< 1 Samweli 17 >

1 Basi Wafilisti walikusanya majeshi yao kwa ajili ya vita. Walikusanyika huko Soko, iliyoko Yuda. Nao wakapiga kambi kati ya Soko na Aseka katika Efesdamimu.
Filisidini dunu da Isala: ili dunuma gegemusa: , Sougou moilai, Yuda soge ganodini, amoga gilisi. Ilia da Sougou moilaigale Asiga moilai bai bagadegale, sogebi dio Ifesida: mine amogai awalia wa: i fi.
2 Sauli na watu wa Israeli alijikusanya na kuweka kambi katika bonde la Ela, na wakapanga vita kukutana na Wafilisti.
Solo amola Isala: ili dunu da mogodigili asili, Ila fago amogai awalia asi wa: i fi. Amogai ilia da Filisidini dunuma gegemusa: momagei.
3 Wafilisti walisimama juu ya mlima upande mmoja, na Iraeli nao walisimama juu ya mlima upande mwingine wakitenganishwa na bonde kati yao.
Filisidini dunu ilia da na: iyado goaga dadalele aliligi amola Isala: ili dunu ilia da la: idi goa amoga dadalei. Ili dogoa amogai da hano fago dialu.
4 Mtu mmoja mwenye nguvu akatoka katika kambi ya Wafilisti, mtu huyo aliitwa Goliathi wa Gathi, kimo chake mikono sita na shubiri moja.
Dunu ea dio amo Goulaia: de (Ga: de moilai bai bagade fi dunu), e da Filisidini awalia wa: i amogainini misini, Isala: ili dunuma gegemusa: manebe ba: i. E da dunu sedadedafa, 3 mida defei gadenene ba: i.
5 Alikuwa na chepeo ya shaba kichwani mwake, na alivaa dirii ya chuma. Hiyo dirii ilikuwa na uzito wa shekeli elfu hamsini za shaba.
Amola e da balasega hamoi da: igene ga: su ea dioi defei 57 gilougala: me agoane ga: i, amola balasega hamoi habuga figisi.
6 Alikuwa na mabampa ya shaba kwenye miguu yake na mkuki wa shaba katikati ya mabega yake.
Ea emo gia: ni da balasega hamoi liligi amoga ga: i amola e da balasega hamoi goge agei gisawane ahoanebe ba: i.
7 Ule mpini wa mkuki wake ulikuwa mkubwa, wenye kamba iliyo na kitanzi kwa ajili ya kuutupia kama kamba ya sindano ya mfumaji. Kichwa cha mkuki wake kilikuwa na uzito wa shekeli mia sita za chuma. Aliyembebea ngao alitembea mbele yake.
Ea goge agei ea gadugagi defei da abula amunasu masini fanu ea defei amo defele galu, amola goge agei si da gulaga hamoi amo ea dioi defei da7gilogala: me agoane ba: i. Dadi gagui dunu afae da ea da: igene ga: su hamoi gisawane hina midududi ahoanebe ba: i.
8 Alisimama akayapigia kelele majeshi ya Israeli, “Kwa nini mmekuja na mmejipanga kwa ajili ya vita? Mimi si Mfilisti, na ninyi si watumishi wa Sauli? Chagueni mtu kutoka kwenu ateremke na kuja kwangu.
Goulaia: de da amoi aligili, Isala: ili dunuma wele sia: i, “Dilia da gogai adi hamonanebela: ? Abuli ludumusa: dadalebela: ? Na da Filisidini dunu, be dilia da Solo ea udigili hawa: hamosu dunu fawane. Dilia dunu afae nama gegena misa: ne ilegema.”
9 Kama anaweza kupigana nami na kuniua, hapo ndipo tutakuwa watumwa wenu. Lakini kama nitamshinda na kumuua, basi mtakuwa watumwa wetu na kututumikia.”
E da na hasalawene medole legesea, ninia da dilia udigili hawa: hamosu dunu esalumu. Be na da e hasalawene medole legesea, dilia da ninia udigili hawa: hamosu dunu esalumu.
10 Mfilisti huyo akasema tena, “Leo ninayapa changamoto majeshi ya Israeli. Mnipe mtu ili tuweze kupigana naye.”
Waha na da Isala: ili dadi gagui dunuma gegemusa: lelebe wea. Dilia dunu afae ani dabemusa: misa: ne ilegema.”
