< 1 Samweli 14 >

1 Siku moja, Yonathani mwana wa Sauli alimwambia mbeba silaha wake aliye mdogo, “Njoo, hebu twende hadi upande mwingine kwenye ngome ya Wafilisti.” Lakini hakumjulisha baba yake.
Sa yiğıl Şaulne duxee Yonatanee cun silah haqqane nukarık'le eyhen: – Qora derayne şene suralyne Filiştinaaşine desteysqa ılğeepç'es. Mançine hək'ee, mang'vee dekkık'le eyhe deş.
2 Sauli alikuwa akikaa nje ya mji wa Gibea chini ya mti wa mkomamanga ulio katika Migroni. Takribani watu mia sita walikwa pamoja naye,
Şaulna çadırmee Givea ç'əvooxhene cigee Migroneene sa narıne yivek avub güvxü vuxha. Mang'une k'ane yixhıd vəşşilqa ələəna insan eyxhe.
3 akiwemo Ahiya mwana wa Ahitubu (nduguye Ikabodi) mwana wa Finehasi, mwana wa Eli, kuhani wa BWANA huko Shilo, aliyevaa naivera. Watu hao hawakujua kwamba Yonathani ameondoka.
Manbışika sacigee kaahinaaşin ileylığ givatxınna kaahin Axiyar eyxhena. Mana İkavodne çocuna, Axituvna dix eyxhe. Axituvur, Şilo eyhene cigee eyxhene Rəbbine kaahinna Eliyna neva, Pinxasna dix eyxhe. Yonatanın ark'ıniy şavuk'lecad ats'a ıxha deş.
4 Katikati ya vichochoro, ambavyo Yonathani alinuia kuvipita hadi ngome ya Wafilisti, kulikuwa na mwamba wenye mteremko mkali upande mmoja, na mteremko mkali upande mwingine. Jabali moja liliitwa Bosesi, na jingine liliitwa Sene.
Filiştinaaşina deste ulyobzurne cigeeqa ı'qqəsdemee Yonatan q'öne ganznane cigeençe ılğeç'e. Mane ganzbışin sançin do Botsets, mansançinıd Sene ıxha.
5 Lile jabali lenye mteremko mkali zaidi liliinuka upande wa kaskazini mbele ya Mikmashi, na jingine upande wa kusini mbele ya Geba.
Ganzbışin sa şimalne surayle Mikmasıqa, mansa ganzmee canubne surayle Giveayqa ilyakka ıxha.
6 Yonathani akamwambia kijana mbeba silaha, “Njoo, na tuvuke hadi ngome ya hawa wasiotahiriwa. Pengine BWANA atatenda kwa niaba yetu, kwa maana hakuna kitu kiwezacho kumzuia BWANA asiokoe kwa wengi au kwa watu wachache.”
Yonatanee cune silah haqqane nukarık'le eyhen: – Qora ine sunnat hıdyav'uynbışde desteysqa ılğeepç'es. Sayid Rəbbee yişin sura aqqaqqa. Rəbbis ıkkanang'a, geebnanbı ğamaa'a, ıkkanang'ab, k'ılybananbı ğamaa'a.
7 Mbeba silaha wake akajibu, “Fanya kila kitu kilicho ndani ya moyo wako. Songa mbele, tazama, niko pamoja nawe, nitatii maagizo yako yote.”
Mang'une nukaree eyhen: – Yiğne yik'es nəxüdiy ıkkan həməxüdud he'e. Hoora he'e, ğu nyaqa ark'ınee, zı vaka vor.
8 Ndipo Yonathani akasema, “Tutavuka twende kwa watu hao, na tutajionesha wenyewe kwao.
Yonatanee eyhen: – Qora şene insanaaşisqa ılğeepç'es, manbışik'le şicab şi haagvas.
9 Kama watatuambia, 'Subirini hapo hadi tutakapokuja kwenu' - basi tutabaki katika sehemu yetu na hatutavuka kwenda kwao.
Manbışe şak'le «Şi şosqa qavaalesmee ulyoozreva» uvheene, şi ulyobzurne cigeençe ı'ğdiviykar, cosqab ılqıdebaç'e.
