< 1 Samweli 17 >
1 Basi Wafilisti walikusanya majeshi yao kwa ajili ya vita. Walikusanyika huko Soko, iliyoko Yuda. Nao wakapiga kambi kati ya Soko na Aseka katika Efesdamimu.
Torej Filistejci so zbrali skupaj svoje vojske za boj in zbrani so bili skupaj pri Sohóju, ki pripada Judu in se utaborili med Sohójem in Azéko, v Efes Damímu.
2 Sauli na watu wa Israeli alijikusanya na kuweka kambi katika bonde la Ela, na wakapanga vita kukutana na Wafilisti.
Savel in Izraelovi možje so bili zbrani skupaj in se utaborili poleg doline Elá in se postrojili v boj zoper Filistejce.
3 Wafilisti walisimama juu ya mlima upande mmoja, na Iraeli nao walisimama juu ya mlima upande mwingine wakitenganishwa na bonde kati yao.
Filistejci so stali na gori na eni strani, Izrael pa je stal na gori na drugi strani in med njimi je bila dolina.
4 Mtu mmoja mwenye nguvu akatoka katika kambi ya Wafilisti, mtu huyo aliitwa Goliathi wa Gathi, kimo chake mikono sita na shubiri moja.
Iz tabora Filistejcev je prišel šampion iz Gata, po imenu Goljat, katerega višina je bila šest komolcev in pedenj.
5 Alikuwa na chepeo ya shaba kichwani mwake, na alivaa dirii ya chuma. Hiyo dirii ilikuwa na uzito wa shekeli elfu hamsini za shaba.
Na svoji glavi je imel čelado iz brona in oborožen je bil z verižnim plaščem. Teža plašča je bila pet tisoč šeklov brona
6 Alikuwa na mabampa ya shaba kwenye miguu yake na mkuki wa shaba katikati ya mabega yake.
Na svojih nogah je imel bronaste golenice in okrogel ščit iz brona med svojimi rameni.
7 Ule mpini wa mkuki wake ulikuwa mkubwa, wenye kamba iliyo na kitanzi kwa ajili ya kuutupia kama kamba ya sindano ya mfumaji. Kichwa cha mkuki wake kilikuwa na uzito wa shekeli mia sita za chuma. Aliyembebea ngao alitembea mbele yake.
Palica njegove sulice je bila podobna tkalčevemu brunu in vrh njegove sulice je tehtal šeststo šeklov železa in nekdo, ki je nosil ščit, je šel pred njim.
8 Alisimama akayapigia kelele majeshi ya Israeli, “Kwa nini mmekuja na mmejipanga kwa ajili ya vita? Mimi si Mfilisti, na ninyi si watumishi wa Sauli? Chagueni mtu kutoka kwenu ateremke na kuja kwangu.
Stal je in klical Izraelovim vojskam ter jim rekel: »Zakaj ste prišli ven, da se postrojite za boj? Mar nisem jaz Filistejec, vi pa Savlovi služabniki? Izberite zase moža in naj pride dol k meni.
9 Kama anaweza kupigana nami na kuniua, hapo ndipo tutakuwa watumwa wenu. Lakini kama nitamshinda na kumuua, basi mtakuwa watumwa wetu na kututumikia.”
Če se je zmožen bojevati z menoj in me ubiti, potem bomo mi vaši služabniki, toda če prevladam zoper njega in ga ubijem, potem boste vi naši služabniki in nam služili.«
10 Mfilisti huyo akasema tena, “Leo ninayapa changamoto majeshi ya Israeli. Mnipe mtu ili tuweze kupigana naye.”
Filistejec je rekel: »Danes izzivam Izraelove vojske. Dajte mi človeka, da se lahko skupaj bojujeva.«
11 Sauli na Israeli wote waliposikia alichosema Mfilisti huyo, walikata tamaa na kuogopa sana.
Ko so Savel in ves Izrael slišali te Filistejčeve besede, so bili zaprepadeni in silno prestrašeni.
12 Basi Daudi alikuwa mwana wa Mwefraimu wa Bethtelehemu ya Yuda, aliyeitwa Yese. Naye alikuwa na watoto wanane wa kiume. Yese alikuwa mtu mzee katika siku za Sauli, mwenye umri mkubwa kati ya watu.
Torej David je bil sin tega Efratejca iz Judovega Betlehema, katerega ime je bilo Jese. Ta je imel osem sinov. V Savlovih dneh je mož odšel med može za starca.