11 Sauli na Israeli wote waliposikia alichosema Mfilisti huyo, walikata tamaa na kuogopa sana.
Solo amola ea dunu ilia da amo sia: nababeba: le, bagadewane beda: gia: i.
12 Basi Daudi alikuwa mwana wa Mwefraimu wa Bethtelehemu ya Yuda, aliyeitwa Yese. Naye alikuwa na watoto wanane wa kiume. Yese alikuwa mtu mzee katika siku za Sauli, mwenye umri mkubwa kati ya watu.
Da: ibidi da Yesi ea mano galu. Amola Yesi da Efala: de fi dunu. Ea moilai da Bedeleheme, amo da Yuda soge ganodini. Yesi egefelali da godoane galu. Amola Solo ea Isala: ili ouligibi galu, Yesi da da: i hamoi ba: i.
13 Watoto watatu wakubwa wa Yese walimfuata Sauli vitani. Majina ya watoto wake watatu waliokwenda vitani yalikwa ni Eliabu mzaliwa wa kwanza, aliyemfuata Abinadabu, na watatu aliitwa Shama.
Ea magobo mano udiana da Solo ili galu gegena asi. Ea magobo mano da Ilaia: be. Amo baligia da Abinada: be amola amo baligia da Siama.
14 Daudi ndiye aliyekuwa mdogo kabisa. Hao wakubwa watatu walimfuata Sauli.
Da: ibidi da ufidafa mano galu, be yolalali udiana da Sololali esalu.
15 Basi Daudi alikwenda na kurudi akipita kati ya majeshi ya Sauli akiwa na kondoo za baba yake huko Bethtelehemu, ili kuwachunga.
Da: ibidi da ili yolesili, Bedelehemega eda ea sibi mano fofoia ouligila afufulalusu.
16 Kwa muda wa siku arobaini yule Mfilisti mwenye nguvu alikuwa akijitokeza asubuhi na jioni kwa ajili ya vita.
Goulaia: de da Isala: ili dunuma eso huluane hahabe amola daeya gebewane gegena afufulala eso 40 agoane baligi.
17 Kisha Yese akamwambia mwanawe Daudi, “Wapelekee kaka zako efa ya bisi na hii mikate kumi, na uzipeleke upesi kule kambini kwa ajili ya kaka zako.
Ha afaega Yesi da Da: ibidima amane sia: i, “Di da widi ha: i manu egegele gobei dabaga sali ea dioi defei10 gilougala: me amola agi ga: gi gobei nabuane agoane, go gaguli hedolo diolalalima awalia fi diasua masa.
18 Pia peleka hizi jibini kumi kwa jemedari wa kikosi chao cha elfu. Ukawaangalie wako na hali gani kisha uniletee habari kuhusu wanavyoendelea vizuri.
Amola dodo maga: mega hamoi gou nabuane gala, amo dadi gagui ouligisu dunuma ima: ne gaguli masa. Diolalali ilia hamonanebe hou ba: lu, ilia hamonanebe hou na dawa: digima: ne, liligi nama gaguli misa.
19 Kaka zako wako pamoja na Sauli na watu wote wa Israeli katika bonde la Ela, wanapigana na Wafilisti.”
Isala: ili hina bagade Solo, yolalali amola eno Isala: ili dunu huluane ilia da Ila fago amo gudu Filisidini dunu bisili gegenana.”
20 Daudi aliamka asubuhi na mapema na kuliacha kundi chini ya uangalizi wa mchungaji. Akachukua vile vitu na kuondoka, kama Yese alivyomwamuru. Akafika kambini wakati jeshi linaondoka kwenda uwanja wa vita wakipiga kelele za vita.
Da: ibidi da golale, hahabedafa wa: legadole, sibi enoga ouligima: ne yolesilalu, Yesi ea sia: i defele, ha: i manu adoi amo gaguli asi. E da Isala: ili awali fia amogai doaga: loba, Isala: ili dadi gagui hulududusa gegena ahoanebe ba: i.
