< 1 Samweli 2 >
1 Hana aliomba akasema, “moyo wangu wamtukuza BWANA. Pembe yangu imejulikana katika BWANA. Kinywa changu kinatamba dhidi ya maadui zangu, kwa kuwa naufurahia wokovu wako.
Tad Anna pielūdza un sacīja: “Mana sirds lec no prieka iekš Tā Kunga, mans rags ir paaugstināts iekš Tā Kunga; mana mute ir atvērta pret maniem ienaidniekiem, jo es priecājos par Tavu pestīšanu.
2 Hakuna aliye mtakatifu kama BWANA, kwa kuwa hakuna mwingine zaidi yako; hakuna mwamba kama Mungu wetu.
Neviens nav svēts, kā Tas Kungs, neviens, kā Tu vien, un nekāds patvērums nav, kā mūsu Dievs.
3 Msijivune sana hivyo kwa kiburi; vinywa vyenu visitoke majivuno. Kwa kuwa BWANA ni Mungu wa maarifa; yeye huyapima matendo kwa mizani.
Nedaudzinājiet runu augsti jo augsti, blēņas lai paliek nost no jūsu mutes; jo Tas Kungs ir Dievs, tas visu zinātājs, Viņš sver tos darbus.
4 Pinde za mashujaa zimevunjika, bali wale wanaojikwaa hujivika nguvu kama mshipi.
Vareniem stops ir salauzts, un vājie ir apjozti ar stiprumu;
5 Wale walio na shibe ya kutosha wamejikodisha ili wapate chakula; wale waliokuwa na njaa hawana njaa tena. Hata yule aliye kuwa tasa amezaa watoto saba, bali mwanamke mwenye watoto wengi amenyong'onyea.
Paēdušie sader par maizi, un izsalkušie vairs nav izsalkuši. Pati neauglīgā dzemdē septiņus, kam bija daudz bērnu, tā savīst.
6 BWANA huua na huuisha. Hushusha kuzimu na huleta tena juu. (Sheol )
Tas Kungs nokauj un dara dzīvu, Viņš noved ellē un atkal uzved augšā. (Sheol )
7 BWANA humfanya maskini, na yeye ndiye humtajirisha mtu. Yeye hudhili, lakini pia hukweza
Tas Kungs dara nabagu un dara bagātu, Viņš pazemo un paaugstina.
8 Yeye humwinua juu maskini toka mavumbini: Huwainua wahitaji toka jalalani na kuwaketisha pamoja na wakuu na kuwarithisha kiti cha enzi cha utukufu. Kwa kuwa nguzo za dunia ni za BWANA na ameukalisha ulimwengu juu yake.
Viņš uzceļ nabagu no pīšļiem, un bēdīgo Viņš paaugstina no dubļiem, ka Viņš tos sēdina starp lieliem kungiem un tiem liek iemantot goda krēslu; jo zemes pamati pieder Tam Kungam, un Viņš uz tiem pasauli licis.
9 Yeye atazilinda nyayo za watu wake waaminifu, bali waovu watanyamazishwa gizani, kwa maana hakuna atayeshinda kwa nguvu zake.
Savu svēto kājas Viņš pasargā; bet tie bezdievīgie tumsībā iet bojā: jo neviens nav varens caur (savu) spēku.
10 Wale wampingao BWANA watavunjwa vipande vipande; atawapiga radi kutokea mbinguni. BWANA atahukumu miisho ya dunia; atampa nguvu mfalme wake na kuinua pembe ya mtiwa mafuta wake.”
Tas Kungs - Viņa pretinieki top iztrūcināti, debesīs pār tiem Viņš liek pērkoniem rūkt. Tas Kungs tiesās zemes galus un dos Savam ķēniņam spēku un paaugstinās Sava svaidītā ragu.”
11 Nndipo Elikana akenda Rama, nyumbani kwake. Na yule mtoto akamtumikia BWANA machoni pa Eli, kuhani.
Un Elkanus nogāja uz Rāmatu savā namā, bet tas zēns kalpoja Tam Kungam priestera Elus priekšā.
12 Basi, watoto wa Eli walikuwa wakorofi. Wao hawakumheshimu BWANA.
Bet Elus dēli bija netikli, tie neatzina To Kungu.
13 Desturi ya makuhani na watu ilikuwa kwamba endapo mtu yeyote ametoa dhabihu, mtumishi wa kuhani angekuja akiwa na uma wa meno matatu mkononi mwake, nyama ilipokuwa inatokoswa.
Un priesteru ieradums ar ļaudīm bija: kad kāds upuri upurēja, tad priestera puisis nāca, kamēr tā gaļa vārījās, - un tam dakšas ar trim zariem bija rokā, -
14 Naye angeutia uma huo sufuriani, au birikani au chomboni au chunguni; nyama yote ambayo ingeinuliwa na uma huo ingetwaliwa na kuhani mwenyewe. Ndivyo walivyofanya huko Shilo kwa Waisraeli wote waliokwenda huko.