13 Watoto watatu wakubwa wa Yese walimfuata Sauli vitani. Majina ya watoto wake watatu waliokwenda vitani yalikwa ni Eliabu mzaliwa wa kwanza, aliyemfuata Abinadabu, na watatu aliitwa Shama.
Trije najstarejši Jesejevi sinovi so odšli in Savlu sledili v bitko. Imena njegovih treh sinov, ki so šli v bitko, so bila Eliáb, prvorojenec in poleg njega Abinadáb in tretji Šamá.
14 Daudi ndiye aliyekuwa mdogo kabisa. Hao wakubwa watatu walimfuata Sauli.
David je bil najmlajši in trije starejši so sledili Savlu.
15 Basi Daudi alikwenda na kurudi akipita kati ya majeshi ya Sauli akiwa na kondoo za baba yake huko Bethtelehemu, ili kuwachunga.
Toda David je šel in se vrnil od Savla, da pri Betlehemu pase ovce svojega očeta.
16 Kwa muda wa siku arobaini yule Mfilisti mwenye nguvu alikuwa akijitokeza asubuhi na jioni kwa ajili ya vita.
Filistejec se je približal zjutraj in zvečer in se nastavljal štirideset dni.
17 Kisha Yese akamwambia mwanawe Daudi, “Wapelekee kaka zako efa ya bisi na hii mikate kumi, na uzipeleke upesi kule kambini kwa ajili ya kaka zako.
Jese je svojemu sinu Davidu rekel: »Vzemi sedaj za svoje brate škaf tega praženega zrnja in teh deset hlebov ter steci v tabor k svojim bratom
18 Pia peleka hizi jibini kumi kwa jemedari wa kikosi chao cha elfu. Ukawaangalie wako na hali gani kisha uniletee habari kuhusu wanavyoendelea vizuri.
in teh deset sirov odnesi k poveljniku njihove tisočnije in poglej, kako se imajo tvoji bratje in vzemi njihovo jamstvo.«
19 Kaka zako wako pamoja na Sauli na watu wote wa Israeli katika bonde la Ela, wanapigana na Wafilisti.”
Torej Savel in oni in vsi Izraelovi možje so bili v dolini Elá, boreč se s Filistejci.
20 Daudi aliamka asubuhi na mapema na kuliacha kundi chini ya uangalizi wa mchungaji. Akachukua vile vitu na kuondoka, kama Yese alivyomwamuru. Akafika kambini wakati jeshi linaondoka kwenda uwanja wa vita wakipiga kelele za vita.
David je vstal zgodaj zjutraj in pustil ovce s čuvajem in vzel ter odšel, kakor mu je Jese zapovedal. Prišel je k okopu, medtem ko je šla vojska naprej v boj in zavpila za boj.
21 Nao Israeli na Wafilisti walijipanga kivita, jeshi dhidi ya jeshi.
Kajti Izrael in Filistejci so se postrojili v bitko, vojska zoper vojsko.
22 Daudi aliviacha vitu vyake kwa mtunza mahitaji, akalikimbilia jeshi, na kuwasalimia kaka zake.
David je pustil svoj voz v roki čuvaja voza, stekel v vojsko, prišel in pozdravil svoje brate.
23 Alipoongea nao, yule mtu mwenye nguvu, Mfilisti wa Gathi, jina lake Goliathi, akajitokeza kutoka majeshi ya Wafilisti, naye akasema maneno yaleyale kama hapo mwanzo. Naye Daudi akayasikia.
Medtem ko je govoril z njimi, glej, je prišel šampion, Filistejec iz Gata, po imenu Goljat, iz vojske Filistejcev in govoril glede na te iste besede in David jih je slišal.
24 Watu wote wa Israeli walipomwona Goliathi, walimkimbia na waliogopa sana.
Ko so vsi Izraelovi možje videli moža, so zbežali pred njim in bili so boleče prestrašeni.
25 Watu wa Israeli walisema, “Umemuona mtu huyu aliyejitokeza? Amekuja kuipa changamoto Israeli. Basi mfalme atampa mali nyingi mtu atakayemua, atamuozesha binti yake, na familia ya baba yake haitalipa kodi katika Israeli.”
