< 1 Petro 5 >
1 Ninawasihi wazee waliomo miongoni mwenu, mimi, niliye mzee mwenzao na shahidi wa mateso ya Kristo, na ambaye vile vile ni mshirika katika utukufu utakaodhihirika.
Nikabhasili bhaseya bhabhaj'hele miongoni mwinu, nene, j'hanij'hele nsaya njabhi na shahidi ghwa malombosi gha Kristu, na ambaj'he vilevile ni mshirika mu bhutukufu bhwabhwibetakudhihirika.
2 Kwa hiyo, ninawatia moyo ninyi wazee, lichungeni kundi la Mungu lililo miongoni mwenu. Liangalieni, sio kwa sababu mnapaswa, lakini kwa sababu mnatamani hivyo, kulingana na Mungu. Liaangalieni, sio kwa kupenda pesa za aibu, lakini kwa kupenda.
Henu nikabhapela muoyo muenga bhasaya, mulichungai likundi lya k'yara lyalij'hele miongoni mwinu. Mulilangai, sio kwandabha mwilondeka, lakini kwa ndabha mwilonda aghu, kul'engana ni k'yara. Mulilangai, sio kwa kugana hela sya soni, lakini kwa kugana.
3 Msijifanye mabwana juu ya watu waliyochini ya uangalizi wenu, lakini iweni mfano katika kundi.
Msibhombi mabwana juu j'ha bhanu bhabhaj'hele pasi j'ha bhuangalizi bhwinu, lakini mujhiaghe mfuano mu likundi.
4 Pale Mchungaji Mkuu atakapodhihirishwa, mtaipokea taji ya utukufu isiyopoteza uthamani wake.
Pale mchungaji m'mbaha paibetakudhihirisibhwa, m'beta kujhipokela litaji lya bhutukufu j'hajhibeli kujhesya bhusamani bhwake.
5 Vilevile, nanyi vijana wadogo, nyenyekeni kwa wakubwa wenu. Ninyi nyote, uvaeni unyenyekevu na kuhudumiana ninyi kwa ninyi, kwani Mungu huwapinga wenye kiburi, lakini huwapa neema wanyenyekevu.
Vilevile, muenga bhasongolo bhadebe, mkitengulilaghe kwa bhabhaha bhinu. Muenga mwe bhoha, uvaeni bhutengulisi ni kuhudumilana j'homu kwa j'homu, kwani k'yara akabhapinga bhenye kiburi, lakini ikabhapela neema bhatengulisi.
6 Kwa hiyo nyenyekeni chini ya mkono wa Mungu uliyo hodari ili kwamba awainue kwa wakati wake.
Kwa hyo mkitengulidagha pasi pa mabhokho gha k'yara j'haaj'hele hodari ili abha j'hinulaghe kwa bhwakati bhwake.
7 Mwekeeni fadhaa zenu juu yake, kwa sababu anawajali.
Mubhekaghe fadhaa syinu panani pake, kwandabha akabhajali.
8 Iweni na busara, iweni waangalifu. Yule adui yenu, ibilisi, kama simba aungurumaye ananyatia, akisaka mtu wa kumrarua.
Muj'hiaghe ni busara, muj'hiaghe bhaangalifu. J'hola adui j'hinu ibilisi kama limba j'haiunguruma inyatila, pailonda munu ghwa kundamra.
9 Simameni kinyume chake. Kuweni na nguvu katika imani yenu. Mkijua kwamba ndugu zenu walioko ulimwenguni wanapitia mateso kama hayo.
Muj'hemayi kinyume kyake. Muj'hiaghe ni ngofu mu imani j'hinu. Mkamanyiayi kuj'ha bhalongobhinu bhajele kumbinguni bhip'hetela malombosi kama aghu.
10 Baada ya kuteseka kwa muda kitambo, Mungu wa neema yote, aliyewaita katika utukufu wa milele ndani ya Kristo, atawakamilisha, atawaimarisha na kuwatia nguvu. (aiōnios )
Baada j'ha kul'ombosi bhwa kwa muda lukhombi, k'yara ghwa neema j'haankutili mu bhutukufu bhwa milele mugati mwa Kristu, ibetakubhakamilisya, ibetakubhakangamisya ni kubhapela ngofu. (aiōnios )
11 Enzi iwe kwake milele na milele. Amina. (aiōn )
Enzi j'hij'hiaghe kwa muene milele na milele. Amina. (aiōn )
12 Namthamini Silwano kama ndugu mwaminifu, na nimewaandikia ninyi kwa ufupi kupitia kwake. Ninawatia moyo na ninashuhudia kwamba nilichokiandika ni neema ya kweli ya Mungu. Simameni ndani yake.
Nikan'thamini Silwano kama ndongobhangu mwaminifu, na nibhalenibili muenga kwa kifupi kup'hetela kwa muene. Nikabhapela muoyo nanishuhudila kuj'ha kyanikilembili ni neema jha bhukweli j'ha k'yara. Mujhemaghe mugati mwake.
13 Waamini waliloko Babeli, waliochaguliwa pamoja nanyi, wanawasalimu, na Marko mwanangu, anawasalimu.
Bhaamini bhabhajhele Babeli, bhabhasilibhu pamonga namu, bhakabhasalimu, ni Marko mwanabhangu, akabhasalimu.
14 Salimianeni kila mmoja kwa busu la upendo. Na amani iwe kwenu mliondani ya Kristo.
Muponesianaghe kila mmonga kwa busu lya luganu. Ni amani ijhelayi kwa muenga mwamujhele mugati mwa Kristu.