< 1 Samweli 15 >
1 Samweli akamwambia Sauli, “BWANA alinituma nikutie mafuta uwe mfalme wa watu wake Israeli. Basi sikiliza maneno ya BWANA.
Şamuelee Şauluk'le eyhen: – Rəbbee zı g'axuvuna, q'ış qadğu vake Cune milletıs İzrailis paççah ha'as. Həşde ğu Rəbbee eyhençıl k'ırı alixhxhe.
2 Hivi ndivyo BWANA wa majeshi asemavyo, 'Nilichunguza jinsi Amaleki alivyomfanyia Israeli kwa kuwapinga njiani, walipopanda kutoka Misri.
Xəəne G'oşunbışde Rəbbee, inıd eyhe: «İzrailybı Misireençe əlyhəəmee, Amalekaaşe manbışda yəq avqu. Zı mançil-alla manbışilqa yiğbı allya'as.
3 Sasa nenda umshambulie Amaleki na ukaangamize kabisa vitu vyote walivyo navyo. Usiwaache, ua wote mwanamme na mwanamke, mtoto na mtoto mchanga, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda.”'
Hoora, hark'ın Amalekaar gyapxe. Manbışiqa vodunmeen gırgın kar giyxvər he'e, coyub oot'al-ooxal he'e. Manbı qivmiykkan, manbışin adamerıb, yedarıb, uşaxarıb, gyooqanbıb gyapt'e. Manbışin yatsbıd, vəq'əbıd, devabıd, əməlerıd gyat'e».
4 Sauli akwaita watu na kuwahesabu katika mji wa Talemu: watu mia mbili elfu waendao kwa miguu, na watu elfu kumi kutoka Yuda.
Şaulee millet qot'ul, manbı Telaim eyhene şaharee qəbəqqənbı: maa'ar q'öd vəş aazır İzrailyne eskerıle hexxana, Yahudeeşina yits'ıd aazır eskerır eyxhena.
5 Kisha Sauli akaja hadi mji wa Amaleki akangoja huko bondeni.
Şaul Amalekaaşine şaharısqana qarı, maane q'adaalil manbı gyapt'asva dyugul eyxhe.
6 Ndipo Sauli akawaambia Wakeni, “Nendeni, muondoke, mkajitenge na Waamaleki, nisije kuwaangamiza pamoja nao. Kwa maana ulionesha wema kwa watu wote wa Israeli, walipotoka Misri.” Kwa hiyo Wakeni wakajitenga na Waamaleki.
Mang'vee Genbışik'le eyhen: – Amalekaaşisse hudoora, manbışike cureepxhe. Şunab manbışika sacigee gidyapt'as. Şu, İzrailybı Misirğançe qığəəmee, manbışis yugvallaniy hav'u. Genbı Amalekaaşike cureepxha avayk'ananbı.
7 Kisha sauli akawashambulia Waamaleki, kutoka Havila hadi kufika Shuri, ulio mashariki mwa Misri.
Şaul Xavila eyhene şahareençe girğıl, Misirne şargılyne Şur eyhene şaharılqamee Amalekbı gyabat'a ıxha.
8 Basi akamchukua Agagi mfalme wa Waamaleki akiwa hai; aliwaangamiza kabisa watu wote kwa ncha ya upanga.
Mang'vee Amalekaaşina paççah Agag üç'ürra aqqaqqa, mang'un milletmee, gırgıda g'ılıncıke alğayhe.
9 Lakini Sauli na watu wake wakamwacha Agagi akiwa hai, pamoja na kondoo wazuri, ng'ombe, ndama wanono, na wanakondoo. Kila kitu kilichokuwa kizuri, hawakukiangamiza. Bali waliangamiza kabisa chochote kilichodharaulika na kisicho na thamani.