10 Lakini kama watajibu, 'Njoni kwetu,' ndipo tutavuka; kwa sababu BWANA amewaweka mkononi mwetu. Hii ndiyo itakuwa ishara yetu.”
De'eş, cone k'anyaqa ılqeepç'eva uvhee, şinab ılqeebaç'e. Man yişdemee, Rəbbee man insanar yişde xılyaqa quvuva işaara eyxhe.
11 Kwa hiyo wote wawili wakajifunua mbele ya ngome ya Wafilisti. Wafilisti wakasema, “Angalia, Webrania wanakuja kutokea kwenye mashimo walimojificha.”
Manbışda q'öyursana şenbışde zastaveençe g'avcesde cigee ulyoozar. Filiştinaaşe eyhen: – İlyaakende, cühüt'yar dyuguleepxhayne q'əç'ürbışeençe qığəə vob.
12 Ndipo watu wa ile ngome wakamwita Yonathani na mbeba silaha wake, wakisema, “Njoni huku kwetu, tutawaonesha jambo fulani.” Na Yonathani akamwambia mbeba silaha wake; “Nifuate nyuma yangu, kwa sababu BWANA amewaweka katika mkono wa Israeli.”
Eskeraaşe Yonatanık'leyiy mang'un nukarık'le eyhen: – Şasqa ılqeepç'e, vuşun darsbı qeles. Yonatanee cune nukarık'le eyhen: – Zaqar qihna qora, Rəbbee manbı İzrailyne xılyaqa quvu.
13 Yonathani alipanda juu kwa mikono na miguu yake, na mbeba silaha akimfuata nyuma yake. Wafilisti waliuwawa mbele ya Yonathani, na mbeba silaha wake akiwaua baadhi nyuma yake.
Yonatan g'elybışikayiy xıleppışika ilyt'iyq'an-ilyt'iyq'an ooqa ılqeç'e. Cuqar qihnar cuna nukar ılqeç'e. Yonatan ooqa ılqeç'u, Filiştinar uvxü hı'ğəəkar haa'anbı, cuqar qihna qööne nukareeyib manbı gyabat'anbı.
14 Hilo shambulio la kwanza walilofanya Yonathani na mbeba silaha wake, waliua watu wapatao ishirini katika urefu wa nusu handaki kwenye eka moja ya ardhi.
Ts'eppa aldaaxhvan gibğılmee, Yonataneeyiy cune silah haqqane nukaree g'ane insanılqa ələəna insan gek'a. Manbı q'öne yatsısse sa yiğee ezas əxəsde çolun surameene cigee aldaaxhvan vuxha.
15 Kukawa na hofu kubwa katika kambi, uwandani, na katika watu. Hata ngome ya jeshi na watekaji nyara nao wakawa na hofu kubwa
Zastaveeneyiy çolbışeene milletne yik'eeqa qəpq'ı'niy eç'e. Zastaveene eskeraaşineyiy ts'eppa ögeeqa aldaaxhvanas avayk'ananbışde yı'q'nee məxdın alikkiy-gikkiy gexha, mançike ç'iyecad ı'ğiykar. Man qəpq'ı'niy Allahee g'axuvu eyxhe.
16 Ndipo walinzi wa Sauli huko Gibea ya Benyamini wakaona kundi la askari wa Wafilisti likitawanyika, wakienda kule na huku.
Benyaminaaşine Giveayee vooxhene Şaulne mane cigayqa ilyaakane eskeraaşik'le, Filiştinaaşin eskerar opt'ul-opxul heepxı əlyhəə g'ooce.
17 Kisha Sauli akawaambia watu aliokuwa nao, “Mjihesabu ili muone nani hayupo hapa.”Walipokuwa wamehesabu, wakagundua kuwa Yonathani na mbebaji wa silaha zake hawapo.
Şaulee cune hıqiy-alla sadıyne milletık'le, eyhen: – Qəpqe, ilyaake vuşuyiy yişinbışda deş. Qəpqı'mee, manbışik'le Yonatanıy mang'una silah haqqana cokasana maa devxhay ats'axhxhen.
