< 1 Samweli 16 >

1 BWANA akamwambia Samweli, “Utamlilia Sauli kwa muda gani, ikiwa nimemkataa asiwe mfalme juu ya Israeli? Ijaze pembe yako mafuta na uende. Nitakutuma kwa Yese akaaye Bethlehemu, maana nimejichagulia mfalme katika wanawe.
Kinuna ni Yahweh kenni Samuel, “Kasano kabayag a pagladingitam ni Saul, idinto a linaksidko isuna iti panagbalinna nga ari iti entero nga Israel? Punoem ta sara a pagkarkargaam iti lana ket mapanka. Ibaonka kenni Jesse iti Betlehem, ta napilik ti maysa kadagiti annakna a lallaki nga agbalin a maysa nga ari.”
2 Samweli akasema, “Jinsi gani nitaenda? Kama Sauli akisikia jambo hili, ataniua.” BWANA akasema, “chukua mtamba na useme, 'Nimekuja kutoa dhabihu kwa BWANA.'
Kinuna ni Samuel, “Kasano a mapanak? No mangngeg ni Saul daytoy, papatayennakto.” Kinuna ni Yahweh, “Mangitugotka iti urbon a baka ket ibagam, 'Immayak tapno agidaton kenni Yahweh.'
3 Umwite Yese aje kwenye dhabihu, nami nitakuonesha kile utakachofanya. Utamtia mafuta kwa ajili yangu yule nitakaye kuambia.”
Ayabam ni Jesse iti pagidatonan, ket ipakitakto kenka ti aramidem. Pulotamto daydiay nga ibagak kenka.”
4 Samweli akafanya kama BWANA alivyosema na akaenda Bethlehemu. Wazee wa mji walikuwa wakitetemeka walipokuja kuonana naye na wakasema, “Je, umekuja kwa amani?”
Inaramid ngarud ni Samuel ti imbaga ni Yahweh ket napan idiay Betlehem. Agpigpigerger dagiti panglakayen ti siudad bayat a sabsabatenda isuna ket kinunada, “Kappia kadi ti immayam?”
5 Naye akasema, “kwa amani; Nimekuja kutoa dhabihu kwa BWANA. Jitoeni wenyewe kwa BWANA kwa ajili ya dhabihu na muandamane nami,” Na akamweka wakfu Yese na watoto wake kwa BWANA, na baadaye aliwaita wote kwenye dhabihu.
Kinunana, “Wen kappia; Immayak tapno agidaton kenni Yahweh. Aramidenyo ti seremonia a mamagbalin kadakayo a nalinis iti imatang ni Yahweh ket sumurotkayo kaniak.” Ket inaramidna kenni Jesse ken dagiti annakna a lallaki ti seremonia a pakaibilanganda a nalinis iti imatang ni Yahweh, ket kalpasanna, inayabanna ida iti pagidatonanna.
6 Walipofika, akamwangalia Eliabu na akajisemea mwenyewe kwamba mtiwa mafuta wa BWANA hakika amesimama mbele yake.
Idi nakagtengdan, kinitana ni Eliab ket kinunana iti nakemna a pudno nga agtaktakder iti sangoananna ti pinulotan ni Yahweh.
7 Lakini BWANA akamwambia Samweli, “Usimwangalie sura yake ya nje, au kimo cha umbo lake; kwa sababu nimemkataa. Maana BWANA haangalii kama mtu aangaliavyo; mtu hutazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo.”
Ngem kinuna ni Yahweh kenni Samuel, “Saanmo a kitaen ti akin-ruar a langana, wenno ti kinatayagna; gapu ta linaksidko isuna. Ta ni Yahweh, saan a kumita a kas iti panagkita ti tao; kitaen ti tao ti akin-ruar a langa, ngem ni Yahweh, kumita iti puso.”
8 Kisha Yese akamwita Abinadabu akamwambia apite mbele ya Samweli. Na Samweli akasema, “Hata huyu BWANA hakumchagua.”
Kalpasanna, inayaban ni Jesse ni Abinadab ket pinapagnana iti sangoanan ni Samuel. Ket kinuna ni Samuel, “Uray daytoy ket saan a pinili ni Yahweh.”
9 Kisha Yese akmwambia Shama apite karibu. Na Samweli akasema, “Hata huyu BWANA hakumchagua.”
Ket pinapagna manen ni Jesse ni Samma iti sangoanan ni Samuel. Ket kinuna ni Samuel “Uray daytoy ket saan a pinili ni Yahweh.”
10 Yese akawaleta watoto wake saba wakapita mbele ya Samweli. Na Samweli akamwambia Yese, “Hakuna hata mmoja aliyechaguliwa na BWANA kati ya hawa.”
Pinapagna ni Jesse dagiti pito nga annakna a lallaki iti sangoanan ni Samuel. Ket kinuna ni Samuel kenni Jesse, “Awan ti pinili ni Yahweh iti siasinoman kadagitoy.”
11 Kisha Samweli akamuulia Yese, “Je, watoto wako wote wako hapa?” Naye akajibu, “Yupo mdogo kabisa lakini anachunga kondoo.” Samweli akamwambia Yese, “Tuma watu wakamwite; maana hatutakaa chini hadi atakapofika hapa.”
Ket kinuna ni Samuel kenni Jesse, “Adda kadi amin ditoy dagiti annakmo a lallaki?” Simmungbat isuna, “Adda pay ti inaudi, ngem isuna ti agipaspastor kadagiti karnero.” Kinuna ni Samuel kenni Jesse, “Mangibaonka iti mangayab kenkuana; ta saantayo nga agtugaw agingga saan a sumangpet isuna ditoy.”