Amalekaaşina paççah Agagiy manbışin nekke yugun vəq'əbı, yatsbı, kokuiyn q'ıkariy urgbı Şaulusiy cune milletıs qiykkın, gyat'u ak'an ha'a deş. Amalekaaşin gıranın, yugun karbıd manbışis qiykkın, haq'var-hiyxvər ha'as ıkkiykan deş. Nimeeniy Amalekaaşiqa karaı'dəən, pisın kar vod İzrailybışe giyxvər hı'ı ak'an ha'an.
10 Baadaye neno la BWANA likamjia Samweli, kusema,
Mane gahıl Rəbbee Şamuelik'le inəxüd eyhe:
11 “Inanihuzunisha kwamba nimemchagua Samweli awe mfalme, kwa maana aligeuka nyuma asinifuate na hakutekeleza maagizo yangu.” Samweli alikasirika; akamlilia BWANA usiku kucha.
– Zı Şauluke paççah hı'ı paşmanxhana. Mang'vee Zalqa yı'q' sak'al hı'ı, Yizın cuvab ç'iyelqa g'a'aççu. Mançike Şamuelis qəl vuxha, xəmvolle Rəbbilqa düə haa'a.
12 Samweli aliamka mapema akutane na Sauli wakati wa asubuhi. Samweli aliambiwa, “Sauli alifika Karmeli na amejijengea ukumbusho kwa ajili yake, kisha aligeuka na kuendelea chini hadi Gilgali.” Ndipo
Şamuel miç'eeqana Şaul g'acesva suğotsumee, mang'uk'le şavame eyhen: – Şaul Karmel eyhene şahareeqa ark'ın. Maa'ab mang'vee, cus haykal gyuvxhu, mançer Gilgalqa ayk'an.
13 Samweli akamwendea Sauli, na Sauli akamwambia, “Umebarikiwa na BWANA! Nami nimetekeleza amri ya BWANA.”
Şamuel Şauluqa avarq'ılymee, Şaulee eyhen: – Hasre Rəbbee vas xayir-düə hevlecen! Zı Rəbbee eyhen hı'iyn.
14 Samweli akasema, “Hicho kilio cha kondoo ni cha nini basi masikioni mwangu, na hiyo milio ya ng'ombe ninayosikia?
Şamueleeme mang'uk'le eyhen: – Nya'a manke yizde k'ıriysqa vəq'əbışiniy yatsbışin heghan sesbı qöö?
15 Sauli akamjibu, “Wao wamewaleta kutoka kwa Waamaleki. Kwa sababu watu waliwaacha hai kondoo wazuri na ng'ombe, kwa ajili ya sadaka kwa BWANA Mungu wako. Zilizobaki tuliziangamiza kabisa.”
Şaulee eyhen: – Manbı Amalekaaşike adı. Milletıs vəq'əbıyiy yatsbı qiykkıniynbı, manbışe inekke yugunbı Rəbbis, yiğne Allahıs, q'urbanna allya'as havacı. İnsanar gyapt'ıynbı, mansa axuyn karbımee giyxvər hı'ı.
16 Ndipo Samweli akamwambia Sauli, “Subiri nitakumbia kile ambacho BWANA amekisema kwangu usiku.” Sauli akamwambia, “Sema!”
Şamuelee Şaulık'le eyhen: – Ç'əv, g'iyna xəmde Rəbbee zak'le uvhuyn, zı vak'le eyhes. Şaulee, «Eyheva» cuvab qele.
17 Samweli akasema, “Ingawa wewe ni mdogo machoni pako mwenyewe, je, hukufanywa mkuu wa kabila za Israeli? Na BWANA akakutia mafuta uwe mfalme juu ya Israeli;
Şamuelee eyhen: – Ğucar vasqa k'ırra qööng'ə, nya'a vake İzrailyne nasılbışda xərna ıxha dişde? Rəbbee, q'ış qadğu, vake İzrailyna paççah hı'ı dişde?
18 BWANA alikutuma katika safari yako akisema, 'nenda na uangamize kabisa wenye dhambi, Waamaleki, na upigane dhidi yao hadi wameangamizwa.'
