< 1 Samweli 18 >

1 Daudi alipokuwa amemaliza kuongea na Sauli, roho ya Yonathani ilishikana na roho ya Daudi, na Yonathani akampenda kama roho yake mwenyewe.
David in Saul akihoupi jouvin, lengpa chapa Jonathan toh akimuton, Jonathan in David angailut jeh chun, akikah lhona kintah’a kitepna khat semdin akigong lhontan ahi.
2 Sauli akamweka kazini Daudi siku hiyo, hakumwacha arudi nyumbani kwa baba yake.
Hichenia kipat chun Saul in David akomah akikoi jingtan ainlamah akilesah kit tapon ahi.
3 Kisha Yonathani na Daudi wakafanya makubaliano ya urafiki kwa sababu Yonathani alimenda kama roho yake mwenyewe.
Jonathan in David chu adei behseh jeh le ama akingailut banga angailut jeh in aitih a kikhenpi lou ding in, akikah lhon-ah kihahsel na khat asem in ahi.
4 Yonathani akavua kanzu aliyokuwa amevaa na kumpa Daudi, akampa na vazi lake la kivita, pamoja na upanga, upinde, na mshipi.
Jonathan in hiche akihahsel na melchihnan, achunga kai asangkhol chol chu asut lhan asilpeh in, chule avonho, achemjam le athalpi chule akonggah geiyin David apetan ahi.
5 Daudi alikwenda popote ambapo Sauli alimtuma, naye alifanikiwa. Sauli akamteua Daudi awe mkuu wa wapiganaji. Jambo hili lilipendeza machoni pa watu na katika macho ya watumishi wa Sauli.
Chutichun Saul in David chu asolna lam lamah achejin alolhing soh keiyin ahi. Hijeh chun Saul in asepaiho chunga gallamkai dingin atungin ahile, mijouse jong achung ah akipah cheh-un ahi.
6 Wakati wanarudi nyumbani kutoka kuwapiga Wafilisti, wanawake walitoka miji yote ya Israeli, wakiimba na kucheza, ili kukutana na mfalme Sauli, wakiwa na matowazi, wenye furaha, na wakiwa na ala za muziki.
Israel miten galjona ahin neijouvun inlama ahung kile kit-un, David in Philistine te ahintha jouvun, khopi jousea nupiho ahung potdoh’un, Saul lengpa ahung kimupiuvin ahi, numeihon khongcha le tumgingthei toh thon kipahtah in lampumin la asauvin ahi.
7 Hao wanawake waliimba kwa kupokezana huku wakicheza; Wakiimba: “Sauli ameua maelfu yake, Na Daudi ameua makumi elfu yake.”
Vailhun na’a alasah’u chu hiche ahi, “Saul in asang asangin athat in, David in asangsomasangsom in athat’e!” tin alachoiyun ahi.
8 Sauli alikasirika sana, na wimbo huu haukumpendeza. Naye akasema, “Wamemsifia Daudi juu ya makumi elfu, lakini wamenisifia melfu tu mimi! Atapata kitu gani zaidi isipokuwa ufalme?
Hiche chun Saul nasatah in alunghan sah in, “Hiche hi ipiham? Amahon David achoisangun, sangsom athat’e atiuvin, kei sangkhat that in eiseijun. Abankit tengle lengin hin kitun kit taveh tao!” atin ahi.
9 Kuanzia siku hiyo na kuendelea, Sauli alimuangalia Daudi kwa mashaka.
Hijeh chun, hichenia kipat chun, Saul in David chu thangthipna mitvet in avepan tan ahi.
10 Kesho yake yule roho ya ubaya kutoka kwa Mungu ikamwingia Sauli kwa nguvu. Naye akawa anafanya kama mwendawazimu nyumbani mwake. Hivyo Daudi akapiga kifaa chake, kama alivyofanya kila siku. Sauli alikuwa na mkuki wake mkononi.