21 Nao Israeli na Wafilisti walijipanga kivita, jeshi dhidi ya jeshi.
Isala: ili dadi gagui dunu amola Filisidini dadi gagui dunu ilia da gegemusa: , soge lale gagale, sisima: sodole lelefulubi ba: i.
22 Daudi aliviacha vitu vyake kwa mtunza mahitaji, akalikimbilia jeshi, na kuwasalimia kaka zake.
Da: ibidi da ha: i manu gagui, amo ha: i manu ouligisu ilima iasilalu, gegesu alalo da: iya gusu hehenane asili, yolalali defea esalabela: le naba ba: i.
23 Alipoongea nao, yule mtu mwenye nguvu, Mfilisti wa Gathi, jina lake Goliathi, akajitokeza kutoka majeshi ya Wafilisti, naye akasema maneno yaleyale kama hapo mwanzo. Naye Daudi akayasikia.
E da ilima sia: nanoba, Goulaia: de da hi musa: amasu amane misini, Isala: ili dunu ema dabemusa: , dunu afae ilegema: ne sia: i. Amola, amo sia: Da: ibidi da nabi.
24 Watu wote wa Israeli walipomwona Goliathi, walimkimbia na waliogopa sana.
Isala: ili dunu da Goulaia: de ba: beba: le, beda: ga hobeale afia: i.
25 Watu wa Israeli walisema, “Umemuona mtu huyu aliyejitokeza? Amekuja kuipa changamoto Israeli. Basi mfalme atampa mali nyingi mtu atakayemua, atamuozesha binti yake, na familia ya baba yake haitalipa kodi katika Israeli.”
Ilia da ilisu amane adosa: i, “Ema ba: ma! Ea dabemusa: sia: amo nabima! Hina Solo da nowa dunu Goulaia: de goma medole legesea, amogili bidi bagade imunusa: ilegei diala. Amola e da amo dunuma idiwi imunu, amola ea eda ea fi dunuma su (‘da: gisi’) hame edegemu.”
26 Daudi akawauliza watu waliosimama karibu naye, “Atafanyiwa nini mtu ambaye atamuua Mfilisti huyu na kuiondolea Israeli fedheha? Ni nani Mfilisti huyu asiyetahiriwa ayatukanaye majeshi ya Mungu aliye hai?”
Da: ibidi da dunu e gadenene lelu ilima adole ba: i, “Nowa dunu da amo Filisidini dunu fane legele, Isala: ili dunu ilia gogosiasu we fadegalesisia, adi bidi lama: bela: ? Amo Filisidini dunu da Gode Ea hou hamedafa dawa: E da abuliba: le Esalebe Gode Ea dadi gagui wa: i ilima hasalimusa: sia: sala: ?”
27 Ndipo watu wakarudia kile walichokuwa wamesema na kumwambia, “Ndivyo iitakavyofanyika kwa mtu atakayemuua.”
Amalalu, ilia da ema nowa dunu da Goulaia: de fane legesea, bidi lamu amo adodole i.
28 Kaka yake mkubwa Eliabu, alisikia wakati akisema na watu. Hasira ya Eliabu ikawaka moto dhidi ya Daudi, naye akamuuliza, “Kwa nini umekuja hapa? Wale kondoo wachache umewaacha na nani huko nyikani? Nakijua kiburi chako, na utundu wa moyo wako; maana umekuja hapa ili uweze kuona mapigano.”
Ilaia: be, Da: ibidi eaola magobo da Da: ibidi eno dunuma sia: dalebe nabi. E da Da: ibidima ougili amane sia: i, “Di da goega: i adi hamonanebela: ? Dia sibi hisu wadela: ia lelefulubi amo nowa da ouligisala: ? Di da sia: lelesu mano agoai! Di da gegebe ba: musa: fawane misi!”
29 Naye Daudi akamjibu, “Nimefanya nini sasa? Mimi si nuliuliza swali tu?
Da: ibidi da amane sia: i, “Na da waha adi hamobela: ? Na da adole ba: su hame adole ba: mu galula: ?”
30 Akamgeukia mtu mwingine na kumwacha huyo, na kusema vivyo hivyo. Nao watu wakajibu vilevile kama mwanzo.
E da dunu enoma ba: leganone, ea musa: sia: i defele adole ba: i. Amola dunu huluane e da ilima adole ba: loba, ilia da musa: nabi sia: i amo defele ema bu adole i.