18 Sauli akamwambia Ahiya, “Lete hapa naivera ya Mungu”- kwa maana siku hiyo Ahiya alivaa naivera akiwa pamoja na askari wa Israeli.
Şaulee Axiyayk'le eyhen: – Allahna q'utye inyaqa qavaale. (Şene gahbışil Allahna q'utye İzrailybışiqa vuxha.)
19 Wakati Sauli akiongea na kuhani, kelele na ghasia kubwa iliendelea na kuongezeka katika kambi ya Wafilisti. dipo sauli akamwambia kuhani, “Acha kazi unayofanya.”
Şaulee kaahinık'le manva eyhemee, Filiştinaaşine g'oşunnane cigee alikkı-gikkiy sık'ıldad geed qexhe. Şaulee kaahinık'le «Qımaaleva!» eyhe.
20 Sauli na watu wote aliokuwa nao wakajipanga na kwenda kwenye mapigano. Upanga wa kila Mfilisti ulikwa juu ya Mfilisti mwenzake, na kulikuwa na ghasia kubwa.
Şaulıy mang'une hiqiy-alla sadıyn gırgın millet, dəv'ə əlyhəəne cigeeqa ayk'an. Manbışik'le Filiştinar alivku-givku, sana-sanbı g'ılıncbışika gyabat'a g'ooce.
21 Basi Waebrania ambao mwanzoni walijiunga na Wafilisti, na kwenda kwenye kambi yao, wao pia waliungana na Waisraeli waliokuwa pamoja na Sauli na Yonathani.
Ts'eppiykecab Filiştinaaşine suralqa, manbışde zastaveeqa ılğeepç'ıyn cühüt'yar, Şaulneyiy Yonatanne k'anene İzrailyne milletne suralqa ılğeebaç'e.
22 Waisraeli wote waliokuwa wamejificha katika milima karibu na Efraimu waliposikia kwamba Wafilisti wamekimbia, nao pia wakawafuata Wafilisti nakuwafukuza kwenye hiyo vita.
Efrayimaaşine suvabınane cigabışee dyugul vuxhayne gırgıne İzrailybışik'led, Filiştinaaşin heepxıy g'ayxhımee, manbıb conbışika sacigee Filiştinaaşiqa qihna gyabak'a.
23 Hivyo siku hiyo BWANA aliwaokoa Israeli, na mapigano yalivuka kupitiliza Beth aveni.
Məxüb mane yiğıl Rəbbee İzrail g'attivxhanaa'ana. Dəv'əb Bet-Avenısqa hiviyxhar.
24 Siku hiyo watu wa Israeli walifadhaika kwa sababu Sauli aliwaweka watu chini ya kiapo akasema, “Na alaaniwe mtu atakaye kula chakula kabla ya jioni na kabla sijalipiza kisasi kwa maadui zangu.” Hivyo hakuna hata mmoja kati ya watu wote aliyeonja chakula.
İzrailybı mane yiğıl geeb obzur vooxhe. Şaulee «Exhalilqamee, zı duşmanaaşikın ha'asmee, şavaayiy gıney otxhun bed-düə vuxhenava!» uvhu, g'oşunusqa k'ın g'assaras ilekka. G'oşuneenbışike şavaacad ghalik vuççud set'a deş.
25 Ndipo watu wote wakaingia msituni na kuona asali ikiwa juu ya ardhi.
G'oşun ç'alagaqa ikkeç'umee, manbışik'le ç'iyel itv g'ece.
26 Watu walipoingia humo msituni, asali ilitiririka, lakini hakuna aliyeweka mkono wake kinywani kwa maana watu waliogopa kiapo.
G'oşunuk'le ç'alagee g'acuyne p'et'aybışike itv gyodatsts'e ıxheeyid, şavaacad xıl ghalyaqa ıkkekka deş. Manbı co g'assırne k'ınile qəvəyq'ən vuxha.
27 Lakini Yonathani alikuwa hajasikia kwamba baba yake amewaagiza watu kwa kiapo. Akanyoosha ncha ya fimbo iliyokuwa mkononi mwake na kuichovya kwenye sega la asali. Kisha akanyoosha mkono wake hadi kinywani mwake, na macho yake yakaangaziwa.