Ajing nikho maman Pathen a kon in lhagao phalou Saul chungah ahung chukitin, insunga angol pen bangin apengin ahile, David in nidanga bangin, akhut in semjang asaijin ahi. Ahin Saul in akhut’ah tengcha akichoijin ahi.
11 Sauli akatupa mkuki wake, kwani alifikiri, “Nitampigilia ukutani.” Lakini Daudi mara mbili aliepa uwepo wa Sauli.
Chule hetmanlouvin, tengchan David chu akhon ahi, bangtoh khobeh ding agot ahin, ahinlah David in ana otdoh in ahi.
12 Sauli alimwogopa Daudi, kwa sababu BWANA alikuwa pamoja naye, lakini hakuwa na Sauli tena.
Pathen in Saul adlhah’a David aumpi jeh chun Saul in Daivd chu akichalheh jengtan ahi.
13 Hivyo Sauli alimuondoa Daudi mbele yake na akamteua kuwa kamanda wa kikosi cha askari elfu moja. Kwa namna hii David alitoka na kuingia mbele ya watu.
Hijeh chun Saul in, David chu sepai sangkhat chung’a lamkai ding in akoiyin gamlatah in asolmang tan ahi. David in jong kitup tah in alamkaijin gal akonpi in ahi.
14 Daudi alikuwa akistawi kwa mambo yake yote, maana BWANA alikuwa pamoja naye.
Chuin David Pakaiyin aumpi jeh chun imalam jouse’ah alolhing lheh jing in ahi.
15 Sauli alipoona kwamba Daudi anastawi, alimwogopa.
David lolhing nathu teho Saul in ajahdoh kit phat in, akicha cheh cheh jengtan ahi.
16 Lakini Israeli yote na Yuda walimpenda Daudi, maana alitoka na kuingia mbele yao.
David in nasatah’a, kituptah’a gal alamkai jeh in, Israelte jouse le Judah nam mite jousen jong David chu angailu un, akipapi lheh jeng un ahi.
17 Kisha Sauli akamwambia Daudi, “Huyu hapa ni binti yangu mkubwa Merabu. Nitakupatia awe mke wako. Ila tu uwe jasiri kwa ajili yangu na upigane vita vya BWANA.” Maana Sauli alifikiri, “Usije mkono wangu ukawa juu yake, ila acha mkono wa Wafilisti uwe juu yake.”
Nikhat hi Saul in David komah, “Kachanu alenjo nu Merab khu naji dia pedinga kigongsa kahi. Ahinlah amasan nangma Pakaiya dinga gal hang mong nahi photchenna neipen,” ati. Ajeh chu Saul’in alunggel’ah, “Keima tah’in katha sangin, Philistine tetoh kidou ding in kisol henlang hinthat doh-uleh,” tia angaito ahi.
18 Daudi akamwambia Sauli, “Mimi ni nani, na maisha yangu yana nini, au hata maisha ya familia ya baba yangu katika Israeli, kiasi cha kuwa mkwe wa mfalme?” 1 Samweli 18-19-19
David in, “Kei koi kahiya chule kainsung mite hi Israel a ipi hiya, keima lengpa tupa kahiding ham? Chule kappa insung mite jong ima ahipoi” ati.
19 Lakini wakati ambao Merabu, binti Sauli, ilipasa kuwa ameolewa na Daudi, aliozwa kwa Adrieli Mmeholathi.
Hijeh chun, Merab toh akichen nading phat ahung lhun phat in, Saul in, Adriel kiti Meholath mipi toh Merab chu akichensah tan ahi.
20 Lakini Mikali, binti Sauli, alimpenda Daudi. Na watu walimwambia Sauli, na jambo hilo likampendeza.
Ahinlah Saul chanu Michal chu David to akidei lhonin, hichu Saul in ajahdoh phat in akipah lheh jeng in ahi.
21 Ndipo Sauli akafikiri, “Nitampatia huyu awe mke wake, ili uwe mtego kwake, na hivyo mkono wa Wafilisti pengine uwe juu yake.” Kwa hiyo Sauli akamwambia Daudi mara ya pili, “Wewe utakuwa mkwe wangu.”
