< 1 Samweli 18 >

1 Daudi alipokuwa amemaliza kuongea na Sauli, roho ya Yonathani ilishikana na roho ya Daudi, na Yonathani akampenda kama roho yake mwenyewe.
Solo amola Da: ibidi ela da sia: sa: i dagoi. Amalalu fa: no, Solo egefe Yonada: ne da Da: ibidima bagade oso dogone asigimusa: hanaiba: le, e da hina: da: i hodo amoma asigi amo defele Da: ibidima dogolegei.
2 Sauli akamweka kazini Daudi siku hiyo, hakumwacha arudi nyumbani kwa baba yake.
Amogala, Solo da Da: ibidi hi diasua mae masa: ne gagulaligi.
3 Kisha Yonathani na Daudi wakafanya makubaliano ya urafiki kwa sababu Yonathani alimenda kama roho yake mwenyewe.
Yonada: ne da Da: ibidima dogolegebeba: le, e da eso huluane mae yolesili, Da: ibidi ea dogolegei sama esaloma: ne, sia: ga ilegei dagoi.
4 Yonathani akavua kanzu aliyokuwa amevaa na kumpa Daudi, akampa na vazi lake la kivita, pamoja na upanga, upinde, na mshipi.
E da abula hi ga: i amo gisa: le amola hina: da: igene ga: ne, gegesu gobihei sedade, oulali, amola bulu huluane gigisa: le, Da: ibidima i.
5 Daudi alikwenda popote ambapo Sauli alimtuma, naye alifanikiwa. Sauli akamteua Daudi awe mkuu wa wapiganaji. Jambo hili lilipendeza machoni pa watu na katika macho ya watumishi wa Sauli.
Solo da Da: ibidima hawa: hamosu i. Da: ibidi da amo hawa: hamosu noga: le hamobeba: le, Solo da Da: ibidi ea dadi gagui ouligisu dunu hamoma: ne ilegei. Amo ba: beba: le, Solo ea dadi gagui dunu amola ilia ouligisu dunu huluane da bagade nodoi.
6 Wakati wanarudi nyumbani kutoka kuwapiga Wafilisti, wanawake walitoka miji yote ya Israeli, wakiimba na kucheza, ili kukutana na mfalme Sauli, wakiwa na matowazi, wenye furaha, na wakiwa na ala za muziki.
Da: ibidi da Goulaia: de fane legelalu, e amola dadi gagui dunu da ilia sogega buhagilaloba, Isala: ili moilaia fi uda huluane da Solo gousa: musa: misi. Ilia da nodosu gesami hea: su amola sisiogola amola ilibu amola sani baidama dududu sa: i.
7 Hao wanawake waliimba kwa kupokezana huku wakicheza; Wakiimba: “Sauli ameua maelfu yake, Na Daudi ameua makumi elfu yake.”
Uda ilia da nodone amane gesami hea: i, “Solo da ha lai dunu 1,000 baligili gale fane legei dagoi. Be Da: ibidi da ha lai dunu 10,000 baligili gale fane legei.”
8 Sauli alikasirika sana, na wimbo huu haukumpendeza. Naye akasema, “Wamemsifia Daudi juu ya makumi elfu, lakini wamenisifia melfu tu mimi! Atapata kitu gani zaidi isipokuwa ufalme?
Solo da amane hea: be nabimu hihi galu. E da bagadewane ougi galu. E amane sia: i, “Ilia da Da: ibidi da 10,000 baligili gale fane legei be na da 1,000 baligili gale fawane fane legei sia: sa. Agoane hamosea, ilia na fadegale, Da: ibidi hina bagade hamoma: bela: ?”
9 Kuanzia siku hiyo na kuendelea, Sauli alimuangalia Daudi kwa mashaka.
Amaiba: le, Solo da amo esoha amogainini Da: ibidima mudasu, amola Da: ibidi ea hou hamobe higale dawa: i.
10 Kesho yake yule roho ya ubaya kutoka kwa Mungu ikamwingia Sauli kwa nguvu. Naye akawa anafanya kama mwendawazimu nyumbani mwake. Hivyo Daudi akapiga kifaa chake, kama alivyofanya kila siku. Sauli alikuwa na mkuki wake mkononi.
