< 1 Samweli 18 >
1 Daudi alipokuwa amemaliza kuongea na Sauli, roho ya Yonathani ilishikana na roho ya Daudi, na Yonathani akampenda kama roho yake mwenyewe.
Ie niheneke ty saontsi’e amy Saole, le nifamitrañe an-tro’ i Davide ty tro’ Ionatane. Nikokoa’e manahake ty vata’e.
2 Sauli akamweka kazini Daudi siku hiyo, hakumwacha arudi nyumbani kwa baba yake.
Mifototse amy andro zay t’ie nitana’ i Saole, tsy nenga’e himpoly aman-drae’e añe.
3 Kisha Yonathani na Daudi wakafanya makubaliano ya urafiki kwa sababu Yonathani alimenda kama roho yake mwenyewe.
Nanao fiatehenàñe amy Davide t’Ionatane amy te nikokoa’e manahake ty vata’e.
4 Yonathani akavua kanzu aliyokuwa amevaa na kumpa Daudi, akampa na vazi lake la kivita, pamoja na upanga, upinde, na mshipi.
Nafaha’ Ionatane ty sarimbo ama’e le natolo’e amy Davide rekets’ i saron’ ali’ey, i fibara’ey, i fàle’ey, vaho i sadia’ey.
5 Daudi alikwenda popote ambapo Sauli alimtuma, naye alifanikiwa. Sauli akamteua Daudi awe mkuu wa wapiganaji. Jambo hili lilipendeza machoni pa watu na katika macho ya watumishi wa Sauli.
Le niavotse mb’amy ze nañiraha’ i Saole aze añe t’i Davide naho nitoloñe an-kahimbañe; le najado’ i Saole ho mpifehe o lahindefoñeo, ie niantofañe am-pahaisaha’ ze hene ondaty naho am-pahaoniña’ o mpitoro’ i Saoleo.
6 Wakati wanarudi nyumbani kutoka kuwapiga Wafilisti, wanawake walitoka miji yote ya Israeli, wakiimba na kucheza, ili kukutana na mfalme Sauli, wakiwa na matowazi, wenye furaha, na wakiwa na ala za muziki.
Ie pok’ eo t’i Davide naho o mpiama’eo, nimpoly boak’ añ’aly amo nte-Pilistioy, le niakatse amy ze rova’ i Israele iaby o ampelao nisabo an-tsinjake, hifanalaka amy Saole Mpanjaka an-pikoriñañe naho nirebeke an-jejo-bory.
7 Hao wanawake waliimba kwa kupokezana huku wakicheza; Wakiimba: “Sauli ameua maelfu yake, Na Daudi ameua makumi elfu yake.”
Nisabo ty hoe an-kafaleañe o rakembao: Fa nanjamañe ty arivo’e t’i Saole vaho ty aleale’e t’i Davide.
8 Sauli alikasirika sana, na wimbo huu haukumpendeza. Naye akasema, “Wamemsifia Daudi juu ya makumi elfu, lakini wamenisifia melfu tu mimi! Atapata kitu gani zaidi isipokuwa ufalme?
Nitorifike amy zao t’i Saole fa natao’e t’ie fampifotsahañ’ aze. Amoliliañe añ’ aleale’e t’i Davide fe añ’ arivo’e avao ty ahiko. I fifeheañey avao ty mbe tsy aze.
9 Kuanzia siku hiyo na kuendelea, Sauli alimuangalia Daudi kwa mashaka.
Ie henane zay nikirofe’ i Saole t’i Davide.
10 Kesho yake yule roho ya ubaya kutoka kwa Mungu ikamwingia Sauli kwa nguvu. Naye akawa anafanya kama mwendawazimu nyumbani mwake. Hivyo Daudi akapiga kifaa chake, kama alivyofanya kila siku. Sauli alikuwa na mkuki wake mkononi.
Aa ie amy loak’ àndroy, nangare’ ty fañahi’ raty boak’ aman’ Añahare an-kafatrara’e t’i Saole, le nitazataza am-po’ i anjombay ao, naho nititike am-pitàñe t’i Davide ami’ty lili’e lomoñandro, ie am-pità’ i Saole ty lefo’e.