Rəbbee ğu g'ıxelemee, inva dişde uvhu: «Hark'ın bınahıka gyavts'uyne milletıkın Amalekaaşikın he'e, manbı gırgıba gyapt'e. Manbışde gırgınbışikın ha'asdesmee, dəv'ə hee'e».
19 Kwa nini basi haukuitii sauti ya BWANA, bali badala yake ulishikilia nyara na ukafanya uovu machoni pa BWANA?”
Nya'a ğu Rəbbil k'ırı ilydiyxhı? Manbışike g'ayşuyne karal qıxha, Rəbbee ilydyaat'asın kar hı'ı?
20 Ndipo Sauli akamwambia Samweli, “Kweli kabisa niliitii sauti ya BWANA, Na nimeifuata njia ambayo BWANA alinituma. Nimemteka Agagi, mfalme wa Waamaleki, na kuwaangamiza kabisa Waamaleki.
Şaulee Şamuelik'le eyhen: – Zı Rəbbee eyhençil k'ırı gyaqqıyn. Mang'vee eyhene cigeeqa hark'ınna. Manbışda paççah Agag aqqı inyaqa qarı, gırgın Amalekbı gyapt'ıynbı.
21 Lakini watu walichukua baadhi ya nyara-kondoo na ng'ombe, na vitu vizuri vilivyokusudiwa kuangamizwa, ili wavitoe dhabihu kwa BWANA, Mungu wako, huko Gilgali.”
Saccu eskeraaşe şenbışike g'ayşuyne çavra-vəq'əyke, gyat'u ak'an ha'asınçike, nekke yugun yatsbıyiy vəq'əbı g'əyxı' Rəbbis, yiğne Allahıs, Gilgalee q'urbanbı allya'asva havacı.
22 Samweli akajibu, “Je, BWANA hufurahia sadaka za kuteketezwa na dhabihu kama ilivyo kuitii sauti yake? Utii ni bora kuliko dhabihu, na kusikia ni bora kuliko mafuta ya beberu.
Şamueleeme mang'uk'le eyhen: – Gyoxhxhan ha'aneyiy menne q'urbanbışile geed, Rəbbis Cune cuvabıl k'ırı alixhxhıniy ıkkan. Rəbbine cuvabıl k'ırı alixhxhiy, q'urbanbışileeyiy nekke kokun g'argbışile nimeexheyid yugdaniy vod.
23 Kwa maana uasi ni sawa na dhambi ya uchawi, na ukaidi ni sawa na uovu na udhalimu. Kwa kuwa umelikataa neno la BWANA, naye pia amekukataa usiwe mfalme.”
Rəbbee eyhen hidi'iyna bınah, cadubı hı'iyna xhineecab vob. Culed-alqan karbı hı'iyid, byuttyaaşis ı'bəədat ha'an xhineecad vod. Ğu Rəbbin cuvab əq'əna qı'ı, Mang'veeyir ğu paççahiyvalike hı'ı.
24 Ndipo Sauli akamwambia Samweli, “Nimetenda dhambi; kwa maana nimevunja amri ya BWANA na maneno yako, kwa sababu niliwaogopa watu na kuitii sauti yao.
Şaulee Şamuelik'le eyhen: – Zı bınah hav'u, Rəbbine əmrıliy, yiğne cuvabıl k'ırı ilydiyxhı. Zı yizde g'oşunule qərq'ı'nna, dişe manbışil k'ırı alixhxhı.
25 Sasa, tafadhali nisamehe dhambi yangu, na urudi nami ili nipate kumcha BWANA.”
Hucoona ixhes, həşde ğu yizde bınahıle ilyheç'e, qora zaka yıq'əlqa sak'le, zı Rəbbis ı'bəədat ha'as.
26 Samweli akamwambia Sauli, “Sitarudi pamoja na wewe; kwa sababu umekataa neno la BWANA, naye BWANA amekukataa usiwe mfalme juu ya Israeli.”
