< 1 Petro 4 >

1 Kwa hiyo, kwa kuwa Kristo aliteseka katika mwili, jivikeni silaha za nia ile ile. Yeye aliyeteseka katika mwili ameondokana na dhambi.
Medan nu Christus lidit hafver i köttet för oss, så skolen I ock väpna eder med det samma sinnet; ty den der lider i köttet, han vänder åter af synden;
2 Mtu huyu haendelei tena kuishi katika tamaa za mwili, bali kwa mapenzi ya Mungu, kwa maisha yake yaliyosalia.
På det han den tiden, som tillbaka är i köttet, icke lefva skall efter menniskolusta, utan efter Guds vilja.
3 Kwa kuwa muda uliopita umetosha kutenda mambo ambayo wamataifa wanataka kufanya- ufisadi, nia mbaya, ulevi, ulafi, sherehe za kipagani na ibada za sanamu zenye machukizo.
Ty det är nog att vi, i förliden tid, hafve vårt lefverne förslitit efter Hedningarnas vilja, då vi vandrade i lösaktighet, i begärelse, i dryckenskap, i fråsseri, i svalg, och grufveliga afgudadyrkan.
4 Wanafikiri ni ajabu mnapojiepusha kutenda mambo hayo pamoja nao, hivyo wananena maovu juu yenu.
Och det synes dem sällsynt vara, att I icke löpen med dem uti samma slemma, oskickeliga väsende, och försmäden;
5 Watatoa hesabu kwake aliye tayari kuhukumu walio hai na wafu.
Hvilke skola göra räkenskap honom, som redo är döma lefvande och döda.
6 Kwa kusudi hili injili ilihubiriwa kwao waliokwisha kufa, kwamba ijapokuwa walikwisha hukumiwa katika miili yao kama wanadamu, ili waweze kuishi kulingana na Mungu katika roho.
Ty dertill är ock Evangelium predikadt för de döda, att de skola dömde varda efter menniskor, i köttet; men i Andanom lefva Gudi.
7 Mwisho wa mambo yote unakuja. Kwa hiyo, mwe na ufahamu ulio sahihi, na iweni na nia njema kwa ajili ya maombi yenu.
Men nu tillstundar änden på all ting. Så varer nu nyktre, och vakande till att bedja.
8 Kabla ya mambo yote, eweni na bidii katika upendo kwa kila mmoja, kwa kuwa upendo hautafuti kufunua dhambi za wengine.
Men öfver all ting hafver ju en brinnande kärlek inbördes; ty kärleken skyler ock all öfverträdelse.
9 Onyesheni ukarimu kwa kila mmoja bila kunung'unika.
Varer inbördes hvarannars herbergare, utan allt knorr.
10 Kama ambavyo kila mmoja wenu alivyopokea karama, itumieni katika kuhudumiana, kama wasimamizi wema wa karama nyingi zilizotolewa bure na Mungu.
Och varer tjenstaktige inbördes, hvar och en med den gåfvo som han hafver fått, såsom gode den margfaldeliga Guds nåds skaffare.
11 Kama mtu akiongea, na iwe kama mausia ya Mungu, na kama mtu akihudumu, na iwe kama uwezo aliopewa na Mungu, ili kwamba kwa kila jambo Mungu apate kutukuzwa kupitia Yesu Kristo. Utukufu na uweza vina Yeye milele na milele. Amina. (aiōn g165)
Om någor talar, han tale såsom Guds ord; om någor hafver ett ämbete, han tjene såsom af den förmågo, som Gud gifver; på det Gud blifver ärad i all ting, genom Jesum Christum, hvilkom vare ära och våld evinnerliga. Amen. (aiōn g165)
12 Wapendwa, msihesabu jaribu ambalo huja kuwajaribu kama kitu kigeni, ingawa kuna kitu kigeni kilichokuwa kinatukia kwenu.
Mine käreste, förundrer eder icke på den hetta, som eder vederfars (den eder vederfars, att I skolen försökte varda), såsom eder hände något nytt;
13 Lakini kwa kadri mnavyozidi kupata uzoefu wa mateso ya Kristo, furahini, ili kwamba mfurahi pia na kushangilia katika ufunuo wa utukufu wake.
Utan glädjens heldre, att I liden med Christo; på det I ock fröjdas och glädjas mågen uti hans härlighets uppenbarelse.
14 Iwapo mmetukanwa kwa ajili ya jina la Kristo, mmebarikiwa, kwa sababu ya Roho wa utukufu na Roho wa Mungu anakaa juu yenu.
Salige ären I, om I för Christi Namns skull blifven försmädde; ty Anden, som är härlighetenes och Guds Ande, hvilas på eder; när dem blifver han försmädd, men när eder beprisad.
15 Lakini asiwepo yeyote mwenye kuteswa kama muuaji, mwizi, mtenda maovu, au ajishughulishaye na mambo ya wengine.
Ingen ibland eder lide, såsom en mördare, tjuf, illgerningsman, eller som den der träder in i ens annars ämbete.
16 Lakini ikiwa mtu anateswa kama Mkristo, asione aibu, bali amtukuze Mungu katika jina hilo.
Men lider han såsom en Christen, skämme sig intet; utan prise Gud för den delen.
17 Kwa kuwa wakati umefika kwa hukumu kuanzia katika nyumba ya Mungu. Na kama inaanzia kwetu, itakuwaje kwa wale wasioitii injili ya Mungu?
Ty tiden är, att domen skall begynnas på Guds hus; begynnes det på oss, hvad blifver då deras ändalykt, som icke tro Guds Evangelio?
18 Na kama “mwenye haki anaokolewa kupitia magumu, itakuwaje kwa mtu asiyehaki na mwenye dhambi?”
Och blifver den rättfärdige med plats salig, hvar blifver då den ogudaktige och syndaren?
19 Kwa hiyo wote wanaoteseka kutokana na mapenzi ya Mungu wakabidhi nafsi zao kwa Muumba mwaminifu ili hali wakitenda mema.
Derföre, de der lida efter Guds vilja, de skola befalla honom sina själar, såsom enom trofastom Skapare, med goda gerningar.

< 1 Petro 4 >