11 Sauli akatupa mkuki wake, kwani alifikiri, “Nitampigilia ukutani.” Lakini Daudi mara mbili aliepa uwepo wa Sauli.
Hiniriri’ i Saole i lefoñey, ie nitsakore ty hoe: Ho tomboheko an-drindriñe eo t’i Davide. Indroe niholiatse aze t’i Davide.
12 Sauli alimwogopa Daudi, kwa sababu BWANA alikuwa pamoja naye, lakini hakuwa na Sauli tena.
Nampihembañe i Saole t’i Davide, amy te nindre ama’e t’Iehovà, ie fa nienga i Saole.
13 Hivyo Sauli alimuondoa Daudi mbele yake na akamteua kuwa kamanda wa kikosi cha askari elfu moja. Kwa namna hii David alitoka na kuingia mbele ya watu.
Aa le nasita’ i Saole ama’e, vaho nanoe’e mpifehe-arivo; niavotse naho nizilik’ añatrefa’ ondatio.
14 Daudi alikuwa akistawi kwa mambo yake yote, maana BWANA alikuwa pamoja naye.
Nilefe iaby ze raha nanoe’ i Davide; fa tama’e t’Iehovà.
15 Sauli alipoona kwamba Daudi anastawi, alimwogopa.
Ie nioni’ i Saole t’ie nitoloñ’ an-kihitse, le nihembaña’e.
16 Lakini Israeli yote na Yuda walimpenda Daudi, maana alitoka na kuingia mbele yao.
Fe nikokoa’ Israele naho Iehodà iaby t’i Davide, amy t’ie niavotse naho nizilik’ añatrefa’ iareo.
17 Kisha Sauli akamwambia Daudi, “Huyu hapa ni binti yangu mkubwa Merabu. Nitakupatia awe mke wako. Ila tu uwe jasiri kwa ajili yangu na upigane vita vya BWANA.” Maana Sauli alifikiri, “Usije mkono wangu ukawa juu yake, ila acha mkono wa Wafilisti uwe juu yake.”
Le hoe t’i Saole amy Davide: Ingo, hatoloko azo t’i Merabe zoken’ anak’ ampelako; fe mahimbàña ho ahy, vaho ialio o ali’ Iehovào; ami’ty natao’ i Saole ty hoe: Tsy ty tañako ty hiatrek’ aze, fa hiatrefa’ ty fità’ o nte-Pilistio.
18 Daudi akamwambia Sauli, “Mimi ni nani, na maisha yangu yana nini, au hata maisha ya familia ya baba yangu katika Israeli, kiasi cha kuwa mkwe wa mfalme?” 1 Samweli 18-19-19
Le hoe t’i Davide amy Saole, Ia v’irahoo, ino ty fiaiko naho ty fiain-dongon-draeko e Israele ao t’ie ho vinanto’ ty mpanjaka?
19 Lakini wakati ambao Merabu, binti Sauli, ilipasa kuwa ameolewa na Daudi, aliozwa kwa Adrieli Mmeholathi.
Aa ie ho natolotse amy Davide t’i Merabe anak’ ampela’ i Saole te mone natolo’e amy Adriele nte Meholatite ho tañanjomba’e.
20 Lakini Mikali, binti Sauli, alimpenda Daudi. Na watu walimwambia Sauli, na jambo hilo likampendeza.
Fe nikokoa’ i Mikale anak’ ampela’ i Saole t’i Davide; natalily amy Saole Izay le ninò’e.
21 Ndipo Sauli akafikiri, “Nitampatia huyu awe mke wake, ili uwe mtego kwake, na hivyo mkono wa Wafilisti pengine uwe juu yake.” Kwa hiyo Sauli akamwambia Daudi mara ya pili, “Wewe utakuwa mkwe wangu.”
Aa hoe t’i Saole, Hatoloko aze re ho fandrik’ ama’e, hatreatré’e o nte-Pilistio. Aa le hoe t’i Saole amy Davide. Ho vinantoko irehe amy faharoey.