31 Maneno aliyosema Daudi yaliposikika, askari waliyasema tena kwa Sauli, naye akawatuma kwa Daudi.
Dunu oda ilia da Da: ibidi ea sia: i nabalu, Soloma adoi. Solo da Da: ibidi ema misa: ne sia: si.
32 Kisha Daudi akamwambia Sauli, “Pasiwepo moyo wa mtu atakayezimia kwa sababu ya Mfilisti huyo; Mtumishi wako atakwenda kupigana na Mfilisti huyu.”
Da: ibidi da Soloma amane sia: i, “Hina noga: i bagade! Dunu da amo Filisidini dunuba: le beda: mu da defea hame. Na da ema gegena masunu.”
33 Sauli akamwambia Daudi, “Huwezi kumpinga Mfilisti ama kupigana naye; wewe ni kijana tu, na yeye amekuwa mtu wa vita tangu ujana wake.”
Solo bu adole i, “Hame amamu! Dia da ema habodane gegema: bela: ? Di da goi fonobahadidafa. Be e da musa: ganini dadi gagui dunu esalusu.”
34 Lakini Daudi akamwambia Sauli, “Mtumishi wako alikuwa akichunga kondoo za baba yake. Mara simba au dubu alikuja akamchukua mwana kondoo kutoka kundini,
Da: ibidi da amane sia: i, “Hina noga: i bagade! Na da nada ea sibi ouligilala. Laione wa: me o bea wa: me da na sibi mano mini ahoa,
35 Nilimfukuza na kumshambulia na kumpokonya kutoka kinywani mwake. Na aliponirukia, nilimshika ndevu zake, nilimpiga, na kumuua.
na da fa: no bobogele asili, doagala: le, amola sibi mano amo samogesa. Amola laione wa: me o bea da na doagala: sea, na da ea galogoa gaguli fane legesa.
36 Mtumishi wako amekwisha kmuua simba na dubu. N huyu Mfilisti asiyetahiriwa atakuwa kama mmoja wa wanyama hao, kwa kuwa ameyadharau majeshi ya Mungu aliye hai.”
Na da laione wa: me amola bea wa: me fane legesu dawa: Amola na da amanewane amo Gode Ea hou higa: i Filisidini dunu (e da Esalebe Godedafa Ea dadi gagui wa: i amo hasalimusa: halale sia: sa) amo defele fane legemu.
37 Daudi akasema, “BWANA aliyeniokoa kutoka makucha ya simba na makucha ya dubu. Ataniokoa kutoka mkono wa Mfilisti huyu.” Kisha Sauli akamwambia Daudi, “Nenda, BWANA awe pamoja nawe.”
Hina Gode da na laione wa: me amola bea wa: me amo na fasa: besa: le noga: le gaga: i. Amaiba: le, e da na Filisidini dunu amo ea fasa: besa: le amanewane gaga: mu.” Solo da amane sia: i, “Amai galea defea! Masa! Hina Gode ali masunu da defea.”
38 Sauli akamvika Daudi vazi lake la vita. Akamvika chepeo ya shaba kichwani pake, na akamvika koti la chuma.
Solo da hina da: igene ga: su salasu amo gigisa: le, Da: ibidi ea ga: ma: ne i. E da balasega hamoi habuga Da: ibidi ea dialuma da: iya figisi.
39 Daudi akaufunga upanga wake juu ya vazi la Sauli. Lakini hakuweza kutembea, kwa sababu hakupata mafunzo kwa mavazi hayo. Ndipo Daudi akamwambia Sauli, “Siwezi kwenda kupigana nikiwa na haya, maana sikupata mafunzo kwa haya.” Kwa hiyo Daudi akayavua.
Da: ibidi da Solo ea gegesu gobihei sedade amo lale, sogoha: bisini adoba: le, ahoa ba: i. Be hamedeiba: le, bu gigisa: le fasi. Bai e da afae amai hame gaga: suba: le. E da Soloma amane sia: i, “Na da welawane gegemu hame wea. Na da goai hame dawa: digi.” Amaiba: le, e da hulu gigisa: le fasi.
