< 1 Samweli 11 >
1 Ndipo Nahashi Mwamoni akaenda na kupiga kambi kuzunguka Yabeshi Gileadi. Watu wote wa Yabeshi wakamwambia Nahashi, “Fanya mkataba nasi, na tutakutumikia,”
and to ascend: rise Nahash [the] Ammon and to camp upon Jabesh (Jabesh)-gilead and to say all human Jabesh (Gilead) to(wards) Nahash to cut: make(covenant) to/for us covenant and to serve you
2 Nahashi Mwamoni akawajibu, “Kwa sharti hili nitafanya mkataba na ninyi, kwamba wote niwang'oe macho ya kulia, na kwa kitendo hiki kilete fedheha katika Israeli yote.”
and to say to(wards) them Nahash [the] Ammon in/on/with this to cut: make(covenant) to/for you in/on/with to dig to/for you all eye right and to set: put her reproach upon all Israel
3 Basi wazee wa Yabeshi wakamjibu, “Tuache kwa siku saba, ili tuwatume wajumbe katika nchi yote ya Israeli. Ndiposa, kama hakuna mtu wa kutuokoa, tutasalimu amri kwako.”
and to say to(wards) him old: elder Jabesh (Gilead) to slacken to/for us seven day and to send: depart messenger in/on/with all border: area Israel and if nothing to save [obj] us and to come out: come to(wards) you
4 Nao wajumbe wakafika Gibea, alipoishi Sauli, na wakawaeleza watu kile kilichotokea. Watu wote wakalia kwa sauti kuu.
and to come (in): come [the] messenger Gibeah Saul and to speak: speak [the] word: thing in/on/with ear: to ears [the] people and to lift: loud all [the] people [obj] voice their and to weep
5 Na Sauli alikuwa akiwafuata nyuma maksai kutoka shambani. Sauli akauliza, “Watu wamepatwa na nini hadi wanalia?” Ndipo wakamweleza Sauli kile ambacho watu wa Yabeshi walikisema.
and behold Saul to come (in): come after [the] cattle from [the] land: country and to say Saul what? to/for people for to weep and to recount to/for him [obj] word: deed human Jabesh (Gilead)
6 Sauli aliposikia kile walichosema, Roho ya Mungu ikamjia kwa nguvu, na akakasirika.
and to rush spirit God upon Saul (like/as to hear: hear he *Q(K)*) [obj] [the] word [the] these and to be incensed face: anger his much
7 Akashika nira ya maksai, akawakata hao ng'ombe vipande vipande, na akavituma hivyo vipande katika nchi yote ya Israeli kwa kuwatumia wajumbe, Akasema, “Yeyote asiyejitokeza akimfuata Sauli na Samweli, hivi ndivyo ng'ombe wake watakavyofanywa.” Na hofu ya BWANA ikawaingia watu, na wakajitokeza wote kwa pamoja.
and to take: take pair cattle and to cut him and to send: depart in/on/with all border: area Israel in/on/with hand [the] messenger to/for to say which nothing he to come out: come after Saul and after Samuel thus to make: do to/for cattle his and to fall: fall dread LORD upon [the] people and to come out: come like/as man one
8 Alipowahesabu hapo Beseki, watu wa Israeli walikuwa elfu mia tatu, na watu wa Yuda elfu thelathini.
and to reckon: list them in/on/with Bezek and to be son: descendant/people Israel three hundred thousand and man Judah thirty thousand
9 Wakawaambia wale wajumbe waliotumwa, “Mtawaambia watu wa Yabeshi Gileadi, 'Kesho, wakati wa jua kali, Mtaokolewa.”' Basi wale wajumbe wakaenda na kuwaambia watu wa Yabeshi, na watu wakafurahi.
and to say to/for messenger [the] to come (in): come thus to say [emph?] to/for man Jabesh (Jabesh)-gilead tomorrow to be to/for you deliverance: salvation (like/as heat *Q(K)*) [the] sun and to come (in): come [the] messenger and to tell to/for human Jabesh (Gilead) and to rejoice
10 Ndipo watu wa Yabeshi wakamwambia Nahashi, “Kesho tutasalimu amri kwako, na utaweza kutufanyia chochote unachoona kinakupendeza.”
and to say human Jabesh (Gilead) tomorrow to come out: come to(wards) you and to make: do to/for us like/as all [the] pleasant in/on/with eye: appearance your
11 Siku iliyofuata Sauli akawapanga watu katika vikosi vitatu. Wakafika katikati ya Kambi wakati wa asubuhi, wakawashambulia na kuwashinda Waamoni ilipofika mchana. Waliosalimika nao walitawanyika, kiasi kwamba hata watu wawili hawakuachwa pamoja.
and to be from morrow and to set: put Saul [obj] [the] people three head: group and to come (in): come in/on/with midst [the] camp in/on/with watch [the] morning and to smite [obj] Ammon till heat [the] day and to be [the] to remain and to scatter and not to remain in/on/with them two unitedness
12 Ndipo watu wakamwambia Samweli, “Wako wapi waliosema, 'Hivi kweli Sauli atatutawala?' Walete watu hao, ili tuwauwe.”
and to say [the] people to(wards) Samuel who? [the] to say Saul to reign upon us to give: give [the] human and to die them
13 Lakini Sauli akasema, “Hakuna atakayeuwawa siku ya leo, kwa sababu leo BWANA amemuokoa Isreli.”
and to say Saul not to die man: anyone in/on/with day: today [the] this for [the] day: today to make: do LORD deliverance: salvation in/on/with Israel
14 Kisha Samweli akawaambia watu, “Njoni, twendeni Gilgali na tuimarishe ufalme tena huko.”
and to say Samuel to(wards) [the] people to go: come! and to go: went [the] Gilgal and to renew there [the] kingship
15 Hivyo watu wote wakaenda Gilgali na wakamsimika Sauli kuwa mfalme mbele za BWANA huko Gilgali. Na huko walitoa sadaka za amani mbele za BWANA, na watu wote wa Israeli wakafurahi sana.
and to go: went all [the] people [the] Gilgal and to reign there [obj] Saul to/for face: before LORD in/on/with Gilgal and to sacrifice there sacrifice peace offering to/for face: before LORD and to rejoice there Saul and all human Israel till much