< 1 Samweli 14 >
1 Siku moja, Yonathani mwana wa Sauli alimwambia mbeba silaha wake aliye mdogo, “Njoo, hebu twende hadi upande mwingine kwenye ngome ya Wafilisti.” Lakini hakumjulisha baba yake.
Then on a day Ionathan the sonne of Saul sayde vnto the yong man that bare his armour, Come and let vs goe ouer towarde the Philistims garison, that is yonder on the other side, but he tolde not his father.
2 Sauli alikuwa akikaa nje ya mji wa Gibea chini ya mti wa mkomamanga ulio katika Migroni. Takribani watu mia sita walikwa pamoja naye,
And Saul taried in the border of Gibeah vnder a pomegranate tree, which was in Migron, and the people that were with him, were about sixe hundreth men.
3 akiwemo Ahiya mwana wa Ahitubu (nduguye Ikabodi) mwana wa Finehasi, mwana wa Eli, kuhani wa BWANA huko Shilo, aliyevaa naivera. Watu hao hawakujua kwamba Yonathani ameondoka.
And Ahiah the sonne of Ahitub, Ichabods brother, the sonne of Phinehas, the sonne of Eli, was the Lordes Priest in Shiloh, and ware an Ephod: and the people knewe not that Ionathan was gone.
4 Katikati ya vichochoro, ambavyo Yonathani alinuia kuvipita hadi ngome ya Wafilisti, kulikuwa na mwamba wenye mteremko mkali upande mmoja, na mteremko mkali upande mwingine. Jabali moja liliitwa Bosesi, na jingine liliitwa Sene.
Nowe in the way whereby Ionathan sought to go ouer to the Philistims garison, there was a sharpe rocke on the one side, and a sharpe rocke on the other side: the name of the one was called Bozez, and the name of the other Seneh.
5 Lile jabali lenye mteremko mkali zaidi liliinuka upande wa kaskazini mbele ya Mikmashi, na jingine upande wa kusini mbele ya Geba.
The one rocke stretched from the North towarde Michmash, and the other was from the South toward Gibeah.
6 Yonathani akamwambia kijana mbeba silaha, “Njoo, na tuvuke hadi ngome ya hawa wasiotahiriwa. Pengine BWANA atatenda kwa niaba yetu, kwa maana hakuna kitu kiwezacho kumzuia BWANA asiokoe kwa wengi au kwa watu wachache.”
And Ionathan saide to the yong man that bare his armour, Come, and let vs goe ouer vnto the garison of these vncircumcised: it may be that the Lord will worke with vs: for it is not hard to the Lord to saue with many, or with fewe.
7 Mbeba silaha wake akajibu, “Fanya kila kitu kilicho ndani ya moyo wako. Songa mbele, tazama, niko pamoja nawe, nitatii maagizo yako yote.”
And he that bare his armour, saide vnto him, Doe all that is in thine heart: goe where it pleaseth thee: beholde, I am with thee as thine heart desireth.
8 Ndipo Yonathani akasema, “Tutavuka twende kwa watu hao, na tutajionesha wenyewe kwao.
Then said Ionathan, Beholde, we goe ouer vnto those men, and will shewe our selues vnto them.
9 Kama watatuambia, 'Subirini hapo hadi tutakapokuja kwenu' - basi tutabaki katika sehemu yetu na hatutavuka kwenda kwao.
If they say on this wise to vs, Tarie vntill we come to you, then we will stand still in our place, and not goe vp to them.
10 Lakini kama watajibu, 'Njoni kwetu,' ndipo tutavuka; kwa sababu BWANA amewaweka mkononi mwetu. Hii ndiyo itakuwa ishara yetu.”
But if they say, Come vp vnto vs, then we will goe vp: for the Lord hath deliuered them into our hande: and this shall be a signe vnto vs.