Yonatanık'le, dekkee g'oşunusqa k'ın g'assaras alikkiy ats'a deşdiy. Mang'vee xıledın t'at'aa hotku ç'iyelyne ittveeqa k'yoq'u, qiyğad t'at'alyne ittulqa xıl qadğu, ghalyaqa ıkkekka. Manke mang'une uleppışeeqa işix qayle.
28 Ndipo mmoja wa watu hao, akamwambia, “Baba yako aliwaagiza watu kwa mkazo na kwa kiapo, kwa kusema, 'Alaaniwe mtu atakaye kula chakula kwa siku ya leo,' ingawa watu wamedhoofika kwa ajili ya njaa.”
G'oşuneene sang'vee eyhen: – «G'iyna şavaayiy kar otxhun mang'us bed-düə vuxhenava!» uvhu, yiğne dekke g'oşunusqa it'umun k'ın g'assarasniy alikkı. Mançil-allab eskerar g'elike-xıleke g'a'apk'ı.
29 Baadaye Yonathani alisema, “Baba yangu amefanya matatizo katika nchi. Angalia jinsi macho yangu alivyotiwa nuru kwa sababu nilionja asali hii kidogo.
Yonatanee eyhen: – Dekkee, g'oşunus əq'üba vob hoole. İlyaakende, zı mane ittvuke sık'ınincad otxhun, uleppışeeqa işix qadı!
30 Je, siyo vivuri sana kama leo watu wangekula bila kizuizi nyara walizopata kutoka kwa maadui zao? Kwa sababu sasa mauaji hayakuwa makubwa katikati ya Wafilisti.”
G'iyna eskeraaşe duşmanaaşike g'ayşuyne otxhuniybışike avts'esınmeen otxhun ıxhaynxhiy, hucoo dexheyiy? Nya'a, Filiştinaaşile sık'ılbab yugba ğamdeebaxheyiy?
31 Siku hiyo waliwashambulia Wafilisti kutoka Mikmashi hadi Aiyaloni. Na watu walikuwa wamechoka sana.
Mane yiğıl Şaulna g'oşun, Mikmasıle Ayaloneeqamee Filiştinaaşile ğameebaxhenbı. Mane yiğıl eskerar geeb obzur vooxhe.
32 Hivyo watu wakazivamia nyara na kuchukua kondoo, ng'ombe na ndama na kuwachinja hapo chini. Watu walikula nyama zao pamoja na damu.
Eskeraaşe cone xılyaqa aytk'uyn Filiştinaaşin vəq'əbı, yatsbı, vuç'ebı zarada maacad gyat'u, ebakacad çuru oyxhan.
33 KIsha wakamwambia Sauli, “Tazama, watu wanamtenda BWANA dhambi kwa kula pamoja na damu.” Sauli akasema, “Mmetenda isivyo haki. Sasa, viringisheni jiwe kubwa kwangu.” Sauli akasema,
Man Şaululqa hixhar ha'a: – İlyaakende, eskeraaşe çuru ebakacad otxhun, Rəbbine ögil bınah haa'a. Şaulee eyhen: – Şu Rəbb yik'el hixanı'ı, həşdeme zasqa sa xəbna g'aye qa'aak'an hee'e.
34 “Nendeni kati watu, na muwaambie, 'Kila mtu alete ng'ombe na kondoo wake, wawachinje hapa, na kuwala. Msimtende BWANA dhambi kwa kula na damu.”' Kwa hiyo watu wote wakaleta kila mtu na ng'ombe wake usiku huo na kuwachinja mahali hapo.
Meed Şauleecad eyhen: – G'oşunne yı'q'neençe ılğeepç'ı, manbışik'le eyhe: «Gırgıng'vee cuna yats, vəq'ə zasqa abı, kara'əəba yizde k'ane, mane g'ayel givk'u ooxhnecen. Çuru ebaka otxhun, Rəbbine ögil bınah hımaa'a». Mane xəmde gırgıng'vee, con yatsbıyiy vəq'əbı maqa adı, cone xıleka gyaat'a.