40 Akachukua fimbo mkononi mwake na akachagua mawe matano laini kutoka katika kijito; akayaweka kwenye mfuko wake wa kichungaji. Kombeo lake lilikuwa mkononi akawa anamsogelea yule Mfilisti.
E da hi sibi ouligisu galiamo lale gadole, amo gele fofoloi biyale hanoa dialebe lalegadole, hina esaga sali. E da ea ga: muga: dadi gaguli, Goulaia: dema gagadenena heda: i.
41 Yule Mfilisti akaja na kumsogelea Daudi, mbeba ngao yake akiwa mbele yake.
Filisidini dunu da muni Da: ibidima gagadenena manebe ba: i, amola ea da: igene ga: su gagusu dunu da bisili ahoanebe ba: i. E da gebewane gagadenena manu.
42 Mfilisti alipotazama kila upande na kumuona Daudi, akamdharau, maana alikuwa kijana tu, mwekundu, na umbo la kupendeza.
Goulaia: de da Da: ibidi noga: le ba: loba, e da Da: ibidi higale ba: i. Bai e da goi ayeligi noga: idafa ba: i.
43 Ndipo Mfilisti akamuuliza Daudi, “Je, mimi ni mbwa, hata ukanijia na fimbo? Naye Mfilisti kwa miungu yake akamlaani Daudi.
E Da: ibidima amane sia: i, “Ifa agoega da abulimusa: la: ? Di adi dawa: bela: ? Na da wa: mela: ?” Amola e da Da: ibidima ea ogogosu ‘gode’ ea dioba: le gogosele gagabuli sia: i.
44 Huyo Mfilisti akamwambia Daudi, “Njoo kwangu, na nyama yako nitawatupia ndege wa angani na wanyama wa mwituni.”
E da Da: ibidima amane sia: i, “Misa! Na da dia da: i hodo sio amola ohe ilia moma: ne imunu.”
45 Daudi akamjibu Mfilisti, “Unaniijia kwa upanga, kwa mkuki na mkuki mdogo. Bali mimi nakuijia kwa jina la BWANA wa majeshi, Mungu wa Majeshi ya Israeli, uliyemdharau.
Da: ibidi da bu adole i, “Di da nama gegesu gobihei sedade, goge agei bagade amola goge agei fonobahadi gagaguli gegena maha. Be na da Hina Gode Bagadedafa, Isala: ili dadi gagui wa: i amo di da hidale hasalimusa: sia: i, amo Ea Dioba: le dima gegena maha.
46 Leo BWANA atanipa ushindi dhidi yako, na nitakuua na kukiondoa kichwa chako kwenye kiwiliwili. Leo nitawapa ndege wa angani na wanyama wa mwituni walioko duniani mizoga ya jeshi la Wafilisti, ili dunia yote ijue kwamba yupo Mungu katika Israeli,
Wali esogawane, Hina Gode da Ea gasaga di na lobo da: iya legela heda: mu. Na da di hasalasimu amola dia dialuma damuni fasimu. Amola na da Filisidini dadi gagui dunu ilia da: i hodo sio fi amola ohe fi ilia moma: ne imunu. Amalalu, osobo bagade fifi asi gala huluane da Isala: ili dunu da Gode galebeya dawa: mu.
47 na kusanyiko hili lote lijue kwamba BWANA hatoi ushindi kwa upanga wala kwa mkuki. Kwa kuwa vita ni ya BWANA, na atawaweka katika mkono wetu.”
Amola dunu huluane goeguda: esalebe da Hina Gode da Ea fi gaga: musa: gegesea, gegesu gobihei sedade amola goge agei amoga hame gegesa. E da gegesea, Ea fawane da hasalasa. Amola E da dili huluane ninia lobo da: iya legela heda: mu.”
48 Mfilisti aliponyanyuka na kukaribia akutane na Daudi, ndipo Daudi akakimbia kwa haraka kuelekea jeshi la adui ili akutane naye.
Goulaia: de da bu Da: ibidima gadenena heda: i, amola Da: ibidi da hedolowane Filisidini gegesu alalo da: iya gusu hehenane ema gegemusa: heda: i.
49 Daudi aliweka mkono wake mfukoni, akachukua jiwe kutoka humo, akalitupa kwa kombeo, na likampiga Mfilisti kwenye paji la uso, akaanguka chini kifudifudi.