11 Kwa hiyo wote wawili wakajifunua mbele ya ngome ya Wafilisti. Wafilisti wakasema, “Angalia, Webrania wanakuja kutokea kwenye mashimo walimojificha.”
So they both shewed themselues vnto the garison of the Philistims: and the Philistims said, See, the Ebrewes come out of the holes wherein they had hid themselues.
12 Ndipo watu wa ile ngome wakamwita Yonathani na mbeba silaha wake, wakisema, “Njoni huku kwetu, tutawaonesha jambo fulani.” Na Yonathani akamwambia mbeba silaha wake; “Nifuate nyuma yangu, kwa sababu BWANA amewaweka katika mkono wa Israeli.”
And the men of the garison answered Ionathan, and his armour bearer, and said, Come vp to vs: for we will shewe you a thing. Then Ionathan said vnto his armour bearer, Come vp after me: for the Lord hath deliuered them into the hand of Israel.
13 Yonathani alipanda juu kwa mikono na miguu yake, na mbeba silaha akimfuata nyuma yake. Wafilisti waliuwawa mbele ya Yonathani, na mbeba silaha wake akiwaua baadhi nyuma yake.
So Ionathan went vp vpon his hands and vpon his feete, and his armour bearer after him: and some fell before Ionathan, and his armour bearer slewe others after him.
14 Hilo shambulio la kwanza walilofanya Yonathani na mbeba silaha wake, waliua watu wapatao ishirini katika urefu wa nusu handaki kwenye eka moja ya ardhi.
So the first slaughter which Ionathan and his armour bearer made, was about twentie men, as it were within halfe an acre of land which two oxen plowe.
15 Kukawa na hofu kubwa katika kambi, uwandani, na katika watu. Hata ngome ya jeshi na watekaji nyara nao wakawa na hofu kubwa
And there was a feare in the hoste, and in the field, and among all the people: the garison also, and they that went out to spoyle, were afraid themselues: and the earth trembled: for it was striken with feare by God.
16 Ndipo walinzi wa Sauli huko Gibea ya Benyamini wakaona kundi la askari wa Wafilisti likitawanyika, wakienda kule na huku.
Then the watchmen of Saul in Gibeah of Beniamin sawe: and beholde, the multitude was discomfited, and smitten as they went.
17 Kisha Sauli akawaambia watu aliokuwa nao, “Mjihesabu ili muone nani hayupo hapa.”Walipokuwa wamehesabu, wakagundua kuwa Yonathani na mbebaji wa silaha zake hawapo.
Therefore saide Saul vnto the people that were with him, Search nowe and see, who is gone from vs. And when they had nombred, beholde, Ionathan and his armour bearer were not there.
18 Sauli akamwambia Ahiya, “Lete hapa naivera ya Mungu”- kwa maana siku hiyo Ahiya alivaa naivera akiwa pamoja na askari wa Israeli.
And Saul said vnto Ahiah, Bring hither the Arke of God (for the Arke of God was at that time with the children of Israel)
19 Wakati Sauli akiongea na kuhani, kelele na ghasia kubwa iliendelea na kuongezeka katika kambi ya Wafilisti. dipo sauli akamwambia kuhani, “Acha kazi unayofanya.”
And while Saul talked vnto the Priest, the noyse that was in the hoste of the Philistims, spred farther abroade, and encreased: therefore Saul said vnto the Priest, Withdraw thine hand.
20 Sauli na watu wote aliokuwa nao wakajipanga na kwenda kwenye mapigano. Upanga wa kila Mfilisti ulikwa juu ya Mfilisti mwenzake, na kulikuwa na ghasia kubwa.
And Saul was assembled with all the people that were with him, and they came to the battell: and behold, euery mans sworde was against his fellow, and there was a very great discomfiture.
21 Basi Waebrania ambao mwanzoni walijiunga na Wafilisti, na kwenda kwenye kambi yao, wao pia waliungana na Waisraeli waliokuwa pamoja na Sauli na Yonathani.