22 Sauli akawaamuru watumishi wake, “Ongeeni na Daudi kwa njia ya siri, na mseme, 'Tazama, mfalme anakufurahia, na watumishi wake wote wanakupenda. Sasa basi, uwe mkwe wa mfalme.'”
Le nandily o mpitoro’eo t’i Saole, ty hoe: Bisibisiho amy Davide ty hoe: Inao! ifalea’ i mpanjakay vaho mikoko azo o mpitoro’e iabio, aa le miantofa t’ie ho vinanto’e.
23 Hivyo watumishi wa Sauli wakayasema maneno haya kwa Daudi. Na Daudi akasema, “Kwenu ninyi mnaona ni jambo dogo kuwa mkwe wa mfalme, mimi ni maskini, na heshima yangu ni ndogo.”
Aa le sinaontsi’ o mpitoro’ i Saoleo an-dravembia’ i Davide i entañe zay. Aa hoe t’i Davide, Atao’ areo ho raha maivañe hao t’ie ho vinantom-panjaka, izaho ondaty rarake naho mavomavo.
24 Watumishi wa Sauli wakarudisha kwake taarifa ya maneno ambayo Daudi aliyasema.
Natalili’ o mpitoro’ i Saoleo ama’e izay ami’ty hoe: Inao ty entañe sinaontsi’ i Davide.
25 Na Sauli akasema, “Hivi ndivyo mtakavyo mwambia Daudi, 'Mfalme haitaji mahari yoyote, isipokuwa govi mia moja za Wafilisti, ili ajilipize kisasi kwa adui wa mfalme.”' Basi Sauli alifikiri atamwangusha Daudi kwa mkono wa Wafilisti.
Le hoe t’i Saole: Zao ty ho saontsie’ areo amy Davide: Tsy mipay lafitihy i mpanjakay, fa ofoke zato boak’ amo nte-Pilistio, ho fañavahañe o rafelahi’ i mpanjakaio. Amy te kinilili’ i Saole ty hampihotrake i Davide am-pitàn-te-Pilisty.
26 Watumishi wake walipomwambia maneno haya, yakamvutia Daudi awe mkwe wa mfalme.
Aa ie nisaontsie’ o mpitoro’eo amy Davide i entañe zay, le ninò’ i Davide ty ho vinanto’ i mpanjakay, aolo’ ty fepèn’ andro;
27 Kabla siku hizo hazijapita, Daudi aliondoka na watu wake na kuwaua Wafilisti mia mbili. Daudi akazileta govi zao, na kumkadhi mfalme kulingana na idadi yake, ili aweze kufanyika mkwe wa mfalme. Kwa hiyo Sauli akamwoza Mikali, binti yake, awe mkewe.
aa le niavotse mb’eo t’i Davide, ie naho o mpiama’eo, naho zinama’ iareo t’i nte-Pilisty roan-jato, vaho nendese’ i Davide o ofo’eo, le natolo’e amy mpanjakay ami’ty ia’e do’e, soa t’ie ho vinanto’ i mpanjakay. Le natolo’ i Saole aze t’i Mikale anak’ ampela’e ho vali’e.
28 Basi Sauli aliona na kufahamu kwamba BWANA alikuwa pamoja na Daudi. Mikali, binti Sauli, akampenda Daudi.
Napota’ i Saole te amy Davide t’Iehovà mbore nikoko aze t’i Mikale anak’ ampela’e;
29 Sauli akazidi kumwogopa Daudi. Sauli akawa adui wa Daudi daima.
aa antsake te nihembañe amy Davide t’i Saole, vaho nitolon-ko rafelahi’ i Davide t’i Saole.
30 Ndipo wakuu wa Wafilisti wakajitokeza kwa ajili ya vita, na mara zote walipojitokeza Daudi alifanikiwa zaidi kuliko watumishi wote wa Sauli, hivyo jina lake likapata heshima kubwa.
Mpiavotse mb’eo o talèm-Pilistio; fe, ndra mbia mbia niakatse, le niraorao ambone’ o mpitoro’ i Saole iabio t’i Davide vaho nonjoneñe añ’abo i tahina’ey.