< 1 Samweli 13 >

1 Sauli alikwa na umri wa miaka [thelathini] alipoanza kutawala; alipokuwa ametawala Israeli kwa miaka [arobaini],
Sawl ni kum touh a uk teh Isarelnaw apâhni kum a uknae kum dawk,
2 aliwachagua wanaume elfu tatu wa Israeli. Elfu mbili walikuwa pamoja naye huko Mikmashi na katika nchi ya milima ya Betheli, wakati huo wale elfu moja walikuwa pamoja na Yonathani katika Gibea ya Benyamini. Askari waliobaki aliwarudisha nyumbani, kila mtu hemani kwake.
Sawl ni Isarelnaw tami 3,000 touh a rawi. Tami 2000 touh teh Mikmash hoi Bethel mon dawk Sawl koe ao awh teh, 1,000 touh teh Benjamin ram Gilead vah Jonathan koe ao awh. Alouknaw pueng teh amamouh onae koe rim dawk lengkaleng a ban sak.
3 Yonathani akaishinda ngome ya jeshi la Wafilisti iliyokuwa Geba na Wafilisti wakasikia habari hiyo. Baadaye Sauli alipiga tarumbeta katika nchi yote, akisema, “Sikieni enyi Waebrania.”
Jonathan ni Geba vah Filistin kho ramveng a thei e hah Filistinnaw ni a thai awh. Sawl ni Hebrunaw ni hai thai naseh a titeh, ram pueng dawk mongka a ueng sak.
4 Israeli yote imesikia kwamba Sauli ameipiga ngome ya Wafilisti, na pia kwamba Israeli imekuwa uvundo kwa Wafilisti. Ndipo askari wakaitwa kwa pamoja kuungana na Sauli huko Gilgali.
Isarel miphunnaw ni Filistin kho ramveng Sawl ni a thei e hah, Filistinnaw han Isarelnaw teh panuetthopounge lah ao e a thai awh navah, Gilgal kho kaawm e Sawl koe cei hanelah tamimaya teh a kaw awh.
5 Wafilisti walijikusanya pamoja kupigana dhidi ya Waisraeli: magari elfu tatu, watu elfu sita wakuendesha magari, na majeshi mengi kama mchanga ufukoni mwa bahari. Wakapanda na kupiga kambi huko Mikimashi, mashariki mwa Beth aveni.
Filistinnaw teh Isarelnaw tuk hanelah, a kamkhueng awh. Rangleng 30,000, marangransanaw 6,000 hoi tuipui rai e sadi patetlah kapap e ransanaw ao awh teh Bethaven kho Kanîtholae Mikmash kho dawk a roe awh.
6 Watu wa Israeli walipoona kuwa wapo katika matatizo -kwa maana watu walikata tamaa, wakajificha kwenye mapango, kwenye vichaka, kwenye miamba, kwenye visima na katika mashimo.
Isarelnaw ni takikatho poung e thung ka o tie a panue awh navah, atangawn talung kâko, buruk thung, atangawn talungnaw e rahak vah, tumdum e thung, talai kâko dawk a kâhro awh.
7 Baadhi ya Waebrania walipanda kwenda Yordani katika nchi ya Gadi na Gileadi. Lakini Sauli alibaki Gilgali, na watu waliomfuata wakitetemeka.
Hebru miphunnaw tangawn Jordan tui namran Gad hoi Gilead ram dawk a kâran awh. Sawl teh Gilgal vah ao. Tamihu ni taki pâyaw laihoi a hnuk a kâbang awh.
8 Alisubiri kwa siku saba, muda uliopangwa na Samweli. Lakini Samweli hakufika huko Gilgali, na watu wakatawanyika mbali na Sauli.
Samuel ni hnin a khoe e patetlah hnin 7 touh a ring. Hatei Samuel teh Gilgal vah tho hoeh, a hnukkâbang e naw ni ahni teh a kâran takhai awh.
9 Sauli akasema, “Nileteeni sadaka ya kuteketezwa na sdaka ya amani.” Kisha akatoa sadaka ya kuteketezwa.
Sawl ni hmaisawi thuengnae hoi roum thuengnae kai koe thokhai awh atipouh. Hottelah hmaisawi thuengnae a sak.
10 Mara tu alipomaliza kutoa sadaka ya kuteketezwa Samweli akawasili. Sauli akatoka nje wakutane na kumsalimia.
Hmaisawi thuengnae a sak hnukkhu, Samuel a tho teh Sawl ni ahni kâhmo hanelah a dawn.
11 Basi Samweli akasema, “Umefanya nini?” Sauli akajibu, “Nilipoona kwamba watu wanaiacha, na kwamba umechelewa hukufika kwa muda uliopangwa, na kwamba Wafilisti wamekwisha jikusanya huko Mikmashi,
Samuel ni bangmaw na sak atipouh. Sawl ni taminaw ni be na kâran takhai teh, atueng khoe e hnin dawk na tho hoeh. Filistinnaw Mikmash vah be a kamkhueng awh toe tie ka thai.
