< 1 Samweli 2 >

1 Hana aliomba akasema, “moyo wangu wamtukuza BWANA. Pembe yangu imejulikana katika BWANA. Kinywa changu kinatamba dhidi ya maadui zangu, kwa kuwa naufurahia wokovu wako.
Nagkararag ni Ana a kunana, “Agragragsak ti pusok gapu kenni Yahweh. Napabilegak gapu kenni Yahweh. Agpasindayag ti ngiwatko kadagiti kabusorko, gapu ta agrag-oak iti panangisalakanmo.
2 Hakuna aliye mtakatifu kama BWANA, kwa kuwa hakuna mwingine zaidi yako; hakuna mwamba kama Mungu wetu.
Awan ti uray maysa a nasantoan a kas kenni Yahweh, ta awan iti sabali pay malaksid kenka; awan dakkel a bato a kas iti Diostayo.
3 Msijivune sana hivyo kwa kiburi; vinywa vyenu visitoke majivuno. Kwa kuwa BWANA ni Mungu wa maarifa; yeye huyapima matendo kwa mizani.
Saankayon nga agpasindayag unay; awan koman ti kinapalangguad a rumuar iti ngiwatyo. Ta ni Yahweh ket Dios ti pannakaammo; babaen kenkuana matimbang dagiti tignay.
4 Pinde za mashujaa zimevunjika, bali wale wanaojikwaa hujivika nguvu kama mshipi.
Matukkol dagiti bai dagiti nabileg a lallaki, ngem dagiti maitibkul, pumigsada a kasla barikes.
5 Wale walio na shibe ya kutosha wamejikodisha ili wapate chakula; wale waliokuwa na njaa hawana njaa tena. Hata yule aliye kuwa tasa amezaa watoto saba, bali mwanamke mwenye watoto wengi amenyong'onyea.
Dagiti aglaplapusanan idi iti taraon, manggeddan tapno adda kanenda; saanen a mabisinan dagiti mabisbisinan. Uray ti maysa a lupes ket aganak iti pito, ngem ti babai nga addaan iti adu nga annak ket agkapsut.
6 BWANA huua na huuisha. Hushusha kuzimu na huleta tena juu. (Sheol h7585)
Mangpapatay ni Yahweh ken mangmangted iti biag. Isuna ti mangipababa idiay sheol ken isuna ti mangpagpagungar. (Sheol h7585)
7 BWANA humfanya maskini, na yeye ndiye humtajirisha mtu. Yeye hudhili, lakini pia hukweza
Ni Yahweh ti mangpapapanglaw ken mangpabaknang. Mangipababa isuna, ngem mangitan-ok met isuna.
8 Yeye humwinua juu maskini toka mavumbini: Huwainua wahitaji toka jalalani na kuwaketisha pamoja na wakuu na kuwarithisha kiti cha enzi cha utukufu. Kwa kuwa nguzo za dunia ni za BWANA na ameukalisha ulimwengu juu yake.
Bangbangonenna dagiti napanglaw manipud iti tapok. A-aonenna dagiti agkasapulan manipud iti gabsuon ti dapo tapno makipagtugawda kadagiti prinsipe ken tawidenda ti tugaw ti kinatan-ok. Ta dagiti adigi ti daga ket ni Yahweh ti nangisaad ket insaadna ti lubong kadagitoy.
9 Yeye atazilinda nyayo za watu wake waaminifu, bali waovu watanyamazishwa gizani, kwa maana hakuna atayeshinda kwa nguvu zake.
Bantayannanto dagiti saka dagiti napudno a tattaona, ngem mapaulimekto iti kasipngetan dagiti nadangkes, ta awanto ti agballigi babaen iti bukodna a pigsa.
10 Wale wampingao BWANA watavunjwa vipande vipande; atawapiga radi kutokea mbinguni. BWANA atahukumu miisho ya dunia; atampa nguvu mfalme wake na kuinua pembe ya mtiwa mafuta wake.”
Dagiti mangsupsuppiat kenni Yahweh ket marumekto; gurruodannanto ida manipud langit. Ukomento ni Yahweh dagiti pagpatinggaan ti daga, ikkannanto iti pigsa ti arina ken itag-aynanto ti tangguyob ti pinulotanna.”
