amebeba mimba nyingine. Akazaa watoto watatu wa kiume na wa kike wawili. Wakati huo huo mtoto Samweli akakua akiwa mbele za BWANA.
Rəbbee Xannays yugvalla hav'u, məng'ı's Rəbbee mançile qiyğa xhebiyre dixiy q'öyrer yiş heele. K'ınna Şamuelymee Rəbbine ögil xər qexhe eyxhe.
22 Basi Eli alikuwa mzee sana, akayasikia yote ambayo watoto wake walikuwa wakiwafanyia Waisraeli wote, na jinsi walivyotembea na mwanamke aliyekuwa akitumika katika lango la hema ya kukutania.
Eli geer q'əs qıxha eyxhe. Mang'uk'le dixbışe İzrailybışik ha'anbıd, Allahne muq'addasne çadırne ghalee iş haa'ane yadaaşika manbı g'alyabak'avad g'ayxhinniy.
23 Akawaambia, “Kwa nini mnafanya mambo hayo? Kwa maana nasikia matendo yenu maovu kutoka kwa watu hawa wote.”
Eliyee manbışik'le eyhen: – Şu ha'an hucoone? Zak'le gırgıne insanaaşikecad, şu ha'ane karaı'dəəne işbışdecad hək'ee g'iyxhe.
24 Sivyo hivyo, watoto wangu, maana hii ninayoisikia siyo taarifa njema. Mnawakosesha watu wa BWANA.
Yizın dixbı, vuşun ç'əv! Zak'le Rəbbine milletıke g'avxhuna mana xabar yugna deşub.
25 “Kama mtu mmoja akimkosea mwenzake, Mungu atamhukumu; Lakini mtu akimkosea BWANA, ni nani atakayemtetea mtu huyo?” Lakini hawakuitii sauti ya baba yao, sababu BWANA alinuia kuwaua.
Sa insanee menne insanne ögee bınah hav'ee, mang'ul-alla merıng'vee Allahıs düə haa'as vooxhe. İnsanee Rəbbis pisın he'eene, şavussene mang'ul-alla düə haa'as vəəxə? Rəbbee manbı gyapt'as vuxhayke, manbışe dekkıl k'ırıcad iliyxhe ıxha deş.
26 Yule mtoto Samweli aliongezeka umri, na kupata kibali kwa BWANA na kwa watu pia.
K'ınna Şamuelymee xər qexhe ıxha. Mana Rəbbisır insanaaşisır geer ıkkan ıxha.
27 Kisha mtu wa Mungu akamwendea Eli na kumwambia, “BWANA asema, 'Je, sikujifunua mwenyewe kwa nyumba ya baba zako, walipokuwa Misri utumwani nyumbani mwa Farao?
Mane gahıl sa Allahna insan Eliysqa arı, mang'uk'le eyhen: – Rəbbee inəxüdud eyhe: «Yiğna dekkiy cuna nasıl Misirnang'a, fironne xalq'ıs nukariyvalla haa'ang'a, nya'a, Zı manbışis dyagu dişdiy?
28 Mimi nilimchagua yeye kutoka makabila yote ya Israeli awe kuhani wangu, apande madhabahuni kwangu, na kufukiza uvumba, na kuvaa kanzu ya naivera mbele yangu. Niliwapa nyumba ya baba zako dhabihu zote za wana wa Israeli zilizotolewa kwa moto.
İzrailyne gırgıne nasılbışde yı'q'neençe yiğne dekkina nasıl Zı Zas kaahinar vuxhecenva g'əvxü. Zı manbışik'le uvhuynniy, Zas q'urbanbı alle'e, ətirbı gyooxhan he'e, Yizde ögeeyib ileylığ qı'ı iviykre. İzrailybışe adıyn gırgın q'urbanbı Zı yiğne dekkıne xizanısniy huvu.
29 Kwanini basi, unaidharau dhabihu yangu na sadaka ambazo ninazitaka mahali ninapoishi? Kwanini unawaheshimu watoto wako kuliko mimi, kwa kujinenepesha ninyi wenyewe kwa uzuri wa kila sadaka ya watu wangu Israeli?'
