< 1 Samweli 11 >

1 Ndipo Nahashi Mwamoni akaenda na kupiga kambi kuzunguka Yabeshi Gileadi. Watu wote wa Yabeshi wakamwambia Nahashi, “Fanya mkataba nasi, na tutakutumikia,”
Ammonğançene Naxaşee, Gileadne cigabışeena Yaveş eyhena şahar hiqiy-allançe avqaaqqana. Yaveşne milletıncad Naxaşik'le eyhen: – Şaka cuvab g'ats'ak'vne, şinad ğu eyhenbı ha'as.
2 Nahashi Mwamoni akawajibu, “Kwa sharti hili nitafanya mkataba na ninyi, kwamba wote niwang'oe macho ya kulia, na kwa kitendo hiki kilete fedheha katika Israeli yote.”
Ammonğançene Naxaşee manbışik'le eyhen: – Vuşun gırgıng'un sağın uleppı alqı'ı, məxüb İzrail g'eliqqa huvuyle qiyğa, zı şu uvhuynçilqa qarayle.
3 Basi wazee wa Yabeshi wakamjibu, “Tuache kwa siku saba, ili tuwatume wajumbe katika nchi yote ya Israeli. Ndiposa, kama hakuna mtu wa kutuokoa, tutasalimu amri kwako.”
Yaveşne ağsaqqalaaşe mang'uk'le eyhen: – Şas sa yighılle yiğ hele, xabar ana İzrailyvolle insanar g'axuvles. Şi şavussecab g'attivxhan haa'as dəəxəxhee, manke şicab şi yiğne xılyaqa qevles.
4 Nao wajumbe wakafika Gibea, alipoishi Sauli, na wakawaeleza watu kile kilichotokea. Watu wote wakalia kwa sauti kuu.
Xabar ana insanar, Giveayeeqa Şaulusqa abı, milletıs hucooyiy ıxhava yuşan ha'an. Milletıd ts'irıka geşşe giyğal.
5 Na Sauli alikuwa akiwafuata nyuma maksai kutoka shambani. Sauli akauliza, “Watu wamepatwa na nini hadi wanalia?” Ndipo wakamweleza Sauli kile ambacho watu wa Yabeshi walikisema.
Mane gahıl Şaul cune yastbışiqar qihna çoleençe qöö ıxha. Mang'vee qiyghanan: – Milletık hucoona ıxha, nya'a man geşşe? Manke Yaveşbışe cos yuşan hı'ıynbı, manbışe mang'ulqa hixhar ha'anbı.
6 Sauli aliposikia kile walichosema, Roho ya Mungu ikamjia kwa nguvu, na akakasirika.
Man eyhenbı g'ayxhımee, Allahın Rı'h Şaululqa gexa. Şaul qəlın qoxa giyğal.
7 Akashika nira ya maksai, akawakata hao ng'ombe vipande vipande, na akavituma hivyo vipande katika nchi yote ya Israeli kwa kuwatumia wajumbe, Akasema, “Yeyote asiyejitokeza akimfuata Sauli na Samweli, hivi ndivyo ng'ombe wake watakavyofanywa.” Na hofu ya BWANA ikawaingia watu, na wakajitokeza wote kwa pamoja.
Mang'vee cuna q'öble yats givk'u, san-sanna qaa'a. Qiyğad xabar ana abıynbışisqa man sanbı quvu, İzrailyvolle in eyhe iviykaras ulyooka: – Şaulneyiy Şamuelyne qihna qidyabıynbışde gırgıng'une yatsbışilqab mana ver ooxasvude. Milletılqa Rəbbile qəpq'ı'niyna g'iç' gyooç'e, manbışin gırgınbı sanab oza qeebaxhenbı.
8 Alipowahesabu hapo Beseki, watu wa Israeli walikuwa elfu mia tatu, na watu wa Yuda elfu thelathini.
Şaulee manbı Bezek' eyhene cigee gipk'ıning'a, İzrailybışiqa xhebıd vəş aazır, Yahudeeşiqar xhebts'al aazır adamiy ıxha.
9 Wakawaambia wale wajumbe waliotumwa, “Mtawaambia watu wa Yabeshi Gileadi, 'Kesho, wakati wa jua kali, Mtaokolewa.”' Basi wale wajumbe wakaenda na kuwaambia watu wa Yabeshi, na watu wakafurahi.
Manbışe Yaveşğançe xabar ana abıynbışik'le eyhen: – Gileadeene Yaveşbışik'le inva eyhe: «G'iyqa verığ pıra quvxhesse, şu g'attivxhanasınbı». Xabar ana abıynbışe mana xabar Yaveşbışilqa hivxhar hav'umee, manbı şadeebaxhenbı.
10 Ndipo watu wa Yabeshi wakamwambia Nahashi, “Kesho tutasalimu amri kwako, na utaweza kutufanyia chochote unachoona kinakupendeza.”
Yaveşbışe Naxaşik'le eyhen: – G'iyqa şicab şi vuşde xılyaqa qevles, manke şos hucooyiy ıkkan, şak he'e.
11 Siku iliyofuata Sauli akawapanga watu katika vikosi vitatu. Wakafika katikati ya Kambi wakati wa asubuhi, wakawashambulia na kuwashinda Waamoni ilipofika mchana. Waliosalimika nao walitawanyika, kiasi kwamba hata watu wawili hawakuachwa pamoja.
Qinne yiğıl Şaulee cun insanar xhebne cigeeqa bit'al haa'a. Miç'eed qixhesnang'a, manbı Ammonğançenbışin g'oşunbınane cigeeqa akk'yapk'ı, yı'q'ı'hı'lqasmee, manbı gyabat'a vuxha. Üç'übba avxuynbı sassabna mançe heebaxanbı. Q'öyre-q'öyrena vuşucar sacigee axu deş.
12 Ndipo watu wakamwambia Samweli, “Wako wapi waliosema, 'Hivi kweli Sauli atatutawala?' Walete watu hao, ili tuwauwe.”
Milletın Şamuelik'le eyhen: – Şaul yişda paççah ixhes dəxəsva eyhenbı nyavxha? Qavaale şi man insanar gyapt'as.
13 Lakini Sauli akasema, “Hakuna atakayeuwawa siku ya leo, kwa sababu leo BWANA amemuokoa Isreli.”
Şaulee eyhen: – G'iyna vuşucar gik'as deş. G'iyna Rəbbee İzrail g'attivxhan hav'uyn yiğ vod.
14 Kisha Samweli akawaambia watu, “Njoni, twendeni Gilgali na tuimarishe ufalme tena huko.”
Şamuelee milletık'le eyhen: – Qudoora Gilgaleeqa sapk'ıl, paççah vuşuyiyva sayid eyhes.
15 Hivyo watu wote wakaenda Gilgali na wakamsimika Sauli kuwa mfalme mbele za BWANA huko Gilgali. Na huko walitoa sadaka za amani mbele za BWANA, na watu wote wa Israeli wakafurahi sana.
Gırgın milletcad Gilgaleeqa atk'ın, Rəbbine ögil Şauluke paççah ha'a. Maa'ad manbışe, Rəbbine ögil q'urbanbı gyaat'a. Gırgıne İzrailybışe Şauluka sacigee mane yiğıl yugda otxhun-ulyoğan.

< 1 Samweli 11 >