12 nikasema, 'Sasa Wafilisti watashuka dhidi yangu huko Gilgali, na sijaomba kibali cha BWANA.' Kwa hiyo nikajilazimisha mwenyewe kutoa sadaka ya kuteketezwa.”.
Hatdawkvah, Filistinnaw ni Gilgal vah na la tuk awh toe. BAWIPA koe pahrennae hei hane hai ka sak hoeh rah. Hatdawkvah, hmaisawi thuengnae teh sak hoeh laipalah coung hoeh toe telah ati.
13 Ndipo Samweli akamwambia Sauli, “Umetenda mambo ya kipumbavu. Hukuheshimu amri ya BWANA Mungu wako aliyokupatia. Kwa maana BWANA angeutengeneza utawala wako juu ya Israeli milele.
Samuel ni Sawl koe pathu poung lahoi na sak toe. BAWIPA Cathut e kâpoelawk na tarawi hoeh toe. Na tarawi pawiteh BAWIPA ni Isarelnaw lathueng uknaeram kâ pou a caksak han.
14 Lakini sasa utawala wako hautaendelea. BWANA ametafuta mtu anayekubaliwa na moyo wake, kwa sababu wewe hukutii alichokuamuru.”
Atuteh nange uknaeram cak mahoeh toe. BAWIPA ni ama lungkayouk e a tawng teh, a tami lathueng vah kahrawikung lah o hane BAWIPA ni kâ a poe toe. Bangkongtetpawiteh, BAWIPA e kâpoelawk na tarawi hoeh toe.
15 Ndipo Samweli akasimama akapanda kutoka Gilgali hadi Gibea ya Benyamini. Basi Sauli akawahesabu watu waliokuwapo pamoja naye, idadi yao ilikuwa kama watu mia sita.
Samuel a thaw teh Gilgal kho hoi Benjamin ram Gibeah vah a takhang. Sawl ni ama koe kaawm e a touk teh 600 tabang a pha.
16 Sauli, mtoto wake Yonathani, na watu waliokuwa pamoja nao, wakabaki Geba ya Benyamimni. Lakini Wafilisti wakapiga kambi huko Mikmashi.
Sawl hoi a capa Jonathan hoi ahnimouh koe rei kaawm e Benjamin ram Geba vah ao awh rah. Hatei, Filistinnaw teh Mikmash vah a tungpup awh.
17 Wateka nyara makundi matatu wakaja kutoka kambi ya Wafilisti. Kundi moja likapinda kuelekea Ofra, hadi nchi ya Shuali.
Filistinnaw e roenae hmuen koehoi taran ahu kathum touh ni a cei awh teh, Shual ram, Ophrah lah a cei awh.
18 Kundi jingine likageuka kuelekea Bethholoni, na kundi jingine likaelekea katika mpaka kulikabili bonde la Seboimu kuelekea jangwani.
Ahu buet touh ni, Bethhoron koelae lam, ahu buet touh ni Zeboiim yon kahrawngum khori koelae lam a dawn awh.
19 Hakuna hata mhunzi aliyeonekana katika nchi yote ya Israeli, kwa sababu Wafilisti walisema, “Waebrania wasije wakajitengenezea mapanga au mikuki.”
Isarel abuemlah dawk sumkadêinaw buet touh boehai hmu hane awm hoeh. Bangkongtetpawiteh, Filistinnaw ni Hebrunaw teh tahroe hoi tahloi sakpayon vaih telah ati awh dawk doeh.
20 Lakini Waisraeli wote huwa wakiteremka kwa Wafilisti, kila mtu kunoa jembe lake, sululu yake, shoka lake na mundu wake.
Hottelah, Isarel taminaw teh tawkso thoseh, thunha thoseh, cakâ, tangkounnaw kata hanelah Filistinnaw koe ouk a ceikhai awh.
21 Gharama za kunoa ncha za majembe, sululu, mashoka na kunyoosha michokoo ilikuwa theluthi moja ya shekeli.
Tawkso, thunha, a hâ kathum touh samphei e tawkso, cakâ hoi sâw aphu teh Shekel phek touh doeh.
22 Hivyo siku ya vita, hakukuwa na mapanga au mikuki iliyoonekana katika mikono yoyote ya askali waliokuwa na Sauli na Yonathani; Ni Sauli na mtoto wake tu ndio walikuwa nazo.
Hatdawkvah, taran tuknae hnin dawk Sawl hoi Jonathan tinaw hoi rei kaawm e ransanaw e kut dawk, tahloi tahroe awm hoeh. Sawl hoi Jonathan koe dueng doeh ao.
23 Vikosi vya Wafilisti wakatokeza katika nija ya Mikmashi.
Hat hoi Filistin ramvengnaw teh Mikmash rakan hanelah hoi a cei awh.

< 1 Samweli 13 >