Moreouer, the Ebrewes that were with the Philistims beforetime, and were come with them into all partes of the hoste, euen they also turned to be with the Israelites that were with Saul and Ionathan.
22 Waisraeli wote waliokuwa wamejificha katika milima karibu na Efraimu waliposikia kwamba Wafilisti wamekimbia, nao pia wakawafuata Wafilisti nakuwafukuza kwenye hiyo vita.
Also all the men of Israel which had hid themselues in mount Ephraim, when they heard, that the Philistims were fled, they followed after them in the battell.
23 Hivyo siku hiyo BWANA aliwaokoa Israeli, na mapigano yalivuka kupitiliza Beth aveni.
And so the Lord saued Israel that day: and the battell continued vnto Beth-auen.
24 Siku hiyo watu wa Israeli walifadhaika kwa sababu Sauli aliwaweka watu chini ya kiapo akasema, “Na alaaniwe mtu atakaye kula chakula kabla ya jioni na kabla sijalipiza kisasi kwa maadui zangu.” Hivyo hakuna hata mmoja kati ya watu wote aliyeonja chakula.
And at that time the men of Israel were pressed with hunger: for Saul charged the people with an othe, saying, Cursed be the man that eateth foode till night, that I may be auenged of mine enemies: so none of the people tasted any sustenance.
25 Ndipo watu wote wakaingia msituni na kuona asali ikiwa juu ya ardhi.
And all they of the land came to a wood, where hony lay vpon the ground.
26 Watu walipoingia humo msituni, asali ilitiririka, lakini hakuna aliyeweka mkono wake kinywani kwa maana watu waliogopa kiapo.
And the people came into the wood, and beholde, the hony dropped, and no man mooued his hand to his mouth: for the people feared the othe.
27 Lakini Yonathani alikuwa hajasikia kwamba baba yake amewaagiza watu kwa kiapo. Akanyoosha ncha ya fimbo iliyokuwa mkononi mwake na kuichovya kwenye sega la asali. Kisha akanyoosha mkono wake hadi kinywani mwake, na macho yake yakaangaziwa.
But Ionathan heard not when his father charged the people with the othe: wherefore he put foorth the ende of the rod that was in his hand, and dipt it in an hony combe, and put his hand to his mouth, and his eyes receiued sight.
28 Ndipo mmoja wa watu hao, akamwambia, “Baba yako aliwaagiza watu kwa mkazo na kwa kiapo, kwa kusema, 'Alaaniwe mtu atakaye kula chakula kwa siku ya leo,' ingawa watu wamedhoofika kwa ajili ya njaa.”
Then answered one of the people, and said, Thy father made the people to sweare, saying, Cursed be the man that eateth sustenance this day: and the people were faint.
29 Baadaye Yonathani alisema, “Baba yangu amefanya matatizo katika nchi. Angalia jinsi macho yangu alivyotiwa nuru kwa sababu nilionja asali hii kidogo.
Then said Ionathan, My father hath troubled the land: see nowe howe mine eyes are made cleare, because I haue tasted a litle of this honie:
30 Je, siyo vivuri sana kama leo watu wangekula bila kizuizi nyara walizopata kutoka kwa maadui zao? Kwa sababu sasa mauaji hayakuwa makubwa katikati ya Wafilisti.”
Howe much more, if the people had eaten to day of the spoyle of their enemies which they found? for had there not bene nowe a greater slaughter among the Philistims?
31 Siku hiyo waliwashambulia Wafilisti kutoka Mikmashi hadi Aiyaloni. Na watu walikuwa wamechoka sana.
And they smote the Philistims that day, from Michmash to Aiialon: and the people were exceeding faint.
32 Hivyo watu wakazivamia nyara na kuchukua kondoo, ng'ombe na ndama na kuwachinja hapo chini. Watu walikula nyama zao pamoja na damu.
