< 1 Samweli 18 >

1 Daudi alipokuwa amemaliza kuongea na Sauli, roho ya Yonathani ilishikana na roho ya Daudi, na Yonathani akampenda kama roho yake mwenyewe.
وقتی گفتگوی شائول و داوود تمام شد، یوناتان پسر شائول، علاقهٔ زیادی به داوود پیدا کرد. یوناتان او را مثل جان خودش دوست می‌داشت.
2 Sauli akamweka kazini Daudi siku hiyo, hakumwacha arudi nyumbani kwa baba yake.
یوناتان با داوود عهد دوستی بست و به نشانهٔ این عهد، ردایی را که بر تن داشت و شمشیر و کمان و کمربند خود را به داوود داد. از آن روز به بعد شائول، داوود را نزد خود نگاه داشت و دیگر نگذاشت به خانهٔ پدرش برگردد.
3 Kisha Yonathani na Daudi wakafanya makubaliano ya urafiki kwa sababu Yonathani alimenda kama roho yake mwenyewe.
4 Yonathani akavua kanzu aliyokuwa amevaa na kumpa Daudi, akampa na vazi lake la kivita, pamoja na upanga, upinde, na mshipi.
5 Daudi alikwenda popote ambapo Sauli alimtuma, naye alifanikiwa. Sauli akamteua Daudi awe mkuu wa wapiganaji. Jambo hili lilipendeza machoni pa watu na katika macho ya watumishi wa Sauli.
شائول هر مأموریتی که به داوود می‌سپرد، او آن را با موفقیت انجام می‌داد. پس او را به فرماندهی مردان جنگی خود برگماشت. از این امر، هم مردم و هم سربازان خشنود بودند.
6 Wakati wanarudi nyumbani kutoka kuwapiga Wafilisti, wanawake walitoka miji yote ya Israeli, wakiimba na kucheza, ili kukutana na mfalme Sauli, wakiwa na matowazi, wenye furaha, na wakiwa na ala za muziki.
پس از آنکه داوود جُلیات را کشته بود و سپاه فاتح اسرائیل به وطن برمی‌گشت، در طول راه، زنان از تمام شهرهای اسرائیل با ساز و آواز به استقبال شائول پادشاه بیرون آمدند. آنها در حالی که می‌رقصیدند این سرود را می‌خواندند: «شائول هزاران نفر و داوود ده‌ها هزار نفر را کشته است!»
7 Hao wanawake waliimba kwa kupokezana huku wakicheza; Wakiimba: “Sauli ameua maelfu yake, Na Daudi ameua makumi elfu yake.”
8 Sauli alikasirika sana, na wimbo huu haukumpendeza. Naye akasema, “Wamemsifia Daudi juu ya makumi elfu, lakini wamenisifia melfu tu mimi! Atapata kitu gani zaidi isipokuwa ufalme?
شائول با شنیدن این سرود سخت غضبناک گردید و با خود گفت: «آنها می‌گویند که داوود ده‌ها هزار نفر را کشته است، ولی من هزاران نفر را! لابد بعد هم خواهند گفت که داوود پادشاه است!»
9 Kuanzia siku hiyo na kuendelea, Sauli alimuangalia Daudi kwa mashaka.
پس، از آن روز به بعد، شائول از داوود کینه به دل گرفت.
10 Kesho yake yule roho ya ubaya kutoka kwa Mungu ikamwingia Sauli kwa nguvu. Naye akawa anafanya kama mwendawazimu nyumbani mwake. Hivyo Daudi akapiga kifaa chake, kama alivyofanya kila siku. Sauli alikuwa na mkuki wake mkononi.
در فردای آن روز روح پلید از جانب خدا بر شائول آمد و او را در خانه‌اش پریشان‌حال ساخت. داوود مثل هر روز شروع به نواختن چنگ نمود. ناگهان شائول نیزه‌ای را که در دست داشت به طرف داوود پرتاب کرد تا او را به دیوار میخکوب کند. اما داوود خود را کنار کشید. این عمل دو بار تکرار شد.
11 Sauli akatupa mkuki wake, kwani alifikiri, “Nitampigilia ukutani.” Lakini Daudi mara mbili aliepa uwepo wa Sauli.
12 Sauli alimwogopa Daudi, kwa sababu BWANA alikuwa pamoja naye, lakini hakuwa na Sauli tena.
شائول از داوود می‌ترسید، زیرا خداوند با داوود بود ولی شائول را ترک گفته بود.
13 Hivyo Sauli alimuondoa Daudi mbele yake na akamteua kuwa kamanda wa kikosi cha askari elfu moja. Kwa namna hii David alitoka na kuingia mbele ya watu.
سرانجام شائول او را از دربار بیرون کرد و به فرماندهی هزار نفر منصوب کرد و داوود وفادارانه آنها را برای جنگ رهبری می‌کرد.
14 Daudi alikuwa akistawi kwa mambo yake yote, maana BWANA alikuwa pamoja naye.
داوود در تمام کارهایش موفق می‌شد، زیرا خداوند با او بود.
15 Sauli alipoona kwamba Daudi anastawi, alimwogopa.
وقتی شائول پادشاه متوجه این امر شد، بیشتر هراسان گردید، ولی مردم اسرائیل و یهودا، داوود را دوست می‌داشتند زیرا به خوبی آنها را در جنگ رهبری می‌کرد.
16 Lakini Israeli yote na Yuda walimpenda Daudi, maana alitoka na kuingia mbele yao.
17 Kisha Sauli akamwambia Daudi, “Huyu hapa ni binti yangu mkubwa Merabu. Nitakupatia awe mke wako. Ila tu uwe jasiri kwa ajili yangu na upigane vita vya BWANA.” Maana Sauli alifikiri, “Usije mkono wangu ukawa juu yake, ila acha mkono wa Wafilisti uwe juu yake.”