11 Nndipo Elikana akenda Rama, nyumbani kwake. Na yule mtoto akamtumikia BWANA machoni pa Eli, kuhani.
Kalpasanna, nagawid ni Elkana iti balayna idiay Rama. Nagserbi ti ubing kenni Yahweh iti imatang ni Eli a padi.
12 Basi, watoto wa Eli walikuwa wakorofi. Wao hawakumheshimu BWANA.
Ita, dagiti putot ni Eli ket awan serserbida a lallaki. Saanda nga am-ammo ni Yahweh.
13 Desturi ya makuhani na watu ilikuwa kwamba endapo mtu yeyote ametoa dhabihu, mtumishi wa kuhani angekuja akiwa na uma wa meno matatu mkononi mwake, nyama ilipokuwa inatokoswa.
Ti kaugalian dagiti papadi kadagiti tattao no kasta nga agidatag iti daton ti siasinoman a tao, umay ti adipen ti padi a siiiggem iti tallo ti pangtudokna a tinidor, bayat a mailamlambong ti karne.
14 Naye angeutia uma huo sufuriani, au birikani au chomboni au chunguni; nyama yote ambayo ingeinuliwa na uma huo ingetwaliwa na kuhani mwenyewe. Ndivyo walivyofanya huko Shilo kwa Waisraeli wote waliokwenda huko.
Itudokna daytoy kadagiti linaon ti silyasi, wenno dakkel a kaldero, wenno banga. Amin a matudok ti tinidor ket alaen ti padi para iti bagbagina. Inaramidda daytoy iti Silo, kadagiti amin nga Israelita nga umay sadiay.
15 Tena, kabla ya kuteketeza mafuta, mtumishi wa kuhani alikuja, na kumwambia aliyekuwa akitoa dhabihu, “Tenga nyama ya kuchoma kwa ajili ya kuhani; kwa sababu hataikubali ile ya kutokosa kutoka kwako, bali tu ile mbichi.”
Ngem ketdi, sakbay a puoranda dagiti taba, umay ti adipen ti padi, ket ibagana iti tao nga agidatdaton, “Mangtedka iti maituno a karne para iti padi; ta saan isuna nga umawat iti nalambong a karne manipud kenka, no di laeng dagiti saan a naluto a karne.”
16 Ikiwa mtu atamwambia, “Wachome mafuta kwanza, na kisha uchukue kiasi utakacho.” Ndipo angesema, “Hapana, utanipatia sasa hivi; la sivyo; Nitaichukua kwa lazima.”
No kunaen ti lalaki kenkuana, “Masapul a puoranda nga umuna ti taba, ket kalpasanna alaenyo ti kayatyo nga alaen.” Ibaga ngarud ti adipen ti padi, “Saan, itedmo kaniak itan; ta no saan, pilitek nga alaen.”
17 Dhambi ya vijana hawa ilikuwa mbaya sana mbele za BWANA, kwa sababu waliidharau dhabihu ya BWANA.
Nadagsen unay ti basol dagitoy nga agtutubo iti sangoanan ni Yahweh, ta saanda a rinaem ti daton para kenni Yahweh.
18 Lakini Samweli alimtumikia BWANA akiwa mdogo akivaa nguo ya naivera ya kitani.
Ngem nagserbi ni Samuel kenni Yahweh kas maysa nga ubing a nakawesan iti lino nga efod.
19 Kila mwaka mama yake alimtengenezea kanzu dogo na kumletea, wakati wakija na mmewe kutoa dhabihu ya kila mwaka.
Iyar-aramidan isuna ti inana iti bassit a kagay ket tinawen nga ip-ipanna daytoy kenkuana, no sumang-at isuna a kaduana ti asawana a mangisagot iti tinawen a daton.
20 Eli aliwabariki Elikana na mke wake na kusema, “BWANA akupatie watoto zaidi kwa mwanamke huyu kwa sababu ya ahadi yake aliyoitoa kwa BWANA.” Baadaye walirudi nyumbani kwao.