Možje iz Izraela so rekli: »Ali ste videli tega moža, ki je prišel gor? Zagotovo je prišel gor, da Izraela izpostavi sramotenju. Zgodilo se bo, da bo moža, ki ga ubije, kralj obogatil z velikimi bogastvi in dal mu bo svojo hčer in osvobodil hišo njegovega očeta v Izraelu.«
26 Daudi akawauliza watu waliosimama karibu naye, “Atafanyiwa nini mtu ambaye atamuua Mfilisti huyu na kuiondolea Israeli fedheha? Ni nani Mfilisti huyu asiyetahiriwa ayatukanaye majeshi ya Mungu aliye hai?”
David je spregovoril možem, ki so stali poleg njega, rekoč: »Kaj bo storjeno možu, ki ubije tega Filistejca in odvzame grajo od Izraela? Kajti kdo je ta neobrezani Filistejec, da bi izpostavljal sramotenju vojske živega Boga?«
27 Ndipo watu wakarudia kile walichokuwa wamesema na kumwambia, “Ndivyo iitakavyofanyika kwa mtu atakayemuua.”
Ljudstvo mu je odgovorilo na ta način, rekoč: »Tako bo storjeno možu, ki ga ubije.«
28 Kaka yake mkubwa Eliabu, alisikia wakati akisema na watu. Hasira ya Eliabu ikawaka moto dhidi ya Daudi, naye akamuuliza, “Kwa nini umekuja hapa? Wale kondoo wachache umewaacha na nani huko nyikani? Nakijua kiburi chako, na utundu wa moyo wako; maana umekuja hapa ili uweze kuona mapigano.”
Njegov najstarejši brat Eliáb pa je slišal, ko je govoril možem. Eliábova jeza je bila vžgana zoper Davida in rekel je: »Zakaj si prišel sèm dol? In s kom si pustil tistih nekaj ovc v divjini? Poznam tvojo ošabnost in porednost tvojega srca, kajti prišel si dol, da bi lahko videl bitko.«
29 Naye Daudi akamjibu, “Nimefanya nini sasa? Mimi si nuliuliza swali tu?
David je rekel: »Kaj sem torej storil? Mar ni tam razlog?«
30 Akamgeukia mtu mwingine na kumwacha huyo, na kusema vivyo hivyo. Nao watu wakajibu vilevile kama mwanzo.
Od njega se je obrnil k drugemu in mu govoril na isti način, ljudstvo pa mu je ponovno odgovorilo po prejšnjem načinu.
31 Maneno aliyosema Daudi yaliposikika, askari waliyasema tena kwa Sauli, naye akawatuma kwa Daudi.
Ko so bile slišane besede, ki jih je govoril David, so jih ponovili pred Savlom. In ta je poslal ponj.
32 Kisha Daudi akamwambia Sauli, “Pasiwepo moyo wa mtu atakayezimia kwa sababu ya Mfilisti huyo; Mtumishi wako atakwenda kupigana na Mfilisti huyu.”
David je rekel Savlu: »Naj srce nobenega človeka ne upade zaradi njega. Tvoj služabnik bo šel in se boril s tem Filistejcem.«
33 Sauli akamwambia Daudi, “Huwezi kumpinga Mfilisti ama kupigana naye; wewe ni kijana tu, na yeye amekuwa mtu wa vita tangu ujana wake.”
Savel je rekel Davidu: »Ti nisi zmožen iti zoper tega Filistejca, da se boriš z njim, kajti ti si še mladostnik, on pa je bojevnik od svoje mladosti.«
34 Lakini Daudi akamwambia Sauli, “Mtumishi wako alikuwa akichunga kondoo za baba yake. Mara simba au dubu alikuja akamchukua mwana kondoo kutoka kundini,
David je rekel Savlu: »Tvoj služabnik je pasel ovce svojega očeta in prišel je lev in medved in vzel jagnje iz tropa.
35 Nilimfukuza na kumshambulia na kumpokonya kutoka kinywani mwake. Na aliponirukia, nilimshika ndevu zake, nilimpiga, na kumuua.
Odšel sem ven za njim, ga udaril in to osvobodil iz njegovih ust. Ko se je dvignil zoper mene, sem ga ujel za njegovo grivo, ga udaril in usmrtil.
36 Mtumishi wako amekwisha kmuua simba na dubu. N huyu Mfilisti asiyetahiriwa atakuwa kama mmoja wa wanyama hao, kwa kuwa ameyadharau majeshi ya Mungu aliye hai.”