Un bakstīja grāpī vai katlā vai pannā vai podā. Ko nu tās dakšas uzvilka, to priesteris ņēma priekš sevis. Tā tie darīja visiem Israēla ļaudīm, kas tur nāca uz Šīlo.
15 Tena, kabla ya kuteketeza mafuta, mtumishi wa kuhani alikuja, na kumwambia aliyekuwa akitoa dhabihu, “Tenga nyama ya kuchoma kwa ajili ya kuhani; kwa sababu hataikubali ile ya kutokosa kutoka kwako, bali tu ile mbichi.”
Un pirms tie tos taukus iededzināja, priestera puisis nāca un sacīja uz to vīru, kas upurēja: dod gaļas priesterim priekš cepeša, jo viņš no tevis negrib vārītu gaļu, bet jēlu.
16 Ikiwa mtu atamwambia, “Wachome mafuta kwanza, na kisha uchukue kiasi utakacho.” Ndipo angesema, “Hapana, utanipatia sasa hivi; la sivyo; Nitaichukua kwa lazima.”
Ja kas uz to sacīja: pašu laiku(vispirms) tos taukus iededzinās, tad ņem priekš sevis, kā tava sirds kāro, - tad šis uz to sacīja: nupat tev būs dot, un ja ne, tad es ņemšu ar varu.
17 Dhambi ya vijana hawa ilikuwa mbaya sana mbele za BWANA, kwa sababu waliidharau dhabihu ya BWANA.
Tā šo puišu grēki bija ļoti lieli Tā Kunga priekšā, jo šie vīri nicināja Tā Kunga ēdamo upuri. -
18 Lakini Samweli alimtumikia BWANA akiwa mdogo akivaa nguo ya naivera ya kitani.
Bet Samuēls kalpoja Tā Kunga priekšā, puisis būdams, apjozts ar nātnu efodu.
19 Kila mwaka mama yake alimtengenezea kanzu dogo na kumletea, wakati wakija na mmewe kutoa dhabihu ya kila mwaka.
Un māte viņam taisīja mazus svārciņus un tos viņam nesa ik gadus, kad ar savu vīru nāca, gadskārtējo upuri upurēt.
20 Eli aliwabariki Elikana na mke wake na kusema, “BWANA akupatie watoto zaidi kwa mwanamke huyu kwa sababu ya ahadi yake aliyoitoa kwa BWANA.” Baadaye walirudi nyumbani kwao.
Un Elus svētīja Elkanu un viņa sievu un sacīja: lai Tas Kungs tev dod dzimumu no šās sievas, par to izlūgto, ko viņa no Tā Kunga ir izlūgusi. Un tie gāja uz savu māju.
21 BWANA alimsaidia tena Hana, akawa amebeba mimba nyingine. Akazaa watoto watatu wa kiume na wa kike wawili. Wakati huo huo mtoto Samweli akakua akiwa mbele za BWANA.
Un Tas Kungs piemeklēja Annu un tā tapa grūta un dzemdēja trīs dēlus un divas meitas. Bet tas puisītis Samuēls uzauga pie Tā Kunga.
22 Basi Eli alikuwa mzee sana, akayasikia yote ambayo watoto wake walikuwa wakiwafanyia Waisraeli wote, na jinsi walivyotembea na mwanamke aliyekuwa akitumika katika lango la hema ya kukutania.
Un Elus bija ļoti vecs un dzirdēja visu, ko viņa dēli visam Israēlim darīja, un ka tie gulēja pie tām sievām, kas sapulcējās priekš saiešanas telts durvīm.
23 Akawaambia, “Kwa nini mnafanya mambo hayo? Kwa maana nasikia matendo yenu maovu kutoka kwa watu hawa wote.”
Un viņš uz tiem sacīja: kāpēc jūs darāt tādas lietas? Kā es par jums tādu neslavu dzirdu no visiem šiem ļaudīm?
24 Sivyo hivyo, watoto wangu, maana hii ninayoisikia siyo taarifa njema. Mnawakosesha watu wa BWANA.
Nē, mani bērni, tā nav laba slava, ko es dzirdu, jo jūs darāt Tā Kunga ļaudis pārkāpjam.
25 “Kama mtu mmoja akimkosea mwenzake, Mungu atamhukumu; Lakini mtu akimkosea BWANA, ni nani atakayemtetea mtu huyo?” Lakini hawakuitii sauti ya baba yao, sababu BWANA alinuia kuwaua.
Kad cilvēks pret cilvēku grēko, tad tiesas kungi to izlīdzina, bet kad cilvēks pret To Kungu grēko, kas priekš tāda var aizlūgt? Bet tie neklausīja sava tēva balsi, jo Tas Kungs tos gribēja nokaut.
26 Yule mtoto Samweli aliongezeka umri, na kupata kibali kwa BWANA na kwa watu pia.
Un tas puisis Samuēls augdams auga un patika gan Tam Kungam, gan tiem ļaudīm.