Benbendisionan ni Eli da Elkana ken ti asawana a kunana, “Ikkannaka koma ni Yahweh iti ad-adu pay nga annak babaen iti daytoy a babai gapu iti kiniddawna kenni Yahweh.” Kalpasanna, agsublida iti bukodda a pagtaengan.
21 BWANA alimsaidia tena Hana, akawa amebeba mimba nyingine. Akazaa watoto watatu wa kiume na wa kike wawili. Wakati huo huo mtoto Samweli akakua akiwa mbele za BWANA.
Tinulongan manen ni Yahweh ni Ana, ket nagsikog manen isuna. Naganak pay isuna iti tallo a lallaki ken dua a babbai. Kabayatanna, dimmakkel ti ubing a ni Samuel iti sangoanan ni Yahweh.
22 Basi Eli alikuwa mzee sana, akayasikia yote ambayo watoto wake walikuwa wakiwafanyia Waisraeli wote, na jinsi walivyotembea na mwanamke aliyekuwa akitumika katika lango la hema ya kukutania.
Ita, lakay unayen ni Eli; nangngegna amin nga ar-aramiden dagiti annakna a lallaki iti entero nga Israel, ken ti panakikakaiddada kadagiti babbai nga agserserbi iti pagserkan ti tabernakulo.
23 Akawaambia, “Kwa nini mnafanya mambo hayo? Kwa maana nasikia matendo yenu maovu kutoka kwa watu hawa wote.”
Kinunana kadakuada, “Apay nga ar-aramidenyo dagiti kakasta a banbanag? Ta nangngegko manipud kadagitoy a tattao dagiti dakes nga aramidyo.”
24 Sivyo hivyo, watoto wangu, maana hii ninayoisikia siyo taarifa njema. Mnawakosesha watu wa BWANA.
Saan, annakko; ta daytoy ket saan a nasayaat a damag a mangngegko. Pinagsukiryo dagiti tattao ni Yahweh.
25 “Kama mtu mmoja akimkosea mwenzake, Mungu atamhukumu; Lakini mtu akimkosea BWANA, ni nani atakayemtetea mtu huyo?” Lakini hawakuitii sauti ya baba yao, sababu BWANA alinuia kuwaua.
“No makabasol iti sabali ti maysa a tao, ukomento isuna ti Dios; ngem no makabasol ti tao kenni Yahweh, siasino ti agsao para kenkuana?” Ngem saanda a dimngeg iti timek ti amada, gapu ta inkeddengen ni Yahweh a papatayen ida.
26 Yule mtoto Samweli aliongezeka umri, na kupata kibali kwa BWANA na kwa watu pia.
Dimmakkel ti ubing a ni Samuel, ken ad-adda a makaay-ayo kenni Yahweh ken kasta met kadagiti tattao.
27 Kisha mtu wa Mungu akamwendea Eli na kumwambia, “BWANA asema, 'Je, sikujifunua mwenyewe kwa nyumba ya baba zako, walipokuwa Misri utumwani nyumbani mwa Farao?
Ita, immay kenni Eli ti maysa a tao ti Dios ket kinunana kenkuana, “Kuna ni Yahweh, 'Saan kadi nga imparangko ti bagik iti balay ti kapuonam, idi addada iti Egipto a maad-adipen iti balay ni Faraon?
28 Mimi nilimchagua yeye kutoka makabila yote ya Israeli awe kuhani wangu, apande madhabahuni kwangu, na kufukiza uvumba, na kuvaa kanzu ya naivera mbele yangu. Niliwapa nyumba ya baba zako dhabihu zote za wana wa Israeli zilizotolewa kwa moto.
Pinilik isuna manipud kadagiti amin a tribu ti Israel nga agbalin a padik, a sumang-at iti altarko, ken mangpuor iti insenso, a mangikawes iti efod iti sangoanak. Intedko iti balay ti kapuonam dagiti amin a maipuor a sagsagut dagiti tattao ti Israel.