35 Sauli akamjengea BWANA madhabahu, ambayo ilikuwa ya kwanza kwake kumjengea BWANA.
Məxüd Şaulee ts'etta Rəbbis q'urbanbı allya'an ciga ali'ı.
36 Ndipo Sauli akasema, “Haya tuwafukuze Wafilisti usiku na kuwateka nyara hadi asubuhi; tusimwache hata mtu mmoja akiwa hai.” Nao wakamjibu, “Fanya unaloona linakupendeza.” Lakini kuhani akasema, “Hebu na tumkaribie Mungu mahali hapa.”
Şaulee eyhen: – Qudoora, Filiştinaaşiqab qihna xəmdecab gyapk'as, miç'eediy qıxhesse, manbışin vodun-deşin g'ayşu, con gırgınbıb gyapt'as. Mang'uk'le «Vas nəxüdiy ıkkan həməxüdud he'eva» eyhe. Kaahineeme «Qudoora, Rəbbike qiyghanasva» eyhe.
37 Sauli alitaka kumuuliza Mungu maswali zaidi, “Je, inanipasa kuwafukuza Wafilisti? Je, utawaweka katika mkono wa Israeli?” Lakini siku hiyo BWANA hakumjibu kitu.
Şaulee Allahıke qiyghanan: – Zı Filiştinaaşiqa qihna gixhene? Ğu manbı İzrailybışde xılyaqa qevlesınbıne? Mane yiğıl Allahee mang'us alidghıniy qele deş.
38 Ndipo Sauli akasema, “Njoni hapa, viongozi wote wa watu; mjue na kuona jinsi dhambi hii ilivyotokea leo.
Şaulee eyhen: – G'oşunun ç'ak'ınbı, vuşun gırgınbı inyaqa savaale. Şu g'iyna nena bınahiy hav'uva, ats'axhxhes.
39 Kwa maana, kama BWANA aishivyo, aliyewaokoa Israeli, hata kama angekuwa mwanangu Yonathani, atapaswa kufa.” Lakini hakuna hata mtu mmoja miongoni mwa watu aliye mjibu neno.
İzrail g'attivxhan hav'uyne, Vorne Rəbbilqan k'ın ixhen, ine işee yizde duxayn, Yonatanınıd, xıl ixheene, mana gik'as ıkkan. Milletıke şavaacad nıq' qığavhu deş.
40 Basi akawaambia Waisraeli wote, “Simameni upande mmoja, na mimi na Yonathani tutasimama upande mwingine.” Kisha watu wakamwambia Sauli, “Fanya lile unaloona jema kwako.”
Şaulee İzrailyne gırgınbışik'le eyhen: – Şu sa sural, zınar yizde duxayka manesa sural ulyoozaras. Eskeraaşe Şauluk'le: «Yiğne yik'es ıkkanəxüd he'eva» eyhe.
41 Kwa hiyo, Sauli akamwambia BWANA, Mungu wa Israeli, “Tuoneshe Thumimu.” Yonathani na Sauli wakatwaliwa, lakini watu walinusurika kuchaguliwa.
Şaulee İzrailyne Allahık'le, Rəbbik'le, eyhen: – Zas qotkuyn alidghıniy qele! K'eççuyne çöpün Şaulıy Yonatan haagva. Bınah milletıl aaxva deş.
42 Basi Sauli akasema, “Tupa mawe ya bahati nasibu tuone kati yangu na mwanangu Yonathani.” Ndipo Yonathani akatwaliwa.
Şaulee eyhen: – Yizdeyiy duxayne Yonatanne yı'q'neeyid çöp k'eççe. Çöpün Yonatan hagva.
43 Kisha Sauli akamwambia Yonathani, “Niambie umefanya nini.” Yonathani akamwambia baba yake, “Nilionja asali kidogo kwa kutumia ncha ya fimbo iliyokuwa mkononi mwangu. Niko hapa; Nitakufa.”
Şaulee Yonatanık'le eyhen: – Ğu hucoone hı'ı, zak'le eyhe! Yonatanee mang'uk'le eyhen: – Xılene t'at'aane sivelin sık'ınin itv otxhun. Zı mançil-alla qik'asda.