Şamuelee Şauluk'le eyhen: – Zı vaka sak'alas deş. Ğu Rəbbee uvhuyn hı'ı deş, Mang'veeyib vasse İzrailyna paççahiyvalla g'avşuna.
27 Samweli alipogeuka kuondoka, Sauli akashika pindo la kanzu yake, na likachanika.
Şamuel mançe əlyhəəsva sak'ımee, Şaulee mana plaşike aqqaqqa, manıd qoxan.
28 Samweli akamwambia, “BWANA ameuchana ufalme wa Israeli kutoka kwako leo na amempa ufalme huo jirani yako, aliye bora kuliko wewe.
Şamuelee mang'uk'le eyhen: – Nəxdiy ğu yizın plaş qotxu məxbı'b g'iyna Rəbbee yiğne xılençe İzrailyna paççahiyvalla qooxas. Mang'vee vas k'anerıng'une, vale yugung'une xılyaqa qevles.
29 Pia, yeye ni Uwezo wa Israeli hatasema uongo wala kubadili nia yake; kwa sababu si mwanadamu, kwamba abadili nia yake.”
İzrail Ğamaa'ane Allahee, horbıd ha'a deş, fıkırıb badal haa'a deş, Mana insan deş vor fıkır badal haa'as.
30 Kisha Sauli akasema, “Nimetenda dhambi. Lakini tafadhali nipe heshima wakati huu mbele ya wakuu wa watu wangu na mbele ya Israeli. Urudi tena pamoja nami, kusudi niweze kumcha BWANA, Mungu wako.”
Şaulee eyhen: – Zı bınah hav'u. Hucoona ixhes, həşde xalq'ıne ağsaqqalaaşineyiy İzrailyne ögil zas hı'rmat givxhe. Zakasana sak'le, yiğne Allahıs, Rəbbis, ı'bəədat ha'as.
31 Hivyo Samweli akamrudia tena Sauli, na Sauli akamcha BWANA.
Şamuel Şauluqar qihna qaraylena, Şauleeyid Rəbbis ı'bəədat ha'a.
32 Kisha Samweli akasema, “Mmlete hapa kwangu Agagi mfalme wa Waamaleki.” Agagi akafika kwake akiwa amefungwa minyororo na kusema, “Hakika uchungu wa kifo umepita.”
Şamuelee eyhen: – Amalekaaşina paççah Agag inyaqa yizde k'anyaqa qale. Agagır vuççud dexhesda xhinne qaraylena. Agagee culed-alqa eyhe ıxha: – Mıts'an, zı qik'uyke g'attirxhınna.
33 Naye Samweli akamjibu, “Jinsi upanga wako ulivyofanya wanawake wapoteze watoto, vivyo hivyo mama yako naye hatakuwa na mtoto miongoni mwa wanawake.” Kisha Samweli akamkata Agagi vipande vipande mbele za BWANA huko Gilgali.
Şamuelee eyhen: – Yiğne g'ılıncın nəxübiy yedar kulyfatbı dena g'alyav'u, yiğna yedir həməxür kulyfat dena eexvas. Şamuelee Gilgalee, Rəbbine ögil Agag gyaraxana.
34 Samweli akaenda Rama, na Sauli akapanda kwenda nyumbani kwake Gibea ya Sauli.
Mançile qiyğa Şamuel ayk'anna Ramayeeqa, Şaulur Giveayeene, cune xaaqa siyk'al.
35 Samweli hakumuona tena Sauli hadi siku ya kifo chake, lakini alimwombolezea Sauli. Na BWANA alijuta kwa kumfanya Sauli awe mfalme juu ya Israeli.
Şamuelee, Şaulna geeb haa'a, geed uts'ur ts'ıts'a'a. Mang'uk'le mana qik'asmee, g'ece deş. Rəbbir Şauluke İzrailyna paççah hı'ıva paşman eyxhena.