Hichun Saul in alunggel in, “Hiche Philistine te khutna athina dinga phat kijen chomkhat ahi,” atin ahinlah Saul anivei nan David koma chun, “Katupa nahi tei ding tai,” ati.
22 Sauli akawaamuru watumishi wake, “Ongeeni na Daudi kwa njia ya siri, na mseme, 'Tazama, mfalme anakufurahia, na watumishi wake wote wanakupenda. Sasa basi, uwe mkwe wa mfalme.'”
Saul in avaipote koma chun, David jah’a aseidiu thu apen, “Lengpan nadei lheh jenge, chule keiho jong pha kasalheh jeng uve, hijeh chun lengpa tupa nahi ding pha nasah louham?” tia aseipeh din ahil’e.
23 Hivyo watumishi wa Sauli wakayasema maneno haya kwa Daudi. Na Daudi akasema, “Kwenu ninyi mnaona ni jambo dogo kuwa mkwe wa mfalme, mimi ni maskini, na heshima yangu ni ndogo.”
Saul avaipoten hiche thu hochu David koma aseijun ahile, David in, “Kei mivaicha, insung lhasam le mi nahsahmo, lengpa tupa-a iti kapan thei ding ham? Tin anadonbut in ahi.
24 Watumishi wa Sauli wakarudisha kwake taarifa ya maneno ambayo Daudi aliyasema.
Chuin Saul mitehon hiche thu chu Saul koma asei doh phat un.
25 Na Sauli akasema, “Hivi ndivyo mtakavyo mwambia Daudi, 'Mfalme haitaji mahari yoyote, isipokuwa govi mia moja za Wafilisti, ili ajilipize kisasi kwa adui wa mfalme.”' Basi Sauli alifikiri atamwangusha Daudi kwa mkono wa Wafilisti.
Saul in David koma asei diu ahil kit’in, “Lengpan moulah man dia adei chu ahile amelmate chunga phulah nadinga Philistine te chep jakhat tilou adang imacha angeh poi tin seipeh un,” ati. Ahinla Saul chun David chu Philisine te khutna thisah tei agot ahi.
26 Watumishi wake walipomwambia maneno haya, yakamvutia Daudi awe mkwe wa mfalme.
Saul lengpa thil ngeh chu David in ajahdoh phat in kipahtah in asangtai, anikho kitep alhun masang in,
27 Kabla siku hizo hazijapita, Daudi aliondoka na watu wake na kuwaua Wafilisti mia mbili. Daudi akazileta govi zao, na kumkadhi mfalme kulingana na idadi yake, ili aweze kufanyika mkwe wa mfalme. Kwa hiyo Sauli akamwoza Mikali, binti yake, awe mkewe.
David amale amite akipatdoh un, Philistine te mi jani agathat’un ahi. Hitichun David in lengpan angaichat chu asuhbulhit peh in, chep kitan chu agapetan ahi. Chuin Saul in achanu Michal chu David ji ding in apetan ahi.
28 Basi Sauli aliona na kufahamu kwamba BWANA alikuwa pamoja na Daudi. Mikali, binti Sauli, akampenda Daudi.
Pakaiyin David aumpi ti kichen tah in ahetan, chule achanu Michal angailut dan ahetan ahi.
29 Sauli akazidi kumwogopa Daudi. Sauli akawa adui wa Daudi daima.
Saul in David chu agingcheh cheh jengtan, hijeh chun Saul chu ahinkho lhumkeiyin David din amelma ahijom jing jengtai.
30 Ndipo wakuu wa Wafilisti wakajitokeza kwa ajili ya vita, na mara zote walipojitokeza Daudi alifanikiwa zaidi kuliko watumishi wote wa Sauli, hivyo jina lake likapata heshima kubwa.
Philistine te sepaiten aphatseh leh ahin nokhum jing jengun, ahin David hatna achang jing jeng in, David min nasatah in akithang tan ahi.

< 1 Samweli 18 >