So the people turned to the spoile, and tooke sheepe, and oxen, and calues, and slewe them on the ground, and the people did eate them with the blood.
33 KIsha wakamwambia Sauli, “Tazama, watu wanamtenda BWANA dhambi kwa kula pamoja na damu.” Sauli akasema, “Mmetenda isivyo haki. Sasa, viringisheni jiwe kubwa kwangu.” Sauli akasema,
Then men tolde Saul, saying, Beholde, the people sinne against the Lord, in that they eate with the blood. And he saide, Ye haue trespassed: roule a great stone vnto me this day.
34 “Nendeni kati watu, na muwaambie, 'Kila mtu alete ng'ombe na kondoo wake, wawachinje hapa, na kuwala. Msimtende BWANA dhambi kwa kula na damu.”' Kwa hiyo watu wote wakaleta kila mtu na ng'ombe wake usiku huo na kuwachinja mahali hapo.
Againe Saul said, Goe abroade among the people, and bid them bring me euery man his oxe, and euery man his sheepe, and slay them here, and eate and sinne not against the Lord in eating with the blood. And ye people brought euery man his oxe in his hand that night, and slew them there.
35 Sauli akamjengea BWANA madhabahu, ambayo ilikuwa ya kwanza kwake kumjengea BWANA.
Then Saul made an altar vnto the Lord, and that was the first altar that he made vnto the Lord.
36 Ndipo Sauli akasema, “Haya tuwafukuze Wafilisti usiku na kuwateka nyara hadi asubuhi; tusimwache hata mtu mmoja akiwa hai.” Nao wakamjibu, “Fanya unaloona linakupendeza.” Lakini kuhani akasema, “Hebu na tumkaribie Mungu mahali hapa.”
And Saul saide, Let vs goe downe after the Philistims by night, and spoyle them vntill the morning shine, and let vs not leaue a man of them. And they saide, Doe whatsoeuer thou thinkest best. Then saide the Priest, Let vs drawe neere hither vnto God.
37 Sauli alitaka kumuuliza Mungu maswali zaidi, “Je, inanipasa kuwafukuza Wafilisti? Je, utawaweka katika mkono wa Israeli?” Lakini siku hiyo BWANA hakumjibu kitu.
So Saul asked of God, saying, Shall I goe downe after ye Philistims? wilt thou deliuer them into the hands of Israel? But he answered him not at that time.
38 Ndipo Sauli akasema, “Njoni hapa, viongozi wote wa watu; mjue na kuona jinsi dhambi hii ilivyotokea leo.
And Saul said, All ye chiefe of the people, come ye hither, and knowe, and see by whom this sinne is done this day.
39 Kwa maana, kama BWANA aishivyo, aliyewaokoa Israeli, hata kama angekuwa mwanangu Yonathani, atapaswa kufa.” Lakini hakuna hata mtu mmoja miongoni mwa watu aliye mjibu neno.
For as the Lord liueth, which saueth Israel, though it be done by Ionathan my sonne, he shall dye the death. But none of all the people answered him.
40 Basi akawaambia Waisraeli wote, “Simameni upande mmoja, na mimi na Yonathani tutasimama upande mwingine.” Kisha watu wakamwambia Sauli, “Fanya lile unaloona jema kwako.”
Then he saide vnto all Israel, Be ye on one side, and I and Ionathan my sonne will be on the other side. And the people saide vnto Saul, Doe what thou thinkest best.
41 Kwa hiyo, Sauli akamwambia BWANA, Mungu wa Israeli, “Tuoneshe Thumimu.” Yonathani na Sauli wakatwaliwa, lakini watu walinusurika kuchaguliwa.
Then Saul said vnto the Lord God of Israel, Giue a perfite lot. And Ionathan and Saul were taken, but the people escaped.
42 Basi Sauli akasema, “Tupa mawe ya bahati nasibu tuone kati yangu na mwanangu Yonathani.” Ndipo Yonathani akatwaliwa.
And Saul saide, Cast lot betweene me and Ionathan my sonne. And Ionathan was taken.