44 Sauli akasema, “Mungu afanye hivyo na kuzidi hata kwangu, kama Yonathani hautakufa.”
Şaulee eyhen: – Yonatan, ğu g'iyna q'idek'vee, hasre Allahee zas mançiled pisın he'ecen!
45 Basi watu wakamuuliza Sauli, “Je, inampasa Sauli afe, ni nani aliyetekeleza ushindi huu mkubwa kwa ajili ya Israeli? Mbali na hayo! Kama BWANA aishivyo, hata unywele mmoja wa kichwa chake hautaanguka chini, kwa maana leo amefanya kazi pamoja na Mungu.” Hivyo hao watu walimuokoa Yonathani ili asife.
Milletınmee Şauluk'le eyhen: – İzrail məxüb uftanba ğamav'una, Yonatanne qik'as? De'eş! Vorne Rəbbilqan k'ın ixhen, mang'une vuk'lelyna sa ç'ərıb ç'iyelqa g'a'avxhas deş. Nya'a, mang'vee g'iyna Allahne kumaagıka iş g'avcu. Məxür Yonatan milletın qik'uyke g'attixhan ha'a, gik'as haysar deş.
46 Basi Sauli akasita kuwafuatia Wafilisti, nao wakarudi katika makao yao.
Şaulur Filiştinaaşiqar qihna gexha deş. Filiştinarıb cone cigabışeeqa siviyk'al.
47 Sauli alipoanza kutawala juu ya Israeli, alipigana na adui zake wote kila upande. Alipigana dhidi ya Moabu, dhidi ya watu wa Amoni, Edomu, wafalme wa Zoba, na Wafilisti. Popote alipogeukia aliwapiga kwa adhabu adui zake.
Şaul İzrailyna paççah ıxhayle qiyğa, mang'vee hiqiy-allane cone duşmanaaşika: Moavaaşika, Ammonaaşika, Edomaaşika, Tsovayne paççahaaşika, Filiştinaaşika dəv'ə haa'a. Mana nene suralqa ark'ınee duşmanaaşine vuk'lelqa ver ooxa vuxha.
48 Alitenda kwa ushujaa mkubwa na kuwashinda Waamaleki. Aliwaokoa Israeli kutoka mikono ya watu ambao waliwateka nyara.
Mana yik'eka sacikku Amalekaaşile ğamxha, İzrail q'əra qaa'anbışike g'attivxhanaa'ana.
49 Basi wana wa Sauli walikuwa ni hawa Yonathani, Ishvi, na Malkishua. Na majina ya binti zake wawili yalikuwa ni haya, Merabu mzaliwa wa kwanza, na mdogo aliitwa Mikali.
Yonatan, İşvi, Malki-Şua Şaulun dixbı vuxha. Mang'une xənne yişşen do Merav, k'ıning'ı'nıd Mikal ıxha.
50 Jina la mke wa Sauli aliitwa Ahinoamu; naye alikuwa binti Ahimaasi. Na jina la Jemedari wa jeshi lake aliitwa Abneri mwana wa Neri, baba mdogo wa Sauli.
Şaulne xhunaşşeyn do Axinoam eyxhe. Mana Axima'atsna yiş yixha. Şaulne g'oşunna xərna Avner ıxha. Avner Şaulne emisiyna, Nerna dix ıxha.
51 Kishi alikuwa baba yake Sauli; na Neri alikuwa baba yake na Abneri, wote walikuwa wana wa Abieli.
Şaulna dek Gişiy Avnerna dek Ner Avielin dixbı vuxha.
52 Kulikuwa na mapigano makali dhidi ya Wafilisti katika siku zote za Sauli. Naye alipomwona mtu yeyote mwenye nguvu, au mtu yeyote jasiri, alimuunganisha kwake.
Şaulna ı'mı'rcab Filiştinaaşikane yı'q'ne dəv'ee ılğevç'u. Gucukana, yik'ekana insan nyaariy mang'usqa qızaxxı, mang'vee cusqa alyarat'a ıxha.

< 1 Samweli 14 >