27 Kisha mtu wa Mungu akamwendea Eli na kumwambia, “BWANA asema, 'Je, sikujifunua mwenyewe kwa nyumba ya baba zako, walipokuwa Misri utumwani nyumbani mwa Farao?
Un viens Dieva vīrs nāca pie Elus un uz to sacīja: tā saka Tas Kungs: vai Es neesmu skaidri parādījies tava tēva namam, kad tie bija Ēģiptes zemē Faraona namā,
28 Mimi nilimchagua yeye kutoka makabila yote ya Israeli awe kuhani wangu, apande madhabahuni kwangu, na kufukiza uvumba, na kuvaa kanzu ya naivera mbele yangu. Niliwapa nyumba ya baba zako dhabihu zote za wana wa Israeli zilizotolewa kwa moto.
Un to no visām Israēla ciltīm Sev esmu licis par priesteri, upurēt uz Mana altāra, kvēpināmās zāles iededzināt un to plecu apsegu nest Manā priekšā, un Es tava tēva namam esmu devis visus Israēla bērnu uguns upurus.
29 Kwanini basi, unaidharau dhabihu yangu na sadaka ambazo ninazitaka mahali ninapoishi? Kwanini unawaheshimu watoto wako kuliko mimi, kwa kujinenepesha ninyi wenyewe kwa uzuri wa kila sadaka ya watu wangu Israeli?'
Kāpēc tad jūs kājām minat Manu upuri un Manu ēdamo upuri, ko Es esmu pavēlējis (nest Manā) dzīvoklī? Un tu godā savus dēlus vairāk nekā Mani, ka jūs barojaties no visu Manu Israēla ļaužu upuru pirmajiem.
30 Maana, BWANA, Mungu wa Isareli, asema, niliahidi kwamba nyumba yako, na nyumba ya baba yako, yawapasa kwenda mbele zangu milele,' Lakini sasa BWANA asema. 'Mambo haya yapishe mbali. nami nisifanye hivi, maana nitawaheshimu wanaoniheshimu, bali wanaonidharau mimi hawatakuwa na thamani.
Tādēļ Tas Kungs, Israēla Dievs, saka: gan Es biju skaidri sacījis: tavam namam un tava tēva namam bija Manā priekšā staigāt mūžīgi. Bet nu Tas Kungs saka: nemūžam nē, bet kas Mani godā, tos Es godāju, un kas Mani nicina, tie paliek kaunā.
31 Tazama, siku zinakuja nitakapoondoa nguvu zako na nguvu za nyumba za baba yako, ili kwamba pasije kuwepo mtu mzee katika nyumba yako.
Redzi, nāk dienas, tad Es nocirtīšu tavu elkoni un tava tēva nama elkoni, tā ka neviena veca vairs nebūs tavā namā.
32 Nawe utalitazama hangaiko katika makao yangu. Ingawa Israeli watapewa jambo jema, hapatakuwapo tena mtu yeyote mzee katika nyumba yako.
Un tu redzēsi (Dieva) dzīvokļa bēdas pie visa, ko Viņš Israēlim labu darīs, un veca nebūs tavā namā nemūžam.
33 Yeyote miongoni mwenu nisiye mwondoa kutoka madhabahuni pangu, Nitasababisha macho yenu yaanguke, na ita nitasababisha huzuni maishani mwenu. Wanaume wote waliozaliwa katika familia yako watakufa.
Tomēr visus Es tev neizdeldēšu no Mana altāra, ka tavām acīm būs īgt un tavai dvēselei iztvīkt, bet viss tava nama dzimums mirs vīra gados.
34 Hii ndiyo itakuwa ishara kwako ambayo itawaijia watoto wako wakiume wawili, juu ya Hofni na Finehasi: Wote wawili watakufa siku moja.
Šī nu būs tā zīme, kas nāks pār taviem abiem dēliem, par Hofnu un Pinehasu: vienā dienā abi mirs.
35 Nami nitamwinua juu kuhani wangu mwaminifu atakaye fanya kile kilichomo moyoni mwangu na nafisini mwangu. Nami nitamjengea nyumba madhubuti; naye atakwenda mbele ya mfalme wangu mbarikiwa milele.
Un Es Sev celšu uzticīgu priesteri; tas darīs pēc Manas sirds un dvēseles, tam Es uztaisīšu pastāvīgu namu, un tas staigās priekš Mana svaidītā vienmēr.
36 Kila mmoja aliyebakia nyumbani mwako atakuja na kusujudu mbele ya mtu huyo, akiomba kipande cha fedha na mkate mmoja, naye atasema, “Tafadhali uniajiri katika moja ya nafasi za kuhani ili niweze kula kipande cha mkate'”'
Un kas vēl atliks no tava nama, nāks un klanīsies priekš viņa par naudas artavu un par maizes riecienu un sacīs: pieņem mani lūdzams kādā priestera amatā, ka dabūju maizes kumosu, ko ēst.