43 Kisha Sauli akamwambia Yonathani, “Niambie umefanya nini.” Yonathani akamwambia baba yake, “Nilionja asali kidogo kwa kutumia ncha ya fimbo iliyokuwa mkononi mwangu. Niko hapa; Nitakufa.”
Then Saul said to Ionathan, Tell me what thou hast done. And Ionathan tolde him, and said, I tasted a litle hony with the ende of the rod, that was in mine hand, and loe, I must die.
44 Sauli akasema, “Mungu afanye hivyo na kuzidi hata kwangu, kama Yonathani hautakufa.”
Againe Saul answered, God doe so and more also, vnlesse thou die the death, Ionathan.
45 Basi watu wakamuuliza Sauli, “Je, inampasa Sauli afe, ni nani aliyetekeleza ushindi huu mkubwa kwa ajili ya Israeli? Mbali na hayo! Kama BWANA aishivyo, hata unywele mmoja wa kichwa chake hautaanguka chini, kwa maana leo amefanya kazi pamoja na Mungu.” Hivyo hao watu walimuokoa Yonathani ili asife.
And the people said vnto Saul, Shall Ionathan die, who hath so mightily deliuered Israel? God forbid. As the Lord liueth, there shall not one heare of his head fall to the ground: for he hath wrought with God this day. So the people deliuered Ionathan that he dyed not.
46 Basi Sauli akasita kuwafuatia Wafilisti, nao wakarudi katika makao yao.
Then Saul came vp from the Philistims: and the Philistims went to their owne place.
47 Sauli alipoanza kutawala juu ya Israeli, alipigana na adui zake wote kila upande. Alipigana dhidi ya Moabu, dhidi ya watu wa Amoni, Edomu, wafalme wa Zoba, na Wafilisti. Popote alipogeukia aliwapiga kwa adhabu adui zake.
So Saul helde the kingdome ouer Israel, and fought against all his enemies on euery side, against Moab, and against the children of Ammon, and against Edom, and against the Kings of Zobah, and against the Philistims: and whithersoeuer he went, he handled them as wicked men.
48 Alitenda kwa ushujaa mkubwa na kuwashinda Waamaleki. Aliwaokoa Israeli kutoka mikono ya watu ambao waliwateka nyara.
He gathered also an hoste and smote Amalek, and deliuered Israel out of the handes of them that spoyled them.
49 Basi wana wa Sauli walikuwa ni hawa Yonathani, Ishvi, na Malkishua. Na majina ya binti zake wawili yalikuwa ni haya, Merabu mzaliwa wa kwanza, na mdogo aliitwa Mikali.
Nowe the sonnes of Saul were Ionathan, and Ishui, and Malchishua: and the names of his two daughters, the elder was called Merab, and the yonger was named Michal.
50 Jina la mke wa Sauli aliitwa Ahinoamu; naye alikuwa binti Ahimaasi. Na jina la Jemedari wa jeshi lake aliitwa Abneri mwana wa Neri, baba mdogo wa Sauli.
And the name of Sauls wife was Ahinoam the daughter of Ahimaaz: and the name of his chiefe captaine was Abner the sonne of Ner, Sauls vncle.
51 Kishi alikuwa baba yake Sauli; na Neri alikuwa baba yake na Abneri, wote walikuwa wana wa Abieli.
And Kish was Sauls father: and Ner the father of Abner was the sonne of Abiel.
52 Kulikuwa na mapigano makali dhidi ya Wafilisti katika siku zote za Sauli. Naye alipomwona mtu yeyote mwenye nguvu, au mtu yeyote jasiri, alimuunganisha kwake.
And there was sore warre against the Philistims all the dayes of Saul: and whomsoeuer Saul sawe to be a strong man, and meete for the warre, he tooke him vnto him.