Golale hahabe, wadela: i a: silibu Gode Ea asunasi, amo da hedolowane Solo ea da: iga aligila sa: i. Amalu, e da elabusu dunu agoane hi diasua esala gagaba: gilalu. Da: ibidi da hi eso hulu amasu amane sani baidama dusa: esalu. Solo da goge agei gagui dialu.
11 Sauli akatupa mkuki wake, kwani alifikiri, “Nitampigilia ukutani.” Lakini Daudi mara mbili aliepa uwepo wa Sauli.
Solo da hisu amane sia: i, “Na da Da: ibidi dobeala bobodole gala: le danoma: nesimu.” Amalu, e da aduna agoane gala: i. Be Da: ibidi da ele galu giadofai dagoi.
12 Sauli alimwogopa Daudi, kwa sababu BWANA alikuwa pamoja naye, lakini hakuwa na Sauli tena.
Solo da Da: ibidiba: le beda: i. Bai Hina Gode da e yolesiagale, Da: ibidima galu.
13 Hivyo Sauli alimuondoa Daudi mbele yake na akamteua kuwa kamanda wa kikosi cha askari elfu moja. Kwa namna hii David alitoka na kuingia mbele ya watu.
Amaiba: le, Solo da Da: ibidi dadi gagui dunu 1,000 ouligila masa: ne ga asunasiagai. Da: ibidi da ea dadi gagui dunu oule, gegena asi.
14 Daudi alikuwa akistawi kwa mambo yake yote, maana BWANA alikuwa pamoja naye.
E da hi musa: hamoi amanewane ha lai dunuma hasalasi. Bai Hina Gode da ela galuba: le.
15 Sauli alipoona kwamba Daudi anastawi, alimwogopa.
Solo da Da: ibidi ea didili hasalasu hamobe hou dawa: digili, bu bagadewane beda: i.
16 Lakini Israeli yote na Yuda walimpenda Daudi, maana alitoka na kuingia mbele yao.
Be Isala: ili amola Yuda dunu huluane da Da: ibidima bagadewane dogolegesu. Bai ea ouligisu hou e da noga: le didili hamoi.
17 Kisha Sauli akamwambia Daudi, “Huyu hapa ni binti yangu mkubwa Merabu. Nitakupatia awe mke wako. Ila tu uwe jasiri kwa ajili yangu na upigane vita vya BWANA.” Maana Sauli alifikiri, “Usije mkono wangu ukawa juu yake, ila acha mkono wa Wafilisti uwe juu yake.”
Amalu, Solo da Da: ibidima amane sia: i, “Na magobo uda mano Mila: be da goea. Dia da na hawa: hamosu noga: le hamosea amola di da dadi gagui noga: idafa agoane Hina Gode Ea gegesu hamosea, na da e digili lama: mu. (Solo da amane dawa: lu, amane hamosea, e da Da: ibidima ea mae fane legele, Filisidini dunu da Da: ibidi fane legema: bela: le dawa: i.)
18 Daudi akamwambia Sauli, “Mimi ni nani, na maisha yangu yana nini, au hata maisha ya familia ya baba yangu katika Israeli, kiasi cha kuwa mkwe wa mfalme?” 1 Samweli 18-19-19
Da: ibidi da dabe adole i, “Na da nowala: , amoga na da hina bagade ea esoa: hamoma: bela: ?”
19 Lakini wakati ambao Merabu, binti Sauli, ilipasa kuwa ameolewa na Daudi, aliozwa kwa Adrieli Mmeholathi.
Be Mila: be da Da: ibidima asulimu eso da doaga: loba, ilia da Da: ibidima mae asunawene bu dunu eno ea dio A: idalia: le (Mihoula moilai dunu) amogili i.
20 Lakini Mikali, binti Sauli, alimpenda Daudi. Na watu walimwambia Sauli, na jambo hilo likampendeza.
Be Solo ea uda mano eno Maiga: le da Da: ibidima mageseiba: le ema fimusa: hanai galu. Solo da amo nababeba: le, nodoi.
21 Ndipo Sauli akafikiri, “Nitampatia huyu awe mke wake, ili uwe mtego kwake, na hivyo mkono wa Wafilisti pengine uwe juu yake.” Kwa hiyo Sauli akamwambia Daudi mara ya pili, “Wewe utakuwa mkwe wangu.”