Tvoj služabnik je usmrtil tako leva kakor medveda in ta neobrezani Filistejec bo kakor eden izmed njiju, glede na to, da je izzival vojske živega Boga.«
37 Daudi akasema, “BWANA aliyeniokoa kutoka makucha ya simba na makucha ya dubu. Ataniokoa kutoka mkono wa Mfilisti huyu.” Kisha Sauli akamwambia Daudi, “Nenda, BWANA awe pamoja nawe.”
Poleg tega je David rekel: » Gospod, ki me je osvobodil iz levje šape in iz medvedje šape, on me bo osvobodil iz roke tega Filistejca.« In Savel je rekel Davidu: »Pojdi in Gospod bodi s teboj.«
38 Sauli akamvika Daudi vazi lake la vita. Akamvika chepeo ya shaba kichwani pake, na akamvika koti la chuma.
Savel je Davida oborožil s svojo bojno opremo in mu na glavo nadel bronasto čelado. Prav tako ga je oborožil z verižnim plaščem.
39 Daudi akaufunga upanga wake juu ya vazi la Sauli. Lakini hakuweza kutembea, kwa sababu hakupata mafunzo kwa mavazi hayo. Ndipo Daudi akamwambia Sauli, “Siwezi kwenda kupigana nikiwa na haya, maana sikupata mafunzo kwa haya.” Kwa hiyo Daudi akayavua.
David je opasal svoj meč na svojo bojno opremo in poskušal oditi, kajti tega ni preizkusil. David je rekel Savlu: »Ne morem iti s tem, kajti teh [stvari] nisem preizkusil.« In David jih je odložil iz sebe.
40 Akachukua fimbo mkononi mwake na akachagua mawe matano laini kutoka katika kijito; akayaweka kwenye mfuko wake wa kichungaji. Kombeo lake lilikuwa mkononi akawa anamsogelea yule Mfilisti.
Vzel je svojo palico v svojo roko in si izbral pet gladkih kamnov iz potoka in jih položil v pastirsko torbo, ki jo je imel, celo v malho in njegova prača je bila v njegovi roki in približal se je Filistejcu.
41 Yule Mfilisti akaja na kumsogelea Daudi, mbeba ngao yake akiwa mbele yake.
Filistejec je prišel in se približal Davidu in mož, ki je nosil ščit, je šel pred njim.
42 Mfilisti alipotazama kila upande na kumuona Daudi, akamdharau, maana alikuwa kijana tu, mwekundu, na umbo la kupendeza.
Ko je Filistejec pogledal naokoli in zagledal Davida, ga je preziral, kajti bil je šele mladostnik, rdečkast in lepega obličja.
43 Ndipo Mfilisti akamuuliza Daudi, “Je, mimi ni mbwa, hata ukanijia na fimbo? Naye Mfilisti kwa miungu yake akamlaani Daudi.
Filistejec je Davidu rekel: » Sem mar pes, da prihajaš k meni s palicami?« Filistejec je Davida preklel pri svojih bogovih.
44 Huyo Mfilisti akamwambia Daudi, “Njoo kwangu, na nyama yako nitawatupia ndege wa angani na wanyama wa mwituni.”
Filistejec je rekel Davidu: »Pridi k meni in tvoje meso bom izročil perjadi neba in živalim polja.«
45 Daudi akamjibu Mfilisti, “Unaniijia kwa upanga, kwa mkuki na mkuki mdogo. Bali mimi nakuijia kwa jina la BWANA wa majeshi, Mungu wa Majeshi ya Israeli, uliyemdharau.
Potem je David rekel Filistejcu: »Ti prihajaš k meni z mečem, s sulico in s ščitom, toda jaz prihajam k tebi v imenu Gospoda nad bojevniki, Boga Izraelovih vojsk, ki si ga izpostavljal sramotenju.
46 Leo BWANA atanipa ushindi dhidi yako, na nitakuua na kukiondoa kichwa chako kwenye kiwiliwili. Leo nitawapa ndege wa angani na wanyama wa mwituni walioko duniani mizoga ya jeshi la Wafilisti, ili dunia yote ijue kwamba yupo Mungu katika Israeli,
Ta dan te bo Gospod izročil v mojo roko in udaril te bom in tvojo glavo vzel iz tebe in trupla vojske Filistejcev bom ta dan izročil zračni perjadi in divjim zverem zemlje, da bo vsa zemlja lahko vedela, da je Bog v Izraelu.
47 na kusanyiko hili lote lijue kwamba BWANA hatoi ushindi kwa upanga wala kwa mkuki. Kwa kuwa vita ni ya BWANA, na atawaweka katika mkono wetu.”