12 Yese akawatuma watu wakamleta. Naye kijana huyu alikuwa mwekundu na mwenye macho mazuri na mwenye muonekano mzuri. BWANA akasema, “Amka, umtie mafuta; maana huyu ndiye.”
Pinaayaban ni Jesse isuna. Ita, daytoy a putot ni Jesse ket lumabaga ti kudilna ken napintas dagiti matana ken nataer isuna. Kinuna ni Yahweh, “Tumakderka, pulotam isuna; ta isuna ti pinilik.”
13 Ndipo Samweli akachukua pembe yenye mafuta na kumtia mafuta katikati ya kaka zake. Roho wa BWANA akamwijia Daudi kwa nguvu tangu siku hiyo na kuendelea. Kisha Samweli akanyanyuka na kwenda Rama.
Ket innala ni Samuel ti sara a naglaon iti lana ket pinulotanna isuna iti sangoanan dagiti kakabsatna a lallaki. Manipud iti dayta nga aldaw ti Espiritu ni Yahweh ti nagtalinaed kenni David. Ket nagrubbuat ni Samuel ket napan idiay Rama.
14 Basi Roho wa BWANA akamwacha Sauli, badala yake roho ya ubaya kutoka kwa BWANA ikamsumbua.
Ita, pimmanaw ti Espiritu ni Yahweh kenni Saul, ket adda dakes nga espiritu nga imbaon ni Yahweh a nangriribuk ketdi kenkuana.
15 Watumishi wa Sauli wakamwambia, “Tazama, roho ya ubaya kutoka kwa Mungu inakusumbua.
Kinuna dagiti adipen ni Saul kenkuana, “Kitaem, addan dakes nga espiritu nga intulok ti Dios a mangrirriribuk kenka.
16 Haya bwana wetu hebu sasa amuru watumishi wako walio mbele yako wamtafute mtu mwenye ujuzi wa kupiga kinubi. Basi ikwa roho wa ubaya kutoka kwa Mungu yuko juu yako, atakipiga kinubi nawe utajisikia vizuri.”
Bilinen koma ti apomi ita dagiti adipenna nga adda iti sangoananna a mangsapul iti maysa a tao a nalaing nga agtukar iti arpa. Ket no adda kenka ti dakes nga espiritu, pagtukarenna daytoy ket sumayaatkanto.”
17 Sauli akawaambia watumishi wake, “Mnitafutie mtu anayeweza kupiga vizuri na mmlete kwangu.”
Kinuna ni Saul kadagiti adipenna, “Isapulandak iti tao a nalaing nga agtukar ket iyegyo kaniak.”
18 Ndipo kijana mmoja kati yao akajibu, na kusema, “Nimemuona mtoto wa Yese Mbethtelehemu, aliye mjuzi katika kupiga, ni mwenye nguvu, mtu jasiri, mtu wa vita, mwenye busara aongeapo, mtu mzuri kwa uso; na BWANA yuko pamoja naye.”
Ket simmungbat ti maysa kadagiti agtutubo a lallaki, ket kunana, “Nakitak ti maysa nga anak a lalaki ni Jesse a taga-Betlehem, a nalaing nga agtukar, napigsa, natured a tao; mannakigubat a tao, nalaing nga agbitla, nataer a tao; ken adda kenkuana ni Yahweh.”
19 Hivyo Sauli akawatuma wajumbe kwa Yese, na kusema, “Nitumie mtoto wako Daudi, anayewatunza kondoo.” 1 Samweli! 6: 20-21
Isu a nangibaon ni Saul kadagiti mensahero kenni Jesse, ket kinunana, “Ibaonmo kaniak ti anakmo a ni David, nga adda iti ayan dagiti karnero.”
20 Yese akamchukua punda aliyebeba mikate, na kiriba cha divai, na mwana-mbuzi, na akamtuma kwa Sauli pamoja na vitu hivyo.
Nangala ni Jesse iti asno a napaawitan iti tinapay, maysa a pagkargaan a lalat a naglaon iti arak, ken adda pay urbon a kalding, ket impaw-itna dagitoy iti anakna a ni David para kenni Saul.
21 Ndipo Daudi akafika kwa Sauli na kuanza kazi yake. Sauli alimpenda sana Daudi, na akawa mbeba silaha wake.
Ket dimteng ni David iti ayan ni Saul ket nangrugi nga agserbi isuna kenni Saul. Nagustoan unay isuna ni Saul, ket nagbalin isuna a para-awit iti igamna.
22 Sauli akawatuma wajumbe kwa Yese, akisema, “Mruhusu Daudi awe mbele yangu, maana amepata kibali machoni pangu.”
Pinaibaga ni Saul kenni Jesse, a kunana, “Ipalubosmo nga agtalinaed ni David iti ayanko, ta magustoak unay isuna.”
23 Wakati wowote roho ya usumbufu kutoka kwa Mungu ikiwapo juu ya Sauli, Daudi alichukuwa kinubi na kukipiga. Hivyo Sauli angeburudishwa na kupona, na huyo roho wa usumbufu angemtoka.
Ti dakes nga espiritu nga intulok ti Dios a mangriribuk kenni Saul, tunggal riribukenna ni Saul, alaen ni David ti arpa ket tukarenna daytoy. Isu a mabang-aran ken sumayaat ni Saul, ket pumanaw ti dakes nga espiritu kenkuana.

< 1 Samweli 16 >