Solo da hisu amane sia: i, “Na da Da: ibidi saniga sa: ima: ne, Maiga: le amo ema imunu. Amasea, Da: ibidi da Filisidini dunu ilia fane legei dagoi ba: mu.” Amalalu, Solo da bu Da: ibidima amane sia: i, “Ani da nasoa: hamomu.”
22 Sauli akawaamuru watumishi wake, “Ongeeni na Daudi kwa njia ya siri, na mseme, 'Tazama, mfalme anakufurahia, na watumishi wake wote wanakupenda. Sasa basi, uwe mkwe wa mfalme.'”
Solo da ea ouligisu dunu ilima ilia wamowane Da: ibidima amane sia: ma: ne sia: i, “Hina amola ea ouligisu dunu huluane da dima hahawane gala. Di da waha ea idiwi lamu da defea.”
23 Hivyo watumishi wa Sauli wakayasema maneno haya kwa Daudi. Na Daudi akasema, “Kwenu ninyi mnaona ni jambo dogo kuwa mkwe wa mfalme, mimi ni maskini, na heshima yangu ni ndogo.”
Amaiba: le, ilia amo sia: Da: ibidima sia: i. E bu adole i, “Na da hina bagadema esoa: hamomu da defele hame galebe. Bai na da hame gagui dunu amola hamedei dunu agoai galebe.”
24 Watumishi wa Sauli wakarudisha kwake taarifa ya maneno ambayo Daudi aliyasema.
Ouligisu dunu da Da: ibidi ea sia: i amo Soloma alofele i.
25 Na Sauli akasema, “Hivi ndivyo mtakavyo mwambia Daudi, 'Mfalme haitaji mahari yoyote, isipokuwa govi mia moja za Wafilisti, ili ajilipize kisasi kwa adui wa mfalme.”' Basi Sauli alifikiri atamwangusha Daudi kwa mkono wa Wafilisti.
Amalalu, Solo da ilima bu eno ema amane sia: ma: ne olelei, “Hina bagade da ea uda mano dabe ima: ne amo fawane lamu. Ea ha lai ilima dabe ima: ne, Filisidini dunu 100 ilia ewa gadofo damuni fasili, ema ima.” (Solo da amanewane Filisidini dunu da Da: ibidi medole legema: ne ilegei).
26 Watumishi wake walipomwambia maneno haya, yakamvutia Daudi awe mkwe wa mfalme.
Solo ea ouligisu dunu da Da: ibidi ea sia: i Soloma alofele i. Da: ibidi da Solo esoa: hamomu dawa: beba: le, hahawane bagade galu. Uda lamu eso ilegei amo hidadea,
27 Kabla siku hizo hazijapita, Daudi aliondoka na watu wake na kuwaua Wafilisti mia mbili. Daudi akazileta govi zao, na kumkadhi mfalme kulingana na idadi yake, ili aweze kufanyika mkwe wa mfalme. Kwa hiyo Sauli akamwoza Mikali, binti yake, awe mkewe.
Da: ibidi amola ea dunu da asili, Filisidini dunu 200 amo fane legei. E da ilia ewa gadofo damuni fasili, hina bagadema gaguli asili, hina bagade ea esoa: hamoma: ne ema idili i. Amaiba: le, Solo da ea uda mano Maiga: le lama: ne Da: ibidigili i.
28 Basi Sauli aliona na kufahamu kwamba BWANA alikuwa pamoja na Daudi. Mikali, binti Sauli, akampenda Daudi.
Solo da molole dawa: digili amola Hina Gode da Da: ibidi ela esala. Amola ea mano Maiga: le da Da: ibidima magesei ba: i.
29 Sauli akazidi kumwogopa Daudi. Sauli akawa adui wa Daudi daima.
Amaiba: le, Solo da Da: ibidiba: le bu baligili beda: i. E da amo esoha amogainini, Da: ibidima ha laiwane esalu.
30 Ndipo wakuu wa Wafilisti wakajitokeza kwa ajili ya vita, na mara zote walipojitokeza Daudi alifanikiwa zaidi kuliko watumishi wote wa Sauli, hivyo jina lake likapata heshima kubwa.
Filisidini dunu da misini, Isala: ili dunuma gegesu. Be gegesu huluane amo ganodini, Da: ibidi ea hasalasisu hou da Solo ea dadi gagui ouligisu dunu eno ilia hou baligisu. Amabeba: le, dunu huluane da Da: ibidima nodone dawa: digi.

< 1 Samweli 18 >