E da hina: esa gelaba lobo sa: ili, gele lale gadole, amoga ga: muga: dadi dili Goulaia: dema fisia gusui. Gele da heda: le, Goulaia: de ea odagia ludawene, gasa fili, e da mi guduli gala: la sa: i.
50 Daudi alimshinda Mfilisti kwa kombeo na kwa jiwe moja. Alimpiga huyo Mfilisti na kumuua. Mkononi mwa Daudi hakukuwa na upanga.
Amaimo, gegesu gobihei amoga mae gegene, Da: ibidi da hasalawene ga: muga: dadiga gala: le legei.
51 Ndipo Daudi akakimbia akasimama juu ya Mfilisti na kutwaa upanga wake, akauchomoa kutoka alani, akamuua, na kukata kichwa chake kwa upanga huo.
Da: ibidi da ema hehenane gusuli, e da: iya aligila heda: le, Goulaia: de ea gegesu gobihei ea salasu amoga duga: le gadole, Goulaia: de ea dialuma damuni fasili, medole legei. Filisidini dunu da ilia bisilua da bogoi dagoi ba: beba: le, ilia da hobeale afia: i.
52 Ndipo watu wa Israeli na wale wa Yuda wakaamka kwa kelele, na kuwafukuza Wafilisti kuvuka bonde na malango ya Ekroni. Na maiti za Wafilisti walilala katika njia iendayo Shaaraimu, na njia yote kuelekea Gathi na Ekroni.
Isala: ili amola Yuda dunu da halale ili se bobogei. Ilia da Filisidini dunu da faiga amola helega logoba: le sidigia: i. Gegesu da misini Sia: iala: ime moilai doaga: mu logoga ahoana, Ga: de moilai bai bagade amola Egelone moilai bai bagadega doaga: i.
53 Watu wa Israeli wakarejea kutoka kuwafukuza Wafilisti, na wakateka nyara kambi yao.
Isala: ili dunu da Filisidini dunu se bobogelalu misini, Filisidini ilia ha wa: i fisisu liligi huluane halale lidi.
54 Daudi akachukua kichwa cha Mfilisti na kukipeleka Yerusalemu, lakini akaliweka vazi la vita katika hema lake.
Da: ibidi da Goulaia: de ea dialuma lale gadole, Yelusaleme moilai bai bagadega gaguli asi. Be Goulaia: de ea gegesu liligi, e da ea abula diasu amo ganodini ligisi.
55 Sauli alipomuona Daudi akienda kukabiliana na yule Mfilisti, akamwambia Abneri, jemedari wa jeshi, “Abneri, kijana huyu ni mtoto wa nani? Abneri akasema, “Kama uishivyo, mfalme, mimi sijui.”
Solo da Da: ibidi amo Goulaia: dema gegemusa: ahoanebe ba: loba, e da ea dadi gagui ouligisu dunu A: benama amane adole ba: i, “A: bena! Amo da nowa ea manola: ?” A: bena da bu adole i, “Hina noga: idafa! Na da hame dawa: !”
56 Naye mfalme akasema, “Waulize wanaoweza kufahamu, mvulana huyu ni kijana wa nani.”
Solo da amane sia: i, “Amai galea, naba masa!”
57 Daudi aliporudi kutoka kumuua yule Mfilisti, Abneri alimchukuwa, na kumleta mbele ya Sauli akiwa na kichwa cha Mfilisti mkononi mwake.
Amaiba: le, Da: ibidi da Goulaia: de medole legelalu, fisisu amoga buhagisia, A:bena da e Soloma oule asi. Da: ibidi da Goulaia: de ea dialuma gaguli ahoanebe ba: i.
58 Sauli akamuuliza, “Kijana, wewe ni mtoto wa nani? Na Daudi akamjibu, “Mimi ni mtoto wa mtumishi wako Yese Mbethlehemu.”
Solo da ema adole ba: i, “Goi ayeligi dunu! Di da nowa ea manola: ? Da: ibidi da bu adole i, “Na da dia hawa: hamosu dunu, Bedeleheme dunu Yesi amo ea mano wea!”

< 1 Samweli 17 >