روزی شائول به داوود گفت: «من حاضرم دختر بزرگ خود میرب را به عقد تو درآورم. اما اول باید شجاعت خود را در جنگهای خداوند ثابت کنی.» (شائول با خود می‌اندیشید: «به جای اینکه دست من به خون او آغشته شود، او را به جنگ فلسطینی‌ها می‌فرستم تا آنها او را بکشند.»)
18 Daudi akamwambia Sauli, “Mimi ni nani, na maisha yangu yana nini, au hata maisha ya familia ya baba yangu katika Israeli, kiasi cha kuwa mkwe wa mfalme?” 1 Samweli 18-19-19
داوود گفت: «من کیستم که داماد پادشاه شوم؟ خانوادهٔ ما قابل این افتخار نیست.»
19 Lakini wakati ambao Merabu, binti Sauli, ilipasa kuwa ameolewa na Daudi, aliozwa kwa Adrieli Mmeholathi.
اما وقتی زمان عروسی داوود و میرب رسید، شائول او را به مردی به نام عدریئیل از اهالی محولات داد.
20 Lakini Mikali, binti Sauli, alimpenda Daudi. Na watu walimwambia Sauli, na jambo hilo likampendeza.
ولی میکال دختر دیگر شائول عاشق داوود بود و شائول وقتی این موضوع را فهمید خوشحال شد.
21 Ndipo Sauli akafikiri, “Nitampatia huyu awe mke wake, ili uwe mtego kwake, na hivyo mkono wa Wafilisti pengine uwe juu yake.” Kwa hiyo Sauli akamwambia Daudi mara ya pili, “Wewe utakuwa mkwe wangu.”
شائول با خود گفت: «فرصتی دیگر پیش آمده تا داوود را به جنگ فلسطینی‌ها بفرستم. شاید این دفعه کشته شود!» پس به داوود گفت: «تو فرصت دیگری داری که داماد من بشوی. من دختر کوچک خود را به تو خواهم داد.»
22 Sauli akawaamuru watumishi wake, “Ongeeni na Daudi kwa njia ya siri, na mseme, 'Tazama, mfalme anakufurahia, na watumishi wake wote wanakupenda. Sasa basi, uwe mkwe wa mfalme.'”
در ضمن، شائول به درباریان گفته بود به طور محرمانه با داوود صحبت کرده، بگویند: «پادشاه از تو راضی است و همهٔ افرادش تو را دوست دارند. پس بیا و داماد پادشاه شو.»
23 Hivyo watumishi wa Sauli wakayasema maneno haya kwa Daudi. Na Daudi akasema, “Kwenu ninyi mnaona ni jambo dogo kuwa mkwe wa mfalme, mimi ni maskini, na heshima yangu ni ndogo.”
داوود چون این سخنان را از مأموران شائول شنید گفت: «آیا فکر می‌کنید که داماد پادشاه شدن آسان است؟ من از یک خانوادهٔ فقیر و گمنام هستم.»
24 Watumishi wa Sauli wakarudisha kwake taarifa ya maneno ambayo Daudi aliyasema.
وقتی درباریان شائول آنچه را که داوود گفته بود به شائول گزارش دادند، او گفت: «به داوود بگویید که مهریهٔ دختر من فقط صد قَلَفِهٔ مرد کشته شدهٔ فلسطینی است. تنها چیزی که من طالبش هستم، انتقام گرفتن از دشمنان است.» ولی در حقیقت قصد شائول این بود که داوود به دست فلسطینی‌ها کشته شود.
25 Na Sauli akasema, “Hivi ndivyo mtakavyo mwambia Daudi, 'Mfalme haitaji mahari yoyote, isipokuwa govi mia moja za Wafilisti, ili ajilipize kisasi kwa adui wa mfalme.”' Basi Sauli alifikiri atamwangusha Daudi kwa mkono wa Wafilisti.
26 Watumishi wake walipomwambia maneno haya, yakamvutia Daudi awe mkwe wa mfalme.
داوود از این پیشنهاد خشنود گردید و پیش از آنکه زمان معین برسد،
27 Kabla siku hizo hazijapita, Daudi aliondoka na watu wake na kuwaua Wafilisti mia mbili. Daudi akazileta govi zao, na kumkadhi mfalme kulingana na idadi yake, ili aweze kufanyika mkwe wa mfalme. Kwa hiyo Sauli akamwoza Mikali, binti yake, awe mkewe.
او با افرادش رفت و دویست فلسطینی را کشت و قَلَفِه‌های آنها را برای شائول آورد. پس شائول دختر خود میکال را به او داد.
28 Basi Sauli aliona na kufahamu kwamba BWANA alikuwa pamoja na Daudi. Mikali, binti Sauli, akampenda Daudi.
شائول وقتی دید که خداوند با داوود است و دخترش میکال نیز داوود را دوست دارد از او بیشتر ترسید و هر روز بیش از پیش از وی متنفر می‌شد.
29 Sauli akazidi kumwogopa Daudi. Sauli akawa adui wa Daudi daima.
30 Ndipo wakuu wa Wafilisti wakajitokeza kwa ajili ya vita, na mara zote walipojitokeza Daudi alifanikiwa zaidi kuliko watumishi wote wa Sauli, hivyo jina lake likapata heshima kubwa.
هر موقع که فلسطینی‌ها حمله می‌کردند، داوود در نبرد با آنها بیشتر از سایر افسران شائول موفق می‌شد. بدین ترتیب نام داوود در سراسر اسرائیل بر سر زبانها افتاد.

< 1 Samweli 18 >