Ves ta zbor bo vedel, da Gospod ne rešuje z mečem in sulico, kajti boj je Gospodov in on vas bo izročil v naše roke.«
48 Mfilisti aliponyanyuka na kukaribia akutane na Daudi, ndipo Daudi akakimbia kwa haraka kuelekea jeshi la adui ili akutane naye.
Pripetilo se je, ko je Filistejec vstal in prišel ter se približal, da sreča Davida, da je David pohitel in stekel proti vojski, da sreča Filistejca.
49 Daudi aliweka mkono wake mfukoni, akachukua jiwe kutoka humo, akalitupa kwa kombeo, na likampiga Mfilisti kwenye paji la uso, akaanguka chini kifudifudi.
David je svojo roko položil v svojo torbo, od tam vzel kamen, ga zalučal in udaril Filistejca v njegovo čelo, da je kamen potonil v njegovo čelo in ta je padel na svoj obraz k zemlji.
50 Daudi alimshinda Mfilisti kwa kombeo na kwa jiwe moja. Alimpiga huyo Mfilisti na kumuua. Mkononi mwa Daudi hakukuwa na upanga.
Tako je David prevladal nad Filistejcem s pračo in s kamnom in Filistejca udaril in ubil, pa vendar v Davidovi roki ni bilo meča.
51 Ndipo Daudi akakimbia akasimama juu ya Mfilisti na kutwaa upanga wake, akauchomoa kutoka alani, akamuua, na kukata kichwa chake kwa upanga huo.
Zato je David stekel in obstal nad Filistejcem, vzel njegov meč, ga izvlekel iz njegove nožnice, ga ubil in z njim odsekal njegovo glavo. Ko so Filistejci videli, da je bil njihov šampion mrtev, so pobegnili.
52 Ndipo watu wa Israeli na wale wa Yuda wakaamka kwa kelele, na kuwafukuza Wafilisti kuvuka bonde na malango ya Ekroni. Na maiti za Wafilisti walilala katika njia iendayo Shaaraimu, na njia yote kuelekea Gathi na Ekroni.
Možje iz Izraela in možje iz Juda so vstali, zavpili in zasledovali Filistejce, dokler ne prideš do doline in k velikim vratom Ekróna. Ranjeni izmed Filistejcev so padali dol po poti k Šaarájimu, celo do Gata in do Ekróna.
53 Watu wa Israeli wakarejea kutoka kuwafukuza Wafilisti, na wakateka nyara kambi yao.
Izraelovi otroci so se vrnili iz preganjanja za Filistejci in oplenili njihove šotore.
54 Daudi akachukua kichwa cha Mfilisti na kukipeleka Yerusalemu, lakini akaliweka vazi la vita katika hema lake.
David je vzel glavo Filistejca in jo prinesel v Jeruzalem, toda njegovo bojno opremo je odložil v svoj šotor.
55 Sauli alipomuona Daudi akienda kukabiliana na yule Mfilisti, akamwambia Abneri, jemedari wa jeshi, “Abneri, kijana huyu ni mtoto wa nani? Abneri akasema, “Kama uishivyo, mfalme, mimi sijui.”
Ko je Savel zagledal Davida iti naprej zoper Filistejca, je rekel Abnêrju, poveljniku vojske: »Abnêr, čigav sin je ta mladostnik?« Abnêr je rekel: » Kakor živi tvoja duša, oh kralj, ne morem povedati.«
56 Naye mfalme akasema, “Waulize wanaoweza kufahamu, mvulana huyu ni kijana wa nani.”
Kralj je rekel: »Poizvedi, čigav sin je ta najstnik.«
57 Daudi aliporudi kutoka kumuua yule Mfilisti, Abneri alimchukuwa, na kumleta mbele ya Sauli akiwa na kichwa cha Mfilisti mkononi mwake.
Ko se je David vrnil iz uboja Filistejca, ga je Abnêr vzel in privedel pred Savla, s Filistejčevo glavo v svoji roki.
58 Sauli akamuuliza, “Kijana, wewe ni mtoto wa nani? Na Daudi akamjibu, “Mimi ni mtoto wa mtumishi wako Yese Mbethlehemu.”
Savel mu je rekel: »Čigav sin si ti, ti mladenič?« David je odgovoril: »Jaz sem sin tvojega služabnika Betlehemca Jeseja.«