29 Kwanini basi, unaidharau dhabihu yangu na sadaka ambazo ninazitaka mahali ninapoishi? Kwanini unawaheshimu watoto wako kuliko mimi, kwa kujinenepesha ninyi wenyewe kwa uzuri wa kila sadaka ya watu wangu Israeli?'
Apay ngarud a saanyo a rinaem dagiti daton ken sagsagut nga imbilinko a kasapulan iti lugar a pagnanaedak? Apay nga ad-adda a raraemem dagiti annakmo ngem siak, babaen iti panagpalukmegyo iti bagbagiyo babaen kadagiti kasasayaatan iti tunggal daton dagiti tattaok nga Israel?'
30 Maana, BWANA, Mungu wa Isareli, asema, niliahidi kwamba nyumba yako, na nyumba ya baba yako, yawapasa kwenda mbele zangu milele,' Lakini sasa BWANA asema. 'Mambo haya yapishe mbali. nami nisifanye hivi, maana nitawaheshimu wanaoniheshimu, bali wanaonidharau mimi hawatakuwa na thamani.
Ta kuna ni Yahweh a Dios ti Israel, 'Inkarik a ti balaymo, ken ti balay ti kapuonam, nasken nga agserbida kaniak iti agnanayon.' Ngem ita, kuna ni Yahweh, ‘Saankon nga aramiden daytoy, ta raemek dagiti agraem kaniak, ngem dagiti saan a mangraem kaniak ket mabainanto.
31 Tazama, siku zinakuja nitakapoondoa nguvu zako na nguvu za nyumba za baba yako, ili kwamba pasije kuwepo mtu mzee katika nyumba yako.
Dumngegka, umayen dagiti aldaw a pukawek ti pigsam ken ti pigsa ti balay ni amam, tapno awanton ti lakay iti balaymo.
32 Nawe utalitazama hangaiko katika makao yangu. Ingawa Israeli watapewa jambo jema, hapatakuwapo tena mtu yeyote mzee katika nyumba yako.
Makitamto ti pannakariribuk iti lugar a pagnanaedak. Uray maitedto ti kinaimbag iti Israel, awanton a pulos ti siasinoman a lakay iti balaymo.
33 Yeyote miongoni mwenu nisiye mwondoa kutoka madhabahuni pangu, Nitasababisha macho yenu yaanguke, na ita nitasababisha huzuni maishani mwenu. Wanaume wote waliozaliwa katika familia yako watakufa.
Siasinoman kadakayo a saanko a papanawen iti altarko, pagbulsekekto dagiti matayo, ken paladingitekto ti biagmo. Amin dagiti lallaki a maiyanak iti pamiliam ket matayto.
34 Hii ndiyo itakuwa ishara kwako ambayo itawaijia watoto wako wakiume wawili, juu ya Hofni na Finehasi: Wote wawili watakufa siku moja.
Daytoyto ti pagilasinam nga umayto kadagiti dua a putotmo, ni Ofni ken ni Finees: Mataydanto a dua iti maymaysa nga aldaw.
35 Nami nitamwinua juu kuhani wangu mwaminifu atakaye fanya kile kilichomo moyoni mwangu na nafisini mwangu. Nami nitamjengea nyumba madhubuti; naye atakwenda mbele ya mfalme wangu mbarikiwa milele.
Mangisaadakto iti napudno a padi para kaniak, a mangaramidto no ania ti adda iti pusok ken kararuak. Mangipasdekakto iti natalged a balay para kenkuana; ket agnanayon nga agserbinto isuna iti pinilik nga ari.
36 Kila mmoja aliyebakia nyumbani mwako atakuja na kusujudu mbele ya mtu huyo, akiomba kipande cha fedha na mkate mmoja, naye atasema, “Tafadhali uniajiri katika moja ya nafasi za kuhani ili niweze kula kipande cha mkate'”'
Tunggal maysa a mabati iti balaymo ket mapanto agruknoy iti dayta a tao, a dumawat iti pidaso ti pirak ken tinapay, ket kunananto, “Pangngaasim ta isaadnak iti maysa kadagiti saad ti padi tapno makapanganak iti maysa a pidaso a tinapay."”'

< 1 Samweli 2 >