Nya'a şu nişil-allane Yizde xaaqa Zasva Zı əmr hav'u allya'an q'urbanbıyiy Zas ıkkeekan karbı g'eliqqa hele? Nişil-allane ğu yiğın dixbı Zale ooqa avqaaqqa? Şu Yizde milletın İzrailin, Zas adıyne karbışin inekke yugun cigabı otxhun kokeebaxhenbı.»
30 Maana, BWANA, Mungu wa Isareli, asema, niliahidi kwamba nyumba yako, na nyumba ya baba yako, yawapasa kwenda mbele zangu milele,' Lakini sasa BWANA asema. 'Mambo haya yapishe mbali. nami nisifanye hivi, maana nitawaheshimu wanaoniheshimu, bali wanaonidharau mimi hawatakuwa na thamani.
Mançil-allad İzrailyne Allahee Rəbbee invavud eyhe: «Zı şenke cuvabniy huvu, yiğneyiy yiğne dekkıne xizanın Zas gırgıne gahbışilycab g'ullux haa'asva.» Həşdemee Rəbbee eyhe vod: «De'eş, Zı məxüd ha'as deş. Zı şavaayiy axtı qa'a, Zı mana axtı qa'as. Şavaayiy Zı g'eliqqa huvu, Zı məxrına uleke alişşes.
31 Tazama, siku zinakuja nitakapoondoa nguvu zako na nguvu za nyumba za baba yako, ili kwamba pasije kuwepo mtu mzee katika nyumba yako.
Gah qavaalesda, Zı yiğne xizanneb xılençe guc g'avşesda. Yiğne xizanıkene şavaacabıb xıliyna ı'mı'r haa'as deş.
32 Nawe utalitazama hangaiko katika makao yangu. Ingawa Israeli watapewa jambo jema, hapatakuwapo tena mtu yeyote mzee katika nyumba yako.
Vak'le Yizde xaalqa ablesda ver g'avcesda. Yic İzrailik'le yugun yiğbı g'ece ıxheeyid, yiğne xizanıkene şavaacab xıliyna ı'mı'r haa'as deş.
33 Yeyote miongoni mwenu nisiye mwondoa kutoka madhabahuni pangu, Nitasababisha macho yenu yaanguke, na ita nitasababisha huzuni maishani mwenu. Wanaume wote waliozaliwa katika familia yako watakufa.
Zı yiğne xizanınbı Zas q'urbanbı allya'ane cigaysse gırgınbı deş g'ee'epşes. Manbışin uleppı nağın gyatsts'ı, yik'bıd ık'arın aqqı ixhes. Yiğne xizaneençene gırgıng'veecab cit'ana ı'mı'r hav'u hapt'as.
34 Hii ndiyo itakuwa ishara kwako ambayo itawaijia watoto wako wakiume wawili, juu ya Hofni na Finehasi: Wote wawili watakufa siku moja.
Yiğne q'öne duxayne, Xofniyiy Pinxasne, vuk'lelqa qalesın yiğnemee işaarat ixhes: manbı sa yiğıl, sacigee hapt'as.
35 Nami nitamwinua juu kuhani wangu mwaminifu atakaye fanya kile kilichomo moyoni mwangu na nafisini mwangu. Nami nitamjengea nyumba madhubuti; naye atakwenda mbele ya mfalme wangu mbarikiwa milele.
Zımee, Zas ıkkananbıyiy Yizde yik'eedınbı gırgıne gahbışil ha'ana, Zasda sa yugna kaahin g'əxəs. Zı mang'una xizan havaacesda, mang'veeyib Zı g'əyxı'yne paççahne ögil k'ılyvalla haa'as.
36 Kila mmoja aliyebakia nyumbani mwako atakuja na kusujudu mbele ya mtu huyo, akiomba kipande cha fedha na mkate mmoja, naye atasema, “Tafadhali uniajiri katika moja ya nafasi za kuhani ili niweze kula kipande cha mkate'”'
Yiğne xizanıke üç'übba avxuynbımee, sa sık'ınin nuk'rayiy gıney heqqasva mang'usqa abı, mang'une ögil k'yoozarasınbı, „hucoona ixhes, sa ghalene gıneynemee, zas nena vuxhay kaahinaaşina iş hevleva“».